Mara ya mwisho kuangalia matokeo ya Mitihani ilikuwa lini? Sijui unaposema watoto wenu hawafaurishwi una ushahidi gani
Mwaka 2011 matokeo ya kidato cha nne kwa baaadhi ya shule zenye watoto wengi wa Kiislamu na wa Kikristu
St. Mary Mbeya
DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 317 FLD = 277(watoto wa Kikristu na Kiislamu wamefeli vibaya)
P3621 POPE JOHN PAUL II CENTRE
DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 13 FLD = 30
S0298 FEZA GIRLS' SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 23 DIV-II = 7 DIV-III = 5 DIV-IV = 1 FLD = 0(chungulia uone majina ya mabinti wa Kiislamu wakifaulu na kupitishwa na NECTA kama ugomvi...)
TAQWA SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 8 DIV-II = 24 DIV-III = 58 DIV-IV = 167 FLD = 4
Naomba nikutajie wale wenye division 1 kutoka hii shule; ni muhimu kwangu kwani mdogo wangu (mkristu) alisoma hapa na hakufaulu (sijui ni kwa sababu ya dini yake???)
Evelyn Turab
Neema Danny
Revina Respiqus
Cathbert Shija
Deusdedit Daud
Festo Mathias
Leonard Sheka Justin
Mustapher Amani
Sasa hapo unaweza ukabaki na maswali mengine mengi tu...
Sasa hawa watoto wa Kiislamu wenye kufaulu katika shule mbalimbali hata zile za Wakristu; wanapita vipi kwenye NECTA hiyo hiyo? Je ni wakati gani baraza la mitihani litapata baraka ya kuweza kufelisha watoto wa Kiislamu na Wakristu bila kuonekana inaangalia dini? Je wanaruusiwa kuangalia matokeo tu?
Unajua baada ya hoja za namba za mitihani kuonekana ya kipuuzi isiyo na mashiko, sasa Mohamed anatafuta kitu kingine NECTA.
Mohamed ni mzee Mgumu sana kuelewa! nimempata kila siri ya tatizo bado hataki kuelewa yeye anatafuta kile anachodhani kitaamsha hisia. Ndio maana husema kila mara yeye ni tatizo kabla ya tatizo.
Shule zinafungwa bila wanaunzi hilo halishughulishi akili yake hata kidogo. Shule ina wanafunzi 250 na walimu wawili, hilo kwake haliingii akilini. Watoto wanaozwa wakiwa na 13 yrs haligusi fikra za mzee wetu! Hakuna mwamko mjasani hadi Mikindani, Ngomekwonge hadi Mkuranga huu ni ukweli Mohamed usighilibu watu, ni ukweli.
Mohamed, anataka kuongea na serikali sijui kuhusu nini, ningemshauri amchukue Ilunga ili wakaiambie serikali namna wanavyoweza kutumia ushawishi wao kutoa nafsi za wanadamu kama hawatsikilizwa maana wameshaanza.
Mohamed amekiri kuwa kitabu chake na cha Njozi kimeeneza chuki aliyotaraji hata kama kufanya hivyo ni kufur mbele ya mwenyezi.
Jamani wanjamvi, Mohamed ni mwanafunzi wa Malik yule mpakistani anayefadhili masheikh kwenda kusoma Pakistan.
Malik alikuwepo Dar ndiye aliyetuachia hawa akina Mohamed. Mohamed na Ghessany na Uamsho lao moja.
Msiomjua Mohamed, yeye ndiye master mind ya vurugu zote hawa akina Ponda wanatumika tu.
Kitu kimoja juu ya mzee Said, hata siku moja hutamuona katika vurugu. Yeye anajua sana kuchochea hii kada ya chini ,wakati ukifika anatoweka. Ndio master mind wanavyofanya kazi. Nakuhakikishia hata siku moja hutamuona akiwa katika maandamano, never!
Waislam wenye akili zao wanapeleka watoto shule FEZ, st Mary n.k Wnapambana kuhakikisha kuwa elimu ni ukombozi.
Hawamsikilizi Ilunga na Mohamed, na hakika katika uzi huu asiye elewa kuhusu huyu mzee basi ajue ana tatizo.
Kinachoniuma ni jinsi Mohamed anavyopita huko vichochoroni na vijijini kuwalaghai kwa makusudi kabisa waislam wasio na upeo kwa kutumia neno Uislam. Kuwaongopea na kuwalisha kile asichoweza kukitetea au kukishuhudia.
Si mnaona alivyoshindwa kutetea hoja zake, alivyoumbuka kwa kuzusha!