Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Sykes alikuwa anataka kuandika kuhusu Waafrika walioshiriki katika harakati za Uhuru au alitaka kuandika kuhusu mchango wa Waislamu katika harakati za Uhuru? Maana hapo juu sioni suala la dini katika nia ya Abdulwahid Sykes; unless sijakupata vizuri.

Kwi kwi kwi teh teh teh, wanapoishiwa na hoja!
 
Unauliza hivyo halafu unachakachuwa:



Hii ndio orijino, kabla hujachakachuwa:


Hili lako wewe:


Sasa wewe useme, hiyo inatamkika ki rahisi umeitowa wapi? Nyerere hakuisema hiyo au aliisema Yericko Nyerere akaiondoa?

Halafu hakuna TAU hapo kama ulivyozuwa wewe, nikuletee bandiko? anza na hii, mimi hupenda kwenda tartiiiibu.

Kuhusu swali lako kuhusu Mohamed Said na mimi, hujuwi kuwa mpaka leo tunangoja alichoahidi Yericko Nyerere? unaonesha ni mfupi wa kukumbuka.

Kapu hiloooo ohhh kapu hilo - chakacha Tanga.

Psss, unajuwa kuwa kile chama kilikuwa cha beni Tanga? na vingi vilikuwepo kabla na baada na vyote vikaja kumezwa na AA? hilo naona lilikushida kuandika, au hulijuwi?

zomba,

Koboko kaingia mwenyewe kwenye mtengo wa uji wa ulezi wamoto kichwa kimeshindwa kutoka kwenye sufuria.
 
Last edited by a moderator:
Tungekuwa na watu kama mohamed said kama kumi hivi humu ndani basi j.f kungekuwa naheshima,mungu awajijie m.said na wanzake
 
zomba,

Koboko kaingia mwenyewe kwenye mtengo wa uji wa ulezi wamoto kichwa kimeshindwa kutoka kwenye sufuria.

Hao si unajuwa hawana la maana wao wanasema mradi wapinge tu. Wanatumia mbinu ya kizamani ya "character assassination" wakati media ilikuwa mikononi mwa wachache, leo jee? walikifungia hata kitabu cha Mwembechai Killings lakini nani asiokuwa nacho leo? labda wale tu wasiopenda kujisomea.
 
Hapo ndio ilitakiwa wewe, kwa kuwa umeyaona mapungufu, uchukuwe kalamu uje na majina ya wote uandike historia ipasavyo. Unangoja nini?
Mohamed Said anasema ameona na amepata hamasa ya kuandika baada ya kuona wazee wake hawakuandikwa na historia ya Kivukoni na nyinginezo. Kaamuwa kuchukuwa kalamu kuzipitia nyaraka tofauti za wazee wake na nyinginezo na kuandika, leo kitabu chake kina miaka 15 na toleo la tatu, na InshaAllah kitakuwa na matoleo mengine mengi zaidi kwani kila siku zinavyokwenda ndio wengi wanazidi kukijuwa.

Wewe unaona kuwa ni baadhi tu walioandikwa, jee, historia ya kivukoni iliwaandika wote? jee, historia ipi iliyowaandika wote? jee wewe unaeona wameandikwa "baadhi" tu unangoja nini?

"Kasumba" ni mhadarati na ulevi. Mimi huiita "ubaguzi wa ujinga".

Mkandara kadandia daladala linaloelekea Tabata, kaingia ndani kabisa na kuka siti ya nyuma na kuanza kusoma gazeti lake huku anakunywa COCACOLA!
Abiria wanazidi kuingia na kujaza sehemu ya mbele! basi linaendeshwa na kukaribia Tabata, ghafla Mkandara anakurupuka na kumuuliza abiria mwenzake hivi basi laelekea wapi? anajibiwa kwani wewe wenda wapi? Mkandara anajibu Kimara! duh! mwenzake anaanza kucheka na kumshangaa Mkandara yaani umekaa ndani ya gari na kustarehe muda wote huo na nauli umelipa lakini hujui gari laelekea wapi!

Ushauri kwa Mkandara: anza kusoma topic hii tangu mwanzo ndipo uje kuchangia!
 
Mkandara kadandia daladala linaloelekea Tabata, kaingia ndani kabisa na kuka siti ya nyuma na kuanza kusoma gazeti lake huku anakunywa COCACOLA!
Abiria wanazidi kuingia na kujaza sehemu ya mbele! basi linaendeshwa na kukaribia Tabata, ghafla Mkandara anakurupuka na kumuuliza abiria mwenzake hivi basi laelekea wapi? anajibiwa kwani wewe wenda wapi? Mkandara anajibu Kimara! duh! mwenzake anaanza kucheka na kumshangaa Mkandara yaani umekaa ndani ya gari na kustarehe muda wote huo na nauli umelipa lakini hujui gari laelekea wapi!

Ushauri kwa Mkandara: anza kusoma topic hii tangu mwanzo ndipo uje kuchangia!

Zubeda unamchokoza Mkandara. Atakuja na habari ndeeeeeeeeefu ambayo inaelezeka kwa mistari mawili. Hapo sasa!
 
Last edited by a moderator:
zomba, mimi nadaiwa nimetukana kwa hivyo maswali yangu hayawezi kujibiwa na mwandishi, mtafiti na aliyebobea...badala yake tunapata vibweka kutoka kwa akina zomba, kulikoni? Hapa hakuna kuumizana wala nini, kama mtu anaandika uongo halafu anadai ni matokeo ya utafiti, ni jukumu letu kumweka kiti moto na kuhoji ukweli na uhalali wa maandishi yake...huu si uwanja wa mhadhara wasikoulizana maswali, hapa ni JF. Chukua kwa mfano ukutane na maandishi haya hapa chini, utamweka wapi mohamed Siad na wazee wake wa Gerezani?

Short, precise and clear...je una la kuongezea hapo?

Mzee Mwanakijiji, Nguruvi3, naona mzee mwenzenu Mag3, anawashikia akili huyo Martin Kayamba mmepata kumsoma historia yake, huyu Martin Kayamba alikuwa anafahamika pale Muheza kwa ufugaji wa kuku tu.
 
Last edited by a moderator:
Mkandara kadandia daladala linaloelekea Tabata, kaingia ndani kabisa na kuka siti ya nyuma na kuanza kusoma gazeti lake huku anakunywa COCACOLA!
Abiria wanazidi kuingia na kujaza sehemu ya mbele! basi linaendeshwa na kukaribia Tabata, ghafla Mkandara anakurupuka na kumuuliza abiria mwenzake hivi basi laelekea wapi? anajibiwa kwani wewe wenda wapi? Mkandara anajibu Kimara! duh! mwenzake anaanza kucheka na kumshangaa Mkandara yaani umekaa ndani ya gari na kustarehe muda wote huo na nauli umelipa lakini hujui gari laelekea wapi!

Ushauri kwa Mkandara: anza kusoma topic hii tangu mwanzo ndipo uje kuchangia!

Bi Zubeda,

Mimi nimeishi na watu hawa kwa miaka mingi sana kiasi
nawajua hadi saikolojia yao.

Mie siwezi kujua kitu.
Nitajuaje?

Kilipotoka kitabu wananiuliza, ''Hivi wewe umeandika kwa
Kiswahili kisha mtu akakufanyia tafasiri?''

Huyu hata kitabu hajasoma ila kilichomtatiza ni kitabu
kuandikwa kwa Kiingereza na Mswahili.

Nina mengi mengine nikiyaleta hapa jamvini mtapaliwa
na kahawa.
 
Mzee Mwanakijiji, Nguruvi3, naona mzee mwenzenu Mag3, anawashikia akili huyo Martin Kayamba mmepata kumsoma historia yake, huyu Martin Kayamba alikuwa anafahamika pale Muheza kwa ufugaji wa kuku tu.

Ritz,

Mie sikutaka kusema mengi katika post ile nilitaka Mag3
ajue tu kuwa mambo haya mie nayapata sana Alhamdulilah.

Allah hatoi vitu nusu nusu akikupa nakupa bila ya hata
kukuhesabia.

Namwachia Zomba akamilishe maana huo ndiyo uwanja wake.

Kuna kisa cha Dockworkers Union mwaka 1948 kisa ambacho
ndicho kilichomtumbukiza Abdu Sykes katika uongozi wa TAA.

Kama ni ''movie'' hiyo utaita ''blockbluster.''

Nitakiweka hapa Insha Allah kisha Mag3 afananishe na chama
cha Kayamba.
 
Sykes alikuwa anataka kuandika kuhusu Waafrika walioshiriki katika harakati za Uhuru au alitaka kuandika kuhusu mchango wa Waislamu katika harakati za Uhuru? Maana hapo juu sioni suala la dini katika nia ya Abdulwahid Sykes; unless sijakupata vizuri.

MM,

Utahangaika sana ndugu yangu.
Achana na hili suala la dini.

Halina maana yoyote.

Nimekuwekea hapo uone umuhimu
wa hizo nyaraka na uwasikie wenyewe
wakizungumza.

Hiyo nimetoa katika ''Under the Shadow
of British Colonialism...''
 
Is a Catholic Saint Concealed Within the Ranks of African Head of States

A Positive Answer from Tanzania as the Beatification Process of Servant of God Julius Nyerere has opened!
This file contains some images, a prayer and an article related to the person of Julius Nyerere, first president of the United Republic of Tanzania. The article signed by Laurent Magesa, a Tanzanian Catholic priest and theologian explains at length the extraordinary stature of the Mwalimu’s personality. It is an article which was first published in the review “Service” (Saint Augustine University of Tanzania) Number 9 (2009). As I got permission of using this article, I am most happy to be able to share it with you. A translation into French of this text is available on www.pascalbcd.over-blog.com In a time when a certain part of the African population attempts to get rid of some of its leaders (sometimes successfully so), it is most appropriate to remember the fact that there is another story about a population which is most grateful for the leadership qualities attached to some other leaders. May Nyerere continue to inspire some sincere vocations of leaders selflessly dedicated to the service of its population! It could be that the salvation of a whole continent depends upon these.
My intention in this presentation is modest. I wish in a very brief way to offer a few points about Servant of God Mwalimu Julius K. Nyerere, former president of Tanzania, as a person. My hope is to start some kind of conversation among us and anyone interested, especially in view of the decision by the Catholic Church of Tanzania of starting the – usually long – process of finally declaring him a saint, technically known also as canonization.

Canonization or sainthood in the Catholic tradition is the Church’s official recognition that the person so declared is without doubt with God in heaven. Pastorally, it has an even greater significance: it means that the Church puts forward the life of the person in question as an example for all Catholic faithful to follow in this world, during their pilgrimage towards the final vision of God at death, the beatific vision. If therefore Nyerere is declared as saint, he will be numbered publicly by the Church all over the world whose lives would have been lived in accordance to the will of God. The Church refers to this kind of life as “heroic.”

1358232981152_1358232981152_r.jpg
A Catholic faithful with Mwalimu. Nyerere is being considered for sainthood in the Catholic church. If the process is successful, he'll be the first president to made a saint.
Weka picha ya Ali Hassan Mwinyi akiwa na Papa hapa Ikulu yetu. Hii ya Mwalimu ilipigwa Vatican. Kwa miaka yote 24 alioongoza nchi hii hakuna Papa aliyetembelea hapa kwetu.
 
Unauliza hivyo halafu unachakachuwa:



Hii ndio orijino, kabla hujachakachuwa:


Hili lako wewe:


Sasa wewe useme, hiyo inatamkika ki rahisi umeitowa wapi? Nyerere hakuisema hiyo au aliisema Yericko Nyerere akaiondoa?

Halafu hakuna TAU hapo kama ulivyozuwa wewe, nikuletee bandiko? anza na hii, mimi hupenda kwenda tartiiiibu.

Kuhusu swali lako kuhusu Mohamed Said na mimi, hujuwi kuwa mpaka leo tunangoja alichoahidi Yericko Nyerere? unaonesha ni mfupi wa kukumbuka.

Kapu hiloooo ohhh kapu hilo - chakacha Tanga.

Psss, unajuwa kuwa kile chama kilikuwa cha beni Tanga? na vingi vilikuwepo kabla na baada na vyote vikaja kumezwa na AA? hilo naona lilikushida kuandika, au hulijuwi?

Yaani zomba ni vile siijui namba yako ya simu ningekutumia vocha kwa uwezo niliokuwanao yaani kwenye topc zako bila kukupa like sisikii raha unaongea kwa hoja na ushahidi kama vile uislamu unavyotaka BIG UP KWA MARA NYINGINE
 
Weka picha ya Ali Hassan Mwinyi akiwa na Papa hapa Ikulu yetu. Hii ya Mwalimu ilipigwa Vatican. Kwa miaka yote 24 alioongoza nchi hii hakuna Papa aliyetembelea hapa kwetu.
Kwa taarifa yako nyerere alivyokuwa mdini papa alitaka kuja kipindi yeye ndie rais akakataa ndio akamwambia aje kipindi cha mwinyi sasa papa kuja kipindi cha mwinyi sio hoja hiyo ni mipango ya nyerere
 
Amma wewe husemi ukweli hapo juu, amma Yericko Nyerere aliyebandika hili hapa chini hasemi kweli, amma Mzee Juliasi Nyerere hasemi kweli.



Mtambuzi tambuwa nini maana ya kapu.


Katika hotuba ya kitaifa huwezi kuanza kusimulia yaliyojiri,

Mwalimu alilitambua hilo ndiomaana alisimamia hapo!
 
Last edited by a moderator:
Mwanakijiji, mimi nimemwambia Mohamed Said kuwa wakati tunapata uhuru Desemba 9, 1961 ndio nilikuwa namalizia Form One (darasa la tisa). Pamoja na kufuatilia sana siasa za wakati huo (hata mdahalo wa Kennedy na Nixon tuliufuatilia kama vijana wa sasa walivyofuatilia mpambano kati ya Obama na Romney) na kuwa mashabiki wa siasa si za Afrika tu bali hata Asia na Ulaya, lakini hakuna hata siku moja kwenye miaka hiyo kabla ya uhuru, niliyasikia majina ya wazee wa Gerezani anaowataja Mohamed Said. Je wakati huo ni nani huyo alizima habari zao zisienee Tanganyika?

Miongoni mwa wanasiasa tuliowasikia ni kama Zuberi Mtemvu, Oscar Kambona, Bibi Titi Mohamed, Kasanga Tumbo, Paul Bomani na wengine wengi tu...lakini si Abdulwahid Sykes wa Gerezani, Sheikh Amir wa Unguja wala wazee wengine wa Gerezani anaowakomalia na kuwalilia. Nimekuja kuyasikia hayo majina miaka mingi tu baada ya uhuru, je ni nani huyo kabla ya uhuru alizuia habari zao na harakati zao zisiwafikie Watanganyika nje ya Dar es Salaam? Nyerere? Wakoloni? TANU? Huyu Mohamed Said ni mchochezi tu na muongo mkubwa sijapata kuona...ukweli utabaki pale pale kwamba wakati wa kupigania uhuru Watanganyika kwa umoja wao walishirikiana bila kujali kabila zao, dini zao wala sehemu wanakotoka.

Hao wazee wa Mohamed Said yawezekana walijulikana sana kwenye mitaa ya Dar es Salaam lakini Dar es Salaam ilikuwa na watu laki moja tu (110,000) wakati Tanganyika ilikuwa na watu milioni nane (8,000,000)


zomba,

Soma hizi ngano za Mag3, anasema toka mwaka 1961 alikuwa hajui chochote kuhusu Dar es Salaam.

Halafu hapo hapo anataka kutueleza habari za Dar es Salaam za mwaka 1930.

Kashidwa kutuambia nyumba ya Matola ilikuwa mtaa gani ambapo ulifanyika mkutano.
 
Last edited by a moderator:
Weka picha ya Ali Hassan Mwinyi akiwa na Papa hapa Ikulu yetu. Hii ya Mwalimu ilipigwa Vatican. Kwa miaka yote 24 alioongoza nchi hii hakuna Papa aliyetembelea hapa kwetu.

Naona umejikita zaidi kujadili picha, vipi hayo maandishi hutaki kuyajadili.
 
Kwa taarifa yako nyerere alivyokuwa mdini papa alitaka kuja kipindi yeye ndie rais akakataa ndio akamwambia aje kipindi cha mwinyi sasa papa kuja kipindi cha mwinyi sio hoja hiyo ni mipango ya nyerere
Dah! Wewe kweli Boko Haram. Una taarifa za "uhakika" namna hii!
 
Bi Zubeda,

Mimi nimeishi na watu hawa kwa miaka mingi sana kiasi
nawajua hadi saikolojia yao.

Mie siwezi kujua kitu.
Nitajuaje?

Kilipotoka kitabu wananiuliza, ''Hivi wewe umeandika kwa
Kiswahili kisha mtu akakufanyia tafasiri?''

Huyu hata kitabu hajasoma ila kilichomtatiza ni kitabu
kuandikwa kwa Kiingereza na Mswahili.

Nina mengi mengine nikiyaleta hapa jamvini mtapaliwa
na kahawa.
Ndio wimbo wako huu "nina mengi mengine, hamtaki kuyasikia?" Halafu hayaji! Au unataka kuyaleta kama tafiti na simulizi? Hauna na hautakuwa na jipya hadi upate wasimulizi wapya.
 
Back
Top Bottom