Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Maalim,kakutana na vichwa humu,anapewa yeye darsa,anajuta kuijua JF maana huko kwote alikopitia alikuwa haulizwi hard hitting questions,humu kakutana na no nonsense approach ya akina Mwanakijiji basi MS anaona aibu kupandisha bendera nyeupe
huyo ni "fringe player" Mohamed Said kwa agenda yake anawapandisha chart
Mag3, Mimi hufanya lile nilitakalo.
Hayo hapo juu ni maandishi yako yaliyofanyiwa utafiti...Julius Kambarage Nyerere, from a complete nonentity to President of TANU in 15 months! Kweli Mohamed Said hufanya lile alitakalo.Mohamed Said said:Mkutano Mkuu wa Mwaka wa TAA ulikuwa na agenda ndefu. Katika siku ya kwanza mkutano ulichukua masaa matano na nusu. Siku hiyo ilitumiwa kuondoa matatizo yaliyokuwa yakikiathiri chama.
Ilikuwa katika siku ya pili ndipo wajumbe walikaa chini kuanza kazi hasa ya kujadili ya kuigeuza TAA kutoka vile ilivyokuwa na kukifanya chama cha siasa - TANU bila ya kuficha madhumuni yake na kutangaza dhamiri ya chama ya kuwatayarisha Waafrika wa Tanganyika kujitawala.
Julius Kambarage Nyerere, mwanasiasa mgeni katika TAA pale makao makuu akiwa amejiunga na uongozi wa chama miezi kumi na tano tu iliyopita, alichaguliwa rais wa kwanza wa TANU na John Rupia makamo wa rais.
Mag3,
Mimi hufanya lile nilitakalo.
Mkuu hujui kuwa kwahisani ya shehe Mohame hiyo ni "inasemekana" tu?
Sasa hapo unataka maelezo? Mimi ni muandishi in the sense that I have a degree in journalism and I have worked in the media profession. Mimi si mwandishi in the sense that I have not published anything worthwhile. Context. Mukhtadha.
Unalo jengine?
Zomba,
If you believe this junk then you will believe anything.
Maalim,kakutana na vichwa humu,anapewa yeye darsa,anajuta kuijua JF maana huko kwote alikopitia alikuwa haulizwi hard hitting questions,humu kakutana na no nonsense approach ya akina Mwanakijiji basi MS anaona aibu kupandisha bendera nyeupe
Kama ulivyofanya hapa chini katika kuandika historia ya TANU;
Hayo hapo juu ni maandishi yako yaliyofanyiwa utafiti...Julius Kambarage Nyerere, from a complete nonentity to President of TANU in 15 months! Kweli Mohamed Said hufanya lile alitakalo.
Usihukumu usichokijua. Sijawahi kusoma DSJ. Jaribu Howard University Marekani na University of Maryland College Park tuone.
EJ,
Umesoma kitabu?
Usiniletee mambo yasiyo na maana kwa hisani yako.
Kawatishe wengine siyo mimi.
Acha uwongo mwingine wewe. Mwanza siyo Mara. Ni Wakurya peke yao walio na hii mila ya mwanamke kuoa mwanamke mwingine. Na wala hujui historia yake. Si kwamba huyo mwanamke anaolewa na huyo mama ila mama anamlipia mahari ili watoto atakaozaa wawe wa kwake. Na lengo lake lilikuwa ni kudumisha ukoo kwa mfano kama mama hakuzaa watoto. Usidanganye hapa na kujifanya mjuzi kama ulivyofanya kwenye ule mjadala wa makabila ya Kenya na Uganda.
Havard ya kuchakachuliwa.
Hehehe mkuu kazi kwelikweli kujadiliana na hawa wwatu, inabidi hekima na maarifa viwe mbele, bila kusahau uvumilivu, sometimes wanauzi kwelikweli lakini inabidi ujishushe kulinda sheria za jf.
Nimejifunza mengi na ninaendelea kujifunza mengi juu ya viumbe wa aina ya Ritz, zomba, barubaru, kichwakigumu na kiranja wao Mo'Said.
Hawa ni kiungo mhuhimu kwenye minakasha kama hii.
Hapana wewe! Usidharau shule za watu. Howard ina hadhi na historia yake ya kipekee. Na imetoa wasomi wengi tu akiwemo chief justice, akina Andrew Young, madaktari na malawyer chungu nzima.
Na wewe pia.