Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Hebu ongea na Mods ubadili ID uitwe Tanganyika Kwanza.

Umetisha kwa mipini yako.

Asante Ritz, hata mimi nimefikiria hivyo lakini sijui kama mod. atakubali maana wanasema jina la Tanganyika hakuna tena baada ya kuungana na Zanzibar! ndio maana tunasherehekea kila mwaka uhuru wa Tanzania 9 december pamoja na kuwa ni Tanganyika ndio ilipata uhuru huo!
yaani uchakachuaji mpaka ktk Uhuru wa nchi!
 
Uhuru Kenyatta na Raila Odinga ndio gumzo kuu na ni wao tu ndio mmoja atakuwa Rais wa Kenya ama iwe kwa halali au wamechezeana rafu! kuna wengine akina Mudavadi, Mohamed Didi, Paulo Muite na Mama Martha Karua wao pamoja na kuwa wanaasilimia kadhaa ktk mchakato huo, jee, wao na pasenti zao wanaweza kumuathiri Mwana Kenyata au Odinga asiwe Rais? ni Raila na Kenyatta ndio watachezeana rafu na sio hao wengine!

TZ hata kama Hindus na Wasiamini Mungu wako asilimia 2! hiyo haiwezi kuwafanya Wakristo na Waislamu wasichezeane rafu ktk kugombea madaraka ya utawala! haiwezekani Mkristo au Muislamu amchezee rafu Hindus au wengine ambao ni wachache sana!
kwani wakristo na waislam wapo kwenye mashindano?
kama jibu ni ndiyo wanashindanianini?
 
Huyu mtoto kaja na pumba za ajabu anasema sehemu zenye Waislam wengi kuna shinda katoa na mifano yake ya chekechea.

Labda tumuulize vipi Dubai, Oman, Qatar, Saudia Arabia, Uturuki, Kuweit Iran. Kuna shida sana kuzidi Tanzania kwenye Waislam wachache.


Ritz hii misumari yako ni mizito naifananisha na ile yakupaulia bati ile yenye vikofia ha ha haa ngoja nipade kahawa kidogo niende nikaswali maghrib mie
 
Basi kwa mantiki hiyo endeleeni kumlalamikia na kumtakia laana tull!
Sio kwamba tunamlalamikia tu.Sisi tumetangulia kwa uwerevu kuliko wakristo kwa karne nyingi.
Tatizo miaka hii nyinyi mmekuwa na kibri cha shetani.Sisi tukijenga nyinyi mnatuvunjia,
Tukianzisha redio zenye tija nyinyi mnafungia.Tukianzisha taasisi zenye kutusaidia sisi na nyinyi mnazizushia na kuzifungia.
Hata hivyo hatukati tamaa tutapambana nanyi mpaka siku ya mwisho.
 
kweli? rafu bila mashindano ni rafu ya aina gani hiyo?
embu nipe maana ya rafu.

Umeshasikia kauli hii: CCM yaichezea rafu Chadema! kwa akili yako finyu unadhani kuna mpira unachezwa hapo? au mwenzetu kiswahili kinakupiga chenga?
 
Umeshasikia kauli hii: CCM yaichezea rafu Chadema! kwa akili yako finyu unadhani kuna mpira unachezwa hapo? au mwenzetu kiswahili kinakupiga chenga?
sasa nani asiyejua kuwa CCM na CHADEMA mashindano yao ni kuingia IKULU?
mimi nakuuliza mashindano ya waislam na wakristo hadi kufikia kuchezeana na rafu ni yanini?
 
Uhuru Kenyatta na Raila Odinga ndio gumzo kuu na ni wao tu ndio mmoja atakuwa Rais wa Kenya ama iwe kwa halali au wamechezeana rafu! kuna wengine akina Mudavadi, Mohamed Didi, Paulo Muite na Mama Martha Karua wao pamoja na kuwa wanaasilimia kadhaa ktk mchakato huo, jee, wao na pasenti zao wanaweza kumuathiri Mwana Kenyata au Odinga asiwe Rais? ni Raila na Kenyatta ndio watachezeana rafu na sio hao wengine!

TZ hata kama Hindus na Wasiamini Mungu wako asilimia 2! hiyo haiwezi kuwafanya Wakristo na Waislamu wasichezeane rafu ktk kugombea madaraka ya utawala! haiwezekani Mkristo au Muislamu amchezee rafu Hindus au wengine ambao ni wachache sana!

Irrelevant!

Huu mfano wako umeniacha hoi. Ni kama kulinganisha kunywa mafuta ili kutuliza kiu kwa sababu ni kimiminika.
Na unajuaje kama hali ndiyo iko vile na kuwaondoa wengine kwenye utafiti kabla hata ya utafiti wenyewe!

Kuna mwenzako kasema umetoa nondo!
Hebu tuchukue huo mfano wako kwa kituo: Unaamini uwepo wa Mudavadi, Karua, Dida na
Peter Keneth hauna athari kwenye matokeo? Una habari kwamba mshindi anahitaji 50+ ili ashinde.
Na kwenye ushindani mkali kama huu even a single vote ina value leave alone mgombea mwenyewe.

Kama Mudavadi asingekuwapo kwenye uchaguzi,ama angekuwa kwenye moja ya coalition
story ingekuwa tofauti wakati huu, na sababu yake ni umuhimu wake katikati ya Kinyang'anyiro
hata kama hatapata.

Ndiyo tunakuja kwenye mantiki yenyewe. Vipi Wahindu na Wapagani wasiwemo kulikoni?
Na unajuaje hawana umuhimu kwenye utafiti wako hata kabla haujaufanya?

Wewe msomi wa 80's, angalia siye wengine tulioanza darasa la kwanza 90's tusikushangae.
 
Ami,

Jamaa hajui kama hii ni forum.

kwa jinsi ulivyolevywa na MS hata namna ya uandishi umebadili. Sasa nawe unaanza na username mkato, space then ndio comment yako...

Hakika sumu aliyopandikiza kwenu haitatoka
 
Last edited by a moderator:
[/COLOR]Ritz hii misumari yako ni mizito naifananisha na ile yakupaulia bati ile yenye vikofia ha ha haa ngoja nipade kahawa kidogo niende nikaswali maghrib mie

Boko haram,

Chizi mmoja alitoroka mirembe akakutana na chizi mwenzake mitaani yule chizi akamuuliza vipi umepona mbona upo mitaani yule chizi akamjibu chizi mwenzake kule hospitali nilikuwa boarding sasa nipo day.
 
5405416420_3a2008fd38_b.jpg
 
Mohamed Said,

Nashukuru kwa kunifahamisha kisa hiki.

Ritz,

Unataka kumjua Judith Listowel.
Tuanze na cheo chake.

Huyu anaitwa Lady Judith Listowel.
Alikuwa mke wa Listowel ambae alikuwa gavana Ghana.

Huyu mama alikuwa ''entertainer'' wakati wa ujana wake na aliachana na
mambo haya alipoolewa na huyu Listowel ambae alilkuwa anatoka katika
koo za juu ''upper class'' za Kiingereza.

Judith Listowel asingelimjua Ally Sykes ila alipojulishwa kwake na Peter
Colmore.

Ally Sykes na Peter Colmore ''two of a kind'' wana kisa kirefu.
Nina makala nzima kuhusu watu hawa ukipenda naweza kukuwekea hapa.

Mie nikimjua Colmore toka utoto wangu kwa kuwa ofisi yake ya Dar es Salaam
ilikuwa nyumba ya tatu kutoka kwetu.

Akija kutoka Nairobi alikuwa pale.
Ilikuwa ni nyumba yake cum office.

Ally Sykes na Peter Colmore walikuwa marafiki toka 1942 wakiwa watoto kabisa
Nairobi na wakaja kufanya biashara pamoja na wote wakatajirika kufru kiasi Peter
Colmore aliwezakununua ndege yake binafsi na Rolls Royce Nairobi katikia miaka ya
1950.

Ally Sykes haitaji maelezo anafahamika.

Lady Judith Listowel alipotaka kuandika kitabu chake ''The Making of Tanganyika''
Listowel akendaNairobi kwa Colmore na Colmore akamuagiza kwa Ally Sykes Dar es
Salaam.

Hii ilikuwa 1962.

Nina mdogo wangu wakati huo ana miaka 8 yeye alimwona Judith Listowel kwa
macho yake mwenyewe na anasema alinipa hela na akafanya kituko kidogo.

Alikudua nguo mbele yake akatoa fedha katika nguo yake ya ndani.
Huyu mdogo wangu anasema alishtuka lakini Lstowel akamwabia asiogope.

Listowel alipokuwa Dar es Salaam akifanya utafiti wake mwenyeji wake alikuwa
Ally Sykes na Ally Sykes ndiye akimzungusha na gari yake huko na huko.

Binafsi nimesoma barua za mkono ambazo Listowel alimwandikia Ally Sykes akimuuliza
kuhusu hili na lile katika historia ya Tanganyika.

Abdu Sykes alipokutana na Listowel nyumbani kwake Magomeni Mikumi Abdu hakufunguka
kuhusu mchango wake katika kuasisi TANU.

Kisa nini?

Kisa kilikuwa Abdu na Kleruu walipokuwa wanaandika historia ya TANU baada ya uihuru
palitokea msuguano kidogo kwa kuwa Nyerere hakupenda historia ya TANU ianze nyuma
yake na kuasisiwa kwa African Association 1929.

Abdu hakusema lolote la maana kwa Listowel katika utafiti ule.

Nadhani haya yanatosha.
 
Back
Top Bottom