Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Tatizo ni kuweka kitu kinachowatisha watu ''tunapigania dini''. Mohamed ameweka tuhuma dhdi ya kanisa makusudi kabisa ili ima mtu awe mwislam au awe kafir. Ili kuwa mwislam unapaswa kumeza kila unachoambiwa. Ukitaka kutoka katika Uislam kama BAKWATA hoji jambo kinyume na lengo tarajiwa.

Kwa jinsi mjadala ulivyo na yanavyozuka tuyajuayo na tusiyoyajua, jinsi watu wanavyo flip flop position na kutengeneza conducieve environment, kuna vijana wengi wa kiislam watasoma makala za Mohamed kwa jicho tofauti kabisa na awali.
Wengine watakuwa chumbani ima wakiugulia maumivu ya kupigwa changa au wakilaani upotoshwaji n.k.

Hii ni changamoto kwa wanahabari hasa wale wachanga. Pitieni uzi huu na nyingine chagueni yale mnaona yana walakini, fanyieni tafiti kidogo kujiridhisha na majibu yaliyo wazi kabisa, waiteni wahusika wayatetee.

Kwa mwandishi makini Mohamed can hardly speak for 20 minute!
Kwanza hana uwezo wa kutetea hoja zake na hoja zake hazisimami zenyewe bila 'self quotation''.
Kitu kizuri sana, hoja zake zina ji contradict na akipelekwa kwenye kona hatoki! flat!
 
Naomba nikuulize swali moja je wewe ni muislamu na kama si muislamu hebu katafute wanachuoni wa kiislamu kuna mtu alikuwa anaitwa ABUU JAHAL(BABA WA WAJINGA) historia yake haitofautiani na mawazo yako mgando
Akili zako za kushikiwa pole sana mjinga sana wewe. Nilisha kuambia mimi ni adent ATHEIST, au hujui ni kitu gani hicho. Baki ukiburuza makalio ukimuabu Mohamed Saidi, maana huna mchangao mwingine zaidi ya huo.
 

Sasa kama unataka mtu amuelewe huyo mtu unayetumia kwenye kupasha habari zako ni kwanini usimtaje ili wanaomjua watuthibitishie. Lazima utakuwa una la zaidi ya hili unalolisema angalizo la kutotaja jina. Umeamua kufunguka unemaliza tusiojua tujue
 

mbona umefanya mara nyingi kwenye maandishi yako? simulizi moja umeliweka ambapo umefanya contrast kati ya Abdul - mwenye akili sana na Nyerere mwenye ujuzi wa kuzungumza (ukimaanisha hakuwa na akili sana); umeonesha katika lile simulizi maarufu la Mshume Kiyate (ambalo tunalijua kwa sababu inadaiwa Nyerere kalisimulia) Nyerere kaondoka kwake bila hela mfukoni kwenda sokoni akitegemea kuna mtu angemsave... sijui asingekutana na Kiyate angeenda kumuomba nani hela ya kuwanunulia watoto chakula.. mtu asiye na akili tu anaweza kuamua kwenda sokoni bila hela na kutegemea nasibu.
 
Wapelekee upuuzi wako waumini wenzako! "to me that sounds as buzzing and annoying sound!"
 
kitu kimoja nakusifu-you have got a way with words,you always cunningly wriggle out of tight corners

Son...

Hapana.

Baba yake Abdu Sykes ni katibu muasisi wa African Association 1929.

Family yake siku zote kwa miaka 25 wamekuwa wakishughilika na TAA.

Mwaka 1950 Abdu anachukua nafasi ya baba yake akiwa katibu wa TAA
na anaunda TAA Political Sub Committee.

Mwaka wa 1952 Abdu anakutana na Nyerere na mikakati ya kumchagua
Nyerere kama rais wa TAA inaanza.

Mwaka 1953 Nyerere anachaguliwa kuwa rais wa TAA.
Mwaka 1954 TANU inaasisiwa Nyerere akiwa rais wake.

Kuanzia 1929 -1954 kuna mengi sana mtafiti atakutananayo katika nyaraka
za akina Sykes na katika maelezo ya wazee wangu.

Tutoke hapo sasa tuingie katika kuijenga TANU.

Kuna haja ya mie kujirudia tena?

Ndiyo nikasema itakuwa kauli ya Nyerere na ya Abdu Sykes.

Wala huku si ''wriggling from a tight corner as there is no corner after all let
alone the corner being tight as you have put it.''
 

maneno mazito sana mzee wangu umenisikitisha
 

MM,

Ngoja nikuambie kitu.

Niamini.

Nyerere wakati ule angeingia pale sokoni na angepewa kila kitu
bila ya kutoa senti hata moja.

Tena hata bila ya msaada wa Abdu aliyekuwa pale kama Market
Master.

Ikifanyika...
Unajua siye kwetu ni mwiko kuhadithia ihsani.

Humfanyii mtu wema ukaanza kuhadithia.

Utosheke na maelezo haya nakuomba.
 
maneno mazito sana mzee wangu umenisikitisha


Wewe naweka hapa post nzito za kujadiliwa.

Nimeweka paper ya Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience mada niliyowasilisha
Chuo Kikuu Cha Ibadan.

Chanzo ni Nguruvi kuniwekea Sheria ya Ugaidi.

Nikaeleza kuwa niliwasilisha mada kuhusu Sheria ya Ugaidi na nikawakanyaga Waamerika na
wao wapo pale wananisikiliza.

Taarifa zikaja Dar es Salaam.

Natoka safari nje ya nchi nikakamatwa na kufanyiwa mahojiano usiku kucha Uwanja wa Ndege
nk. nk. nk.

Paper nimebandika jamvini inaeleza ile sheria ya ugaidi imepita kwa kuwa Kanisa walipata silaha ya
kuupiga vita Uislam.

Yote hukuona unaniuliza mambo ambayo kwangu mimi naona hayana maana yoyote.
Maana kuhusu Nyerere nimejibu mengi pamoja na hilo swali lako.
 
Taratibu Mohamed! sijaweka sheria hiyo nadhani una hamaki angalia vizuri uzi na quotation.
 

MM,

Ni bahati mbaya umefanya tafsiri hiyo.

Maana yangu iko mbali sana na hilo.
 
maneno mazito sana mzee wangu umenisikitisha


Wewe naweka hapa post nzito za kujadiliwa.

Nimeweka paper ya Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience mada niliyowasilisha
Chuo Kikuu Cha Ibadan.

Chanzo ni Nguruvi kuniwekea Sheria ya Ugaidi.

Nikaeleza kuwa niliwasilisha mada kuhusu Sheria ya Ugaidi na nikawakanyaga Waamerika na
wao wapo pale wananisikiliza.

Taarifa zikaja Dar es Salaam.

Natoka safari nje ya nchi nikakamatwa na kufanyiwa mahojiano usiku kucha Uwanja wa Ndege
nk. nk. nk.

Paper nimebandika jamvini inaeleza ile sheria ya ugaidi imepita kwa kuwa Kanisa walipata silaha ya
kuupiga vita Uislam.

Yote hukuona unaniuliza mambo ambayo kwangu mimi naona hayana maana yoyote.
Maana kuhusu Nyerere nimejibu mengi pamoja na hilo swali lako.
 
Taratibu Mohamed! sijaweka sheria hiyo nadhani una hamaki angalia vizuri uzi na quotation.

N,

Niwie radhi ndugu yangu.

Kuna mtu kaweka Patriot Act 2002 kama attach.

Nami nikamwambia nimezungumza Chuo Kikuu Cha
Ibadan, Nigeria kuhusu hayo.

Mkuu samahani sana.
 
Kama ni hicho na washarika ni hao, sina neno kwakuwa taarifa ninayo,

Nilidhani ni wakujitegemea kama ulivyofanya wewe na ngano/simulizi za wazee wako!

Y,

Unajua Abdu Sykes unaesema maelezo yake ni ''ngano''
alikuwa kipenzi cha baba yako?

Walifanya mengi pamoja katika TANU...

Usiwe mwizi wa fadhila.

Mtaa wa Swahili na Tandamiti kwenye kona ya Soko
la Kariakoo pale kama unatazama Mtaa wa Mkunguni
ndipo ilipokuwa ofisi ya Market Master Abdu Sykes.

Nyerere akienda pale sana baada ya kujiuzulu kazi
ya ualimu.

Ni sehemu ya kihistoria ile na mzee wako ni muhusika
mkuu katika historia hii.

Haikupata kuwa ''ngano.''
 
Mzee mimi nanyamaza mimi nakuheshimu sana huyu jamaa ameniudhi kukutukana wewe hana adabu na nimeachana nae kwasababu wewe umesema niko tayari kupigwa ban lakini awe na adabu

BH,

Nimeshukuru kuwa umenisikiliza.
 
G,

Hapa jamvini mie ndiyo mzee wenu.

Nakuombeni hebu samehaneni tuweke
heshima ya hii barza yetu.

Najua nyote ni vijana na ujana unafananishwa
na wazimu.

Basi yamekwisha tuanzeni upya.
Tusisubiri ban ya MOD tutakuwa tumechelewa.

asante kwa busara wamekuelewa
 
Busara zako zidumu!

G,

Hapa jamvini mie ndiyo mzee wenu.

Nakuombeni hebu samehaneni tuweke
heshima ya hii barza yetu.

Najua nyote ni vijana na ujana unafananishwa
na wazimu.

Basi yamekwisha tuanzeni upya.
Tusisubiri ban ya MOD tutakuwa tumechelewa.
 
MM,

Ni bahati mbaya umefanya tafsiri hiyo.

Maana yangu iko mbali sana na hilo.

sidhani kama mtu yeyote anaweza akasoma ulichoandika na kushindwa kuona maana iliyofichika; mara kadhaa umefanya hivvyo kumdunisha Nyerere mbele ya hadhara na matokeo yake wanafunzi wako hapa wamefuata cue yako...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…