Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Samahani kwa kukuita wewe Mkirsto nikisoma post zako nilifikiri wewe ni Mkirsto.

Hata mimi nakuona hurumu unavyotumia nguvu nyingi kupambana na Uislam na Waislam na kukesha JF kejeli na kudhihaki Uislam.

Bahati mbaya au nzuri toka karne ya 7 watu walikuwa wanaokejeli Uislam na kuhudhihaki leo hawapo tena na Uislam unasonge mbele na wewe muda wako utafika utangulia mbele ya haki Uislam utazidi kusonga mbele.

Natarajia matusi mapya na kejeli kutoka kwako.
Ritz, wapi nimekejeli uislam hapa JF! unesha mchango wangu wa kukejeli uislam.
 
JK,

Waikela alimsimanga Nyerere.

Kwa ufupi alimwambia usingekalia kiti kama
si sisi Waislam kukuweka hapo.
Mohamed Said,

..kama Mzee Waikela alisema hivyo basi siyo kitu cha ajabu kwamba dola ilimshughulikia.

..tena si ulisema hiyo risala iliandikwa na Sheikh Hassan Bin Ameir?? sasa ajabu ni nini kwamba na yeye alirudishwa kwao Zanzibar?

..misukosuko hiyo iliwakumba pia viongozi wa vyama vya WAFANYAKAZI, kama kina Kassanga Tumbo.

..kwa mtizamo wangu nadhani mambo haya yalihusu SIASA na siyo DINI.

cc😡Jasusi, Mag3, Ritz, zomba
 
Last edited by a moderator:
Mawazo ya Mohamed Said,siyo ya kuigwa kwa Mtanzania mwenye akili timamu.Sijajua umri wako lakini aliyekupeleka shule bila shaka ni Nyerere.Usisahau Fadhila.Yericko nakupongeza sana kwa kumwelimisha Mohamed anakoelekea ni pabaya.Watanzania tushikamane na suala la Udini ni la kukemewa katika vizazi vyote.

Elimu ni haki ya kila raia na Nyerere kwa kuwa alikuwa Mtawala huo ni wajibu wake na Serikali yake kuwapa Elimu raia na kamwe si fadhila! kwani alimsomesha Mohamed Said kwa pesa zake za mfukoni? nadhani unahitaji elimu ya uraia kutambua haki yako!
 
Nafikiri Yericko hujamsoma vizuri Moh'd Said, Kifupi kama utakuwa umekisoma kisa na mbinu zilizotumiwa na Nyerere katika kuuwa EAMSW tawi la Tanganyika na kuanzishwa kwa BAKWATA walitumiwa mmoja ni huyo mzee Kitundu na Adam nasib,

Mimi nafikiri alikufa kwa kihoro sana kuona siri imefichuka na kila kitu alichotenda kipo hadhwarani tena mchana kweupeeee na mola atamlipa kwa kila alilotenda.
Hehe maajabu mengine hayo, je alijuaje kuwa kuns siri zimevuja ikiwa katika makutano ya awali na Mohamed hakumwambia kuwa siri zake anazo zaidi ya kusema anapepa tu?
 
Hehe maajabu mengine hayo, je alijuaje kuwa kuns siri zimevuja ikiwa katika makutano ya awali na Mohamed hakumwambia kuwa siri zake anazo zaidi ya kusema anapepa tu?

Hivi kuna maajabu kama yako kulazimisha wewe mtoto Julius Kambarage Nyerere.

Lini ulisema utaenda Butiama nyumbani kuchukuwa ushahidi.

Ukienda msalimie sana Mama Maria mwambie sisi tupo.
 
Mohamed Said,

..kama Mzee Waikela alisema hivyo basi siyo kitu cha ajabu kwamba dola ilimshughulikia.

..tena si ulisema hiyo risala iliandikwa na Sheikh Hassan Bin Ameir?? sasa ajabu ni nini kwamba na yeye alirudishwa kwao Zanzibar?

..misukosuko hiyo iliwakumba pia viongozi wa vyama vya WAFANYAKAZI, kama kina Kassanga Tumbo.

..kwa mtizamo wangu nadhani mambo haya yalihusu SIASA na siyo DINI.

cc😡Jasusi, Mag3, Ritz, zomba

JK,

Kwetu sisi Waislam dini haijapata kuwa chini hata siku moja.
Hata katika kipindi kile kigumu cha Nyerere na masheikh kuwa
jela.

Chanzo si kama Waislam walikuwa wanataka fujo.
Tatizo lilikuwa Nyerere na Kanisa Katoliki.

Taarifa zilikuwapo kuwa Nyerere anashirikiana na Kanisa kuwavunja
nguvu Waislam na Uislam katika siasa.

Inaaminika khasa ile khutba ilikuwa kalamu ya Sheikh Hassan bin Amir.

Waikela na masheikh wengi niliozungumzanao waliofungwa wanasema
wao wanashukuru kuwa walifungwa kwa ajili ya Uislam.
 
Ritz, wapi nimekejeli uislam hapa JF! unesha mchango wangu wa kukejeli uislam.
Hapo umejibu kwa adabu baada ya kuambiwa kuna wenzakokama wewe waliukejeli uislam sasa nimifupa imebaki ardhini na wenzako ni kina farao(firauni)alikuwa na majibu kama haya lakini leo yuko wapi bwana mdogo
 
JK,

Kwetu sisi Waislam dini haijapata kuwa chini hata siku moja.
Hata katika kipindi kile kigumu cha Nyerere na masheikh kuwa
jela.

Chanzo si kama Waislam walikuwa wanataka fujo.
Tatizo lilikuwa Nyerere na Kanisa Katoliki.

Taarifa zilikuwapo kuwa Nyerere anashirikiana na Kanisa kuwavunja
nguvu Waislam na Uislam katika siasa.

Inaaminika khasa ile khutba ilikuwa kalamu ya Sheikh Hassan bin Amir.

Waikela na masheikh wengi niliozungumzanao waliofungwa wanasema
wao wanashukuru kuwa walifungwa kwa ajili ya Uislam.
Mohamed Said,

..hakuna mahali nimesema Dini ya Kiislamu imepata kuwa chini.

..mimi hoja yangu imejikita ktk risala ya Waislamu ambayo umeripoti ilikuwa titled "moto wa Waislamu..."

..sasa kama Muislamu anatoa risala yenye maudhui hayo, na juu yake anamnyooshea kidole "uso kwa uso" Amiri Jeshi Mkuu, unategemea nini kitafuatia??

..Mzee Waikela na wenzake walifanya makosa kumtishia Mwalimu, Raisi wa nchi, bila kuwa wamefanya maandalizi ya kukabiliana naye.

..Labda, nikuulize: Je, angetokea mwanachama wa jumuiya za wafanyakazi akasoma risala kama aliyoisoma Mzee Waikela, what do u think would have happened to him? Nini unafikiri kingemfika mwandishi wa risala hiyo, pamoja na hicho chama cha wafanyakazi??
 
Last edited by a moderator:
Source: Mfumo Kristo: Aliyeanzisha Udini Tanzania ni Nyerere



Sheikh Hassan bin Amir katika waraka wake kwa Waislamu mwaka 1963 aliutaja udini uliokuwa unajengwa Tanzania kwa kutoa mifano ifuatayo:


Kuingizwa nchini Tanganyika mara tu baada ya uhuru vimedali vidogo vidogo vyenye picha ya bendera ya Tanganyika usoni na katikati ya bendera hiyo amesimama Mama Maria na mtoto mchanga na nyuma yake maandiko 'MARIA MTAKATIFU ULINDE UHURU WA TANGANYIKA'.




Gazeti la KIONGOZI la tarehe 1/8/1963 lilimuonyesha Bwana George Kahama akipewa cheo cha dini na Pope kwa kuwakilisha serikali ya Tanganyika katika mkutano wa Makanisa ya Roma.




Mwaka huo huo wa 1963, mnamo tarehe 24 mwezi wa nane, Baraza Kuu la Makanisa ya Kilutheri Tanganyika lilitoa matangazo kuwa Uhuru wa Tanganyika ulikuwa 'Chini ya Msalaba'.




Tarehe 17/5/1963 Makanisa yalifanyia mkutano wao ndani ya Bunge.




Alipokufa Pope Yohana wa 23 bendera ya taifa ilipepea nusu mlingoti nchi nzima!




Kabla ya kifo chake Pope Yohana wa 23 alimletea Mheshimiwa Nyerere barua ya pongezi kwa kuupanua Ukristo- barua ambayo ilitiwa saini na Pope mwenyewe. Barua hiyo imetangazwa




kwenye gazeti la Tanganyika Standard.




Gazeti la Reporter la Kenya la tarehe 20/6/1963 lilitangaza katika ukurasa wake wa mbele:




"KUIBADILI AFRIKA YA MASHARIKI KUWA KATIKA DINI YA ROMANI CATHOLIC".




Ndani ya gazeti hilo ukurasa wa 18 liliwataja waliopewa dhamana ya kufanikisha jambo hilo kuwa ni: Uganda - Kiwanuka, Kenya - Mboya na Tanganyika Mheshimiwa Nyerere.




In 1970 Nyerere invited to the State House the then Secretary General of the Tanzania Episcopal Conference, Fr. Robert Rweyemamu and the Pope’s Representative to Tanzania Mgr. Giovano Cerrano. Among other things Nyerere told his guests that he was doing every thing in his power to strengthen Catholicism in the country. He also requested them to go and inform the Bishops that he had established a Department of Political Education in TANU (the ruling and only political party at that time), and that he had appointed a Christian Reverend to head that department, not because of his competence as a political analyst, but because of his strong faith as a Christian. His responsibility was to guide and control the political direction of the party. He also informed them that in the Party’s National Executive Committee (NEC) two members were Reverends. He said he believed that was the best way of ensuring that the party got good people(van Bergen, 1981:333-336).




It is quite obvious that by “good people” Mwalimu Nyerere meant Christians in general and Roman Catholics in particular. It is not surprising therefore that Sivalon (1992:49) reports that in the same year 1970 Roman Catholics could boast that they constituted 70% of the 75% elected Christian members of Parliament. Out of the 108 elected Members of Parliament, 23 were Muslim, 5 Traditionalist and 80 Christian. Throughout his rule Nyerere was both President and Chairman of the ruling Party. His promise to strengthen Catholicism was not an empty one. Catholics could now use Parliament to promote their religious interests if they so wished.


Posted by Admin at 6:03 AM
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
 
Mohamed Said, ana ya tawala za kingeria tangu nchi hiyo ipate uhuru unazitazama kama za mfumo kristu ama za kiislamu?
 
Mohamed Said, aina ya utawala wa Nigeria tangu nchi hiyo ipate uhuru unaitazama kama ya mfumo kristu ama ya kiislamu?
 
Mbona unaangaika na Multiple's ID's. Mohamed Said habari ingine.

Ritz,

Nilikuwa natalii ''notes'' zangu nimekutana na hii kutoka
''Under the Shadow of British Colonialism'':

1957

''I did not return to Korogwe after getting well.
I was transferred to Moshi Labour Office.

I immediately began to organise for TANU.
I renewed my contact with my friend Chief Thomas Marealle.

I had known Marealle since late 1940s when I joined the Labour Department.
I was voted in as TAGSA secretary Marealle as president in 1951.

I stayed with Marealle at his house in Kiboroloni and then after I had settled he made his town house available to me.

I organised a meeting at Machame Girls School in which Nyerere came to give a speech accompanied by an American woman Meida Springer and Ali Mwinyi Tambwe.

Meida Springer was from the labour movement in the USA.

I was able to convince Hamza Aziz and Iddi Mwajasho to attend the Machame meeting in which Nyerere spoke.

Hamza Aziz and Mwajasho were young police officers stationed at the Police Training College.

After this meeting the two were reprimanded by the government for getting involved in politics contrary to service regulations.

In organising the Machame meeting I had earned for myself the wrath of the colonial administration.
''
 
Samahani kwa kukuita wewe Mkirsto nikisoma post zako nilifikiri wewe ni Mkirsto.

Hata mimi nakuonea huruma sana unavyotumia nguvu nyingi kupambana na Uislam na Waislam na kukesha JF kejeli na kudhihaki Uislam.

Bahati mbaya au nzuri toka karne ya 7 watu walikuwa wanaokejeli Uislam na kuhudhihaki leo hawapo tena na Uislam unasonga mbele kwa kasi ya ajabu na wewe muda wako utafika utatangulia mbele ya haki Uislam utazidi kusonga mbele.

Natarajia matusi mapya na kejeli kutoka kwako.
na bahati mbaya au nzuri waliokuwa wanautetea kwa nguvu zote kuliko wewe toka karne ya 1 hawapo tena leo.
 
MM,

Sina ugomvi na hayo uloweka hapo juu.
Yapo mengi na serikali iko kimya.


Yapi sasa ya huko necta? Umedai NECTA haipasishi watoto wa Kiislamu..nimekuwekea ushahidi kuwa wapo watoto wa Kikristu wengi wanafeli na wapo wa Kiislamu wanafaulu..labda useme hawa watoto siyo Waislamu...
 
na bahati mbaya au nzuri waliokuwa wanautetea kwa nguvu zote kuliko wewe toka karne ya 1 hawapo tena leo.

Nakushauri mdogo wangu bora ungekaa kwenye thread zenu za Chadema na CCM.

Huku anga za AA. TAA. EAMWS. KAR. TAGSA. TANU. TRAU. PC.

Unapokuja anga hizo uje kusoma.
 
Mohamed Said,

..hakuna mahali nimesema Dini ya Kiislamu imepata kuwa chini.

..mimi hoja yangu imejikita ktk risala ya Waislamu ambayo umeripoti ilikuwa titled "moto wa Waislamu..."

..sasa kama Muislamu anatoa risala yenye maudhui hayo, na juu yake anamnyooshea kidole "uso kwa uso" Amiri Jeshi Mkuu, unategemea nini kitafuatia??

..Mzee Waikela na wenzake walifanya makosa kumtishia Mwalimu, Raisi wa nchi, bila kuwa wamefanya maandalizi ya kukabiliana naye.

..Labda, nikuulize: Je, angetokea mwanachama wa jumuiya za wafanyakazi akasoma risala kama aliyoisoma Mzee Waikela, what do u think would have happened to him? Nini unafikiri kingemfika mwandishi wa risala hiyo, pamoja na hicho chama cha wafanyakazi??

Raha sana kuwa sasa unaweza kuulizia kuhusu wazee wa Kiislaam na michango yao katika hii nchi. Hawavumi lakini wamo.
 
Back
Top Bottom