Sasa wewe unelewaa kusoma lakini au ili mradi upinge tu? Mohamed Said kanukuu maandiko ya Sivalon, sasa muulize Sivalon. Au huelewi kilichoandikwa?
Mkuu ungetuwekea hiyo video tape tuone hali ya hilo eneo kiusalama kama ilimlazimu askari ku-shoot to kill(nikimaanisha hamasa ya watu zidi ya vyombo vya usalaam)
Hata hivyo ili sawa linaweza kuwa tatizo sasa ni nini suluhu yake hatuwezi tukawa tunalalamika tu,na kupandikiziana chuki za Kidini ni hatari kwa ustawi wa Taifa letu
Angalau angetekeleza yale aliyoyasema katika hotuba yake aliyoitoa tarehe 10 Desemba, 1962 katika Bunge wakati Tanganyika inakua jamuhuri.Mwandishi alitarajia Nyerere afanye nini na Waislamu baada ya Uhuru kulinganisha na Watanganyika wengine?
Angalau angetekeleza yale aliyoyasema katika hotuba yake aliyoitoa tarehe 10 Desemba, 1962 katika Bunge wakati Tanganyika inakua jamuhuri.
Hotuba ya Nyerere ilijikita kwenye matatizo ya upogo kati ya Waislamu na Wakristo. Alsiema kama hivi.: "Hakuna njia nyepesi ya kuondoa tafauti baina ya raia wetu Waafrika na wasio Waafrika; hakuna njia nyepesi ya kuondoa tofauti za elimu kati ya Wakristo na Waislamu, au baina ya wachache wenye elimu na wengi wa watu wetu wasio kuwa na elimu; hakuna njia nyepesi ambayo Wamasai na Wagogo wanaweza wakalingana na Wahaya na Wachagga na Wanyakyusa".
Badala yake
Kilichofuata baada ya kupatikana uhuru ilikuwa ni kukamatwa, kuwekwa kizuizini na kuhamishwa kwa masheikh na Waislamu wengine waliodhaniwa kuwa wanapinga utawala wa Nyerere. Mashuhuri miongoni mwao walikuwa: Abdillah Schneider Plantan, Sheikh Abdulkarim Abdulwahid, Maalim Popo Saleh, Suleiman Masudi Mnonji, Ali Migeyo, Mufti Sheikh Hassan bin Amir, Sharff Hussein Badawiy, Shariff Mwinyibaba, Shariff Adnan, Bilali Rehani Waikela, Sheikh Jumanne Bias, Maalim Matar, Abdalah Mwamba, Sheikh Hashim Haji Abdallah, Sheikh Nurdin Hussein, Salum Abdallah Popo, Sheikh Mzee Ali Comorian, Sheikh Al Amin Maftah, Rajab Kiguu cha Mbuzi na wengine wengi.
Hebu na wewe eleza unafurahia na kuunga mkono kipi Nyerere alichowafanyia waislamu baada ya uhuru.
Umeeleza hivyo kwa sababu kuu mbili tatu...kwanza Ramadhani Ali hakuwa uzao wa Wazulu, pili hakuwa Manyema na tatu alikuwa Mtanganyika. Wazulu na Manyema ni makabila mawili ambayo yalitumika sana kama vikaragosi vya Wajerumani katika kuwakandamiza na kuwapiga vita Watanganyika. Tukiacha uhusiano wao kupitia Wajerumani waliowaleta kutoka Congo na Msumbiji, huo uhusiano ulijengeka zaidi kupitia kuoleana...sharti la kwanza kwa mkristo Mzulu kumwoa Manyema Muislaam ilikuwa ni kukubali kubadili dini.Nimeeleza huko nyuma kuwa hakuna jina la Ramadhani Ali katika waasisi wa AA 1929. Huenda wamechanganya majina.Wanaweza kupitia vitabu na paper za John Iliffe kuhusu AA kujiridhisha ikiwa watapenda. Cecil Matola kuwa ni muasisi mkuu wa AA hapana. Kleist Sykes alitawala historia ya Dar es Salaam katika miaka ile hadi 1949 alipofariki kwa sababu ya mambo mengi kubwa likuwa elimu yake na uwezo wake wa fedha.
John Iliffe said:The African Associations concern for unity arose from its founders' experience. Its first President was Mwalimu Cecil Matola, the aristocratic Yao teacher educated at Kiungani who worked in Kenya before becoming a pioneer of TTACSA and senior African teacher at the Dar es Salaam government school, which made him almost ex-officio leader of the capital's educated Africans. The first association's inaugural meeting took place in his house and he remained its President until he died in March 1931.. Through him the African Association inherited Kiungani's supra-tribal unity and the predominance which its former pupils enjoyed during the 1920s.
Isalia,
Nakuongezea na hii kutoka sakata la mabucha ya nguruwe.
Ni excerpts kutoka paper niliyotoa Kenyatta University 2006
''Sheikh Kassim Juma and the Pork Riots of 1993.'':
''The District Commissioner was contemptuous at the imams and he impressed upon them that the butcheries were legally licensed and the government was duty bound to protect them from being molested by few Muslim fundamentalists.
It was this government reaction which broke the camels back.
On Easter Friday while Christians were observing the crucifixion of Christ a group of Muslims in Magomeni, Tandale and Manzese in Kinondoni District went on rampage and demolished pork butcheries owned by Christian traders.
In an operation on that Easter Friday afternoon a group of Muslims youngsters like well trained commando squad moved swiftly through Kinondoni District demolishing pig butcheries amidst chants of Allahu Akbar.
This was the first ever physical attack by Muslims on Christian property justified by religious belief since independence.
In taking the law into their own hands Muslims had fired their first warning shot.
When news of the attack became known the government held its breath.
President Mwinyi who was in Zanzibar on official engagement unwisely and driven by the fear that the country was moving towards the dreaded clash between Muslims and Christians, issued a hurried condemnation of the attack and ordered that all those responsible for the attack should be made to feel the full weight of state power.
By that statement a simple case of few frustrated young Muslims hotheads driven to action by insensitivity of the government to genuine grievances, was blown out of proportion into a national crisis.
The government and party media including the state radio warned of the dangers of Muslim fundamentalists in Tanzania.
The Christian lobby saw in Mwinyi's statement a blank cheque to crash all Muslims it considered dangerous to their interests.
The Prime Minister and Vice-President John Malecela issued a strong statement condemning the attack. [1]
In an interview with the BBC Swahili Service, Malecela referred to the imams and other Muslims who were arrested as a result of the pork conflict as hooligans whose aim is to acquire power through religion.[2]
The Minister of Home Affairs and Deputy Prime Minister Augustine Mrema, issued a statement saying that he was convinced the act was precipitated by an outside Muslim power to destabilise the country.
The Secretary General of the CCM Horace Kolimba giving the position of the party said that those who attacked the butcheries were not Muslims but hooligans whose aim was to overthrow the government.[3]
And Muslims patiently waited...
[1] Mzalendo, 11 April, 1993.
[2] BBC Swahili Service interview of 12 April 1993.
[3] Uhuru , 15 April, 1993.
Si lazima liwe jibu la 'ndio' au 'hapana'; ila liwe jibu linalohusu hisia zako wewe siyo za wazee wako. Tayari najua vya kutosha msimamo wa wazee wetu waliopigania uhuru kwani historia imeunakili vizuri. Napenda kujua msimamo wewe - linaweza kuwa jibu refu kama unapenda.
Umeeleza hivyo kwa sababu kuu mbili tatu...kwanza Ramadhani Ali hakuwa uzao wa Wazulu, pili hakuwa Manyema na tatu alikuwa Mtanganyika. Wazulu na Manyema ni makabila mawili ambayo yalitumika sana kama vikaragosi vya Wajerumani katika kuwakandamiza na kuwapiga vita Watanganyika. Tukiacha uhusiano wao kupitia Wajerumani waliowaleta kutoka Congo na Msumbiji, huo uhusiano ulijengeka zaidi kupitia kuoleana...sharti la kwanza kwa mkristo Mzulu kumwoa Manyema Muislaam ilikuwa ni kukubali kubadili dini.
Ramadhani Ali alikuwa ni Mtanganyika, mzaramo na hila zimefanyika kutolihusisha jina lake kama ilivyofanyika kulificha jina la Mtanganyika mwingine Cecil Matola, Myao ambaye ndiye alikuwa Raisi Muasisi wa AA katibu wake akiwa mzulu Kleist Sykes Plantan mwaka 1929.
Hapa chini nanukuu tu sehemu ya kitabu A Modern History of Tanganyika kilichoandikwa na John Iliffe anayependa sana kumwekea mdomoni mambo ya kughushi anayoweza kuyatunga tu mchochezi wa aina yake. Nimemuuliza maswali mengi sana Mohamed Said humu ndani lakini kwa kujua ataumbuka ameshindwa kuyajibu...hiyo ndio ikawa salama yake, alijua akiyajibu amejitia kitanzi shingoni.
Kabla sijaendelea na upuuzi mwingine unaoitwa eti historia ya Tanganyika kama anavyodai Mohamed Said, nitawaomba wasomaji mtafakari tu kidogo imekuwaje huyu mzulu Kleist Sykes akatawala historia ya Dar es Salaam katika miaka ile hadi 1949 alipofariki eti kwa sababu ya mambo mengi kubwa likuwa elimu yake na uwezo wake wa fedha.(sic!)
Je Dar es Salaamwakati huo haikuwa na Watanganyika, wasomi, wenye uwezo wa kifedha hadi aje ex-askari wa Kijerumani kutoka Msumbiji? Kwa nini Sykes?...AA alianzisha Sykes na si Cecil Matola, TAA alianzisha Sykes na si Dr. Kyaruzi na hata TANU alianzisha Sykes na si Mwalimu Nyerere? Leo Mohamed Said anamkana makamu Raisi wa AA Ramadhani Ali, sababu? Alikuwa mzaramo. Yaani Sykes wanapokezana kama vile hakuna Watanganyika, duh!
Karibuni Mzee Mwanakijiji, Nguruvi3, Ngongo, Ritz, zomba, sweke na Watanzania wote wanaolitakia mema taifa letu. Tutaendelea...
Hapa huwezi kumsikia Mzee Mwanakijiji, Mag3, nguruvi3, WildCard, wanachagia chochote hawa walikuwa wahuni.
Umeeleza hivyo kwa sababu kuu mbili tatu...kwanza Ramadhani Ali hakuwa uzao wa Wazulu, pili hakuwa Manyema na tatu alikuwa Mtanganyika. Wazulu na Manyema ni makabila mawili ambayo yalitumika sana kama vikaragosi vya Wajerumani katika kuwakandamiza na kuwapiga vita Watanganyika. Tukiacha uhusiano wao kupitia Wajerumani waliowaleta kutoka Congo na Msumbiji, huo uhusiano ulijengeka zaidi kupitia kuoleana...sharti la kwanza kwa mkristo Mzulu kumwoa Manyema Muislaam ilikuwa ni kukubali kubadili dini.
Ramadhani Ali alikuwa ni Mtanganyika, mzaramo na hila zimefanyika kutolihusisha jina lake kama ilivyofanyika kulificha jina la Mtanganyika mwingine Cecil Matola, Myao ambaye ndiye alikuwa Raisi Muasisi wa AA katibu wake akiwa mzulu Kleist Sykes Plantan mwaka 1929.
Hapa chini nanukuu tu sehemu ya kitabu A Modern History of Tanganyika kilichoandikwa na John Iliffe anayependa sana kumwekea mdomoni mambo ya kughushi anayoweza kuyatunga tu mchochezi wa aina yake. Nimemuuliza maswali mengi sana Mohamed Said humu ndani lakini kwa kujua ataumbuka ameshindwa kuyajibu...hiyo ndio ikawa salama yake, alijua akiyajibu amejitia kitanzi shingoni.
Kabla sijaendelea na upuuzi mwingine unaoitwa eti historia ya Tanganyika kama anavyodai Mohamed Said, nitawaomba wasomaji mtafakari tu kidogo imekuwaje huyu mzulu Kleist Sykes akatawala historia ya Dar es Salaam katika miaka ile hadi 1949 alipofariki eti kwa sababu ya mambo mengi kubwa likuwa elimu yake na uwezo wake wa fedha.(sic!)
Je Dar es Salaamwakati huo haikuwa na Watanganyika, wasomi, wenye uwezo wa kifedha hadi aje ex-askari wa Kijerumani kutoka Msumbiji? Kwa nini Sykes?...AA alianzisha Sykes na si Cecil Matola, TAA alianzisha Sykes na si Dr. Kyaruzi na hata TANU alianzisha Sykes na si Mwalimu Nyerere? Leo Mohamed Said anamkana makamu Raisi wa AA Ramadhani Ali, sababu? Alikuwa mzaramo. Yaani Sykes wanapokezana kama vile hakuna Watanganyika, duh!
Karibuni Mzee Mwanakijiji, Nguruvi3, Ngongo, Ritz, zomba, sweke na Watanzania wote wanaolitakia mema taifa letu. Tutaendelea...
zomba, huyo mchochezi angekuwa anajibu maswali, huu mjadala ungeisha zamani...kumbuka njia ya muongo ni fupi. Je unakiri kuwa Cecil Matola ndiye alikuwa Raisi muasisi wa AA mwaka 1929 na si Sykes ili tuweze kuendelea?Huyo Ramadhan Ali katajwa wapi?
zomba, hayo si maneno yangu, ni ya ndugu yako unayemsaliti leo kwa kumtetea huyu mzushi.FaizaFoxy said:Mohamed Said, nimekutetea sana na ni mwandishi mzuri sana, lakini kweli hukuwa unatetea Uislaam wala Waislaam, unatetea na kuandika Historia ya wazee wako, na hata Uislaam unapoandikwa ndivyo sivyo hukuweza hata kutanabahi na japo kuuweka msimamo wako Kiislaam na wala kusema kweli hapo kuna kosa.
Nilichokitathmini, ni kuwa unataka ieleweke kuwa Wamanyema na Wazulu ndio waliokuja kuwafungua macho wenyeji na wenyeji wote ni hamnapo hakunapo.
Wewe unaanza kuyazungumzia haya leo; rudi nyuma kanisome... nyinyi mnaangalia waliuawa "Waislamu" wengine wetu tunaangalia waliuawa Watanzania na kwa hilo peke yake tulishasema Mkapa angepelekwa The Hague.. siyo kwa hilo la Mwembechhai tu bali pia la Pemba. Hatuangalii kama ni Mkatoliki au Mkristu... nyinyi angalieni dini ndio muamue kama mtatetea haki ya mtu au la...
Wewe unaanza kuyazungumzia haya leo; rudi nyuma kanisome... nyinyi mnaangalia waliuawa "Waislamu" wengine wetu tunaangalia waliuawa Watanzania na kwa hilo peke yake tulishasema Mkapa angepelekwa The Hague.. siyo kwa hilo la Mwembechhai tu bali pia la Pemba. Hatuangalii kama ni Mkatoliki au Mkristu... nyinyi angalieni dini ndio muamue kama mtatetea haki ya mtu au la...
zomba, huyo mchochezi angekuwa anajibu maswali, huu mjadala ungeisha zamani...kumbuka njia ya muongo ni fupi. Je unakiri kuwa Cecil Matola ndiye alikuwa Raisi muasisi wa AA mwaka 1929 na si Sykes ili tuweze kuendelea?
Namba nikukumbushe aliyowahi kuyasema ndugu yako FaizaFoxy;
zomba, hayo si maneno yangu, ni ya ndugu yako unayemsaliti leo kwa kumtetea huyu mzushi.
Wewe unaanza kuyazungumzia haya leo; rudi nyuma kanisome... nyinyi mnaangalia waliuawa "Waislamu" wengine wetu tunaangalia waliuawa Watanzania na kwa hilo peke yake tulishasema Mkapa angepelekwa The Hague.. siyo kwa hilo la Mwembechhai tu bali pia la Pemba. Hatuangalii kama ni Mkatoliki au Mkristu... nyinyi angalieni dini ndio muamue kama mtatetea haki ya mtu au la...
Wewe hunijui lazima uone nimeanza kuyazungumza leo wakifa Waislam unataka watu waseme wamekufa watanzania lakini akifa Padri unataka Pengo atoe tamko na unataka serikali isichaguliwe tena na wananchi wewe mtu hatari sana katika jamii ya Waislam.
Tooba yarabi, Mzee Said mbona umenitia manza kwa vijana wangu! Nilikuwa nawaelezea kuhusu chimbuko la AA nikakunukuu. Mwanzo nikasema Cecil Matola alifairiki 1939 kama nilivyonukuu post yako moja, jana nikawaambia samahani ni 1933, hamadi! leo John Illife anaandika 1931. Jamani nitaweka wapi uso wangu miye!Mag3;5735036]Umeeleza hivyo kwa sababu kuu mbili tatu...kwanza Ramadhani Ali hakuwa uzao wa Wazulu, pili hakuwa Manyema na tatu alikuwa Mtanganyika. Wazulu na Manyema ni makabila mawili ambayo yalitumika sana kama vikaragosi vya Wajerumani katika kuwakandamiza na kuwapiga vita Watanganyika. Tukiacha uhusiano wao kupitia Wajerumani waliowaleta kutoka Congo na Msumbiji, huo uhusiano ulijengeka zaidi kupitia kuoleana...sharti la kwanza kwa mkristo Mzulu kumwoa Manyema Muislaam ilikuwa ni kukubali kubadili dini.
Ramadhani Ali alikuwa ni Mtanganyika, mzaramo na hila zimefanyika kutolihusisha jina lake kama ilivyofanyika kulificha jina la Mtanganyika mwingine Cecil Matola, Myao ambaye ndiye alikuwa Raisi Muasisi wa AA katibu wake akiwa mzulu Kleist Sykes Plantan mwaka 1929.
Hapa chini nanukuu tu sehemu ya kitabu A Modern History of Tanganyika kilichoandikwa na John Iliffe anayependa sana kumwekea mdomoni mambo ya kughushi anayoweza kuyatunga tu mchochezi wa aina yake. Nimemuuliza maswali mengi sana Mohamed Said humu ndani lakini kwa kujua ataumbuka ameshindwa kuyajibu...hiyo ndio ikawa salama yake, alijua akiyajibu amejitia kitanzi shingoni.
Kabla sijaendelea na upuuzi mwingine unaoitwa eti historia ya Tanganyika kama anavyodai Mohamed Said, nitawaomba wasomaji mtafakari tu kidogo imekuwaje huyu mzulu Kleist Sykes akatawala historia ya Dar es Salaam katika miaka ile hadi 1949 alipofariki eti kwa sababu ya mambo mengi kubwa likuwa elimu yake na uwezo wake wa fedha.(sic!)
Je Dar es Salaamwakati huo haikuwa na Watanganyika, wasomi, wenye uwezo wa kifedha hadi aje ex-askari wa Kijerumani kutoka Msumbiji? Kwa nini Sykes?...AA alianzisha Sykes na si Cecil Matola, TAA alianzisha Sykes na si Dr. Kyaruzi na hata TANU alianzisha Sykes na si Mwalimu Nyerere? Leo Mohamed Said anamkana makamu Raisi wa AA Ramadhani Ali, sababu? Alikuwa mzaramo. Yaani Sykes wanapokezana kama vile hakuna Watanganyika, duh!
Duh, hakika RITZ nimekuvulia kofia! yaani wewe ni komesha JF! huyu MM mtu wa ajabu sana! mara anatafsiri Qurani tukufu na sijui alisomea wapi elimu ya tafsiri! mara yuko na Pengo na kumuomba atoe tamko! mara yuko na CHadema anataka nchi isitawalike! duh! hatari mtu huyu kwa usalama wa taifa! na sijui kwa nini mpaka sasa hivi yuko uraiani!
Tooba yarabi, Mzee Said mbona umenitia manza kwa vijana wangu! Nilikuwa nawaelezea kuhusu chimbuko la AA nikakunukuu. Mwanzo nikasema Cecil Matola alifairiki 1939 kama nilivyonukuu post yako moja, jana nikawaambia samahani ni 1933, hamadi! leo John Illife anaandika 1931. Jamani nitaweka wapi uso wangu miye!
Anyway, eti Mohamed, Cecil Matola alikuwa Mwalimu na Rais wa AA kabla ya Sykes? Maana Mag3 amenukuu Illife unayependa sana kumnukuu sasa hapo inakuwaje.