Azma yake ingetimia lakini akina Mkapa walimkolimba ili wale nchi kwa raha mustarehe!Hata Nyerere ktk kusherehekea Birthday yake mwanzoni mwa mwaka 1999 alitamba kuwa ana uhakika wa kuishi mpaka miaka 100! ghafla tukamuona uwanja wa ndege akisindikizwa akiwa anafuraha kuelekea London kwa matibabu lakini alirudi akiwa maiti
Mzee Said hata mimi wazee wangu ndio walikuwa waasisi wa AA na TANU hiyo hiyo.. so dunia zetu haziko tofauti sana. Tofauti ni kuwa wazee wako wewe ni wa dini moja tu...
si ndio maana nimesema kwa stori hujambo? tatizo la stori zako ni hilo tu ni stori na inabidi tuzikubali hata kama akili zetu zinakataa ukweli wake au zinapotusukuma kuona hila au khiana iliyofichika ndani yake. Ujanja wako ambao ni wa tangu utoto ndio umekusaidia kuwavutia watu kukusikiliza bila kuwafanya wajue kuwa katika kila unachosema una lengo ndani yake - kuchochea mfarakano kati ya Wakristu na Waislamu wa Tanzania. Lengo lako liko wazi - Waislamu wawachukie Wakristu na wakipata nafasi wawatende kwani ndio wenye kuwadhulumu..
Maandishi yako yote yamejaa hii element of hatred.. kwako Dar-es-Salaam ilikuwa ni Waislamu, kwako wazee wako wenye kustahili heshima ni Waislamu, kwako wanaoudhulumiwa Tanzania ni Waislamu, kwako wenye hali ngumu ya elimu, afya na kwingine ni Waislamu. Macho yako kwa sababu ya chuki dhidi ya Ukristu na Wakristu hayakuruhusu kuangalia dhulma katika jamii nje ya Waislamu. Hujali nani anahujumiwa na mfumo wa utawala wa kifisadi - as a matter of fact - wewe utawala huu wa kifisadi ambao umetengenezwa na CCM (zao la tANU) haukusumbui sana.
Badala yake umetengeneza kama yule sanamu wa hadithi ya Sungura; wewe na wenzio mmezidi kumchapa vibao na kumtishia kuwa utamchapa na mguu.. hamjioni jinsi mnavyonasa tu..
Azma yake ingetimia lakini akina Mkapa walimkolimba ili wale nchi kwa raha mustarehe!
Wewe kijana unamatatizo ya kuelewa mambo, kwanini unalazimisha imani zako kwa watu wengine? Mimi siogopi kufa kwani nilazima nitakufa tu hatakama nitakuwa nimeslim kama ulivyo wewe. Huna hana haja ya kunitisha kwa umauti.Hapo umejibu kwa adabu baada ya kuambiwa kuna wenzakokama wewe waliukejeli uislam sasa nimifupa imebaki ardhini na wenzako ni kina farao(firauni)alikuwa na majibu kama haya lakini leo yuko wapi bwana mdogo
Kama u mkweli jitaje na wataje.
Jasusi,
Kanisa upande wa ''wananchi'' hapa panataka
maelezo wananchi gani waliokusudiwa.
Kanisa limepiga vita wananchi Waislam dhahir.
Hebu talii Mwembechai Killings kitabu cha Njozi.
Njozi kenda mbali kasema polisi inafanya kazi kama
''armed wing of the Catholic Church.''
Hapana haja ya kurudi kule.
Wao ndio walimpa leukemia iliyomfikisha kuwa na Ukosefu wa Kinga Mwilini?
Kwa kuongezea hapo hapo,akiona haitoshi akae kitako kuandika ukweli anaoufaham na kuitangazia dunia,na sio kukaa hapa kukejeli kazi za wanaume wa shoka waliojitolea kwa maslahi ya wengi..!
Anyway, tusiende huko. Umesikia kule Alabama weusi wengi walipata vifo vya kansa baada ya kiwanda cha Koch Brothers kumwaga sumu kwenye maji ya mito yao>
Like I said, tusiende huko. What I know is not fit for print.Hata Bhopal walikufa wengi na mpaka sasa wanadhurika kwa sumu ya viwandani, na yeye labda alitembelea huko siku hizo akawa ni victim au siyo?
Hawezi thumma hawezi. Huyo atabaki na ufataani tu, kuandika historia si sawa na kuandika vijarida vya udaku
Like I said, tusiende huko. What I know is not fit for print.
Ushawataja mpaka "Mkapa" eti wamemkolimba. Sasa unajidai unachojuwa not fit for print. Usilete utani kwenye mambo ya kitaifa, unajuwa sisi tuna uchungu sana wa kuondokewa na Nyerere.
Hata na wewe una uchungu? Basi yaishe.
Hata na wewe una uchungu? Basi yaishe.
Mwanakijiji kama unavyojielezea kwamba ni bingwa wakubishana!!Mzee Said hata mimi wazee wangu ndio walikuwa waasisi wa AA na TANU hiyo hiyo.. so dunia zetu haziko tofauti sana. Tofauti ni kuwa wazee wako wewe ni wa dini moja tu...
Ushawataja mpaka "Mkapa" eti wamemkolimba. Sasa unajidai unachojuwa not fit for print. Usilete utani kwenye mambo ya kitaifa, unajuwa sisi tuna uchungu sana wa kuondokewa na Nyerere.
Nakumbuka mwaka 2005 tulibishana sana kule DHB kuhusu Kikwete.
Uliweka kila cha kumtetea Kikwete kwamba unamjua na kupinga mambo mengi tuliyokuelezea kuhusu Kikwete.
Leo hii umeukubali ukweli kuhusu Kikwete na umehamia Chadema.
Unakumbuka uliyokua unamtetea ndio unayapinga sasa kupitia Chadema? .
Ritz, hivi kweli unaamini hakuna Waislaam wanaopinga hizi njama za huyu mchochezi? Unaamini kuwa katika wote wanaompinga Mohamed Said katika huu uzi hakuna Muislaam? Laiti ungejua! Huu uzi umewafungua macho wengi Waislaam kwa Wakristo wanaoiona hii nchi kama yetu sote bila kujali dini wala kabila...lakini bahati mbaya, kama ilivyo wakati wote, wako waathirika wa hizi porojo za hatari ambao hawaoni na hivyo hawahoji!Kituko kingine Mwanakijiji na Uislam au Waislam wapi na wapi jamani lini kwako Muislam hakawa na jema bahati nzuri mabandiko yako yapo mengi sana fikra zako kuhusu Waislam zipo wazi kabisa.