Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Nguruvi3
Inawezekana kabisa hii Al Jamiatul islammiyya never existed, but rather, it is a creation by the brain of the author. Au la kama ilikuwepo, it was not even significant Labda ilikuwa na wanachama hai wasiozidi 20 na wote walikuwa labda DSM na Tanga. Ndio maana Mzee Muddy halalamikii sana kufa kwake, ila analalamika kufa kwa EAMWS ya wahindi ambayo anaamini ingewaletea chuo kikuu. Ukimsoma, utaona kuwa anakumbushiakumbushia, kuwa so and so were members of Al Jamiatul islamiyya, ili tu kujenga msisitizo kuwa wapigania uhuru walisukumwa na uislam wao. He is a very clever old man, in a dangerous way, anyway.
Mohamed Said
Mzee, unaweza ukatusaidia kutuwekea malengo/katiba ya Al Jamiatul islamiyya?
Nanren,
Unailezea Al Jamiatul Islamiya kwa hisia zako pamoja na fikra zako halafu hapo hapo unaomba Mohamed Said, akujibu.
Last edited by a moderator: