Huna mpya wewe kwani hutumii akili yako! Hufanyi kitu mpaka ustaadh Mohamed akuamlie.
Ritz, NECTA wamekanusha kupitia vyombo vya habari, huyo mkuu wako amekaa kimya hajaja kutupa taarifa mpya zaidi. Sasa kuna sababu gani itatuzuia kuamini kwamba NECTA wako sahihi na sio huyo mkuu wako? Tatizo ni kuwa wewe ulisha tanguliza chuki dhidi ya NECTA kwa hiyo chochote kibaya dhidi yake utakishangilia.
Ritz, NECTA wamekanusha kupitia vyombo vya habari, huyo mkuu wako amekaa kimya hajaja kutupa taarifa mpya zaidi. Sasa kuna sababu gani itatuzuia kuamini kwamba NECTA wako sahihi na sio huyo mkuu wako? Tatizo ni kuwa wewe ulisha tanguliza chuki dhidi ya NECTA kwa hiyo chochote kibaya dhidi yake utakishangilia.
Leo hii umekuwa msemaji wa serikali ya CCM kweli mfumo Kirsto kiboko ukija kwenye swala la NECTA Wakirsto wote wanarudi CCM.
Nafikiri inatakiwa ufunguke zaidi na kujifungua na kufikiri nje ya box.
hebu jaribu kufuatilia haya.
1. Tokea NECTA ianzishwe makatibu wake wote ni wakristo. na manaibu katibu wake wote ni wakristo.
2. NECTA ni chombo cha muungano lakin haijapata tokesa kuwa katibu wake mtendaji au naibu katibu wake mtendaji kuwa kutoka Znz.
Kuna mengine mengi tu sifikiri kama wataweza kanusha. Hilo ni chaka tu la kubeba wakristo na kukandamiza waislam.
Abdulwahid Sykes alikuwa Rais wa Tanganyika African Association mpe heshima yake.
Mohamed Said,
Naomba tujikite kidogo kwenye historia yetu ya Tanganyika kumuelezea mzalendo Kasella Bantu.
Kuna ike picha maarufu iliozua matatizo kuna watu fulani waliupachika uso wa Kasella Bantu kwa maana walichakachuwa kuingiza uso wa Kasella Bantu ili kuonekana na yeye alikuwemo.
Unaweza kutupa kisa hiki.
Ritz,
Sina tanesco Insha Allah akirudi nitakuwekea movie nzima.
Mimi ndiye niliibua sakata lile katika New African.
Kwanza hili gazeti mmoja wa wahariri kijana mmoja wa Kihindi
akiitwa Hirsi nilikutananae London miaka ya 1990.
Alishawahi kuchapa makala zangu na akizipenda.
Sasa tulipokujaonana Uingereza ikawa na yeye kapata source
ya habari za kuuzia gazeti.
Tena mie nikimpa makala bure yeye hakubali akiniletea cheque
ya malipo.
Insha Allah ntakurushia tayarisha haluwa.
Hakuna cha bure.
There is no free lunch in America.
Ukiona Mmarekani kakualika chakula cha mchana
basi jua ana lake.
Kumekucha...
Inabidi nimemwambie zomba, atayarishe Mandi ya mbuzi na uji wa shurba pamoja na faruda.
Kwa ajili ya ndugu zetu wanasoma huu munakasha.
Ritz, NECTA wamekanusha kupitia vyombo vya habari, huyo mkuu wako amekaa kimya hajaja kutupa taarifa mpya zaidi. Sasa kuna sababu gani itatuzuia kuamini kwamba NECTA wako sahihi na sio huyo mkuu wako? Tatizo ni kuwa wewe ulisha tanguliza chuki dhidi ya NECTA kwa hiyo chochote kibaya dhidi yake utakishangilia.
Kumekucha...
Inabidi nimemwambie zomba, atayarishe Mandi ya mbuzi na uji wa shurba pamoja na faruda.
Kwa ajili ya ndugu zetu wanasoma huu munakasha.
Ritz,
Ahsante lakini mie sifunui kawa hadi nimuone
sahib wangu Yericko Nyerere kakunja goti jamvini.
Vinginevyo hali mtu.
We unadhani haya tungeyapataje kama si yeye.
Ritz,
Ahsante lakini mie sifunui kawa hadi nimuone
sahib wangu Yericko Nyerere kakunja goti jamvini.
Vinginevyo hali mtu.
We unadhani haya tungeyapataje kama si yeye.
Unajuaje kuwa hao wote walikuwa wakristo? NECTA ni chombo cha kitaalamu, iweje ung'ang'anie maswala ya dini kwenye chombo cha kitaaluma?Nafikiri inatakiwa ufunguke zaidi na kujifungua na kufikiri nje ya box.
hebu jaribu kufuatilia haya.
1. Tokea NECTA ianzishwe makatibu wake wote ni wakristo. na manaibu katibu wake wote ni wakristo.
2. NECTA ni chombo cha muungano lakin haijapata tokesa kuwa katibu wake mtendaji au naibu katibu wake mtendaji kuwa kutoka Znz.
Kuna mengine mengi tu sifikiri kama wataweza kanusha. Hilo ni chaka tu la kubeba wakristo na kukandamiza waislam.
Nani kakwambia nina ugomvi na CCM? Wewe unasababu gani kumtetea mkuu wa shule anayetoa taarifa za kizushi?Kinachonifurahisha kutoka kwako na kujisikia murua unavyopambana kuitetea serikali ya CCM kwenye suala la NECTA.
Kwani hao walikuwa na matatizo gani?Hivi mnaizungumzia NECTA hii?
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="colspan: 3"]Leadership List of NECTA since its Inception 21-11-1973
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"]Chairmen
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S/N
[/TD]
[TD]Year
[/TD]
[TD]Name
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1.
[/TD]
[TD]1973 - 1977
[/TD]
[TD]P. Msekwa
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2.
[/TD]
[TD]1977 - 1980
[/TD]
[TD]I. M. Kaduma
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3.
[/TD]
[TD]1980 - 1988
[/TD]
[TD]N. A. Kuhanga
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]4.
[/TD]
[TD]1988 - 1992
[/TD]
[TD]G.R.V. Mmari (Prof)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5.
[/TD]
[TD]1992 - 1999
[/TD]
[TD]M.L Luhanga (Prof)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]6.
[/TD]
[TD]1999 - 2004
[/TD]
[TD]G.R.V. Mmari (Prof)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7.
[/TD]
[TD]2004 - 2007
[/TD]
[TD]E. Mwaikambo (Prof)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]8.
[/TD]
[TD]2007 - todate
[/TD]
[TD]R.S. Mkandala (Prof)
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="colspan: 3"]Secretaries
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]S/N
[/TD]
[TD]Year
[/TD]
[TD]Name
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1.
[/TD]
[TD]1973 - 1978
[/TD]
[TD]R. Kiyao
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2.
[/TD]
[TD]1978 - 1986
[/TD]
[TD]D.J. Bagenda
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3.
[/TD]
[TD]1986 - 1992
[/TD]
[TD]A. Modesti
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]4.
[/TD]
[TD]1994 - 1997
[/TD]
[TD]P.P. Gandye
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5.
[/TD]
[TD]1998 - 2005
[/TD]
[TD]E.M. Nkumbi (Dr)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]6.
[/TD]
[TD]2005 - todate
[/TD]
[TD]J.L. Ndalichako (Dr)
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]