Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Mzee Mohamed,Leo saa tatu na robo usiku ipo documentary moja nzuri ITV inayomhusu Mwalimu. Usiikose. Pole pia kwa radio yako kufungiwa miezi sita.
Muda huo ukifika sogea karibu na Tv yako au haujanunua king'amuzi Sheikh?Hiyo Documentary imejikita wapi wakati yupo TAA, TANU, CCM au baada ya kustaafu.
Mfumo,
Unajua wazee wetu walikuwa na matumaini makubwa sana na Nyerere.
Nyerere alipendeka mno wala hapana mfanowe.
Wazee waliweka kila kitu pembeni wakashughulika na umoja wa Watanganyika.
Walikuja kusikitishwa na yale yalokuja kutokea baada ya uhuru mwaka 1961.
Nyerere akavunja Baraza la Wazee wa TANU 1963 mwenyekiti akiwa Mzee Idd Tulio
Kafa Iddi Tulio TANU haina habari.
Kazikwa na ndugu zake Waislam.
Idd Tulio alihiudhuria mkutano wa kwanza wa TANU pale Arnautoglo na mkutano wa
Tabora wa Kura Tatu.
Ana mengi.
1964 ikafuatia wazee kutupwa kizuizini kwa shutuma za uongo.
Mwaka 1968 taasisi yao kipenzi EAMWS iliyokuwa ikiwaletea maendeleo Waislam Nyerere
akaivunja.
Wazee hawa wameingia kaburini na kinyongo kikubwa dhidi ya Nyerere.
Leo ukimtaja Nyerere katika msikiti kibwagizo kinachofuatia ni ''laana ya Allah iwe juu yake.''
Tumefika vipi hapa?
Mimi nasema haya ili wahusika wajue ukweli ya hali huku mitaani.
Ikiwezekana turekebishe haya mambo.
Tumefikafika vipi katika hali hii?
Mimi siko hapa kujistarehesha au kuingia ubishi na watu.
Naeleza historia ya wazee wangu ili wale wasioijua wawajue na nini ulikuwa mchango
wao katika kuitafuta amani ya kweli.
Tusijidanganye hali si shwari.
Mwalimu hakuwaangusha wazee wako hawa hadi pale baadhi yao walipoanza kumchukia kwa sababu ya DINI yake. Hali ni shwari sana nchi hii isipokuwa kwa vi-pockets vichache vya hapa na pale ambavyo dola ikiamua, kwa sheria zilizopo, vinamalizika haraka tuMfumo,
Unajua wazee wetu walikuwa na matumaini makubwa sana na Nyerere.
Nyerere alipendeka mno wala hapana mfanowe.
Wazee waliweka kila kitu pembeni wakashughulika na umoja wa Watanganyika.
Walikuja kusikitishwa na yale yalokuja kutokea baada ya uhuru mwaka 1961.
Nyerere akavunja Baraza la Wazee wa TANU 1963 mwenyekiti akiwa Mzee Idd Tulio
Kafa Iddi Tulio TANU haina habari.
Kazikwa na ndugu zake Waislam.
Idd Tulio alihiudhuria mkutano wa kwanza wa TANU pale Arnautoglo na mkutano wa
Tabora wa Kura Tatu.
Ana mengi.
1964 ikafuatia wazee kutupwa kizuizini kwa shutuma za uongo.
Mwaka 1968 taasisi yao kipenzi EAMWS iliyokuwa ikiwaletea maendeleo Waislam Nyerere
akaivunja.
Wazee hawa wameingia kaburini na kinyongo kikubwa dhidi ya Nyerere.
Leo ukimtaja Nyerere katika msikiti kibwagizo kinachofuatia ni ''laana ya Allah iwe juu yake.''
Tumefika vipi hapa?
Mimi nasema haya ili wahusika wajue ukweli ya hali huku mitaani.
Ikiwezekana turekebishe haya mambo.
Tumefikafika vipi katika hali hii?
Mimi siko hapa kujistarehesha au kuingia ubishi na watu.
Naeleza historia ya wazee wangu ili wale wasioijua wawajue na nini ulikuwa mchango
wao katika kuitafuta amani ya kweli.
Tusijidanganye hali si shwari.
ingekuwa enzi za nkapa angeshapotezwa huyu mzee mchochezi.Mwalimu hakuwaangusha wazee wako hawa hadi pale baadhi yao walipoanza kumchukia kwa sababu ya DINI yake. Hali ni shwari sana nchi hii isipokuwa kwa vi-pockets vichache vya hapa na pale ambavyo dola ikiamua, kwa sheria zilizopo, vinamalizika haraka tu
Jibu swali la msingi kijana Mwanakijiji na Wema Sepatu au Lulu nani maarufu?
Mimi simfahamu Mwanakijiji.
Ukimpoteza huyu Mzee, utawapa sababu nyingine wafuasi wake kuhalalisha matendo yao ya ajabu. Kuwa karibu naye inatosha sana. Nimesikitika tu MwanaHalisi inafungiwa kwa muda usiojulikana, redio Imaan inafungiwa kwa miezi sita tu!ingekuwa enzi za nkapa angeshapotezwa huyu mzee mchochezi.
Muda huo ukifika sogea karibu na Tv yako au haujanunua king'amuzi Sheikh?
Hali ngumu ilikuwa enzi za Mwalimu. Enzi hizi za Jakaya hautakiwi kusema haya. Ni maisha bora kwa kila Mtanzania. Ukibisha muulize nduguyo zomba.Duu! Hali ngumu kaka taangalia hata kwa jirani.
Mfumo,
Unajua wazee wetu walikuwa na matumaini makubwa sana na Nyerere.
Nyerere alipendeka mno wala hapana mfanowe.
Wazee waliweka kila kitu pembeni wakashughulika na umoja wa Watanganyika.
Walikuja kusikitishwa na yale yalokuja kutokea baada ya uhuru mwaka 1961.
Nyerere akavunja Baraza la Wazee wa TANU 1963 mwenyekiti akiwa Mzee Idd Tulio
Kafa Iddi Tulio TANU haina habari.
Kazikwa na ndugu zake Waislam.
Idd Tulio alihiudhuria mkutano wa kwanza wa TANU pale Arnautoglo na mkutano wa
Tabora wa Kura Tatu.
Ana mengi.
1964 ikafuatia wazee kutupwa kizuizini kwa shutuma za uongo.
Mwaka 1968 taasisi yao kipenzi EAMWS iliyokuwa ikiwaletea maendeleo Waislam Nyerere
akaivunja.
Wazee hawa wameingia kaburini na kinyongo kikubwa dhidi ya Nyerere.
Leo ukimtaja Nyerere katika msikiti kibwagizo kinachofuatia ni ''laana ya Allah iwe juu yake.''
Tumefika vipi hapa?
Mimi nasema haya ili wahusika wajue ukweli ya hali huku mitaani.
Ikiwezekana turekebishe haya mambo.
Tumefikafika vipi katika hali hii?
Mimi siko hapa kujistarehesha au kuingia ubishi na watu.
Naeleza historia ya wazee wangu ili wale wasioijua wawajue na nini ulikuwa mchango
wao katika kuitafuta amani ya kweli.
Tusijidanganye hali si shwari.
Nawafahamu kidogo sana wazee hawa. Mzee Lusinde nilimfahamu wakati ule wa Cabinet ya kwanza ya Mwalimu, baadae akawa balozi wetu kule China. Amon Nsekela naye nilimsikia kwenye ubalozi na mabenki yetu hapa nchini. Wote hawa hawakutuibia kwenye taasisi walizoziongoza hadi wanastaafu.WildCard,
Nipe kisa cha Job Lusinde na Amon Nsekela, katika harakati za TANU.
Sasa nakwambia tena ukweli wewe mfuasi wa shehe Ilunga, Hizo laana mnazomuombea mwalimu Nyerere hazitakaa zimpate, zitawapata ninyi mtakuwa watu wa kulalamika hadi kiama! mara mnaonewa, mara hamtendewi haki, huku viongozi wenu wakivaa ndala zilizo chanika....
Hapo ndipo mtajua huyo Mungu mnaemwomba atoe laana ni wa kweli au feki.....
Nawafahamu kidogo sana wazee hawa. Mzee Lusinde nilimfahamu wakati ule wa Cabinet ya kwanza ya Mwalimu, baadae akawa balozi wetu kule China. Amon Nsekela naye nilimsikia kwenye ubalozi na mabenki yetu hapa nchini. Wote hawa hawakutuibia kwenye taasisi walizoziongoza hadi wanastaafu.
Unaweza kututajia kamati ya utendaji ya TAA.
Nsekela. Mbona unaniuliza maswali haya?Nilidhani unajua habari zao wakati wa TANU.
Job Lusinde na Amon Nsekela nani alikuwa balozi wa Tanzania nchini Uingereza?
Nsekela. Mbona unaniuliza maswali haya?
Sasa nakwambia tena ukweli wewe mfuasi wa shehe Ilunga, Hizo laana mnazomuombea mwalimu Nyerere hazitakaa zimpate, zitawapata ninyi mtakuwa watu wa kulalamika hadi kiama! mara mnaonewa, mara hamtendewi haki, huku viongozi wenu wakivaa ndala zilizo chanika....
Hapo ndipo mtajua huyo Mungu mnaemwomba atoe laana ni wa kweli au feki.....