Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Natumai kitabu kinatoka majority waliotajwa, including Nyerere, walikua hai.

malizia mwenyewe sasa, haihitaji tochi from here
 
Natumai kitabu kinatoka majority waliotajwa, including Nyerere, walikua hai.

malizia mwenyewe sasa, haihitaji tochi from here
Mwalimu asingeweza kumjibu Mohamed kwa simulizi hizi. Hakuwa saizi yake. TANU inazaliwa Mzee Mohamed anajifunza kutembea!
 
Yericko,

Wewe baba yako ndiye Baba wa Taifa na ndiye muasisi wa TANU.
Tuandikie kitabu vipi aliasisi TANU.

Hii itafuta ''ngano'' za Mohamed Said.

Utakuwa umetufanyia ihsani kubwa sana.
Mohamed, mbona unapenda kupewa hupendi kutoa?
Umeelizwa swali hajajibu. Kabala Yericko hajajibu hili tufahamishe, Je, Nyerere hakuwa mwasisi wa TANU na Rais wa TANU? Tukishapata jibu tutamuomba Yericko naye ajibu, lakini kwanza jibu wewe!
 
Mwalimu asingeweza kumjibu Mohamed kwa simulizi hizi. Hakuwa saizi yake. TANU inazaliwa Mzee Mohamed anajifunza kutembea!

Sawa tujaalie alikua si wa size yake! (But huko nyuma, mlimtuhumu mzee Mohamed Said kuwa anawasemea walokufa)

But,

15 years down the line, "tuhuma" za mzee Mohamed Said kwa Nyerere, hazijapatiwa majibu, critique ya kimaandishi (kwa maana ya kitabu, journal articles and the like), huoni kuwa silence hii inatosha kuwa kuna ukweli ndani aliyoyasema mzee Mohamed Said?

Mzee Mohamed Said anabishana ki scholar zaidi, jaribuni kum-challenge ki-scholar pia. Kwa mfano "article X published by XX mwaka XXX inakuchallenge kazi yako Mohamed Said uliopublish mwaka XXXX"

Mtririko wa namna hii ndo anautaka mzee wetu. Mkija na maneno matupu, makavu, without any scholar holdings, mtatoka patupu
 
Mohamed, mbona unapenda kupewa hupendi kutoa?
Umeelizwa swali hajajibu. Kabala Yericko hajajibu hili tufahamishe, Je, Nyerere hakuwa mwasisi wa TANU na Rais wa TANU? Tukishapata jibu tutamuomba Yericko naye ajibu, lakini kwanza jibu wewe!
Mzee Mohamed anasema Historia ya TANU inaanzia mwaka 1929 Mwalimu akiwa kinda tu hata darasa la Kwanza hajaenda! Hii yote ni katika jitihada za kumwondoa Mwalimu kwenye uasisi. Aonekane vitu vyote alivikuta vimeandaliwa!
 
Mzee Mohamed anasema Historia ya inaanzia mwaka 1929 Mwalimu akiwa kinda tu hata darasa la Kwanza hajaenda! Hii yote ni katika jitihada za kumwondoa Mwalimu kwenye uasisi. Aonekane vitu vyote alivikuta vimeandaliwa!

kama ya karume na okelo
 
Wengi tumejaribu tulivyoweza ingawa JF sio kitabu. Simulizi za aina hii zilizoegemea kwenye DINI kali kama ya KIISLAM hauwezi kuziandikia kitabu bila kukumbana na yaliyomkuta Salman Rushdie. Bila kuhatarisha AMANI ya nchi.

Mwalimu angeamua kujibu kwa kuwa yeye alikuwepo, hakusimuliwa, Tanzania isingebaki kama ilivyo. Mashahidi wa mzee huyu wote ni marehemu isipokuwa mdogo wake Abdu ambaye hata hivyo sijawahi kusikia akisema lolote juu ya kitabu hiki.

Historia ya kweli haiwezi kuandikwa na mtu mmoja tena ambaye amezaliwa akaikuta.
 
Mzee Mohamed anasema Historia ya inaanzia mwaka 1929 Mwalimu akiwa kinda tu hata darasa la Kwanza hajaenda! Hii yote ni katika jitihada za kumwondoa Mwalimu kwenye uasisi. Aonekane vitu vyote alivikuta vimeandaliwa!

Nyerere alikuwa kisha anza kuasisi mfumokristo mwaka 1929? Au?
 

Kaka,

Kama mzee Mohamed Said kakosea kuwataja wazee wake waliopigania uhuru, basi ataomba msamaha.

Lakini kama si kosa, anayo haki ya kuandika na kusema.

Mna contradict kudhani kuwa Mohamed Said anasema kuwa wazee wake peke yake ndo wamepigania uhuru.

Wazee wake had a part to play. It just so happens that the part they played was important, paramount and pivotal which lead to the success of independence. Hili nadhani ndo hamlitaki
 
Mzee Mohamed anasema Historia ya TANU inaanzia mwaka 1929 Mwalimu akiwa kinda tu hata darasa la Kwanza hajaenda! Hii yote ni katika jitihada za kumwondoa Mwalimu kwenye uasisi. Aonekane vitu vyote alivikuta vimeandaliwa!

Sasa kaka hapa utakua unakosea kaka

Mfano, ukiulizwa Liverpool FC imeanzia wapi? Utalipunja jibu kama hutotaja Everton FC, waasisi wake mwaka Everton ulioasisiwa, key people mpaka Everton inasimama, mpaka dispute yao na Liverpool
 

Ninavyofahamu historia ya nchi yoyote duniani haiandikwi na mtu mmoja,

Tena ikatembea kiudini wa upande mmoja iilihali hakuna mafungamano nayo!
 
Sasa kaka hapa utakua unakosea kaka

Mfano, ukiulizwa Liverpool FC imeanzia wapi? Utalipunja jibu kama hutotaja Everton FC, waasisi wake mwaka Everton ulioasisiwa, key people mpaka Everton inasimama, mpaka dispute yao na Liverpool
Lakini Liverpool sio Everton kama ambavyo TAA sio TANU. Tena afadhali Liverpool na Everton zote zipo. TAA ilikufa kabisa baada ya TANU kuzaliwa. Liverpool leo wanacheza na ...
 
Sasa kaka hapa utakua unakosea kaka

Mfano, ukiulizwa Liverpool FC imeanzia wapi? Utalipunja jibu kama hutotaja Everton FC, waasisi wake mwaka Everton ulioasisiwa, key people mpaka Everton inasimama, mpaka dispute yao na Liverpool

Historia ya ndoa/harusi huwa inaanzia siku mlipofunga ndoa hiyo au siku mlipoanza kutongozana?
 
Lakini Liverpool sio Everton kama ambavyo TAA sio TANU. Tena afadhali Liverpool na Everton zote zipo. TAA ilikufa kabisa baada ya TANU kuzaliwa. Liverpool leo wanacheza na ...

Ndo ninasema, huwezi kutaja LIverpool imezaliwa vipi pasipo na kutaja Everton

Huwezi kuanza na TANU pasipo kujua imeanzaje, i.e. TAA

...anza na mtiririko huu kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…