Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Wakikosa hoja wanaanza viroja.
 
Na kina kasnga tumbo, kambona, tuntemeke, kasela bantu, nk
Na wenyewe tuite ni dhuluma dhidi ya ukristo?
 
Na kina kasnga tumbo, kambona, tuntemeke, kasela bantu, nk
Na wenyewe tuite ni dhuluma dhidi ya ukristo?

Unaweza kutufahamisha hawa kwa nini walikosana na Nyerere.
 

Blink blink blink.
 

Mkuu Ritz, heshima kwako

kwanza uelewe sina interest na mambo ya Dini kwangu hayana nafasi

Pili labda nikwambie nimemsoma Moh kwa muda Mrefu na kwenye minakasha yote inayomuhusu Moh nimeifatilia mwanzo mpaka mwisho, katika moja ya maoni yake alizungumzia kuwa nyuma kielimu kwa baadhi ya maeneo yenye Waislam. Na katika kumalizia alilifanya hilo tukio lilikuwa ni makusudi ya Serikali ama niseme ni njama za Nyerere na Kanisa lake la Kikatoliki dhidi ya Waislam

Hiyo hoja ya Mzee Moh imechukuliwa nzima nzima na Waislamu wengi na hata wasomi wakiwemo DULLAH MSAVIVOR, ukimsoma Dullah anakwambia mamake ndio alimuencourage kupiga shule na alipofika sekondary walijikuta wako (Waislamu) wachache na moja kwa moja aliingia kwenye upepo wa Mzee Moh kuwa Waislam walibaguliwa kuingia Masekondary

Hoja ni kuwa
Utafiti ufanywe wa kujua sababu hasa ni nini?
mimi nilieleza hivi
1) Utamaduni na mila unaweza kuwa ni chanzo kikubwa kwa baadhi ya maeneo kutozingatia Elimu, hili nililiona usukumani miaka ya nyuma kwa wengi kushiriki zaidi kwenye ufugaji na kilimo. pia inaweza kuwa kwenye maeneo yenye Waislamu wengi pia kutozingatia Elimu kutokana na mila ama Tamaduni zao (kuolewa mapema, elimu za unyago na jando) uvuvi?

2) Nilizungumzia Dini pia inaweza kuwa chanzo cha watu kutofatilia Elimu, hapa tatizo kubwa ni nani anatafsiri maandiko ya Dini na anayatafsiri kwa malengo gani?. Kuna imani iliyokuwepo ZAMANI kuwa Elimu ya Kizungu ni ya Kikristo hivyo kwa Muislamu kushiriki hiyo elimu ni sawa na kujisilimisha na kuwa Mmisheni, swali ni kuwa watu wa hayo maeneo wameelimishwa kuwa hilo sio sahihi? na elimu ya Kizungu haihusiani na mtu kusilimu?
Je tafsiri na Mahubiri kama ya kule Nigeria ya BOKO HARAM, yaani Elimu ya Kimagharibi ni haramu ni tafsiri sahihi ya Uislamu? je tunajuaje kama hayo yanayotafsiriwa Nigeria hayatafsiriwi kule Kilwa, Tabora, Kigoma nk?

Nadhani Mzee kama Moh angejitahidi kutumia nguvu na wakati wake kuwaelimisha Waislamu kuhusu umuhimu wa Elimu hasa katika maeneo yenye uvivu na kutozingatia elimu kama kule Kilwa nk, zaidi ya kuwaonyesha kuwa kukosa kwao elimu kumesababishwa na Nyerere na Kanisa lake la Kikatoliki
 
Last edited by a moderator:

Mkuu Ritz, heshima kwako

kwanza uelewe sina interest na mambo ya Dini kwangu hayana nafasi

Pili labda nikwambie nimemsoma Moh kwa muda Mrefu na kwenye minakasha yote inayomuhusu Moh nimeifatilia mwanzo mpaka mwisho, katika moja ya maoni yake alizungumzia kuwa nyuma kielimu kwa baadhi ya maeneo yenye Waislam. Na katika kumalizia alilifanya hilo tukio lilikuwa ni makusudi ya Serikali ama niseme ni njama za Nyerere na Kanisa lake la Kikatoliki dhidi ya Waislam

Hiyo hoja ya Mzee Moh imechukuliwa nzima nzima na Waislamu wengi na hata wasomi wakiwemo DULLAH MSAVIVOR, ukimsoma Dullah anakwambia mamake ndio alimuencourage kupiga shule na alipofika sekondary walijikuta wako (Waislamu) wachache na moja kwa moja aliingia kwenye upepo wa Mzee Moh kuwa Waislam walibaguliwa kuingia Masekondary

Hoja ni kuwa
Utafiti ufanywe wa kujua sababu hasa ni nini?
mimi nilieleza hivi
1) Utamaduni na mila unaweza kuwa ni chanzo kikubwa kwa baadhi ya maeneo kutozingatia Elimu, hili nililiona usukumani miaka ya nyuma kwa wengi kushiriki zaidi kwenye ufugaji na kilimo. pia inaweza kuwa kwenye maeneo yenye Waislamu wengi pia kutozingatia Elimu kutokana na mila ama Tamaduni zao (kuolewa mapema, elimu za unyago na jando) uvuvi?

2) Nilizungumzia Dini pia inaweza kuwa chanzo cha watu kutofatilia Elimu, hapa tatizo kubwa ni nani anatafsiri maandiko ya Dini na anayatafsiri kwa malengo gani?. Kuna imani iliyokuwepo ZAMANI kuwa Elimu ya Kizungu ni ya Kikristo hivyo kwa Muislamu kushiriki hiyo elimu ni sawa na kujisilimisha na kuwa Mmisheni, swali ni kuwa watu wa hayo maeneo wameelimishwa kuwa hilo sio sahihi? na elimu ya Kizungu haihusiani na mtu kusilimu?
Je tafsiri na Mahubiri kama ya kule Nigeria ya BOKO HARAM, yaani Elimu ya Kimagharibi ni haramu ni tafsiri sahihi ya Uislamu? je tunajuaje kama hayo yanayotafsiriwa Nigeria hayatafsiriwi kule Kilwa, Tabora, Kigoma nk?

Nadhani Mzee kama Moh angejitahidi kutumia nguvu na wakati wake kuwaelimisha Waislamu kuhusu umuhimu wa Elimu hasa katika maeneo yenye uvivu na kutozingatia elimu kama kule Kilwa nk, zaidi ya kuwaonyesha kuwa kukosa kwao elimu kumesababishwa na Nyerere na Kanisa lake la Kikatoliki
 
Last edited by a moderator:



Nilichosimamia mimi ambacho wewe hukukielewa vizuri ndugu yangu ni kwamba tuliokawa smart darasan tulikuwa wengi,,

Lakin tuliochukuliwa kwenda maeneo kama yale tulikuwa ni wachache sana hali ya kuwa uwezo tulikuwa nao..,

Mohamed Said hoja zake umezielewa au umezizichukua kwa hisia zako kama wenzako??
 

My point is..

TULIOKAWA TUNAFANYA JUHUDI BINAFSI TULIKUWA WENGI,TULIKUWA TUNAENDA MADRASA NA KUJIBIDIISHA SANA WITH SECULAR EDUCATION,KWA KUWA TULIKUWA TUNAJUA KWA MASKINI KAMA SISI UKIACHILIA MBALI UISLAM WETU,SILAHA YETU ILIKUWA NI KUPIGA KITABU NA KUWA NA MATOKEO YA UHAKIKA,CHA AJABU TULIOFANIKIWA TUKAJIKUTA NI WACHACHE,TUKAJIULIZA SANA,NI KWA NINI??

MOHAMED SAID ANATUPA MAJIBU MURUA KABISA DHIDI YA YALE MASWALI YETU..
 


Hilo la utamaduni wa sehemu nakubaliana nawewe moja kwa moja,,

Ila hoja yangu kuu ni kwamba tuliokawa tuna juhudi tulikuwa wengi sana,lakini mwishon tulijikuta tuliosonga mbele sa safari tulikuwa wachache sana kupitiliza..
 

Hisia za Wenzangu wakina nani?
Ukweli upo na simamia ukweli Daima

siko hapa kubishana
 
Ujinga ni mzigo!
 
Ujinga ni mzigo!

My alma mater was books,wiseful discussions, a good library.... I could spend the rest of my life reading, just satisfying my curiosity,,

And not wasting my time talking with Ridiculous People like you..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…