Ritz,Madrasa ndiyo zilizowafanya wazee wetu kuishi vizuri na Nyerere.
..that is 50% of the truth.
..wazee wa D'Salaam wangekuwa wamesoma mpaka Edinburgh wasingemhitaji Mzanaki mvaa makaptura.
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ritz,Madrasa ndiyo zilizowafanya wazee wetu kuishi vizuri na Nyerere.
Mohamed Said,Kituko,
Inaelekea mnakasha umeingia katikati.
Tatizo la vita kati ya Waislam na Kanisa Katoliki hadi
EAMWS kupigwa marufuku na Nyerere na Sheikh Hassan
bin Amir kufukuzwa nchini ni baada ya kuthubutu kujenga
chuo kikuu mwaka 1968.
Sasa wewe unatuhimiza sisi umuhimu wa elimu kama vile
hatujuia umuhimu wake!
Tulia soma post taratibu utaelewa Insha Allah.
Na ni ngumu pia kaumini kuwa hizo zilikuwa local contribution kutoka kwa wananchi na wala si donation iliyosemwa na mwandishi hapo post za nyuma kuwa wakristo na taasisi zao zinaendeshwa kwa donation.Mohamed Said,
..tumesoma ktk vyombo vya habari kwamba kuna taasisi ya Kiislamu imejenga shule 7 na misikiti 700.
..katika mazingira kama hayo inakuwa vigumu sana kujenga hoja kwamba suala la elimu mnalitilia mkazo unaostahili.
cc: Ritz, Jasusi, Nguruvi3, Kituko
mzee Said unafikiri Nyerere angempa nafasi gani Abdul Sykes baada ya uhuru?
MM,
Sidhani kama tatizo ni kugawana madaraka.
Kitabu changu nia yake ilikuwa kueleza historia
ya kweli ya harakati za kudai uhuru.
Literacy Rates of the World - Bottom countries with the lowest literacy rates...nchi zinazoshika mkia kwa kuwa na watu mbumbumbu wasiojua kusoma na kuandika;
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] 1. Guinea[/TD]
[TD] 41.0[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] 2. Senegal[/TD]
[TD] 39.3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] 3. Somalia[/TD]
[TD] 37.8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] 4. Sierra Leone[/TD]
[TD] 35.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] 5. Chad[/TD]
[TD] 34.5[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] 6. Mali[/TD]
[TD] 31.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] 7. Niger[/TD]
[TD] 28.7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] 8. Afghanistan[/TD]
[TD] 28.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] 9. Burkina Faso[/TD]
[TD] 21.8
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Guinea - Approximately 85% of the population is Muslim
Senegal - Islam is practiced by approximately 94 percent of the country's population
Somalia - Muslims are estimated at over 90%
Sierra Leone - Muslims are estimated to comprise 60% of its population
Chad - 54% areMuslim, 20% Roman Catholic, 14% Protestant, 10% animist, and 3% atheist.
Mali - An estimated 90% of Malians areMuslim (mostly Sunni and Sufi)
Niger - Between 80 to more than 98 percent of the population is Muslim
Afghanistan - Over 99% of the Afghan population is Muslim
Sudan - N/A
Burkina Faso - 60.5% of the population practice Islam, and that the majority of this group belong to the Sunnibranch
Naona Mwalimu Nyerere alifanya kazi kubwa ya kuwanyima elimu Waislaam...si Tanzania tu bali Afrika na Bara Asia.
Ritz
Una uhakika gani kuwa walioko kwenye zile list za majina ya wasomi wa kiislam, ni waislam kweli? Ninacho kiona pale ni majina ya kiarabu arabu. Kumbuka kuwa hata wakristo na wapagani wa huko wanatumia majina hayo hayo.
Ritz,Ni kweli unachosema huku nyuma wote walikuwa wanatumia majina hayo hayo.
Lakini hawa niliowataja mimi wote ni Waislam kama unataka kujilidhisha basi mpitie moja mmoja usome maelezo yao yameandikwa.
Ritz, wewe endelea kumeza ngano lakini kumbuka "good is never enough where better is possibe" Hata tungekiri kuwa wazee wa Mohamed Said walikuwa good, the truth remains that they weren't good enough...they may have been good, but there was someone better being awaited. Once Nyerere stepped in, like tsunami, there was no stopping him...Abdulwahid Sykes tried, Zuberi Mtemvu tried, AMNUT tried, UMT tried but they all fell by the wayside. Better, like always, triumphed in the end and marched on!
Ritz, take a moment and ask yourself, why didnt Abdulwahid, with all his flamboyance, wisdom and leadership skills, become the first President of TANU? Why didnt Abdulwahid, with all his following, admiration and unparalleled charm, become the first President of Independent Tanganyika? Who, before 1961, made sure that the names of "wazee wa Mohamed" didnt spread like wild fire across Tanganyika and all corners of the country and so be able to live on by themselves without some disgruntled Mohamed Said digging them up? The answer to all these questions is that they didnt have what it takes to be that kind of leader.
Ritz, dont just be an automaton, totally lacking in independent judgment like Mohamed Said's zombie! Be curious, ask yourself why, inspite of his ridicuolous claims, he is playing down the roles of the first Presidents of AA in 1929 (Cecil Matola), TAA in 1948 (Dr. Vedasto Kyaruzi) and TANU in 1954 (Mwalimu Julius Nyerere) and why, not one of his heroes, was ever a founder President! Ask yourself why he is trying his best to playdown the role of Governor Sir Donald Cameroun in the founding of AA and even providing a dwelling? why, why, why!
Lakini hili hujalifanya; umelalamika kuwa wazee wako walisahauliwa au hawakuenziwa baada ya Uhuru. Swali ni ulitaka Nyerere afanye nini mara baada ya Uhuru kwa wazee wako?
a. Wapewe nafasi fulani za uongozi
b. Kila anapotajwa Nyerere na wao watajwe
c. Nyerere angewapa malipo ya michango yao ambayo wengine hata walifilisika (Serikali ingewalipa kitu fulani kwa mchango wao)
d. Nyerere angepitia vitabu vyote ambavyo vimenadikwa ili kuona kama 'wenzie' wametajwa
e. ...
Ungependa nini kifanyike kati au nje ya hayo?
Ritz,
..ni kweli elimu dunia ilianzia huko kwa Waislamu, lakini wazungu walikuja kuwapiga bao.
..kuna Muislamu uliyemtaja amepata Nobel Prize ya Chemistry, umesahau kueleza kwamba ni raia wa Marekani na huko ndiko anakofundisha.
Cha muhimu nilichojifunza kutokana na mnakasha huu ni kuwa makini na waandishi.
Yupo jamaa mmoja tukiwa wadogo alikuwa anatutisha sana, "Usiende kwa yule bibi ni mchawi na sisi
sote huwa hatuendi....atakuroga. Ameua wengi tena anachukia sana watu wa mtaa wetu".
Na kweli kwa kiasi fulani alifanikiwa kwa sababu alikuwa anajua kuumba uongo na kuubadilisha kuwa "ukweli".
Wapo wenzangu ambao walianza kumuogopa yule bibi na kumtenga. Lakini mimi kuna wakati nilikuwa nikienda
na sikurogwa kama ilivyokuwa inasemwa.
Ajabu moja kubwa ni hii: Yule
bibi alikuwa ana uwanja mkubwa na sote pamoja na yule jamaa mzushi tulikuwa tukienda na kucheza raha mustarehe na kwa amani kwenye huo uwanja.
Tena wakati mwingine tunachuma maembe kwenye miti yake bila bugdha!!
Lakni yule mzushi haishi vituko kumsema vibaya yule bibi, na zaidi wapo waliokuwa wanamfuata yule jamaa kwenye
hadithi zake za uzushi. Sasa baada ya kukua nikagundua yule bibi alichukiwa kwa sababu wakati huo alifanikiwa
kimaisha tofauti na Babu/bibi yake yule mzushi. Jambo zuri kuhusu hili ni kuwa zile chuki hazikurithishwa kwa kizazi
cha mzushi.
What a coincidence kwamba kila nikikumbuka ya utotoni kama hilo huwa inanisaidia kutafakari hasa kwenye aina ya mnakasha kama huu!
hii niliipata sehemu, sijui ina ukweli????
Ritz,JokaKuu,
Kwanza naomba unielewe mie kuyaleta hayo majina siyo kwa ajili ya kubishana.
Kuna mwezetu nilikuwa najadiliana naye akasema akasema dini ya Kiislam ndiyo sababu ya watu kushindwa kusoma nikamwambia siyo kweli katika Uislam Surah ya kwanza kwenye Qur'an IQRA tumeambiwa tusome.
Ndio nikamuekea hayo majina nadhani umenielewa hayo mengine siwezi kuchangia.
Ritz,
..ulipaswa ku-aknowledge kwamba ile trend ya Waislamu kuwa ndiyo vinara wa elimu na maarifa ilifika mahali ikawa-reversed.
..elimu na maarifa vilitoka kwa Waislamu vikaenda Ulaya kwa "Wakiristo" na hao ndiyo walioleta "Ukiristo" huku Afrika.
..mazingira hayo yamechangia kwa kiwango kikubwa hali tuliyonayo sasa hivi Tanzania. ndiyo unaona ile taasisi ya Waislamu imejenga shule 7 na misikiti 700.
..YES, Qur'an inahimiza Waislamu kusoma lakini facts on the ground zinanielekeza kuamini kwamba Waislamu hawazingatii maamrisho hayo.
Upuuzi huo wa kupenda penda kucopy na kupaste bila kufaham uhalisia wake,,
Propaganda kama hizo wanaozishabikia ni watu wasio na upeo tuh kama wewe
je kuna ukweli?There are anestimated 1,476,233,470 Muslims on the face of the planet:
one billion in Asia,400 million in Africa, 44 million in Europe and six million in the Americas .
Every fifth human being is a Muslim; for every single Hindu there are twoMuslims, for every Buddhist there are two Muslims and for every Jew there areone hundred Muslims.
Ever wondered why Muslims are so powerless? Here is why:There are 57 member-countries of the Organization of Islamic Cooperation (OIC),and all of them put together have around 500 universities; one university forevery three million Muslims.
The United States has 5,758 universities and Indiahas 8,407.
In 2004, Shanghai Jiao Tong University compiled an 'Academic Rankingof World Universities', and intriguingly, not one university fromMuslim-majority states was in the top 500. As per data collected by the UNDP, literacyin the Christian world stands at nearly 90 per cent and 15 Christian-majoritystates have a literacy rate of 100 per cent.
A Muslim-majority state, as a sharp contrast, has an average literacy rateof around 40 per cent and
Dullar, Intelligent people always do not boast, they show their abilities. Only imbecile and empty headed people like you keep on boasting with their pseudo-intelligence. You haven't shown anything remarkable in this debate more than your religious hooliganism."So early in my life, I had learned that if you want something, you had better make some Great efforts.
Islam teaches us so,something that ridiculous boy like you wont come to understand,,
You keep on showing me your stupidity,and I'll show you my intelligence..
You don't have to be a man to understand reality which MOHAMED SAID IS TELLING YOU. All you have to do is to be an intelligent human being...
hide your stupidity Mr Fool..
Lakini hili hujalifanya; umelalamika kuwa wazee wako walisahauliwa au hawakuenziwa baada ya Uhuru. Swali ni ulitaka Nyerere afanye nini mara baada ya Uhuru kwa wazee wako?
a. Wapewe nafasi fulani za uongozi
b. Kila anapotajwa Nyerere na wao watajwe
c. Nyerere angewapa malipo ya michango yao ambayo wengine hata walifilisika (Serikali ingewalipa kitu fulani kwa mchango wao)
d. Nyerere angepitia vitabu vyote ambavyo vimenadikwa ili kuona kama 'wenzie' wametajwa
e. ...
Ungependa nini kifanyike kati au nje ya hayo?
Mag3,
Better to stumble with toe than toungue.
Hujui unachokiandika unalazimisha vitu haya mambo hayaitaji porojo yanaitaji uzame kwenye historia ya uhuru wa Tanganyika.
Angalia unavyochanganya miaka tu hujui rais wa kwanza wa AA alikuwa nani hujui rais wa kwanza wa TAA alikuwa nani hujui historia ya TANU wewe na Nyerere tu.
Endelea kuwadanganya jamaa zako.