Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Maalim,kakutana na vichwa humu,anapewa yeye darsa,anajuta kuijua JF maana huko kwote alikopitia alikuwa haulizwi hard hitting questions,humu kakutana na no nonsense approach ya akina Mwanakijiji basi MS anaona aibu kupandisha bendera nyeupe
Son...
Mdomo haumkatai bwana wake.
Unaweza ukasema hapa maneno elfu kumi dhidi yangu.
Hakuna cha kukuzuia.