Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Boko haram,
Chizi mmoja alitoroka mirembe akakutana na chizi mwenzake mitaani yule chizi akamuuliza vipi umepona mbona upo mitaani yule chizi akamjibu chizi mwenzake kule hospitali nilikuwa boarding sasa nipo day.
Ritz,
Unataka kumjua Judith Listowel.
Tuanze na cheo chake.
Huyu anaitwa Lady Judith Listowel.
Alikuwa mke wa Listowel ambae alikuwa gavana Ghana.
Huyu mama alikuwa ''entertainer'' wakati wa ujana wake na aliachana na
mambo haya alipoolewa na huyu Listowel ambae alilkuwa anatoka katika
koo za juu ''upper class'' za Kiingereza.
Judith Listowel asingelimjua Ally Sykes ila alipojulishwa kwake na Peter
Colmore.
Ally Sykes na Peter Colmore ''two of a kind'' wana kisa kirefu.
Nina makala nzima kuhusu watu hawa ukipenda naweza kukuwekea hapa.
Mie nikimjua Colmore toka utoto wangu kwa kuwa ofisi yake ya Dar es Salaam
ilikuwa nyumba ya tatu kutoka kwetu.
Akija kutoka Nairobi alikuwa pale.
Ilikuwa ni nyumba yake cum office.
Ally Sykes na Peter Colmore walikuwa marafiki toka 1942 wakiwa watoto kabisa
Nairobi na wakaja kufanya biashara pamoja na wote wakatajirika kufru kiasi Peter
Colmore aliwezakununua ndege yake binafsi na Rolls Royce Nairobi katikia miaka ya
1950.
Ally Sykes haitaji maelezo anafahamika.
Lady Judith Listowel alipotaka kuandika kitabu chake ''The Making of Tanganyika''
Listowel akendaNairobi kwa Colmore na Colmore akamuagiza kwa Ally Sykes Dar es
Salaam.
Hii ilikuwa 1962.
Nina mdogo wangu wakati huo ana miaka 8 yeye alimwona Judith Listowel kwa
macho yake mwenyewe na anasema alinipa hela na akafanya kituko kidogo.
Alikudua nguo mbele yake akatoa fedha katika nguo yake ya ndani.
Huyu mdogo wangu anasema alishtuka lakini Lstowel akamwabia asiogope.
Listowel alipokuwa Dar es Salaam akifanya utafiti wake mwenyeji wake alikuwa
Ally Sykes na Ally Sykes ndiye akimzungusha na gari yake huko na huko.
Binafsi nimesoma barua za mkono ambazo Listowel alimwandikia Ally Sykes akimuuliza
kuhusu hili na lile katika historia ya Tanganyika.
Abdu Sykes alipokutana na Listowel nyumbani kwake Magomeni Mikumi Abdu hakufunguka
kuhusu mchango wake katika kuasisi TANU.
Kisa nini?
Kisa kilikuwa Abdu na Kleruu walipokuwa wanaandika historia ya TANU baada ya uihuru
palitokea msuguano kidogo kwa kuwa Nyerere hakupenda historia ya TANU ianze nyuma
yake na kuasisiwa kwa African Association 1929.
Abdu hakusema lolote la maana kwa Listowel katika utafiti ule.
Nadhani haya yanatosha.
Nikukumbushe tu, suala l Polisi "kuonea" sio la jana wala leo , shida yako na bahati mbaya kwako na wanaoamini kila unachosema na kukihusisha na "uonevu" dhidi ya Waislamu ni kuwa limemkuta Muislamu ambaye unaamini maelezo yake kuwa kaonewa.W,
Hapo alipokamatwa huyu kijana hapakuwa na maandamano.
Ikiwa unasema kulikuwa na maandamano siku ile siwezi kubisha.
Lakini siku ile hawakutoka Waislam katika maandamano.
Misikiti yote ilikuwa shwari.
Hii ndiyo taarifa niijuayo mimi.
Ritz,
Nakupa mji.
Chagua wai nikupeleke!
Kwa sababu rais Jakaya Kikwete hajui kwanini Tanzania ni maskini!Wangekuwa na uwezo hao wasomi wenu wa Kikirsto Tanzania isingekuwa nchi masikini wa kutupwa duniani.
Labada nisaidie kunijibu kwa nini Tanzania bado ipo kwenye kundi za nchi 20 duniani kwa umasikini.
Je, siku watanzania wote watakapo amua kuacha imani zao nyingine na kuingia uislam Tanzania itapata maendeleo?Wanadhani kuhodhi madaraka na kazi zote wao wenyewe nchi itapata maendeleo! ni sawa na ngamia kupita ktk tundu la sindano! haijawahi kutokea nchi nusu ya raia wake hawana elimu ati ipate maendeleo abadan! hata tukiondoa CCM na kuwapa Chadema tatizo halitaisha sababu bado hatujagundua mdudu wa maradhi ni yupi! mgonjwa hapewi dawa kabla ya vipimo! tuangalie damu, choo, mkojo kama kuna vijidudu vya maradhi kama hamna una muuliza maswali mgonjwa halafu daktari atakadiria ama ampe dawa au mgonjwa anywe maji kwa wingi na huenda maradhi yakaisha!
Sasa leo wa TZ tunaambiwa tuitoe CCM na kuwapa Chadema kwa kuzingatia lipi?
on Nyerere,s right ni dada yake,on his left Bibi Titi and Rupia
Abdu Sykes alipokutana na Listowel nyumbani kwake Magomeni Mikumi Abdu hakufunguka
kuhusu mchango wake katika kuasisi TANU.
Kisa nini?
Kisa kilikuwa Abdu na Kleruu walipokuwa wanaandika historia ya TANU baada ya uihuru
palitokea msuguano kidogo kwa kuwa Nyerere hakupenda historia ya TANU ianze nyuma
yake na kuasisiwa kwa African Association 1929.
Abdu hakusema lolote la maana kwa Listowel katika utafiti ule.
Nadhani haya yanatosha.
Imeandikwa Chuo cha Kivukoni...
Nipeleke Raskazoni nikapumzike.
Nikukumbushe tu, suala l Polisi "kuonea" sio la jana wala leo , shida yako na bahati mbaya kwako na wanaoamini kila unachosema na kukihusisha na "uonevu" dhidi ya Waislamu ni kuwa limemkuta Muislamu ambaye unaamini maelezo yake kuwa kaonewa.
MS, ni bahati mbaya sana kuwa ktk umri wako unahusisha kila baya linalowakuta Waislamu unahusisha na udini.
Son...
Huyo ni Bi. Sophia ambaye alikuwa mke wa Lawrence Gama.
Nishamtaji bibi huyo mara kadha hapa JF kuwa yeye na mumewe
walikuwa marafiki wakubwa wa Abdu Sykes.
Mohamed Said,
Tumefaidi wengi kuhusu hiki kisa tutakuwa wachoyo wa Fadhwila tusipokushukuru.
Tunashukuru sana kwa darsa ingawa kuna wengine hawapendi.
Nishakubukia Beach Resort tena suite.
Usinisahau kwenye hizo diner zako za kamba na masamaki yenye
majina.
mbona huko nyuma,ulikuwa hutaki kutaja ni mke wa nani???? change of heart imetoka wapi???
Jibu la kitoto kupita kiasi, kwani ninani anayelalama hapa kuhusu mfumo wa kufikirika (kiristo) bila kutoa ushahidi?Swali la kitoto kabisa nikikuwekea jina utafanyaje.
uhuru day,people go berserk-kwa mbali naona ki bajaj kumbe hizi bajaj ni za siku nyingi