Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Ritz nasubiri jibu,Sewa Haji paroo katoa hela hospitali ikajengwa1897,sasa huyo Tambaza ali own hii ardhi ya muhimbili lini??????????????? Au na wewe mdomo unaenda kinywani kwa "hear say"
Siyo lazima uniamini kama unaona uongo basi unaweza kupuuza tu.
Halafu acha kufanya Palagrim maandishi yako karibia yote unayoweka humu jamvini ni Palagrim ukiwe sema ulipoyatoa watu wameumiza vichwa kuandika.
Data zako zote zinatoka Julius Nyerere Wikipedia halafu usemi acha hiyo tabia.
Last edited by a moderator:

