Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,301
Sasa unataka tuanzishe mjadala mwingine wa imani zetu, kwangu mimi amani itakuwepo tukiepusha hizi 'religious prejudices'.Wewe unasema ni ATHEIST mtu ambaye anaamini kwamba hakuna Mungu, mkanamungu.
Sasa hiyo amani unayosema itatoka wapi bila Mungu.
Wewe ni ATHEIST halafu unaogopa Uislam kuwa unaleta uchochezi uoni kama unajichanganya.
G,
Nakuwekea tena maneno ya Sivalon na unijibu Insha Allah:
The second book is by Dr John C. Sivalon, who in his expose, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, [1] unmasks a conspiracy in the government to subvert Islam.
Sivalon revealed that the Catholic Church as far back as 1961 was worried by two prospects. First, was the unity between the Muslim madhheb (sect) of Sunni, Bohora, Ismailia and Ithnasheri in Tanganyika; and the second, was the transfer of the headquarters of the East African Muslim Welfare Society (EAMWS) from Mombasa to Dar es Salaam.
The Church was worried that the resources in the hands of rich Asian Muslim community in East Africa, coupled with the political power of African Muslims, particularly in Tanganyika, would endanger Christian interests in East Africa.
The Church therefore declared Islam as its enemy in the country and plotted to thwart its progress.[2]
[1] John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, (Ndanda, 1992).
[2]Ibid. p 37.
Hapa sijaweka Bergen wala Njozi.
Kanisa limetahayari liko kimya wewe usie na dini ndiye unawajibia hii hamu kubwa sana ya kutaka kulijibia Kanisa inaletwa na nini?
Kwa nini huliulizi Kanisa ukweli wa haya yalosemwa?
Unalo?
Kama kanisa au mtu mwingine analidhika na uchochezi wako mimi hayo hayanihusu hata kidogo, lakini Mohamedi, amini usiamini amani na utangamano wa taifa letu ndio vinatupa fursa hii adhimu ya kufanya mnakasha huu kwa raha zetu. La si hivyo sasa hivi tungekuwa tunaulizana majina kwa ajili ya kutaka kuuana. Ni wajibu wangu na wako kuitunza amani hii kwa gharama yoyote.G,
Nakuwekea tena maneno ya Sivalon na unijibu Insha Allah:
The second book is by Dr John C. Sivalon, who in his expose, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, [1] unmasks a conspiracy in the government to subvert Islam.
Sivalon revealed that the Catholic Church as far back as 1961 was worried by two prospects. First, was the unity between the Muslim madhheb (sect) of Sunni, Bohora, Ismailia and Ithnasheri in Tanganyika; and the second, was the transfer of the headquarters of the East African Muslim Welfare Society (EAMWS) from Mombasa to Dar es Salaam.
The Church was worried that the resources in the hands of rich Asian Muslim community in East Africa, coupled with the political power of African Muslims, particularly in Tanganyika, would endanger Christian interests in East Africa.
The Church therefore declared Islam as its enemy in the country and plotted to thwart its progress.[2]
[1] John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, (Ndanda, 1992).
[2]Ibid. p 37.
Hapa sijaweka Bergen wala Njozi.
Kanisa limetahayari liko kimya wewe usie na dini ndiye unawajibia hii hamu kubwa sana ya kutaka kulijibia Kanisa inaletwa na nini?
Kwa nini huliulizi Kanisa ukweli wa haya yalosemwa?
Unalo?
Mwache Allah mwenyewe atoe hukumu yake dhidi ya mtu huyo. Sasa kama hafai hata kuzungumza nae mtu huyo atapataje ujumbe wa huyo Allah? Au unadhani kutumia jina la Allah kueneza chuki zako binafsi ndio uungwana?Kwani huyu Allah hajui kuna watu wanatofautiana na mawazo yako maovu?Ritz,
Mie hao hawanipi shida kabisa.
Binadamu yoyote anaemtolea jeuri Allah
wala hafai hata kuzungumzanae.
Kama kanisa au mtu mwingine analidhika na uchochezi wako mimi hayo hayanihusu hata kidogo, lakini Mohamedi, amini usiamini amani na utangamano wa taifa letu ndio vinatupa fursa hii adhimu ya kufanya mnakasha huu kwa raha zetu. La si hivyo sasa hivi tungekuwa tunaulizana majina kwa ajili ya kutaka kuuana. Ni wajibu wangu na wako kuitunza amani hii kwa gharama yoyote.
Soma michango ya wenzako huko nyuma utajua nini kimejili mpaka kauli hii kuwekwa hapa.Mkuu Gwalihenzi Kujua au kuifichua Historia iliyofichwa siyo UCHOCHEZI.....ni tabia na mbinu ya kundi faidika kuficha ukweli kwa maslahi yao.....Hoja zitolewe na watu watajua nani MCHOCHEZI anayefaidika na mfumo uliojificha.....UNAKUMBUKA hadithi ya Sungura na rafiki yake Fisi?......Nasisitiza Katika Nchi yetu kwa Mtazamo wangu kuna kundi ambacho haliko sawa kwa maslahi ya Taifa.....
Watu kama hawa wakiumwa ndio utajua ukweli wao niwaoga vibaya kwavile sasahivi ana afya za safari lager anaona dunia yote mali yake pole bro avator yako kwanza inadhalilisha mama zetu!Sasa unataka tuanzishe mjadala mwingine wa imani zetu, kwangu mimi amani itakuwepo tukiepusha hizi 'religious prejudices'.
Hivi uwakamate Masheikh wa Waislaam uwaweke rumande, mmoja baada ya mwingine, wengine uwafukuze nchi, wengine uwahamishe kutoka makazi yao ya asili kuwapeleka kwingine, ufunge jumuia ya Kiislaam iliyokuwa na inaonesha kuleta maendeleo ya haraka haraka kwa Waislaa, Yote hiyo kwako wewe siyo dhulma?
Watu kama hawa wakiumwa ndio utajua ukweli wao niwaoga vibaya kwavile sasahivi ana afya za safari lager anaona dunia yote mali yake pole bro avator yako kwanza inadhalilisha mama zetu!
Watu kama hawa wakiumwa ndio utajua ukweli wao niwaoga vibaya kwavile sasahivi ana afya za safari lager anaona dunia yote mali yake pole bro avator yako kwanza inadhalilisha mama zetu!
Mwache Allah mwenyewe atoe hukumu yake dhidi ya mtu huyo. Sasa kama hafai hata kuzungumza nae mtu huyo atapataje ujumbe wa huyo Allah? Au unadhani kutumia jina la Allah kueneza chuki zako binafsi ndio uungwana?Kwani huyu Allah hajui kuna watu wanatofautiana na mawazo yako maovu?
RitzTatizo siyo Waislam ungebadilika, tatizo Wazee wetu walikuwa wametoshwa na historia alichofanya Mohamed Said ni kuwarudisha.
Kama kanisa au mtu mwingine analidhika na uchochezi wako mimi hayo hayanihusu hata kidogo, lakini Mohamedi, amini usiamini amani na utangamano wa taifa letu ndio vinatupa fursa hii adhimu ya kufanya mnakasha huu kwa raha zetu. La si hivyo sasa hivi tungekuwa tunaulizana majina kwa ajili ya kutaka kuuana. Ni wajibu wangu na wako kuitunza amani hii kwa gharama yoyote.
Ritz
Hivi wewe umepofushwa na ufuasi wako kwa Moh Said mpaka unafikiri kuwa tunampinga kila kitu?
Yeye akiandika Mshume Kiyate na Nyerere na Abdu walikuwa wanakula mara tano kwa siku au walikuwa wanacheza bao au mpira, sisi hatuwezi kupinga. Mbona ni stori nzuri tu, tena zipo entertaining..
Uchochezi wake ni ule unao-emanate kwenye hisia zake. Na hisia hizo kaziweka makusudi ili kuamsha chuki kwa waislam. Ni hisia hizo ndizo tunazopinga.
Kwa mfano atakwambai:"Nyerere hakupenda historia ya TANU ihusishwe na waislam"-Hayo na mengine mengi ya kihisia, ukimuuliza ushahidi anaji-quote mwenyewe, na mara nyingine anarudia kwa ku-paste ka-passage kale kale ka Sivalon. Tukimbana sana, anasema
"church lobby did this or that against muslims"
"Nyerere na kanisa waliua EAMWS ambayo ingejenga chuo kikuu cha waislam""sijibu kila post",Na mara nyingine anatusemea hisia zetu
"mdomo haumkatai bwana wake""Ritz/Zomba hawa ndugu zetu wamestushwa na historia niliyoandika mimi"
"Hawapendi niliyoandika, wanataka historia ianzie na kuishia kwa nyerere"
Stori zake ni nzuri na hata kama kaamua kuandika kuhusu wazee waliosahaulika, it is well and good. Hatuna shida na hilo. Ambacho hatukubaliani nacho ni hizo hisia alizoziingiza kwa makusudi ili kulazimisha CHUKI YAKE BINAFSI KWA NYERERE igeuke kuwa chuki ya Waislam dhidi ya Wakristo. Hizo hisia ndizo tunazipinga na tutazipinga, hata kama kitabu chake kitakuwepo kwa miaka mia moja.
Sema historia ya uhuru iliyoandikwa na CCM kivukoni! mbona waandishi wengine hawajafuta. Sasa wewe umekuja na histohisia zaidi badala ya historia na ndio maana huwa tunakushangaa kwa nini hukwenda kumhoji Nyerere mweenyewe alipokuwa hai ili kujilidhisha na simlizi za wazee wako. Au na wewe ulibeba chuki dhidi ya Nyerere? Haiingii akilini kabisa kumuacha mchezaji mkuu na ukawakumbatia watazamaji.
Barubaru,
..lakini Mohamed Said naye amerudia makosa ya "historia iliyoandikwa Kivukoni", na kuongeza mengine ya kwake.
..kwa mtizamo wangu, kosa la kwanza la Mohamed ni kuandika historia as if harakati za uhuru zilianzia na kumalizikia na jamaa wa Gerezani.
..kosa la pili, ni juhudi zake za kudunisha michango wa wa-Tanganyika wengine, hususan, Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
..kuna kipindi wananchi wa Usukumani ndiyo walikuwa wachangiaji wakubwa wa chama cha Tanu. Sasa nani alikipeleka chama Usukumani? Nini kilisababisha Tanu ikawa maarufu Usukumani?
..kosa la tatu, ni haya mambo yake ya udini-udini huku akidai kwamba anawakilisha wazee wa waasisi wa Tanganyika. Mohamed Said is an Islamist, na wale wazee wa D'Salaam, pamoja na kwamba walikuwa Waislamu, lakini ninashawishika kuamini hawakuwa na tabia na mitizamo kama hii ya Mohamed Said.
..Kuna makosa aliyokuwa akiyafanya mkoloni; hali ya kufunguka wazalendo wa Tanganyika ktk kudai haki zao; halafu Tanu kutumia mianya hiyo kujipatia uhalalali ktk umma wa wa-Tanganyika. Kwa mtizamo wangu Mohamed Said ameshindwa kuunganisha hizo pieces katika uandishi wake wa historia ya uhuru wa Tanganyika.
..Najua majibu kwa hoja yangu yatakuwa "basi na wewe andika kitabu chako". well, mimi sio mwandishi wa vitabu. Lakini niongeze, ndoto yangu ni kwamba in our life time atokee mwandishi ambaye ataandika historia yetu kwa kuzingatia ule msingi wa "TANU SPIRIT" ambapo hali ya kusimangana kidini haikuwepo.
Ritz, DULLAH MSAVIVOR, Jasusi, Pasco, Companero, Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji
Hizo ni hisia zako binafsi wala hazinidhuru mimi. Kinacho nidhuru ni uchochezi wako wa kidini unaopelekea kuvunja amani yetu. Mimi ni ATHEIST kwahiyo mungu wako au mungu wa kikrsto hanihusu hata kidogo. Amani ya taifa letu inanihusu sana.