Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Ritz nasubiri jibu,Sewa Haji paroo katoa hela hospitali ikajengwa1897,sasa huyo Tambaza ali own hii ardhi ya muhimbili lini??????????????? Au na wewe mdomo unaenda kinywani kwa "hear say"

Siyo lazima uniamini kama unaona uongo basi unaweza kupuuza tu.

Halafu acha kufanya Palagrim maandishi yako karibia yote unayoweka humu jamvini ni Palagrim ukiwe sema ulipoyatoa watu wameumiza vichwa kuandika.

Data zako zote zinatoka Julius Nyerere Wikipedia halafu usemi acha hiyo tabia.
 
Last edited by a moderator:
Siyo lazima uniamini kama unaona uongo basi unaweza kupuuza tu.

Halafu acha kufanya Palagrim maandishi yako karibia yote unayoweka humu jamvini ni Palagrim ukiwe sema ulipoyatoa watu wameumiza vichwa kuandika.

Data zako zote zinatoka Julius Nyerere Wikipedia halafu usemi acha hiyo tabia.


Anacopy na Kupaste kumbe??
Hao sisi tunawaita VI-LA-ZA..
 
Ritz,
For your information Nyerere hajawahi kukiri kuwa siasa zake zilishindwa. Hiyo quote kutoka Wikipedia imepandikizwa na huwezi kuipata popote pale penye authoritative ya kauli za Nyerere, including hotuba zake na Radio Tanzania, na mahojiano na waandishi habari wa mataifa mbalimbali. Simply said, he has never said that or called himself a failure. Halafu hata kazini kwetu tulitahadharishwa siku nyingi kuitumia Wikipedia kama authoritative source kwa sababu mtu yeyote anaweza kupost kitu kule. Nimeona niliweke hili sawa kwa sababu ni mara ya pili au zaidi una claim Nyerere kakiri kuwa siasa zake zimeshindwa.

Jasusi,
Hayo maneno mwambie Son of Alaska, ndiyo anatujazia mabandiko ya Julius Nyerere - Wikipedia kama uamini ingia uone.

Kuhusu siasa za Nyerere kushindwa mbona lipo wazi amekiri mwenye tafuta hotuba yake ya kuaga mwaka 1985 kasema mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Siyo lazima uniamini kama unaona uongo basi unaweza kupuuza tu.

Halafu acha kufanya Palagrim maandishi yako karibia yote unayoweka humu jamvini ni Palagrim ukiwe sema ulipoyatoa watu wameumiza vichwa kuandika.

Data zako zote zinatoka Julius Nyerere Wikipedia halafu usemi acha hiyo tabia.

sasa mimi nitoe data kichwani kwani nilikuwepo?wazee wangu mimi hawakunihadithia,they were too busy striving for excellence-all in all dont you see kwamba hawa Maryknoll sisters wanamkosesha heartbeats MS
 
Julius Nyerere - Wikipedia.

Hizi habari ndiyo unazitoa huko tatizo unachagua habari za kuleta.

Wanaukumbi kuna habari zingine zipo huko Nyerere mwenyewe kakiri siasa zake zimeshindwa unaweza ku-google tu Julius Nyerere Wikipedia.
Mkuu tembelea tovuti ya Maryknoll Sisters ndiko utapata hayo sio wikipediae walikopandikiza uongo mwingi
 
Jasusi,
Hayo maneno mwambie Son of Alaska, ndiyo anatujazia mabandiko ya Julius Nyerere - Wikipedia kama uamini ingia uone.

Kuhusu siasa za Nyerere kushindwa mbona lipo wazi amekiri mwenye tafuta hotuba yake ya kuaga mwaka 1985 kasema mwenyewe.

Swadakta,
Hiyo hotuba ipo hapa, katuwekea nukuu yake Yericho. Nyerere hakusema kuwa siasa zake zimeshindwa. Alikiri kuwa kuna makosa aliyofanya lakini hajasema siasa zake zimeshindwa. Actually leo tupo sote hapa kama Watanzania, ingawa baadhi wanajiona Waislamu kwanza, kwa sababu ya kufanikiwa kwa siasa za Nyerere. Kama Watanzania alitupa identity, na hiyo katika post colonial Afrika, was no small feat. Just look around you. Nyerere hajawahi kusema kuwa siasa zake zimeshindwa. Full stop.
 
Jasusi,
Hayo maneno mwambie Son of Alaska, ndiyo anatujazia mabandiko ya Julius Nyerere - Wikipedia kama uamini ingia uone.

Kuhusu siasa za Nyerere kushindwa mbona lipo wazi amekiri mwenye tafuta hotuba yake ya kuaga mwaka 1985 kasema mwenyewe.
Hotuba yakuaga ya novemba 5. 1985 hiyo hapo juu ya rangi ya bluu, wapi aekiri hayo?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu tembelea tovuti ya Maryknoll Sisters ndiko utapata hayo sio wikipediae walikopandikiza uongo mwingi

Yericko Nyerere,

Kote huko mie nimepita na napita kila siku. Ninachokuambia huyu Son of Alaska, mwambie humu kuna watu wanachimba anachofanya anajidhalilisha siyo leo tu. Fuatilia maandishi yake yote ni kazi za watu halafu asemi kayatoa wapi mpaka hizo picha zote anazoweka humu najua anapozitoa au na mie nikuwekee uamini.
 
Last edited by a moderator:
Are you really serious? Kweli M Said kawaweza; kawaaminisha kuwa watu hawa wote yeye ndio kawataja kwa mara ya kwanza katika historia. Na la kusikitisha zaidi ni kuwa mpo mnaoamini kabisa kuwa Mohammed Said ndiye mtu wa kwanza kuwataja watu hawa na nafasi yao katika historia. That is really sad. Ukiondoa majina machache ambayo labda yanahusiana na watu wa Gerezani na Kariakoo majina ya washirika wa harakati za Uhuru kutoka sehemu mbalimbali nchini yanajulikana kwa muda mrefu yameandikwa kwa kiasi kikubwa tu.

Alichofanya Mohammed Said katika kujaribu kuiandika upya historia hiyo ni kuwagawa wazee wetu kwa misingi ya dini (Waislamu Vs. Wakristu). Anafanya kile ambacho baadhi ya wazee wake wa Kariakoo walijaribu kukifanya mwaka 1958 walipojaribu kuzigawanya harakati hizo za uhuru kwa misingi hiyo ya dini na matokeo yake wakatimuliwa miaka michache baadaye.

Kama unaamini kuwa Mohammed Said ndiye anawataja hawa - tena kwa dharau kuwa hawakuwa na central role kwenye harakati hizo ila wanatajwa tu kama waigizaji kwenye mchezo wa kuigiza - it is in itself tragic.

si vibaya ukitupatia ushahidi wa qalipotatwa hao amabao unadai sii mara ya kwanza kutajwa na mohammed said.
 
nyerere_in_iringa_after_the_war.jpg
 
Kama mnafundishwa elimu akhera alafu waenda kusit for elimu dunia utafaulu kweli?? Kwani hao waislamu wachache wanaofaulu huwa wanaandika majina ya wakristu ndio wanafaulishwa? Acheni kujishusha nyie mnaanza kuwaza nani kamishna wa elimu ni dini gani kama waislamu hawana vigezo wapewe tu madaraka wasioyaweza acheni mambohayo ya ajabu someni kwanza
 
Yericko Nyerere,

Kote huko mie nimepita na napita kila siku. Ninachokuambia huyu Son of Alaska, mwambie humu kuna watu wanachimba anachofanya anajidhalilisha siyo leo tu. Fuatilia maandishi yake yote ni kazi za watu halafu asemi kayatoa wapi mpaka hizo picha zote anazoweka humu najua anapozitoa au na mie nikuwekee uamini.
MIMI naona unaathirika na "fall out ya madras" sasa world wide web kazi yake nini???si ni kushare knowledge hili hata mliochelewa, mu play catch up
 
si vibaya ukitupatia ushahidi wa qalipotatwa hao amabao unadai sii mara ya kwanza kutajwa na mohammed said.


Ndio ninaita uvivu wenyewe huo; tafuta vitabu vya historia ya Tanganyika.... kweli mnaamini Mohammed Said ndio mtu wa kwanza kuandika historia ya harakati za Uhuru? This is rather sad. Kama uko karibu na Maktaba yoyote nenda ulizia vitabu vya historia ya harakati za Uhuru wa Tanganyika.

Na ukitaka kutafuta vitabu vya baadhi ya wazee wa Kiislamu walioshiriki kwa kiasi kikubwa watu kama kina Shehe Mohammed Ramia wa Bagamoyo tafuta kitabu cha August Nimtz (kimechapwa mwaka 1980). Ungekuwa karibu yangu niingekuazima vya kwangu. Wengine tunamkosoa Mohammed Said kwa sababu tunajua amewataka nyara watu ambao hawajui kutafuta ukweli wa historia na badala yake wanasoma historia wakiongozwa na hisia.
 
Ndio ninaita uvivu wenyewe huo; tafuta vitabu vya historia ya Tanganyika.... kweli mnaamini Mohammed Said ndio mtu wa kwanza kuandika historia ya harakati za Uhuru? This is rather sad. Kama uko karibu na Maktaba yoyote nenda ulizia vitabu vya historia ya harakati za Uhuru wa Tanganyika.

Na ukitaka kutafuta vitabu vya baadhi ya wazee wa Kiislamu walioshiriki kwa kiasi kikubwa watu kama kina Shehe Mohammed Ramia wa Bagamoyo tafuta kitabu cha August Nimtz (kimechapwa mwaka 1980). Ungekuwa karibu yangu niingekuazima vya kwangu. Wengine tunamkosoa Mohammed Said kwa sababu tunajua amewataka nyara watu ambao hawajui kutafuta ukweli wa historia na badala yake wanasoma historia wakiongozwa na hisia.
pole mkuu kwa kazi uliyonayo kubishana na hao watu ni wavivu wa kufikiri wanajua kukariri ile minyoo yu
 
Back
Top Bottom