Samahani chama, ni vile tu imedaiwa na wanafunzi watiifu wa Mohamed Saidi kuwa yeyote asiyekubaliana na ngano anazozimwaga humu hafai kuitwa Muislaam!
Mbona kuna mengi ambayo sikubaliani na Mohamed Said hilo halinifanyi mimi nisiwe muislamu; imani yangu haitokani na mafundisho ya Mohamed Said, mimi ni muislamu kama kuna kitu ambacho sikielewi najua wapi pa kutafuta majibu; sina muda wa kujiingiza kwenye majibishano ya kidini; Mohamed Said anaongelea waislamu walionewa bahati mbaya mimi sipo kwenye kundi hilo na wala sitokani kwenye familia ya kifisadi ila naishukuru sana serikali ya Tanzania na sera za elimu za Mwalimu Nyerere ndizo zimenifikisha hapa kikubwa niliwasikiliza sana wazazi wangu wakati wananisisitiza kwenda shule nilikwenda na si mimi tu pamoja na wadogo zangu; nawapa ushauri wa bure msije mkachinjana kwa imani za kidini dini na siasa havijichanganyi msidanganye; wanaonufaika na vurugu hizo ni watu wachache sana ila wanatumia ujinga wa wengi.
Chama
Gongo la mboto DSM
Last edited by a moderator: