Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
-
- #6,741
Makamu rais wa kwanza wa AA aliitwa nani?Hakuna jina la Ramadhani Ali katika waasisi wa AA 1929.
Huenda umechanganya majina.
Unaweza kupitia vitabu na paper za John Iliffe kuhusu AA
kujiridhisha.
Cecil Matola ni muasisi wa AA.
Hebu tumwangalie kiongozi huyu aliyezaliwa kwenye ukristu na aliyehudumu kwa mafanikio ndani ya ardhi ya mfumo islamu,
Matthew Olusegun Aremu Obasanjo 5 Machi 1937) ni jenerali mstaafu wa Jeshi la Nigeria aliyekuwa rais wa Nigeria mara mbili. Awamu yake ya kwanza ilikuwa kama rais wa kijeshi kati ya 1976 hadi 1979 halafu awamu la pili kama rais aliyechaguliwa na wananchi kati ya 1999 hadi 2007.
Obasanjo alizaliwa katika kabila la Wayoruba akalelewa kama Mkristo wa kibaptisti. 1958 akajiunga na jeshi akapanda ngazi haraka. 1967-1970 alishiriki katika vita dhidi ya Biafra. Baada ya uasi wa jeshi chini ya Murtala Mohammed mwaka 1975 alipewa cheo cha makamu wa rais. 1976 Mohammed aliuawa na wapinzani ndani ya jeshi waliokosa kumwua Obasanjo pia. Obansajo aliweza kukandamiza uasi akateuliwa na halmashauri ya kijeshi kuwa raisi mpya. Alitumia nafasi yake kuandaa uchaguzi wa 1979 akakabidhi madaraka kwa rais aliyechaguliwa Shehu Shagari.
Kati ya 1980 hadi 1995 alikuwa na vyeo mbalimbali vya kimataifa akagombea nafasi ya Katibu Mkuu wa UM halafu alikuwa mwenyekiti wa halmashari ya Transparency International (TI). Dikteta wa kijeshi Sani Abacha alimfunga gerezani kati ya 1995 hadi 1998.
Wakati wa uchaguzi baada ya kifo cha Abacha aligombea uraisi kama mgombea wa chama cha People's Democratic Party akashinda akawa rais tena tangu 1999. Mwaka 2003 alirudishwa madarakani.
Obasanjo alijaribu kubadilisha katiba ili aweze kuwa na nafasi ya tatu lakini hakufaulu kupata wabunge wa kutosha kwa kubadilisha katiba.
Katika kura ya 2007 alisimama upande wa mgombea Umaru Yar'Adua aliyechaguliwa. Kukabidhi kwa madaraka kutoka Obasanjo kwenda Yar'Adua kulikuwa mara ya kwanza katika historia ya Nigeria ya kwamba marais wawili waliochaguliwa na wananchi waliweza kufuatana.
Vuta picha kiongozi huyu aliyezaliwa na kulelewa katika mafundisho ya kikristu anachaguliwa kuwa rais wa nchi inayoaminika kuwa ni ya mfumoislam kaskazini magharibi mwa afrika.
Wale waislamu wa Nigeria wanamtazamo gani juu ya utawala wa nchi?
Makamu rais wa kwanza wa AA aliitwa nani?
Mkuu Zumbemkuu, hivi vijamaa ni vipuuzi kwelikweli, havina hoja yao zaidi ya kushinda hapa jukwaani vikipika majungu na kelele zisizo na maana kama vyura! na kwa ujinga wao vinaamini watu wanakubaliana navyo! kweli kuwa mjinga ni ajali lakini kuwa mpumbavu kama hivi vijamaa ni maafa.
Mkuu Zumbemkuu, hivi vijamaa ni vipuuzi kwelikweli, havina hoja yao zaidi ya kushinda hapa jukwaani vikipika majungu na kelele zisizo na maana kama vyura! na kwa ujinga wao vinaamini watu wanakubaliana navyo! kweli kuwa mjinga ni ajali lakini kuwa mpumbavu kama hivi vijamaa ni maafa.
Ok! Matola alifariki mara 2! mwaka 1939 kwa mujibu wa Mohamed siku za nyuma na sasa 1933. Anyway hilo si tatizo sana tuendeleeNimeeleza huko nyuma kuwa hakuna jina la Ramadhani Ali katika waasisi wa AA 1929.
Huenda wamechanganya majina.
Wanaweza kupitia vitabu na paper za John Iliffe kuhusu AA kujiridhisha ikiwa watapenda.
Cecil Matola kuwa ni muasisi mkuu wa AA hapana.
Kleist Sykes alitawala historia ya Dar es Salaam katika miaka ile hadi 1949 alipofariki
kwa sababu ya mambo mengi kubwa likuwa elimu yake na uwezo wake wa fedha.
Unaweza kusoma maisha ya Kleist katika ''Modern Tanzanians'' Iliffe (Ed) ''Kleist Sykes The
Townsman'' na katika kitabu changu ''Kleist Sykes Man of Ideas.''
Kubwa zaidi ni kuwa Iliffe alitumia nyaraka za Kleist Sykes katika kutafiti historia ya AA.
Kabla hajafa Kleist aliandika maisha yake na nyaraka hii imehifadhiwa hadi leo.
Hakuna anaejua habari za Matola ila chache tu na kuwa alifariki 1933 Mzee Bin Sudi akachukua
nafasi ya rais wa AA.
Hakuna mengi ambayo unaweza kuyapata kuhusu mchango wake katika siasa za Dar es Salaam.
Hapana, Mohamed penye wengi pana mengi. Hata wewe page 2 zilizopita umetoka povu hasa baada ya kuona mjadala unaelekea katika Ugaidi.G,
Wanaukumbi inaelekea tumechoka na dalili ni hii lugha kali.
Mnasemaje kuhusu kulikunja jamvi?
When are you going to join Juliana Shonza on her mission?The beareved begins the wailling latter others join.
Mohamed yanini kubishana? Mimi nakueleza kwa AA ni kikundi/chama kilichoanzishwa na Sir Cameron kwa lengo lakuwajengea weusi chombo chao cha kuratibu mambo ya furaha zao, kwa lugha nyepesi tunaweza kusema kilikuwa kikundi cha walevi,Nimeeleza huko nyuma kuwa hakuna jina la Ramadhani Ali katika waasisi wa AA 1929.
Huenda wamechanganya majina.
Wanaweza kupitia vitabu na paper za John Iliffe kuhusu AA kujiridhisha ikiwa watapenda.
Cecil Matola kuwa ni muasisi mkuu wa AA hapana.
Kleist Sykes alitawala historia ya Dar es Salaam katika miaka ile hadi 1949 alipofariki
kwa sababu ya mambo mengi kubwa likuwa elimu yake na uwezo wake wa fedha.
Unaweza kusoma maisha ya Kleist katika ''Modern Tanzanians'' Iliffe (Ed) ''Kleist Sykes The
Townsman'' na katika kitabu changu ''Kleist Sykes Man of Ideas.''
Kubwa zaidi ni kuwa Iliffe alitumia nyaraka za Kleist Sykes katika kutafiti historia ya AA.
Kabla hajafa Kleist aliandika maisha yake na nyaraka hii imehifadhiwa hadi leo.
Hakuna anaejua habari za Matola ila chache tu na kuwa alifariki 1933 Mzee Bin Sudi akachukua
nafasi ya rais wa AA.
Hakuna mengi ambayo unaweza kuyapata kuhusu mchango wake katika siasa za Dar es Salaam.
G,
Wanaukumbi inaelekea tumechoka na dalili ni hii lugha kali.
Mnasemaje kuhusu kulikunja jamvi?
Hapana, Mohamed penye wengi pana mengi. Hata wewe page 2 zilizopita umetoka povu hasa baada ya kuona mjadala unaelekea katika Ugaidi.
Mbona kuna mengi ya kujadili, mathalani matokeo ya mitihani, Mauaji ya mapadre na tindikali kwa masheikh, DVD za Ilunga na zako zinaoonyeshwa kwa majenereata vijijini na kadha wa kadha. Bado Mzee Mwekapopo tuendelee na tuvumiliane maana tukiacha njiani tutakuwa hatujaitendea jamii ya JF haki.
Kila jiwe ligeuzwe ili tukianza uzi mwingine hilo liwe tofauti. Usikimbie Mzee Muyukwa
Unaweza kuwaita zima moto kwa ajali ya maji ya moto?
Acha woga na uvivu mkuu wangu, mjadala huu bado mbichi sana, kumbuka matokeo kidato cha nne yametoka, mauaji ya padre zanzibar na uchomaji moto kanisa leo hii,
Hayo yote asili yake ni wewe na wenzio
Ok! Matola alifariki mara 2! mwaka 1939 kwa mujibu wa Mohamed siku za nyuma na sasa 1933. Anyway hilo si tatizo sana tuendelee
Kwahiyo Mohamed, Cecil Matola hakuwahi kuwa na wadhifa AA kama Mag3 anavyosema?
Wewe Yericko,
Mimi wewe nimekuwia radhi.
Ikiwa maana hii hujaifahamu muombe Zomba atakufahamisha.
Kama hujaelewa majibu yale uliyopewa basi ni wazi sasa uko too personal..
Maswali ya kipuuzi kama haya hakuna muda wa kuyajibu peleka kwa wajinga wenzako.
ngoja nichangie hapa kidogo
naona hapa ni tatizo la kumezeshwa maneno
na bila kufanya utafiti,hili lipo kwa watanzania wengi
sakata hili aliyelisema wa kwanza ni slaa wakati wa kampeni 2010
kwamba kuna makontena yameingizwa yakiwa na karatasi za kupigia kura
uchunguzi ulipofanyika ikabainika taarifa iliyotolewa si sahihi
kwanini nimeamua kuweka sawa taarifa hii?
sababu makontena hayo hayakuwa na karatasi za kupigia kura,
bali vipodozi.Muingizaji wa vipodozi hivyo,namjua vizuri sana
na ni mtu wa karibu yangu mno.Familia zetu ni ndugu,
na hata alipotakiwa kuonesha documents zinazothibitisha
uhalali wa umiliki na uingizaji wa vipodozi hivyo tulikuwa pamoja
samahani kwa kuwatoa ktk mada husika
Hata wewe ni mpuuzi achilia mbali maswali ya kipuuzi unayouliza hapa na kudakia maswali ya Mzee Mohamed alaf huna unachojua