ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,938
- 6,942
sikubaliani na mohamad said katika mambo mengi.
Kusingizia Nyerere hakuiambua na kuitamini familia ya SYKES ni uongo uliopindukia. Nakumbuka mwaka 2008 nikiwa udsm, kwenye maadhimisho ya miaka ya uhuru, sijui ilikuwa 49, Mzee Syke alijumuika na wanazuoni, katika malezo yake, alisifia wazee na viongozi chini ya uongozi wa Nyerere, akaelezea walivyokuwa na uchungu na nchi hii.
Nakumbuka mzee yule kwa uchungu alitoa machozi akasema watawala wa kipindi hiki ni wezi na hakuna aliye na azma ya kutuvusha kama wao walivyomaanisha. Na kwa hasira alitueleza kuwa yeye kama balozi mstaafu wa tanzania Italy, alipewa kadi/mwaliko kuhudhuria maadhimisho yale uwanja wa taifa, lakini kwa kuona unafiki wa viongozi wa CCM, alikataa mwaliko na kuja kujumuika na wanafunzi ili atoe chanhamoto hiyo.
Na kama Nyerere aliipuuza familia ya Syke, ni wazi mzee yule asingefanya kazi ubalozini kama balozi. Amestaafu na wanae wapo wengi wanafanya kazi balozi mbalimbali za nchi yetuu ughaibuni.
Kusingizia Nyerere hakuiambua na kuitamini familia ya SYKES ni uongo uliopindukia. Nakumbuka mwaka 2008 nikiwa udsm, kwenye maadhimisho ya miaka ya uhuru, sijui ilikuwa 49, Mzee Syke alijumuika na wanazuoni, katika malezo yake, alisifia wazee na viongozi chini ya uongozi wa Nyerere, akaelezea walivyokuwa na uchungu na nchi hii.
Nakumbuka mzee yule kwa uchungu alitoa machozi akasema watawala wa kipindi hiki ni wezi na hakuna aliye na azma ya kutuvusha kama wao walivyomaanisha. Na kwa hasira alitueleza kuwa yeye kama balozi mstaafu wa tanzania Italy, alipewa kadi/mwaliko kuhudhuria maadhimisho yale uwanja wa taifa, lakini kwa kuona unafiki wa viongozi wa CCM, alikataa mwaliko na kuja kujumuika na wanafunzi ili atoe chanhamoto hiyo.
Na kama Nyerere aliipuuza familia ya Syke, ni wazi mzee yule asingefanya kazi ubalozini kama balozi. Amestaafu na wanae wapo wengi wanafanya kazi balozi mbalimbali za nchi yetuu ughaibuni.