Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Sasa kama ndiyo hivyo kwanini hujajibu swali la msingi la Mohamed Said kuwa kwanini wazee hawa hawakuandikwa kwenye historia?

Mkuu ili uweze kuchangia kwa mafaa isome mada husika kisha soma post ya kwanza mpaka hapa tulipo, na itafurahisha na kukusaidia zaidi kuchngia mada hii ikiwa umekisoma kwa weledi kitabu cha Mohamed Said kinachojadiliwa hapa.

Karibu sana mkuu.
 
WildCard,

Hakuna udini wowote inakuwa ngumu kuwataja hawa Wazee wetu bila kutaja Uislam wao ndiyo kitu ambacho hutaki kukisikia.

Kuna Masheikh wameshiriki kutafuta uhuru ukiwataja hao umetaja Uislam bahati mbaya hilo linakuwa gumu kutenganisha harakati za uhuru na dini ya Kiislam itabidi uwe mvumilivu tu ndugu yangu huwezi kuzuia mvua.
Hawa Masheikh walishiriki kama WATANGANYIKA wengine wengi walivyoshiriki. Mzee Mohamed anataka tutambue ushiriki wao kuwa maalum na wa KIDINI sana. Anataka tuwatambue kama Ayattolah Ruhollah Khomeini alivyoshiriki kumwondoa Shah Ahmed Reza Pahlavi wa Iran!
 
Hawa Masheikh walishiriki kama WATANGANYIKA wengine wengi walivyoshiriki. Mzee Mohamed anataka tutambue ushiriki wao kuwa maalum na wa KIDINI sana. Anataka tuwatambue kama Ayattolah Ruhollah Khomeini alivyoshiriki kumwondoa Shah Ahmed Reza Pahlavi wa Iran!

WC,

Huo ni wasiwasi tu.

Kila kitu kikiwa na nembo ya Uislam basi hutia hofu.

Mimi kama mwanasayansi ya jamii nilitaka nionyeshe
nafasi ya Waislam katika harakati za kupigania uhuru
wa Tanganyika.
 
Ritz nimecheka sana, nala chapati za kumimina!
Hujanitendea haki kwa jambo moja, mimi sijataja msikiti hata mmoja, kwahiyo usiniwekee maneno!

Katika orodha yako uliyoitaja umesahau Kheri, Kisutu, Manyema, Tambaza, Maamur, Lindi, Tungi n.k.

Hakuna kitu kama hicho, kuna mkate wa kumimina.
 
Nimekuonyesha mara kadhaa kuwa sina ugomvi na Uislam. Nina ugomvi na watu wanaotumia DINI zao kwa malengo na dhamira iliyo nje ya DINI zao. Uanzishwaji wa TANU na kudai Uhuru wa Tanganyika hakuna uhusiano na DINI yoyote nchi hii. Ni kweli kuwa walioanzisha mchakato huu walikuwa na DINI zao lakini sizo zilizowatuma kuyafanya haya.

Ndio maana, tangu mwanzo wa TANU na baada ya uhuru wale waliojaribu kumtazama Mwalimu kwa dini yake walikataliwa na watu wa DINI zote.

Mwalimu naye hakuwaangusha WATANGANYIKA. Akaupiga vita UDINI na UKABILA kwa nguvu zake zote kwa kutumia Katiba na sheria zilizokuwepo. Hakuwaachia polisi au UwT kulifanya hili peke yao kama anavyaoagiza Kikwete wetu wa sasa.

WC,

Hivi ndivyo kupiga vita udini?:

Sivalon has revealed that the Church has been able to create its own lobby which controls 75% of the seats in the parliament. Among these seats 70% are held by Catholics and the rest are divided among Muslims and Christian denominations.

The second book is by Dr John C. Sivalon, who in his expose, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, [1] unmasks a conspiracy in the government to subvert Islam.

Sivalon revealed that the Catholic Church as far back as 1961 was worried by two prospects.

First, was the unity between the Muslim madhheb (sect) of Sunni, Bohora, Ismailia and Ithnasheri in Tanganyika; and the second, was the transfer of the headquarters of the East African Muslim Welfare Society (EAMWS) from Mombasa to Dar es Salaam.

The Church was worried that the resources in the hands of rich Asian Muslim community in East Africa, coupled with the political power of African Muslims, particularly in Tanganyika, would endanger Christian interests in East Africa.

The Church therefore declared Islam as its enemy in the country and plotted to thwart its progress.[2]


[1] John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, (Ndanda, 1992).

[2]Ibid. p 37.

[1] Sivalon, op.cit. p. 49.

Ukipenda naweza nikaongeza vitu zaidi jinsi Mwalimu alivyoupiga vita udini.
Unasemaje nilete?
 
Mkuu ili uweze kuchangia kwa mafaa isome mada husika kisha soma post ya kwanza mpaka hapa tulipo, na itafurahisha na kukusaidia zaidi kuchngia mada hii ikiwa umekisoma kwa weledi kitabu cha Mohamed Said kinachojadiliwa hapa.

Karibu sana mkuu.

Wewe jibu swali wacha kubabaisha. Wewe ndio uisome mada yako halafu ulete ushahidi, mpaka sasa hatujaona? tunaona Mohamed Said akizidi kuwapa darsa.

Kwi kwi kwi teh teh teh.
 
Last edited by a moderator:
WC,

Huo ni wasiwasi tu.

Kila kitu kikiwa na nembo ya Uislam basi hutia hofu.

Mimi kama mwanasayansi ya jamii nilitaka nionyeshe
nafasi ya Waislam katika harakati za kupigania uhuru
wa Tanganyika.

Laiti ungefanya hivyo wala usingepata tabu na siii wengine. You have tried to rewrite Tanganyika's history!
 
WC,

Huo ni wasiwasi tu.

Kila kitu kikiwa na nembo ya Uislam basi hutia hofu.

Mimi kama mwanasayansi ya jamii nilitaka nionyeshe
nafasi ya Waislam katika harakati za kupigania uhuru
wa Tanganyika.
Nafasi ya Waislam ipo. Nafasi isiyokuwepo ni ya UISLAM kwenye kudai( sio kupigania) uhuru na kuanzisha TANU.

Hata kule Iran sio Uislam uliotumika kumng'oa Shah wao kwa kuwa naye alikuwa Muislam.

Chama kilichoanzishwa hapa Tanganyika kwa kutumia Uislam wa baadhi ya Waislam ni AMNUT. Kikafa mapema tu kwa sababu hiyohiyo.
 
Ndio sehemu ya porojo hizo; sijawahi kumtetea Kikwete kuwa namjua. Ndio tatizo la kutosoma mtu kaandika nini. Unaanza kuwa kama Mzee Said hapa kuandika historia kutoka kwenye hisia...

Bahati mbaya hakuna DHB sasa
Na kama ipo labda iko updated kwahio threads za zamani hazipo.

Mwaka 2005 ukitetea CCM kuwa madarakani siulikua wampigia debe Kikwete?
Tuliokua tunaona mbali toka zamani ukatuona hatuna tunalolijua kwasababu wewe ni bingwa wa kubishana.

Kweli ni mshangao mkubwa wewe uliyekua unaitetea CCM usiku kucha leo wewe ndio Chadema.

Kwangu mimi nakuona wewe kama kasuku!
Bingwa wa kuongea lakini kuongea lakini sio maneno yake.
 
Bahati mbaya hakuna DHB sasa
Na kama ipo labda iko updated kwahio threads za zamani hazipo.

Mwaka 2005 ukitetea CCM kuwa madarakani siulikua wampigia debe Kikwete?
Tuliokua tunaona mbali toka zamani ukatuona hatuna tunalolijua kwasababu wewe ni bingwa wa kubishana.

Kweli ni mshangao mkubwa wewe uliyekua unaitetea CCM usiku kucha leo wewe ndio Chadema.

Kwangu mimi nakuona wewe kama kasuku!
Bingwa wa kuongea lakini kuongea lakini sio maneno yake.

Nakumbuka miaka ya nyuma nilishawahi kusema huyu ni mtu mfupi sana kupita uwiano wa kimo cha Watanzania, na hii kubisha kwake kwa kujificha nyuma ya pazia kunamfanya ajione yeye ni mrefu. Kama anabisha atuwekee picha yake.
 
Nafasi ya Waislam ipo. Nafasi isiyokuwepo ni ya UISLAM kwenye kudai( sio kupigania) uhuru na kuanzisha TANU.

Hata kule Iran sio Uislam uliotumika kumng'oa Shah wao kwa kuwa naye alikuwa Muislam.

Chama kilichoanzishwa hapa Tanganyika kwa kutumia Uislam wa baadhi ya Waislam ni AMNUT. Kikafa mapema tu kwa sababu hiyohiyo.

Mkikosa hoja mnaanza viroja. kwi kwi kwi teh teh teh!
 
Napenda kujibu swali la mheshimiwa Mzee Said kama ifuatavyo. Kwa vile swali lake linadhania mambo kadha wa kadha naomba niainieshe mambo ambayo ni ya msingi na ya tofauti baina yetu kuhusiana na maandishi yake (points of contention)

a. Ulichoandika wewe kwanza siyo historia; ni histohisia. Umetumia matukio ya historia kuelezea hisia zako. Sasa kila mwanadamu ana hisia zake na hivyo hakuna mtu mwingine anayeweza kuwaangalia watu wale wale wa kihistoria (historical figures) na akatoa tafsiri ile ile hasa kama kuna tofauti kubwa ya hisia baina ya watu.

b. Kwa vile hukufuata kanuni za uandishi wa kihistoria (historical method) basi uandishi wako wa aina ya simulizi, vijembe, na kukisia hauwezi kuandikwa na mtu mwingine yeyote. Ukisoma John Illife aliyeandika kwa kufuata kanuni za historia na uandishi wako wewe tofauti ni kama bahari na mlima. Yeye aliandika kitabu cha historia kweli kweli.

c. Kwa vile umeamua kutumia dini kuangalia historia na kuilezea ni wazikuwa mtu mwingine asiyetumia dini anaweza kuangalia matkio yale yale unaoyaona wewe na akayapa tafsiri nyingine kabisa. Mimi niliposoma kitabu chako cha Sykes kwa kweli nilivutiwa na masimulizi ya majina ya watu mbalimbali. Lakini sikuvutiwa kabisa na ushawishi wa hoja. Katika kujenga hoja kwa kweli una udhaifu mkubwa mno kwani badala ya kutumia reason kujenga hoja unatumia 'emotional appeal' na ndio maana umewapata wengi kwa kugusa dini, imani yao.

d. Kwa vile matukio mengi unayoyasimulia yanatokana na yale unayodai ni mang'amuzi yako binafsi (personal experience) au ya kuambiwa (hearsay) na hivyo vyanzo unavyotumia haviwezi kuhojiwa na wanataaluma wengine ni wazi kuwa hicho unachodai ni historia kitabakia cha kwako peke yako. NInaamini udhaifu wako mkubwa kabisa katika uandishi wako ni hili - the failure to make it possible for other scholars to access the sources you claim to have used to get some information - for either these sources are dead, hidden or exclusively known to you.

Kutokana na hayo basi ni vigumu na haiwezekani mtu mwingine kuandika kuhusu wazee wako namna hiyo. Hata hivyo, inawezekana kabisa mtu kuandika historia ya Tanganyika kwa umakini mkubwa na kutaja baadhi ya majina uliyonayo vizuri zaidi.

Pamoja na hayo ni ukweli pia kuwa umejitahidi kuweka kumbukumbu ya wazee wako na kuyaacha majina yao yatajwe katika historia. Haya ni mafanikio yako makubwa - hata kama ndani yake umeweka limau, pilipili, mdalasini, tangawizi na pilipili manga.

0

MM,

Nimekusoma.
 
WC,

Hivi ndivyo kupiga vita udini?:

Sivalon has revealed that the Church has been able to create its own lobby which controls 75% of the seats in the parliament. Among these seats 70% are held by Catholics and the rest are divided among Muslims and Christian denominations.

The second book is by Dr John C. Sivalon, who in his expose, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, [1] unmasks a conspiracy in the government to subvert Islam.

Sivalon revealed that the Catholic Church as far back as 1961 was worried by two prospects.

First, was the unity between the Muslim madhheb (sect) of Sunni, Bohora, Ismailia and Ithnasheri in Tanganyika; and the second, was the transfer of the headquarters of the East African Muslim Welfare Society (EAMWS) from Mombasa to Dar es Salaam.

The Church was worried that the resources in the hands of rich Asian Muslim community in East Africa, coupled with the political power of African Muslims, particularly in Tanganyika, would endanger Christian interests in East Africa.

The Church therefore declared Islam as its enemy in the country and plotted to thwart its progress.[2]


[1] John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, (Ndanda, 1992).

[2]Ibid. p 37.

[1] Sivalon, op.cit. p. 49.

Ukipenda naweza nikaongeza vitu zaidi jinsi Mwalimu alivyoupiga vita udini.
Unasemaje nilete?
Sivalon aliongopa sana tu kuhusu composition ya Bunge letu. Hakuna wakati tangu uhuru Bunge letu limewahi kuwa na 70% ya Wabunge Wakatoliki. Majimbo yapi hayo nchi hii? Allegation hii pia iliwahi kusemwa kuhusu Cabinet mojawapo ya Mwalimu kwamba kajaza Wakatoliki mle. Mwalimu alipowatuma watu kuchunguza akakuta Wakatoliki ni yeye na Sir George Kahama ambaye hata hivo alikuwa amefanya maendeleo kama yangu. Ana wake wawili!

Mzee Mohamed Mohamed, Press conference ya Mwalimu pale Kilimanjaro Hotel, mwaka 1995, uliisikia?
 
Sivalon aliongopa sana tu kuhusu composition ya Bunge letu. Hakuna wakati tangu uhuru Bunge letu limewahi kuwa na 70% ya Wabunge Wakatoliki. Majimbo yapi hayo nchi hii? Allegation hii pia iliwahi kusemwa kuhusu Cabinet mojawapo ya Mwalimu kwamba kajaza Wakatoliki mle. Mwalimu alipowatuma watu kuchunguza akakuta Wakatoliki ni yeye na Sir George Kahama ambaye hata hivo alikuwa amefanya maendeleo kama yangu. Ana wake wawili!

Mzee Mohamed Mohamed, Press conference ya Mwalimu pale Kilimanjaro Hotel, mwaka 1995, uliisikia?

Hotuba hii maarufu sana.
Inarudiwa sana.
 
Back
Top Bottom