Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mag3, Mtu kama wewe ni wakupuuzwa tu unasema mwaka 1961 ulikuwa unasoma hukuwai kuwasikia hawa wazee wa Kariakoo Mohamed Said ni muongo hawa wazee hawakuwepo umekuja kuwasikia kwa Mohamed Said wewe si ndiyo muongo waheed.
Ritz soma tena post yangu unayoinukuu... hivi wengine mkoje? Post yenyewe iko humu na haijafanyiwa editing bado tu unataka kudanganya kuhusu niliyoandika, duh! Mimi nimeingia Dar es Salaam kwenye miaka ya sitini ndio nikaanza kuwasikia hao wazee wake Mohamed Said wakati huo kenyewe bado katoto kadogo tu kanasimuliwa hadithi mabarazani.

Ritz, acha kushabikia mambo usiyoyajua...je unajua kuwa hao wazee wake unaowapigia debe nao kuna wakati waliitwa wakuja? Ngoja nikupe somo kidogo;
Dar es Salaam's highly cosmopolitan population reflected the town's territorial and even regional importance. By 1931 the European community had grown to over 1,300. It included representatives from a number of European nations. The Asian community included a handful of Chinese, Arabs and a substantial population of Indians from the sub-continent many originating from Gujerat. Indians were the fastest growing community in the inter-war period, rising from 2,600 in the closing years of German rule to almost 9,000 in 1937. In the 1931 "native census" members of the 167 different African ethnic groups were identified. They came from throughout Tanganyika and beyond. There were substantial immigrant communities


  • · Uganda 213 - Ganda
  • · Nyasaland 1,000 - Nyasa
  • · Yao 1,268
  • · Makonde 492
  • · Makua 237
  • · Nyamwezi 846
  • · Ngoni 540
  • · Ndengereko 642
  • · Kami 941
  • · Rufiji 2,022
  • · Zaramo 6,642 and
  • · Manyema 1,221 - This was a group consisting of former slaves and their descendants principally fron either side of Lake Tanganyika who had settled in the town after their emancipation. Manyema was actually a shorthand term describing runaway slaves who chose to live at the coast. Theirs was the first mosque to be built in the town and they were the only group to own a free-hold cemetery; they were also substantial property owners.


At the same time, however, Islam could also provide expression for emerging social cleavages in the town. The most obvious divide existed between Muslims of African origin and India origin, though there were divisions too within the African community.

A 1930s tussle over ownership of a local Islamic institution, the Jamaitul al-Islamiyya Umumiyya, for example arose from tensions between local coastal Muslims and African immigrants including the Manyema.

For example, behind the tussle over the Jamaitul lay Zaramo and Shomvi resentment over the manner in which they, as the town's self styled indegenes, were being superceded by immigrant communities especially the Manyema.

This found expression in a wenye mji (owners of the town) and watu wa kuja (immigrants).
 
Ritz
Hivi wewe umepofushwa na ufuasi wako kwa Moh Said mpaka unafikiri kuwa tunampinga kila kitu?
Yeye akiandika Mshume Kiyate na Nyerere na Abdu walikuwa wanakula mara tano kwa siku au walikuwa wanacheza bao au mpira, sisi hatuwezi kupinga. Mbona ni stori nzuri tu, tena zipo entertaining..

Uchochezi wake ni ule unao-emanate kwenye hisia zake. Na hisia hizo kaziweka makusudi ili kuamsha chuki kwa waislam. Ni hisia hizo ndizo tunazopinga.
Kwa mfano atakwambai:
"Nyerere hakupenda historia ya TANU ihusishwe na waislam"-
"church lobby did this or that against muslims"
"Nyerere na kanisa waliua EAMWS ambayo ingejenga chuo kikuu cha waislam"​
Hayo na mengine mengi ya kihisia, ukimuuliza ushahidi anaji-quote mwenyewe, na mara nyingine anarudia kwa ku-paste ka-passage kale kale ka Sivalon. Tukimbana sana, anasema
"sijibu kila post",
"mdomo haumkatai bwana wake"​
Na mara nyingine anatusemea hisia zetu
"Ritz/Zomba hawa ndugu zetu wamestushwa na historia niliyoandika mimi"
"Hawapendi niliyoandika, wanataka historia ianzie na kuishia kwa nyerere"​

Stori zake ni nzuri na hata kama kaamua kuandika kuhusu wazee waliosahaulika, it is well and good. Hatuna shida na hilo. Ambacho hatukubaliani nacho ni hizo hisia alizoziingiza kwa makusudi ili kulazimisha CHUKI YAKE BINAFSI KWA NYERERE igeuke kuwa chuki ya Waislam dhidi ya Wakristo. Hizo hisia ndizo tunazipinga na tutazipinga, hata kama kitabu chake kitakuwepo kwa miaka mia moja.

Actually anachobandika hapa Mohamed si maneno ya Sivalon. Anachobandika ni tafsiri yake kuhusu kile alichokisema Sivalon. Hawawezi kuweka maneno ya Sivalon au Bergen verbatim. Kuna bango alibandika hapa Ritz akituhadaa kuwa ni kauli za van Bergen lakini nina hakika ni kauli za Mohamed akielezea tafsiri yake ya kile alichokisema Bergen. Mohamed amekiri kuwa anayo maandishi ya Bergen lakini hawezi kuyaweka hapa kwa sababu yataharibu muktadha wa kile anachotaka watu waamini.
 
Sasa kwa nini wewe hufanyi mahojiano na hao wengine ukaandika.
Nimuhoji Nyerere ili aseme nini?

Nini ambacho sikuwa nakijua kuhusu harakati za kuunda TANU hadi
nende kwa Nyerere?

Mohamed,
This seems to be the crux of your problem. Hukuweza kumhoji Nyerere kwa sababu hukutaka kwa kuamini kwamba unajua kila kitu kuhusu yeye. Umetoa shutuma lukuki juu yake, kuanzia hotuba aliyoandikiwa na Sykes kusoma UNO, kununuliwa chakula na wazee wa Kariakoo, etc. etc. Haikuwa issue ya Nyerere aseme nini, lakini kwa sababu ulishajivika joho la utafiti it was imperative that you get a word from someone you turned into a subject of your ridicule. By not doing that reveals that you had an agenda which was not based on seeking the truth, because you believed you already have the truth, but now your agenda was to propagate that truth you believe you know, no matter how erroneous. Mbona ulienda kwa family ya Sykes? Mbona uliwatafuta mpaka wazee wa Tanga? And Nyerere was just around the corner?
 
Nimefuatilia huu uzi muda mrefu bila kuchangia lakini sasa naona nianze kwa Mkandara,
Mkuu nakuomba uache kujibizana na wanawake maana si utamaduni wetu wa Kitanzania hasa kwa wasta arabu kujibizana na Mama zetu au akina dada zetu! halafu Mwanamme kuongea ongea mambo ya ukeni hadharani sidhani kama ni maadili! Ndio maana binadamu tuko tofauti na Wanyama kwa kujisitiri na nguo ili kuficha viungo vya uumeni na uukeni! kama unafundisha somo la ngono shuleni hayo ni mengine lakini kuongea na kujibishana na wanawake kuhusu maumbile yao ya ndani na namna mzunguko wa damu za kike unavyofanya kazi, sidhani kama ni sawa!

Kama nimefikiri tofauti na wewe naomba msamaha na naungana na Mohamed Said tuendeleze huu mjadala kwa busara na kauli za kistaarabu!
Nashukuru!
Huo Ustaarabu umeutoa wapi? na ktk utamaduni upi wa Mtanzania, au uislaam maana hata Mwenyezi Mungu kazungumzia haya, mtume (SAW) kawazungumzia haya unayoyakataa sasa unachotaka kusema wewe mwenye maadili ni kipi haswa?...Hii akili ya kuogopa kuzungumza na wanawake kwa sababu ni wanawake inaonyesha wazi wewe aidha unawaweka chini kama sii sawa na wanaume ktk kufikiri na kujenga hioja, hivyo binafsi yangu nampongeza sana Bibie kuwepo nasi hapa kijiweni na tunaelimishana wala sii kubishana - Ni ktk kukubali kutokubaliana kwa msingi mmoja tu - Hoja hujibiwa!
 
Sasa kwa nini wewe hufanyi mahojiano na hao wengine ukaandika.
Nimuhoji Nyerere ili aseme nini?

Nini ambacho sikuwa nakijua kuhusu harakati za kuunda TANU hadi
nende kwa Nyerere?

Mohamed,
This seems to be the crux of your problem. Hukuweza kumhoji Nyerere kwa sababu hukutaka kwa kuamini kwamba unajua kila kitu kuhusu yeye. Umetoa shutuma lukuki juu yake, kuanzia hotuba aliyoandikiwa na Sykes kusoma UNO, kununuliwa chakula na wazee wa Kariakoo, etc. etc. Haikuwa issue ya Nyerere aseme nini, lakini kwa sababu ulishajivika joho la utafiti it was imperative that you get a word from someone you turned into a subject of your ridicule. By not doing that reveals that you had an agenda which was not based on seeking the truth, because you believed you already have the truth, but now your agenda was to propagate that truth you believe you know, no matter how erroneous. Mbona ulienda kwa family ya Sykes? Mbona uliwatafuta mpaka wazee wa Tanga? And Nyerere was just around the corner?

Jasusi,

Hakika sikuwa na haja na Nyerere.

Na kweli nilikuwa na agenda na agenda yangu ilikuwa kukijibu
kitabu cha Kivukoni College.

Na kweli nilikuwa na uhakika wakati naandika kitabu.

Yote ulosema ni sawa kabisa.

Mimi sikwenda kwa famili ya Sykes mimi nakua namuona Bwana Abdu.
Nakua namuona Bwana Ally Kipata pale sikwenda kokote.

Sasa ni zamu yenu na nyie kuandika huo ukweli ambao manona
mimi nimeuacha.

Hebu kisome tena kitabu changu kuhusu hotuba ya UNO.

Hotuba ya UNO chanzo chake ni TAA Political SubCommittee ya 1950
walipotoa mapendekezo ya katiba kwa Gavana Twinning.

Document hii nimeeleza kuwa imepotea haipo kokote si CCM Library wala
Nyaraka za Taifa.

Pole sana ndugu yangu naona hii hotuba imekuchoma sana.

Lakini ukweli utabaki kuwa ilipoundwa TAA Political Subcommittee Nyerere
alikuwa hayupo na inawezekana ndiyo maana hata kitabu cha Kivukoni
hawakuwa na habari na huo waraka.

Laiti kama nisingeutaja hapa JF wengi wasingeujua.
 
Actually anachobandika hapa Mohamed si maneno ya Sivalon. Anachobandika ni tafsiri yake kuhusu kile alichokisema Sivalon. Hawawezi kuweka maneno ya Sivalon au Bergen verbatim. Kuna bango alibandika hapa Ritz akituhadaa kuwa ni kauli za van Bergen lakini nina hakika ni kauli za Mohamed akielezea tafsiri yake ya kile alichokisema Bergen. Mohamed amekiri kuwa anayo maandishi ya Bergen lakini hawezi kuyaweka hapa kwa sababu yataharibu muktadha wa kile anachotaka watu waamini.


Jasusi,

Kama iko chuki basi si mie chanzo chake.

Chuki hii chanzo chake ni dhulma na wala
si kwa Wakristo bali kwa wale madhalim awe
Muislam awe Mkristo.

Soma kitabu changu utakutananao humo.
 
Ritz soma tena post yangu unayoinukuu... hivi wengine mkoje? Post yenyewe iko humu na haijafanyiwa editing bado tu unataka kudanganya kuhusu niliyoandika, duh! Mimi nimeingia Dar es Salaam kwenye miaka ya sitini ndio nikaanza kuwasikia hao wazee wake Mohamed Said wakati huo kenyewe bado katoto kadogo tu kanasimuliwa hadithi mabarazani.

Ritz, acha kushabikia mambo usiyoyajua...je unajua kuwa hao wazee wake unaowapigia debe nao kuna wakati waliitwa wakuja? Ngoja nikupe somo kidogo;

Wewe kumbe Dar es Salaam umekuja mie Dar es Salaam ndio kwetu nimezaliwa unaponiambia niache ushabiki kwa mambo nisiyoyajua nakushangaa unataka niongolee habari za wapi Kilimanjaro au Mbeya.

Tatizo lako mtu mzima halafu muongo.

Unanipa somo gani hizo ngano za wazungu kwako ndiyo somo.
 
Ritz soma tena post yangu unayoinukuu... hivi wengine mkoje? Post yenyewe iko humu na haijafanyiwa editing bado tu unataka kudanganya kuhusu niliyoandika, duh! Mimi nimeingia Dar es Salaam kwenye miaka ya sitini ndio nikaanza kuwasikia hao wazee wake Mohamed Said wakati huo kenyewe bado katoto kadogo tu kanasimuliwa hadithi mabarazani.

Ritz, acha kushabikia mambo usiyoyajua...je unajua kuwa hao wazee wake unaowapigia debe nao kuna wakati waliitwa wakuja? Ngoja nikupe somo kidogo;

Mag3,

Sisi tukisomeshwa Qur'an barazani achilia kuhadithiwa
historia barazani na wazee wetu.

Hayo uloweka ni maandiko ya Wazungu nayajua sana.
Umekuja 1960!

Mimi wazee wangu wako hapo takriban miaka 100.
 
Nguruvi..huyu bwana kwa kujigfananisha na Irving Wallace amesema mengi kuhusu uandishi wake...

MM,

Ndiyo maana kama ukisoma ile post utaona nimeanza mbali
toka kwa Mark Twain hadi kwa Irving Wallace.

Nimekuchagulia hao wawili tu kwa makusudi.
Nilitaka msomaji ajuaye mambo haya asome katikati ya mistari.
 
Kwanini watanzania tunapenda sana kushabikia udini? Hivi udini utatusaidia nini ktk taifa letu? By the way katiba yetu inasema serkali haina dini, sasa sisi hili suala litatuondolea umasikini tulionao? Ok, tuseme sasa nchi yetu ni ya kikristo, ya kiislam, then what next?

J,

Ukisoma historia ya uhuru wa Tanganyika utajua chanzo cha
tatizo la udini.
 
Ritz I wish ungekaa kimya kwani mwishowe watu watashindwa kukutofautisha na chombo tu kama amplifier...whatever the input amplifier inayo kazi moja tu kuikuza hata kama ni kelele tu isiyo na maana. Huyu mchochezi unayemtetea hapa, siku tatu baada ya Raisi wa Kwanza wa TAA, Dr. Vedasto Kyaruzi kufariki moja wa wachangiaji wa JF, chama alikuwa na haya ya kusema kuhusu porojo za Mohamed Said;

Jibu la mwalimu wako lilikuwa hili hapa chini;
Ritz, chama hakukata tamaa na jibu hili, hivyo akaendelea kumdadisi Mwalimu wako;
Ritz yafuatayo ni majibu ya mwalimu wako Mohamed Said;

Ritz, hayo ndiyo majibu ya mwalimu wako Mohamed Said baada ya Dr. Vedasto Kyaruzi kufariki na hivi leo hata mwaka haujakatika. Mwalimu wako, mwandishi na mtafiti na mchochezi alikuwa anayo nafasi nzuri tu ya kumhoji na kuongea naye kuhusu mengi ya madai anayoyatoa humu lakini hakuthubutu hata kusogea karibu naye kwani kwa kufanya hivyo, porojo zake hazingeweza kunoga. Anadai Dr. Vedasto Kyaruzi hakuwa Raisi wa kwanza wa TAA huku akijua wazi kabisa kwamba uchaguzi wa kwanza kabisa kwa viongozi wake ulifanyika mwaka 1950 na docta kuchaguliwa Abdulwahid Sykes akiwa katibu wake. Sababu kubwa ya AA kugeuka na kuitwa TAA mwaka 1948 ni kujitoa kwa Zanzibar na viongozi wake kugomea mkutano ulioitishwa Dar es Salaam.

Ritz hapa tunapata picha gani? Je aliomba kumhoji Dr. Vedasto Kyaruzi akakataliwa? Je kweli ni utafiti kuandika kitabu bila kupata source kutoka kwa mhusika mwenyewe akiwa hai? Halafu bila hata chembe cha aibu anadai ni yeye tu ndiye anaijua historia ya kweli ya harakati za uhuru wa Tanganyika! source? Wazee wake wa Gerezani! Kusema kweli Ritz, mtu anayeweza kutoa madai kama hayo ya mwalimu wako, nakosa hata jina linalomfaa...am mesmerized, perplexed and astounded at the audacity of it all! But what's worse is the fact there are Ritzes out there swallowing these scuttlebutts as if their lives depended on them! Endeleeni kumeza hizo ngano zake lakini wajanja wengi wameshamshtukia, nawapongeza wote waliojivua minyororo ya ujinga.

Mag3,

Kitabu kiko sasa miaka 15.
 
J,

Ukisoma historia ya uhuru wa Tanganyika utajua chanzo cha
tatizo la udini.

kikundi cha wazee wachache wa Dar-es-Salaam ambao waliamua kuanzisha fitna ya kidini dhidi ya Baba wa Taifa mtu ambaye hakuwa amewatendea lolote baya. Wazee hawa walipitisha hisia hizi za udini dhidi ya Nyerere kabla ya Uhuru na baada ya uhuru kwa watoto wao ambao leo wameamua kuandika historia mpya ya Tanganyika kwa msingi wa kidini - kama wazee wao. Lakini kundi kubwa la wapigania uhuru walikataa hili na watoto wao wanaendelea kuukataa udini na hivyo kambi mbili zimesimikwa rasmi.
 
Mohamed Said,

Hebu tuwekee orodha ya Masheikh waliokamatwa na Nyerere wengine wakafungwa wengine wakawekwa kizuizini.
 
kikundi cha wazee wachache wa Dar-es-Salaam ambao waliamua kuanzisha fitna ya kidini dhidi ya Baba wa Taifa mtu ambaye hakuwa amewatendea lolote baya. Wazee hawa walipitisha hisia hizi za udini dhidi ya Nyerere kabla ya Uhuru na baada ya uhuru kwa watoto wao ambao leo wameamua kuandika historia mpya ya Tanganyika kwa msingi wa kidini - kama wazee wao. Lakini kundi kubwa la wapigania uhuru walikataa hili na watoto wao wanaendelea kuukataa udini na hivyo kambi mbili zimesimikwa rasmi.



Anytime you find someone more successful than you are like Mohamed Said, especially when you're both engaged in the same business -(literature) you know they're doing something that you aren't

Wewe pia si naskia ni mwandishi???
Andika cha kwako basi uitangazie dunia kile unachokifaham na kile chenye ukweli na uhalisia..
 
Sasa kwa nini wewe hufanyi mahojiano na hao wengine ukaandika.
Nimuhoji Nyerere ili aseme nini?

Nini ambacho sikuwa nakijua kuhusu harakati za kuunda TANU hadi
nende kwa Nyerere?

Mohamed,
This seems to be the crux of your problem. Hukuweza kumhoji Nyerere kwa sababu hukutaka kwa kuamini kwamba unajua kila kitu kuhusu yeye. Umetoa shutuma lukuki juu yake, kuanzia hotuba aliyoandikiwa na Sykes kusoma UNO, kununuliwa chakula na wazee wa Kariakoo, etc. etc. Haikuwa issue ya Nyerere aseme nini, lakini kwa sababu ulishajivika joho la utafiti it was imperative that you get a word from someone you turned into a subject of your ridicule. By not doing that reveals that you had an agenda which was not based on seeking the truth, because you believed you already have the truth, but now your agenda was to propagate that truth you believe you know, no matter how erroneous. Mbona ulienda kwa family ya Sykes? Mbona uliwatafuta mpaka wazee wa Tanga? And Nyerere was just around the corner?
Na zaidi kumwekea Nyerere maneno kama yale ya hotuba ya kuaga ambayo Mohamed anasema Nyerere alitamka kuwa hamjui Abdul Sykes. Alipotakiwa kuweka ushahidi Mohamed kageuza kibao kutaka ushahidi wa video hata wa maandishi hautaki. Nilidhani akiwa mtafiti hapa ndipo alipotakiwa kuthibitisha lakini ameshindwa! failure.

Ameshindwa kama alivyoshindwa katika madai ya namba za mitihani. Na hapa pia kamwekea Kighoma Malima maneno ya kutosha tu wakati hana ushahidi wa maneno hayo.

Anasema Mapinduzi ya ZNZ yaliletwa na Nyerere, hajawahi kwenda kumhoji Naosr Moyo, Jumbe au Mwinyi.
Tunachosubiri ni maajaliwa ya manani toleo la nne laitakuwa na maneno ya wazee hao wakiwa hawawezi kujitetea.
 
Anytime you find someone more successful than you are like Mohamed Said, especially when you're both engaged in the same business -(literature) you know they're doing something that you aren't

Wewe pia si naskia ni mwandishi???
Andika cha kwako basi uitangazie dunia kile unachokifaham na kile chenye ukweli na uhalisia
..
vipi hapo kwenye rangi? mafuta yameisha? maana lugha ya mfumo kristo (lugha ya malkia) haitaki ubabaishaji.
 
Ami,

Nimesema Nyerere hakuasisi TANU Nyerere yu hai.
Sikuhofu kwa kuwa nilikuwa nasema ukweli.

Na nikamtaja Abdu Sykes na kueleza yote alofanya
hadi siku ile 7 Julai 1954 TANU ilipozaliwa.

Sikuwa naficha jina langu katika makala zangu kama
unavyoona hapa JF.

Huu ndiyo msimamo wangu siku zote.
Siogopi kusema kweli.
Mimi nakupongeza kwa hilo na ni dalili ya kuwa umejiamini unazungumza ukweli.Allah subhaanahu wa taala azidi kukuthibitisha kwa hilo na akulipe ujira uliio mkubwa.
Kwenye mustwalahul hadithi (sayansi ya uchambuzi wa hadithi za Mtume S.A.W) wapokezi wakiwa majhuli (wasiofahamika) inakuwa sababu ya hadithi zao kutiliwa shaka na kutupwa.Wewe bila kujua itakuwa umefuata njia hii.
Usikatishwa tamaa na watu kama Mzee Mwanakijiji.Ukweli wanaujua lakini wamekusudia kuupindisha.Mohammed elewa kuwa kuibuka kwa ukweli ukaficha uongo ni ahadi ya Allah subhaanahu wa taala .Hivyo hata wakijipinda kiasi gani hawatoweza kufuta ahadi hiyo.Huwa inatokea kila zama na kila eneo mpaka ukweli uwe juu ya uongo na haki juu ya baattil.
 
Mimi nakupengeza kwa hilo na ni dalili ya kuwa umejiamini unazungumza ukweli.Allah subhaanahu wa taala azidi kukuthibitisha kwa hilo na akulipe ujira uliio mkubwa.
Kwenye mustwalahul hadithi (sayansi ya uchambuzi wa hadithi za Mtume S.A.W) wapokezi wakiwa majhuli (wasiofahamika) inakuwa sababu ya hadithi zao kutiliwa shaka na kutupwa.Wewe bila kujua itakuwa umefuata njia hii.
Usikatishwa tamaa na watu kama Mzee Mwanakijiji.Ukweli wanaujua lakini wamekusudia kuupindisha.Mohammed elewa kuwa kuibuka kwa ukweli ukaficha uongo ni ahadi ya Allah subhaanahu wa taala .Hivyo hata wakijipinda kiasi gani hawatoweza kufuta ahadi hiyo.Huwa inatokea kila zama na kila eneo mpaka ukweli uwe juu ya uongo na haki juu ya baattil.

Ami,

Ahsante sana ndugu yangu.

Ngoja nikuongezee.

Abdu Sykes alikuwa na sahib wake Ahmed Rashad Ali.
Huyu ni ndugu yake Prince Sudi kwa mama mmoja.

Babu yake Ahmed Rashad alipata kuwa waziri katika serikali ya Sultan katika 1800s.

Nimemueleza Mzee Rashad katika kitabu changu tafasiri ya Kiswahili.

Rashad Ali na Abdu na Abdu Sykes wamejuana 1939 paleArab Association na nyumba
hii ipo na nembo yake hadi leo.

Ukiwa Dar iangalie Mtaa wa Jamuhuri na Chagga iko kwenye kona.

Ahmed Rashad wakati wa kudai uhuru alikuwa mtangazaji maarufu Radio Free Afrika
Cairo.

Rashad alikuwa akimwambia Abdu kwa nini Nyerere anasema yeye ndiye aliyeasisi
TANU ilhali sote tunajua TANU is your baby na we uko kimya.

Abdu alikuwa akijibu kumwambia Rashad ikiwa Nyerere anataka kuchukua credit ya
kuunda TANU mwacheni.

Na Abdu mpaka anaingia kaburini hakusikika hata akisema kuwa juhudi zakupata umoja
wa Waafrika zilianzwa na baba yake Kleist 1929 na yeye akaziendeleza hadi kuunda TANU
1954.

Mwaka 1950 Abdu alipokwenda kukutana na uongozi wa KAU Nairobi ukiongozwa na Jomo
Kenyatta Rashad alikuwapo.

Nina mengi sana ndugu yangu.
Namshukuru Allah kwa kunijalia hidaya hii.
 
Back
Top Bottom