Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Ni kweli wanayo mafuta na gesi. Kuna vijana Watz nafawahamu, wanafanya kazi kwenye kampuni za mafuta na gesi huko Oman.
Hakuna uongo hapo.

Wewe umesema Oman wana utajiri wa mafuta nakuuliza tena Oman wana utajiri wa mafuta?
 
Valentine ina ukatoliki ndani yake sana tu. Msiiguse kabisaa. Katika wazee wote wa Mohamed, wangu na chaguo langu ni Mshume Kiyate tu.

Pata darsa dogo:

The Satanic Origins of St. Valentine's Day

Where: Landover Baptist University ~ Department of Elementary Home School Education

From: Advanced Home School Teaching 452 (Satanic Holidays and Secular Festivals)

Who: Artist, Home School Enthusiast and Visiting University Professor, Rev. William (Billy) Stanley

Use: This item is fully approved by the Christian Home Schooling Association of Iowa and should be provided as a mandatory educational tool for all Baptist Children, ages 6-11.
[TABLE="width: 500, align: center"]
[TR]
[TD]
chalkboard_01.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
chalkboard_02.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
chalkboard_03.gif
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
chalkboard_04.gif
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

*All historical documentation and references (300 AD - Present) regarding the True History of Valentine's Day are available to Platinum Tithing Members of the Landover Baptist Church Community at no cost.
Source : The Satanic (Catholic) Origins of Saint Valentine's Day

Tupe kidogo habari za Mshume Kiyate.
 
what do you get by challenging the obvious
"Oman is a middle-income economy that is heavily dependent on dwindling oil resources. Because of declining reserves and a rapidly growing labor force, Muscat has actively pursued a development plan that focuses on diversification"

Bora umenisaidia kumjibu huyu jamaa. Nilishafikia uamuzi wa kutojibu swali lake He/She wants to discuss the obvious.
 
what do you get by challenging the obvious
"Oman is a middle-income economy that is heavily dependent on dwindling oil resources. Because of declining reserves and a rapidly growing labor force, Muscat has actively pursued a development plan that focuses on diversification"

Ushawahi kumsikia Bibi Tatu Bint Mzee kabla ya kumsoma Mohamed Said?
 
"Nyerere was a devoted christian" ama hujui hilo?

Punguza ghadhab hakuna asiyelijuwa hili si ndiyo maana anataka kupewa utakatifu?

Sasa mwambie Yericko Nyerere ajibu hili au wewe msaidie:
quote_icon.png
By Andrew Nyerere
Yericko alisema Mwalimu Nyerere ni baba yake mzazi,mimi nimesema tu,that is news to me,sina taarifa. Mama yake mzazi ni nani?
 
Last edited by a moderator:
Mke mmoja, na mama'ke si ana wake zake, hujui mila za Kizanaki?

Au ilikuwa mama wa "offside"?

sio wazanaki tu bali makabila yote ya mkoa wa mara hata wanawake nao wanaoa.

nilijifunza haya maajab nilipokuwa huko wakti nipo mwanza.

Tusubiri jibu la Yericko
 
Mbona tunafuata mfumo wa Juma la Kiislamu? Jumamosi yetu inafuatia Ijumaa; wakati kwa nchi za Magharibi zenye mfumo wa Kikristu siku yao ya kwanza ya Ijumaa ni Jumapili...

Suala la msingi hapo ili kuondoa utata kwa Serikali isiyo na dini mlitakiwa siku yenu ya mapumziko kiserikali iwe ijumaa nne au ijumAA TANO na sio ijumaa pili ambayo ni siku ya mapumziko ya wakatoliki, na madhehebu mengine ya kiislam na ijuma mosi siku ya mapumziko ya SDA (sabato),
lakin hayo yote waislam huko Tanzania wanavumilia sasa nyie suala dogo tu la kuchinja basi imekuwa kelele mji mzima.

Kweli alichopanda JKN miaka 50 iliyopita sasa ndio kinataka kutoa matunda. mnataka muwakabe waislam hata mpaka kwenye penati.

tuyombe heir
 
Serikali zenu zina DINI. Tena sio DINI, DHEHEBU. Tanzania haina DINI. Tunapumzika Jumapili kwa mazoea tu. Mzee Ali Hassan Mwinyi, Muislam safi kabisa, aliwahi kuwa anatufidia sikukuu zikiangukia Jumamosi au Jumapili! Kupumzika Jumapili ni utamaduni tu. Kama ilivyo siku ya kupiga kura nchi hii ni Jumapili.

Kama tulivyokubaliana: 2*2=4 na 2+2=4.


Kwa kukusaidia tu siku ya kupiga kura ni siku inayokuwa ni mapumziko kwa Serikali ambayo kwa serikali yenu ni ijumaa pili. kama mtakubali siku ya mapumziko kiserikali kuwa ijumaa nne au ijumaa tano nasi na siku ya kupiga kura itapangwa hivyo hivyo.

Vile vile umesema kupumzika ijumaa pili ni mazoea . Vipi kuchinja katika kwa kitoweo cha jamii waliozoeleka kufanya hivyo ni waislam au sio? sasa vipi mnataka kuwanyang'anya uhuru huo?

nafikiri wakristo hapa wanataka chokochoko.

tuombe heri.
 
Kwani baba yako alikuwa na wake wangapi? wacha kujidharirisha na wewe, eboo!

Baba yako alikuwa na mke mmoja,na mtu akisema yeye ni mtoto wa Mwalimu,kwamba Mwalimu Nyerer ni baba yake mzazi,ina maana anatuambia jambo ambalo hatulifahamu.
Baada ya Mwalimu kufariki,alifika mtu hapa kutoka Tanga,akasema yeye ni mtoto wa Mwalimu. Anasema Mwalimu alifika Tanga wakati fulani,wakati wa harakati za uhuru. Sasa,mimi siwezi kumwambia,'We mwongo,odoka hapa,usiniudhi' Kama yeye amesema ni mtoto wa Mwalimu mimi natakiwa kumsikiliza tu.
 
GOD help us-yaani huyu ndio Mohamed Said anamuweka on a level playing field na wazee wake???? This borders blaspemy
nyerere_in_meeting.jpg
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom