Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Kituko,

Kwanza unatakiwa hujue Uislam na ujinga ni vitu viwili tofauti, Surah ya kwanza kwenye Quran tuaambiwa IQRA.

"Iqra bismi rabbikalla dhi khalaq. Khalaqal insana min alaq. Iqra WA rabbukal akram. Alladhi 'allama bil qalam. 'Allamal insana malam ya'lam, "

which means
"Read in the name of your Lord who created, created man from a clot. Read, for your Lord is most Generous, Who teaches by means of the pen, teaches man what he does not know." (96: 1-5).

Usiufananishe Uislam na matukio ya Boko Haram, labda na mimi nikuulize Askofu Kibwetere alikuwa anafanya mafundisho ya Ukirsto, hebu wapitie hawa wasomi wa Kiislam hapa chini halafu ujiulize Uislam na kusoma huna uhusiano gani.

[h=2]Astronomers and astrophysicists[/h]

[h=2]Chemists and alchemists[/h] Further information: Alchemy (Islam)


[h=2]Economists and social scientists[/h] Further information: Islamic sociology and Islamic economics in the world
See also: List of Muslim historians and Historiography of early Islam

 
[h=2]Mathematicians[/h] Further information: Islamic mathematics: Biographies
 
Sikukuuliza kwa sababu najua hutoweza kulijibu.
Hata ukweli wa historia ya waislamu katika kudai uhuru wa Tanganyika nayo unaijua isipokuwa wewe ni mshindani.Upo hapa kujaribu kuipindisha lakini unajua kuwa kazi hiyo mbele ya Mohammed Said,Zomba na Ritz imekuwa ngumu.
Kutokujibu kwako na kutokuuliza kwako maswali ni namna tu ya kurefusha mjadala
Kupotea kwako na kujitokeza kichwa halafu ukarudi nyuma najua umeelewa somo na wasomaji nao wamejua kuwa kabla ya hapo ulikuwa hujui kitu.
 
Moderators mmefunga thread nyingi za udini, lakini mbona hii bado inadunda? Hapa hakuna cha historia wala nini, NI UDINI TU!
 
My alma mater was books,wiseful discussions, a good library.... I could spend the rest of my life reading, just satisfying my curiosity,,

And not wasting my time talking with Ridiculous People like you..
Ujinga unakutesa, jitahidi kuutua mzigo wa ujinga!
 
Moderators mmefunga thread nyingi za udini, lakini mbona hii bado inadunda? Hapa hakuna cha historia wala nini, NI UDINI TU!

Naona umedandia daladala la Kitunda wakati wewe unaelekea Mwenge.
 
Kwene gazeti moja hapa Tz jana nimeona wito wa mdahala / mhadhara / semina ilioandaliwa na jumuia fulani na wanasema watafanzia hapo UDSM na mmojawapo wa wakhutubi ni msomi wetu Mohamed Said (pengine labda si Mohamed huyuhuyu, nitaomba tuelekezwe vinginevyo). Tunaomba akiwa muungwana basi akadarasisha contents za kinachoongelewa basi kiwafikie wengi zaidi. Ni ktk muktadha huohuo, Je hiyo ndio nature ya kudarasisha huku ndiko kule anakojinasibisha ktk vyuo anavoviita vya "Merekani na Ulaya" ?

Inshallah twasubiri mrejesho/
 
Sasa ukiitwa mpumbavu unabisha nini? wakati huo wewe unapata div 1. ya single digt NECTA ilikuwa imeshikwa na waislam? au wewe ulikuwa umeupeleka uislam wako likizo? Nilisha waambia matutusa kama ninyi daima hamtumii akili zenu, mnaazima akili za kichochezi za Mohamedi Saidi, baadae akili zenu zikirudi mnaanza kuweweseka mambo mliyo kuwa mnayapinga bila kutumia akili! shame on you!
 


wewe si hutumii akili katika kufikiri?

utaelewa vipi mantiki yangu,mimi nishakupuuza tokea mda mrefu sana..

nakukanyaga kanyaga tuh kama makubazi ya kwendea msalani kwa hoja..
 


Najua NECTA Wasingekua na jeuri ya kunipa matokeo ya ajabu mimi,,ile shule MZUMBE special school jina limenilinda,wanajua wangeaibika,hasa wakizingatia continous assessment zangu walikua nazo na taarifa zangu wanazo wakaamua kutoa kwa shingo upande,,

daima tutasimamia kwenye ukweli kuhusu hili..
 
wewe si hutumii akili katika kufikiri?

utaelewa vipi mantiki yangu,mimi nishakupuuza tokea mda mrefu sana..

nakukanyaga kanyaga tuh kama makubazi ya kwendea msalani kwa hoja..
Ukiitwa mpumbavu unatokwa mapovu wakati unachoandika hapa ni upumbavu mtupu! Nakuuliza hivi, wakati wewe na waislam wenzako mnapata div.1. za digt 1 pale Mzumbe, NECTA ilikuwa mikononi mwa waislam? au wewe uliahirisha kwanza uislam wako? kwa Lugha nyepesi mfumo kristo ulienda likizo?
 
Hilo la utamaduni wa sehemu nakubaliana nawewe moja kwa moja,,

Ila hoja yangu kuu ni kwamba tuliokawa tuna juhudi tulikuwa wengi sana,lakini mwishon tulijikuta tuliosonga mbele sa safari tulikuwa wachache sana kupitiliza..
Aaa, chinga boy, habari za Newala au Tandahimba! msomi wa div.1 ya single digt Mzumbe Special school hata kiswahili kinakupa shida!
 
wewe si hutumii akili katika kufikiri?

utaelewa vipi mantiki yangu,mimi nishakupuuza tokea mda mrefu sana..

nakukanyaga kanyaga tuh kama makubazi ya kwendea msalani kwa hoja..
Dullah wakati unapata div.1 Mzumbe mfumo kristo ulikwenda likizo? mbona hujibu maswali msomi wa div.1!
 
Nilishakuambia chinga boy, matutusa kama ninyi hamtumii akili zenu! Mohamedi Saidi kawalisha ----- sasa mnawashwa mwili mzima mnashindwa hata mkune wapi! shame on you.
 
Sijakuelewa. Funguka.
Ni kwamba swla la kutofautiana na mwl halikufuata imani ya mtu,
Ila leo hii nyie wadini kila jambo mnaliangalia kwa dini.
Mfano basil mramba, yona na mgoja wapo mahakani wakituhumiwa kwa ufisadi wao.
Fikili hao wote wangekuwa waislam leo hii misikitini yangeongelewa tofauti kabisa.
Leo waziri wa elimu anatakiwa ajihuzulu lakini watu wanamtetea kulingana na imani yake.
Mwl, nyerere hakuwa hivyo ukienda tofauti na ajenda za kuliangamiza taifa hato jali wewe ni nani utaishia lupango tu bila kujali unaswali wapi.
 
Nilishakuambia chinga boy, matutusa kama ninyi hamtumii akili zenu! Mohamedi Saidi kawalisha ----- sasa mnawashwa mwili mzima mnashindwa hata mkune wapi! shame on you.


Naona leo una sumbuka sana na mimi,hata nikikuambia nakupuuza bado unazidi kujitoa ufaham,,

NAULIZA MODS,KWANINI MNASUMBUKA KUYAFUTA NA KUYAEDIT MANENO YA HUYU MTU?

WENGINE KAMA ZOMBA MNAWAPIGA BAN,WENGINE WENYE KUTOLEANA MANENO YA KIFEDHURI MNAMUACHIA ANAHARIBU HALI YA HEWA HUMU NDANI??

MODS,SOMETIMES MNATUPA SHAKA SANA,NI KWAMBA MMEZIDIWA NA KAZI AU NAMNA GANI??

 
Kwa ututusa wako chinga boy utakuja na single yako mpya ya MODS wana mfumo kristo! Pole sana msomi wa Mzumbe Special School na div.1.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…