Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
- #6,021
Nafurahi kuona mwamko wa watanzania kulinda hadhi za wanaukombozi wetu na kuulinda umoja wetu,
Safari ya kuzima maasi ya kiroho ni ndefu na inahitaji busara sana, mwitikio wa watu katika uzi huu ni dhahiri shahiri watanzania waaunga mkono juhudi za mashauriano ya kuzima uasi unaoongozwa kiroho na akina Mohamed Said na kundi lake,
Watanzania wenzangu, tujikite katika mashauruano, tusijadili watu, kwakuwa kufanya hivyo ni kupoteza shabaha ya mashauriano haya.
Tunataka watanzania wenzetu wote wasioijua historia ya uhuru na harakati zake basi watumiejukwaa hili kuijua, hata wale waliopotoshwa na maasiya kiroho ya Mohamed nao warejee kundini mwa umoja wa kitaifa.
Mzee Mohamed Said akiwa kama baba yangu mzazi sitamnyamazia pale anapolifarakanisha taifa kwa ngano zake hasa akitumia mwito wa kiroho.
Safari ya kuzima maasi ya kiroho ni ndefu na inahitaji busara sana, mwitikio wa watu katika uzi huu ni dhahiri shahiri watanzania waaunga mkono juhudi za mashauriano ya kuzima uasi unaoongozwa kiroho na akina Mohamed Said na kundi lake,
Watanzania wenzangu, tujikite katika mashauruano, tusijadili watu, kwakuwa kufanya hivyo ni kupoteza shabaha ya mashauriano haya.
Tunataka watanzania wenzetu wote wasioijua historia ya uhuru na harakati zake basi watumiejukwaa hili kuijua, hata wale waliopotoshwa na maasiya kiroho ya Mohamed nao warejee kundini mwa umoja wa kitaifa.
Mzee Mohamed Said akiwa kama baba yangu mzazi sitamnyamazia pale anapolifarakanisha taifa kwa ngano zake hasa akitumia mwito wa kiroho.