Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Hapo kwenye rangi nyekundu ndipo penye mzizi wa HISTOHISIA yako! tangu ulipoanza kuimba hizo nyimbo zako za uchochezi hujawahi kutoa ushahidi thabiti kuthibitisha madai yako haya zaidi ya kujenga hoja kupitia hisia na dini ya kislam kuungwa mkono.

Waislam wanaeleza dhulma walizofanyiwa na Nyerere wewe hutaki kuzisikia hizo habari hakuna cha kukusaidia kwenye hilo.

Kwanza tambua anayosema Mohamed Said ndiyo msimamo wa Waislam.

Wewe unaumia nini Waislam wakieleza dhulma walizofanyiwa.
 
Zomba.
Mengi uliyoyanukuu hayana ukweli wowote.
Punguzeni chuki na ukristo.
Hivi inashindikana nini kwa kikwete kuupngua huo mfumo kristo kama kweli upo?

Si utueleze huo ukweli unaoujuwa wewe.
 
Waislam wanaeleza dhulma walizofanyiwa na Nyerere wewe hutaki kuzisikia hizo habari hakuna cha kukusaidia kwenye hilo.

Kwanza tambua anayosema Mohamed Said ndiyo msimamo wa Waislam.

Wewe unaumia nini Waislam wakieleza dhulma walizofanyiwa.
Thibitisha kuwa uchochezi wa Mohamedi Saidi ndio msimamo wa Waislam.
 
Hapo kwenye rangi nyekundu ndipo penye mzizi wa HISTOHISIA yako! tangu ulipoanza kuimba hizo nyimbo zako za uchochezi hujawahi kutoa ushahidi thabiti kuthibitisha madai yako haya zaidi ya kujenga hoja kupitia hisia na dini ya kislam kuungwa mkono.


Thats why i do alywys telling you that you are not properly organised..!

"If someone puts their hands on you make sure they never put their hands on anybody else again"

They have destroyed our history intentionally,what People like Mohamed Said trying to do is to make things clear,

you can take it,or you can leave it,,ok?

We r' for truth, no matter who tells it. We r' for justice, no matter who it is for or against. We r' human being, first and foremost, and as such We r' for whoever and whatever benefits humanity as a whole."

We shall stand for the TRUTH..
 
Thibitisha kuwa uchochezi wa Mohamedi Saidi ndio msimamo wa Waislam.

Nithibitishe wapi sasa ukitaka kuthibitisha jifanye Muislam ingia Misikitini halafu msifie Nyerere kuwa alikuwa kiongozi muadilifu uone shughuli yake.

Anza na hii Misikiti, Qibrateen, Shadhir, Mtoro, Kichangani, Mwinyimkuu, Takadir, Manyema, Mtambani, Idrissa, Makonde, Kisumu, Kagera, Nuur, Palestina, Lindi, Kipata, anza ni hii kwanza.
 
Ukisikia umbulula ndiyo huu huyu mhuni Mohamed Said anawakilisha waislam wahuni wengi wapo magereza kwasababu ya fujo za kijinga.Msalimie Ponda na wahuni wenzake.

Waislam wanaeleza dhulma walizofanyiwa na Nyerere wewe hutaki kuzisikia hizo habari hakuna cha kukusaidia kwenye hilo.

Kwanza tambua anayosema Mohamed Said ndiyo msimamo wa Waislam.

Wewe unaumia nini Waislam wakieleza dhulma walizofanyiwa.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo misikiti yote inaongozwa na wavaa pedo.

Nithibitishe wapi sasa ukitaka kuthibitisha jifanye Muislam ingia Misikitini halafu msifie Nyerere kuwa alikuwa kiongozi muadilifu uone shughuli yake.

Anza na hii Misikiti, Qibrateen, Shadhir, Mtoro, Kichangani, Mwinyimkuu, Takadir, Manyema, Mtambani, Idrissa, Makonde, Kisumu, Kagera, Nuur, Palestina, Lindi, Kipata, anza ni hii kwanza.
 
Wewe nilisha kwambia upo chini ya kiwango, funga domo lako, hii ngoma mwachie huyo mzee wako
Mohamed Saidi a.k.a mzee chauchochezi!

Mwaka huu lazima ukatundikiwe drip hilo povu linalokutoka ha ha haa ubondia unautaka lakini unaogopa manundu pole baba mjibu mzee na utuonyeshe huo uchochezi
 
Hiyo misikiti yote inaongozwa na wavaa pedo.


Boom you..!

what have we done to you to the extent of speaking to us so disrespectfully like this?

you are not free,not independent thinker,,can not stand on your own,probably you cant move even your own block..,

let me give you a piece of an advice,,always strive and struggle to search for the truth,,

also you must realize that you ll'get your freedom by letting your enemy know that you'll do anything to get it. Then yo'll get it. It's the only way you'll get it."

you must learn how to think outside the box..
 
Boom you..!

what have we done to you to the extent of speaking to us so disrespectfully like this?

you are not free,not independent thinker,,can not stand on your own,probably you cant move even your own block..,

let me give you a piece of an advice,,always strive and struggle to search for the truth,,

also you must realize that you ll'get your freedom by letting your enemy know that you'll do anything to get it. Then yo'll get it. It's the only way you'll get it."

you must learn how to think outside the box..

Dulla hapo GWALIHENZI na mwezake KIBONDE umewaacha mbali sana kithungu weupe hao!
 
Hiyo misikiti yote inaongozwa na wavaa pedo.

Dhihaka na kejeli dhidi ya Uislam mbona tumewazoe wewe siyo wa kwanza kukejeli.

Unajisumbua bure kuwakejeli Waislam 3.5 billions.
 
Nithibitishe wapi sasa ukitaka kuthibitisha jifanye Muislam ingia Misikitini halafu msifie Nyerere kuwa alikuwa kiongozi muadilifu uone shughuli yake.

Anza na hii Misikiti, Qibrateen, Shadhir, Mtoro, Kichangani, Mwinyimkuu, Takadir, Manyema, Mtambani, Idrissa, Makonde, Kisumu, Kagera, Nuur, Palestina, Lindi, Kipata, anza ni hii kwanza.
Safi sana! kwahiyo unathibitisha kuwa uchochezi wa mzee Mohamedi Saidi umezaa matunda ya chuki! Lakini fahamu wazi kwamba waislam hawapo D'salaam tu.
 
Hawa watu wanapenda vurugu mtindo mmoja badala ya kuhubiri amani wanahubiri chuki na husda taabu kweli kweli.

Safi sana! kwahiyo unathibitisha kuwa uchochezi wa mzee Mohamedi Saidi umezaa matunda ya chuki! Lakini fahamu wazi kwamba waislam hawapo D'salaam tu.
 
Thats why i do alywys telling you that you are not properly organised..!

“If someone puts their hands on you make sure they never put their hands on anybody else again"

They have destroyed our history intentionally,what People like Mohamed Said trying to do is to make things clear,

you can take it,or you can leave it,,ok?

We r' for truth, no matter who tells it. We r' for justice, no matter who it is for or against. We r' human being, first and foremost, and as such We r' for whoever and whatever benefits humanity as a whole.”

We shall stand for the TRUTH..
Dullah, kama kiingereza kinakushinda kwanini unaking'ang'ani? sasa hapo kwenye rangi nyekundu ndio kiingereza gani?
 
Back
Top Bottom