Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Baada ya mwalimu kuacha kazi ya ualimu pale Pugu Dar mwaka 1952 na kurudi Butiama ndipo alipoanza kulipwa
Shilingi 600 ya wakati huo jiulize ilikuwa ni sawa na shilingi ngapi ya leo?
Hivyo uongo wa Mohamed wa kusema Mwalimu alikuwa na shida akitembea kutoka magomeni hadi kariakoo kwa miguu akisubiri kuotoa pesa za akina Mshume Kiyate umejidhihirisha wazi!
Nakufahamisha kuwa mwalimu aliacha kazi akiungwa mkono na wengi na hakuwa lazima wajitangaze ama kujikweza kwake kama wengine walivyotaka!
Yericko,
Husemi kweli.
Hili sina haja ya kulichangia.
Waungwana hawaelezi ikhsani walizofanyiana.
Tuishie hapa.