Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Baada ya mwalimu kuacha kazi ya ualimu pale Pugu Dar mwaka 1952 na kurudi Butiama ndipo alipoanza kulipwa
Shilingi 600 ya wakati huo jiulize ilikuwa ni sawa na shilingi ngapi ya leo?
Hivyo uongo wa Mohamed wa kusema Mwalimu alikuwa na shida akitembea kutoka magomeni hadi kariakoo kwa miguu akisubiri kuotoa pesa za akina Mshume Kiyate umejidhihirisha wazi!
Nakufahamisha kuwa mwalimu aliacha kazi akiungwa mkono na wengi na hakuwa lazima wajitangaze ama kujikweza kwake kama wengine walivyotaka!
ILIPIGWA marufuku na serikali sio nyerere
Baada ya mwalimu kuacha kazi ya ualimu pale Pugu Dar mwaka 1952 na kurudi Butiama ndipo alipoanza kulipwa
Shilingi 600 ya wakati huo jiulize ilikuwa ni sawa na shilingi ngapi ya leo?
Hivyo uongo wa Mohamed wa kusema Mwalimu alikuwa na shida akitembea kutoka magomeni hadi kariakoo kwa miguu akisubiri kuotoa pesa za akina Mshume Kiyate umejidhihirisha wazi!
Nakufahamisha kuwa mwalimu aliacha kazi akiungwa mkono na wengi na hakuwa lazima wajitangaze ama kujikweza kwake kama wengine walivyotaka!
Watakuambia hizo ni ngano za waswahili wa gerezani.
Kwanini hukuwataja wote katika kitabu chakoSon...
Hivi unajua Nyerere akipokea fedha vilevile kutoka TANU katika kipindi hicho?
Unajua majina ya wachangiaji wa fedha hizo?
Yericko Nyerere,
Nyerere kalipwa huo mshahara wa shilingi 600 kwa mwezi na Padri kwa muda gani.
Ninavyojua Padri ni mtumishi wa Kanisa mwaka 1952 Padri alikuwa anapata wapi kiasi cha hicho pesa kila mwezi kumpa Nyerere kuanzia mwaka 1952-1961 muda wa miaka tisa.
Haya maswali yanaitaji majibu ya kina siyo.
Hizo pesa ni nyingi sana kipindi kama Nyerere angekuwa na pesa hizo wala asingekaa kwa Abdul na wala John Rupia asingenunulia nyumba Magomeni mtaa wa Ifunda.
Yericko unajua Kariakoo mwaka 1952 nyumba ulikuwa unaweza kujenga kwa kiasi gani.
Hapana. Sisi tunaomfahamu Mwalimu tunajua alikuwa chain smoker na akipiga whisky. Daktari wake alimwambia "at this rate hutaishi kuona matunda ya juhudi zako." Mwalimu alikwenda "cold turkey." Aliacha sigara hapo hapo kazi ambayo naona kwa Obama ilimchukua muda kidogo. In his older days, alikuwa akinywa chupa moja ya Safari baada ya kazi shambani kwake na akija New York tukipiga pamoja chupa ya Chardonnay. He only drank a glass and I finished the rest.
Hapo ndio nakujuza kuwa Mwalimu hakuwa na dhiki kama anavyomzushia huyo mzandiki Mohamed Said,Yericko Nyerere,
Nyerere kalipwa huo mshahara wa shilingi 600 kwa mwezi na Padri kh:uj hukhjybwa muda gani.
Ninavyojua Padri ni mtumishi wa Kanisa mwaka 1952 Padri alikuwa anapata wapi kiasi cha hicho pesa kila mwezi kumpa Nyerere kuanzia mwaka 1952-1961 muda wa miaka tisa.
Haya maswali yanaitaji majibu ya kina siyo.
Hizo pesa ni nyingi sana kipindi kama Nyerere angekuwa na pesa hizo wala asingekaa kwa Abdul na wala John Rupia asingenunulia nyumba Magomeni mtaa wa Ifunda.
Yericko unajua Kariakoo mwaka 1952 nyumba ulikuwa unaweza kujenga kwa kiasi gani.
Ritz,
Soma vizuri. Kuna uzi humu unaelezea kuwa Mwalimu aliporudi Musoma alikubali kumfundisha lugha ya Kizanaki padre mmoja kwa malipo ya shilingi 600 kwa mwezi. Na ukiuliza padri alipata wapi pesa hizo ni kwamba hujui kuwa Kanisa Katoliki ni one of the richest institutions in the world. Hebu Google upate darasa.
Si anakusaidieni nyie msiojua Kiarabu!!
Kwani nyinyi mkiongea kisambaa kwa waswahili simnatoa tafsiri pia.
Hapana. Sisi tunaomfahamu Mwalimu tunajua alikuwa chain smoker na akipiga whisky. Daktari wake alimwambia "at this rate hutaishi kuona matunda ya juhudi zako." Mwalimu alikwenda "cold turkey." Aliacha sigara hapo hapo kazi ambayo naona kwa Obama ilimchukua muda kidogo. In his older days, alikuwa akinywa chupa moja ya Safari baada ya kazi shambani kwake na akija New York tukipiga pamoja chupa ya Chardonnay. He only drank a glass and I finished the rest.
Hapo ndio nakujuza kuwa Mwalimu hakuwa na dhiki kama anavyomzushia huyo mzandiki Mohamed Said,
Chohote alichopewa tambua kuwa hakupewa kwakuwa hana bali watu walizikubali harakati zake za ukombozi
Ritz,
Soma vizuri. Kuna uzi humu unaelezea kuwa Mwalimu aliporudi Musoma alikubali kumfundisha lugha ya Kizanaki padre mmoja kwa malipo ya shilingi 600 kwa mwezi. Na ukiuliza padri alipata wapi pesa hizo ni kwamba hujui kuwa Kanisa Katoliki ni one of the richest institutions in the world. Hebu Google upate darasa.
Kwanini hukuwataja wote katika kitabu chako
Hili limewastua wote wanaomuunga mkono Shehe Muhamed kwani walishalishwa uongoRitz,
Soma vizuri. Kuna uzi humu unaelezea kuwa Mwalimu aliporudi Musoma alikubali kumfundisha lugha ya Kizanaki padre mmoja kwa malipo ya shilingi 600 kwa mwezi. Na ukiuliza padri alipata wapi pesa hizo ni kwamba hujui kuwa Kanisa Katoliki ni one of the richest institutions in the world. Hebu Google upate darasa.
Sikujibu kwa kuwa umenitukana.
Hapo ndio nakujuza kuwa Mwalimu hakuwa na dhiki kama anavyomzushia huyo mzandiki Mohamed Said,
Chohote alichopewa tambua kuwa hakupewa kwakuwa hana bali watu walizikubali harakati zake za ukombozi
Jasusi,
Najua kama Kanisa katoliki ni tajiri sana duniani. Hebu pitia bandiko la Yericko lipo tofauti na lako.
Hakuna anayepinga tunataka tu kufahamu hata tukiulizwa na watoto wetu tuwape majibu muruwa.
Labda nisaidie Nyerere alikuwa analipwa na Kanisa au analipwa na Padri. au alikuwa anafanya kazi.
kwa nn asiongee kiswahili moja kwa moja badala ya kurudia rudia wakati wote tunajua kiswahili
Nakubali, sipo timamu mimi!Kwa hiyo mpaka Dar akaja nae huyo padre na akawa anaendelea na kazi ya kumfundisha kizanaki?
Watu wanaongelea ya Dar wewe unaongelea ya Musoma. Upo timamu kweli wewe?