Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Hukuna anayefikiria ivyo hizo ni fikra zako ugomvi mkubwa ni hao waliomzunguka kutupwa nje ya historia ya kupigania uhuru hawajulikani kwa chochote alichofanya Mohamed Said kuwarudisha si jambo dogo.Tatizo wewe na wengine mnafikiria Nyerere alikuwa katika level sawa na hawa wengine. He was the star of the show; a leader among leaders; he was in fact Amir wa mapambano ya kupigania Uhuru. Ukiangalia hiyo picha utaona kuwa Nyerere hajakaa pembeni; amezungukwa na wazee wetu wengi wapigania uhuru... but what a metaphor.. he was at the centre.. kina Abdul, John Rupia, Dr. Kyaruzi, Shehe Chaurembo, Bibi Titi Mohammed na wengine wengi.. walimzunguka. Na hiyo ndiyo nafasi yao.