Ni kweli wanayo mafuta na gesi. Kuna vijana Watz nafawahamu, wanafanya kazi kwenye kampuni za mafuta na gesi huko Oman.
Hakuna uongo hapo.
Valentine ina ukatoliki ndani yake sana tu. Msiiguse kabisaa. Katika wazee wote wa Mohamed, wangu na chaguo langu ni Mshume Kiyate tu.
Source : The Satanic (Catholic) Origins of Saint Valentine's DayThe Satanic Origins of St. Valentine's Day
Where: Landover Baptist University ~ Department of Elementary Home School Education
From: Advanced Home School Teaching 452 (Satanic Holidays and Secular Festivals)
Who: Artist, Home School Enthusiast and Visiting University Professor, Rev. William (Billy) Stanley
Use: This item is fully approved by the Christian Home Schooling Association of Iowa and should be provided as a mandatory educational tool for all Baptist Children, ages 6-11.
[TABLE="width: 500, align: center"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
*All historical documentation and references (300 AD - Present) regarding the True History of Valentine's Day are available to Platinum Tithing Members of the Landover Baptist Church Community at no cost.
Wewe umesema Oman wana utajiri wa mafuta nakuuliza tena Oman wana utajiri wa mafuta?
Kwani baba yako alikuwa na wake wangapi? wacha kujidharirisha na wewe, eboo!
what do you get by challenging the obvious
"Oman is a middle-income economy that is heavily dependent on dwindling oil resources. Because of declining reserves and a rapidly growing labor force, Muscat has actively pursued a development plan that focuses on diversification"
what do you get by challenging the obvious
"Oman is a middle-income economy that is heavily dependent on dwindling oil resources. Because of declining reserves and a rapidly growing labor force, Muscat has actively pursued a development plan that focuses on diversification"
"Nyerere was a devoted christian" ama hujui hilo?Mke mmoja, na mama'ke si ana wake zake, hujui mila za Kizanaki?
Au ilikuwa mama wa "offside"?
Pata darsa dogo:
Kwani baba yako alikuwa na wake wangapi? wacha kujidharirisha na wewe, eboo!
"Nyerere was a devoted christian" ama hujui hilo?
Mke mmoja, na mama'ke si ana wake zake, hujui mila za Kizanaki?
Au ilikuwa mama wa "offside"?
Mbona tunafuata mfumo wa Juma la Kiislamu? Jumamosi yetu inafuatia Ijumaa; wakati kwa nchi za Magharibi zenye mfumo wa Kikristu siku yao ya kwanza ya Ijumaa ni Jumapili...
sio wazanaki tu bali makabila yote ya mkoa wa mara hata wanawake nao wanaoa.
nilijifunza haya maajab nilipokuwa huko wakti nipo mwanza.
Tusubiri jibu la Yericko
Mke mmoja, na mama'ke si ana wake zake, hujui mila za Kizanaki?
Au ilikuwa mama wa "offside"?
NIMESHAMSIKIA,si kazaliwa pale nyumba ya tatu,ilipozaliwa Tanu,pala kweye kile kibandaUshawahi kumsikia Bibi Tatu Bint Mzee kabla ya kumsoma Mohamed Said?
naona umekaa kiushabikishabiki humu,kwanini usiende jipumzisha kule chit-chat???naona ni wakti muafaka kwa yericko kujisafisha kwa nasaba aliyojipachika.
aliulizwa swali dogo tu na Andrew aseme mama yake nani?
Serikali zenu zina DINI. Tena sio DINI, DHEHEBU. Tanzania haina DINI. Tunapumzika Jumapili kwa mazoea tu. Mzee Ali Hassan Mwinyi, Muislam safi kabisa, aliwahi kuwa anatufidia sikukuu zikiangukia Jumamosi au Jumapili! Kupumzika Jumapili ni utamaduni tu. Kama ilivyo siku ya kupiga kura nchi hii ni Jumapili.
Kama tulivyokubaliana: 2*2=4 na 2+2=4.
Kwani baba yako alikuwa na wake wangapi? wacha kujidharirisha na wewe, eboo!