Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Nina mdogo wangu kamaliza chuo cha ardhi leo mwaka wa tatu hana kazi kaishapeleka CV zake Wizara ya Ujenzi hajapata kazi wale aliowaacha chuo saizi wamepata kazi hapo Wizara ya Ujenzi.
Kuna binti ameajiliwa kazi NMB tawi la Kilwa kwa sababu anajina la kiislam, walio muajili walipogundua jina hilo alisomea shule tu na sio mwislam wameanza kumuandama ile mbaya!
 
Kwa sababu rais Jakaya Kikwete hajui kwanini Tanzania ni maskini!

Kabla ya Kikwete kuwa rais nasikia Tanzania ilikuwa Tajiri sana raia wake walikuwa wanalipwa mishahara kila mwezi.
 

Mtafiti tunaomba udhibitisho wa hapo kwenye red.. Ili tuweze kuwakata ulimi wale wasemao maandishi yako ni Histohisia na Ngano.
 
Hao Wakristo wasiomtukuza Nyerere hawakubaliani naye si kwa sababu ya Ukristo au Ukatoliki wake bali kwa kutofautiana kwa hoja, falsafa, na misimamo yake.
Wafuasi wengi na MS mwenyewe, mnatofautiana na Nyerere kwa sababu alikuwa Mkristo na Mkatoliki.
 
hebu kanawe miguu ulale... Unaulizwa badala ya kujibu, nawe unaleta viswali vyako vya kitoto

Kuwa na adabu kijana na kauli zako unaweza kuwa unamjibu mtu ambaye amesoma na mzazi wako wa kike au wa kiume na wamesaidiana vitu vingi shuleni na kwenye mabweni.
 
Winama,

Haya mambo yana historia.
Umesoma kitabu changu?
Na wengine wanaobambikiwa makosa na kusingiziwa kesi na Mahakimu kuthibitisha hivyo na si Waislamu utaandika kitabu?
Usinielewe vibaya Sheikh, bali ni kwa kuwa unasisitizia kitabu na unatumia kitabu chako kutojibu naadhi ya hoja za wadau.
 


Son...

Ahsante sana kwa picha hizi.

Nimeweza kuwatambua baadhi ya watu ambao si mashuhuri kwa wengi
ukimtoa Nyerere na Kambona.

Huyo kushoto mrefu kupita wote ni Said Ali Maswanya.

Nyuma yake mkono wake Maswanya wa kushoto ni Masha Bilali.

Masha Bilali alihudhuria mkutano wa kwanza wa TANU baada ya kuaisisiwa
mkutano ambao waliohdhuria walikuwa takriban watu 20 au zaidi kidogo.

Pembeni mwa Maswanya ni Chinyama Kaume na kushotoni kwake ni Kamuzu
Banda ndani ya suti vipande vitatu na kofia.

Pembeni ni Nyerere na Kambona.
Hapo ni New Street ofisi ya TANU ile iliyojengwa na African Association.
 
Na wengine wanaobambikiwa makosa na kusingiziwa kesi na Mahakimu kuthibitisha hivyo na si Waislamu utaandika kitabu?
Usinielewe vibaya Sheikh, bali ni kwa kuwa unasisitizia kitabu na unatumia kitabu chako kutojibu naadhi ya hoja za wadau.

Winama,

Swali hilo hilo ungeliandika kwa adabu tungeweza tukafanya mjadala
mzuri tukabadilishana fikra.
 
Mzee Ms,

kwa Tz,Hii linapokuja swala la dhuluma mafisadi wote wanashikamana kuwafanyia uonevu wa Tz, bila kujali dini wala kabila ni dhuluma kwa kwenda mbele tu.
Hosp ziko za wene nacho na wasio nacho, shule hivyo hivyo.
Mzee Ms, hakuna dhuluma kwa waislam ila kuna dhuluma kwa wtz.
 
Ushahidi kaambiwa kabisa wakati anapeleka CV zake kaambiawa kabisa nyie watu wa madrasa mnamatatizo.

Dogo katafuta kazi online kapata Japan saizi yupo huko.

Sijui unataka ushahidi gani tena.
Huu uchochezi na uwongo wapelekee wajinga wenzako wanaoshinda kwenye mihadhara kutetea uwongo kama huu! eboo!
 
Kuwa na adabu kijana na kauli zako unaweza kuwa unamjibu mtu ambaye amesoma na mzazi wako wa kike au wa kiume na wamesaidia vitu vingi shuleni na kwenye mabweni.

WEWE unaanza kutukana watu tena
 

Mgashi,

Ni vizuri wewe umejua msimamo wetu Waislam na sisi tumesikia jinsi unavyoziona
shida zetu.

Haya yote yatakujatufaa huko mbeleni itakapofika mahali kuwa ni lazima tuzungumze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…