Bado unadaiwa ule uthibitisho wa uchochezi wa Mohamed.Nahiki ndicho kilichotufikisha hapa, ndugu Moha ed kaandika mawazo yake nakuyaita historia bila kusimama kwenye njia halisi ya historia hiyo.
Bila Ushabiki, Mohamed Sadiki ana hoja...."kufufua wazee wake walio zikwa katika historia ya taifa letu" wanao mpinga pia wana hoja, kwamba "si kila mtu lazima mchango wake utambuliwe kwenye taifa hili, yani hata aliye wahi kumpa nyerere lift tu atajwe...." kwa aliye lainisha moyo wake akaweka hoja kati JIBU SAHIHI ANALO
Ritz, mapovu ya nini? Jibu hoja ya Mag3, kama huwezi mwachie mzee wako chauchochezi acheze muziki wake yeye mwenyewe.Mag3,
Umechoka wewe na nani? Kama mmechoka kaeni pembeni kuna watu zaidi ya 90,000+ wanaofuatilia huu munakasha wewe ni nani JF?
Wewe tumishakuzoea juzi ulisema kuwataja hawa wazee wa Kariakoo kwako ni matusi makubwa.
Sasa unalia lia nini eti umechoka kama umechoka sisi tufanyaje tukubebe?
Jamaa ana PhD ya matusi.
Mohamed, 90K hawakusikilizi wanasoma mnakasha. Wapo wanaoanza, wapo waliosoma na kuelewa au kutoelewa. 90K wanaona jinsi gani unavyoumbuka kwa kusema usichoweza kukitetea na kikubwa wamwjua agenda yako na kundi lako.
In fact wengi walikuwa wanjiuliza tension za kidini chanzo chake ni kipi, wengi hawana shaka kuwa master mind wa akina Ponda, Ilunga ni wewe, na hakika wamefunguka macho kujua kuwa kuikulacho... Hakuna aliyejua kuwa mwandishi na msomi kama wewe unaweza kuwa chachu ya umwagaji damu, wanafuatilia sana na tutaweka wazi kila nukta na mstari wa agenda zako.
Hawakusikilizi Mohamed wengi sana wanshukuru maana wanasema ''waliingia chaka lako kichwa kichwa''
Na jinsi unavokimbia hoja za watu ndivyo unavyowatoa mashaka kabisa.
Ukisema Darul Islam sisi tunaokunoyesha na kiwanja na ulaji uliofanywa na waislam wenyewe. Tunafahamu
Ukisema mfumokristo tunaonyesha umma jinsi mfumo huo usivyokuwepo na ni wa kufikirika.
Ukipindisha historia tunainyosha, hapo juu umekiri kuwa Wakristo walishiriki uhuru.
Imechukua page 450 kwako kuandika neno hilo.
90K wameona how you have been brought on your knee by facts not fallacy.
Kurasa 4 nyuma kuna hoja zinatakiwa kujibiwa na Mohamed ikiwemo ile ya mwalim Mpakistani Maliki kupewa deportation ya 24 hrs. Kwanini alipewa deportation na je deportation ilikuwa uonevu au halali.
Jibu hoja usikimbie muungwana. Vijana wako wanashindwa kuelewa wasimame wapi ukiwa mleta hoja na mada na mwalim unakimbia kimbia hovyo. 90k wanasubiri ujibu hoja siyo ujichanganye ! ukikimbia hawakuelewi.
Ritz, mapovu ya nini? Jibu hoja ya Mag3, kama huwezi mwachie mzee wako chauchochezi acheze muziki wake yeye mwenyewe.
Nguruvi,
Tunaanza darsa la kumjua mwalimu wangu Sheikh Malik (Allah amrehemu).
Nitakupa vipande awamu baada ya awamu Insha Allah:
Dr. Hussein Malik came to Tanzania from Pakistan in 1970s as anexpatriate teacher of mathematics employed by the government.The Legacyof Sheikh Muhammad Hussein Malik
It is the ironyof history that Prof. Malik was to be brought into the country by thegovernment because had the Christian bureaucrats dominating the governmentknown the influence which he would have to have upon Muslims particularly theyoung generation surely they would not have given him contract to serve in thecountry.
After completion of his contract with the government Dr. Malik wasemployed by BAKWATA.
Apart from teaching mathematics he also volunteered toteach religion to all secondary schools of Dar es Salaam and surrounding areas.
Accompanying him in his rendezvous around schools and mosques were his ardentstudents, Mussa Mdidi, Burhani Mtengwa, Hamza Soko (all deceased) to mention only afew, who translated for him. These young men would later come to exert great influence not only instudents but also in the traditional sheikhs who reflecting on the hostilepolitical environment of that time distanced themselves from politics.
Thesewere the bridge between the thoughts and strategies of Sheikh Malik and thesheikhs.
In any important gathering like the maulid Sheikh Malik would be oneof those who would deliver nasaa toMuslims together with other sheikhs.
Sheikh Malik being an employee of BAKWATAhe and his students had access to the state owned radio.
Sheikh Malik and hisstudents became de facto leaders of Muslims in Tanzania Mainland and Muslimstudents looked up to them for guidance. This was the time that darsa duarawere introduced to students in schools particularly in boarding schools and invarious mosques in Dar es Salaam.
These darsa took in any students even thoseas children did not go through the madras.
In these darsa students were exposedto the realities facing Muslims in Tanzania as a result of Christian hegemony. Dr. Malik taught Islamic knowledge in a way that no other scholar haddone before him in Tanzania.
There was a distinct system of teaching Islamicspursued by all sheikhs in East Africa.
The tradition was to take studentsthrough the basics, first learning the Qur'an and fikh.
No attempt was made tointertwine the teaching in the Islamic history with the reality of social andpolitical issues of the day as they affected the society in which the studentsand Muslims in general were part of.
Most of the students and the sheikhs themselves had barely gone beyondlower primary school.
Due to inferior secular education of both teacher andstudent they could not articulate and translate the teachings beyond what hadbeen recited in the basics.
They found world issues alien to them and unrelatedto their predicament. Further still they were warned by the post-independencegovernment not to mix politics and religion. Those who had ventured into politics much as to criticize the governmentwere detained, ostracised or declared prohibited immigrants if they happen notto be indigenous.
There had been incidences where prominent sheikhs like MuftiSheikh Hassan bin Ameir and Shariff Ahmed Badawy were banished and declaredprohibited immigrants by Nyereres government.
It was through these darsas and theteaching of Prof. Malik that Muslims particularly the new generation came tounderstand itself and came to be aware of the anti-Muslim force against Islam.
Malik made the young Muslims understand the purpose of their creation and thehigh value of absolute integrity in Islam which leave no room for one class tooppress another.
Through such teachings and drawing parallels from the HolyQuran and the traditions (hadith) of the Prophet, Peace be Upon Him, the youngmen began to look at the Tanzanian society in context of equality and justiceto all.Dr. Malik began first by helping his students overcome the inferioritycomplex which was a result of colonial propaganda and histories taught inschools.
Students were taught of scientific achievement and accomplishment ofMuslim scholars of the past and present.
He taught a contrasting history ofIslam as a religion which did not begin with Muhammad (Peace be Upon Him), butwith Adam.
Dr. Malik taught his way down to the time of Jesus and the Jewsemphasising of the fact that Jesus like Muhammad was a Muslim.
His mostinteresting and captivating topic was the history of the Jews how they turnedreligion into nationality and vice-versa.
Dr. Malik taught his students aboutexploits and achievements of Muslims scientists and scholars. He concluded hiscourse of study by showing the imprecision in Christianity.
Prof. Malik wiped out colonial histories ofMuslims as blood thirsty, raving through Spain on horse backs with swordsblazing killing and forcing Christians to embrace Islam.
But he taught also hisstudent the meaning of jihad and its value and what it can achieve to anindividual, and to a people under subjugation.
He taught his students the valueof education to a Muslim to consider education in whatever its form as theirtop priority and should not fall into the trap of demarcating between secularand religious knowledge because all source of knowledge is one.
These teachingsfound their way to the darsa duara.Previously it was not common for students to take Islamic knowledgeseriously.
Dr. Malik was able to teachthe subject in such a way that the subject was interesting and was alwaysadding new knowledge.
His studentslooked forward to his classes.
In a period of ten years Dr. Malik was able tomould a strong following of disciplined and committed young men who began tosee the injustices committed to Muslims in the Tanzanian society.
Dr. Malik's teachings went beyond schools; hemade rounds in mosques to lecture on different topics with his students asinterpreting for him.
Once free of complex and armed with the teachings ofcorrect version of Islam as a superior culture to any other, Dr. Malik laid aheavy burden to his students that they have an obligation to change the societyand restore back the honour denied to Islam and Muslims not only in Tanzaniabut throughout the world.
His students in turn now began to hold classes indifferent schools and mosques.
The effect was noticeable.
Mohamed Said,
Huu mpini wa Sheikh Dr Malik hatari Allah ampe neema kwa kuacha Ilm.
Nguruvi3,
Ulituambia utatupa habari za Sheikh Dr Malik mtu hatari tunasubiri utujuze.
Na wala ukweli usipindwe. Leo nani alijua kuwa Maryknoll walitoa ticket kwa Nyerere.Bila Ushabiki, Mohamed Sadiki ana hoja...."kufufua wazee wake walio zikwa katika historia ya taifa letu" wanao mpinga pia wana hoja, kwamba "si kila mtu lazima mchango wake utambuliwe kwenye taifa hili, yani hata aliye wahi kumpa nyerere lift tu atajwe...." kwa aliye lainisha moyo wake akaweka hoja kati JIBU SAHIHI ANALO
Haaa!!!! mpini upi tena unautaka kutoka kwangu? Kila nilichosema amekisema Mohamed na nashukuru kuwa sikusema uongo.Mohamed Said,
Huu mpini wa Sheikh Dr Malik hatari Allah ampe neema kwa kuacha Ilm.
Nguruvi3,
Ulituambia utatupa habari za Sheikh Dr Malik mtu hatari tunasubiri utujuze.
Na wala ukweli usipindwe. Leo nani alijua kuwa Maryknoll walitoa ticket kwa Nyerere.
Ukisoma ngano nzima ni juu ya wazee wa Mohamed na Michango yao. Ukweli ulipindwa kuwa K.Sykes ndiye aliasisi AA bila mtu mwingine, sisi wengine tunasema hapana alikuwepo Cecil Matola na Ramadhani Ally.
Ukweli unasukwa kwa lazima umma uamini ni Wamanyema, Wazulu na Wanubi ndio walikuja kulikomboa taifa hili tena kwa kutumia Uislam. Yaani mchango wa mtu mwingine ni hovyo mbele ya wazulu, wamanyema na wanubi.
Ukweli ukapindwa eti Nyerere alitamka neno siasa kwa mara ya kwanza alipoonana na Sykes Dar es Salaam.
Ukweli upo wazi kuhusu Nyerere na siasa na kwamba elimu yake ilikuwa kubwa kuhusu siasa kuliko Kiyate.
Bila kudhalilisha mchango wa Kiyate, ni udhalilishaji kusema kina Chaurembo ndio walimwandikia Mwalim wa sekondari Nyerere hotuba ya UN bila mwalim kujua kimeandikwa nini, Tukubali tu!!!
Sasa ana single ya Darul Iman ambayo tunajua kuwa ulaji ulianza na waislam na wala hawakupigwa marufuku.
Tunajua kuna Islamic foundation imejenga misiskiti 700 sasa iweje serikali iwazuie kujenga chuo cha ufundi.
Kwamba elimu inayodhaniwa kutolewa mwisho wake ni kujenga mazingira ya jamii moja kuwa dhalili.
Mohamed ameshasema kuwa waislam ni raia daraja la pili. Kauli hii ni mbaya sana kwa mustakabali wa taifa.
Ubaya wake ni pamoja na kuaminisha kuwa nchi hii watu wanapiga kwa unafuu wa dini jambo ambalo haliingii akilini kwa mtu mwenye akili timamu.
Hatima ya maandishi ya Mohamed ni kutaka Wamanyema, Wazulu wapewe nafasi za upendeleo kimadaraka.
Kama taruhusu hilo kutokea basi tuwe tayari kwa kusikia madai ya kuwa kwanini kuna maaskofu wengi makanisani na ni wakati masheikh nao wafikiriwe.
Watu wanatusoma wanatuelewa kuwa hatuna ajizi wala husuda na Mohamed kuorodhesha familia yake, majirani zake na wazee wake wa Tandamti. Tatizo ni kuwa asifanye hivyo kwa kudhalilisha wengine na wala asitafute au kufukia ukweli.
Kila kitu kiwekwe wazi na kwa mujibu wa historia na si fikra za mtu.
Kuna hoja za Mag3 umezikubali vizuri tu. Halafu wewe utaeleza nini kuhusu Malik Mwalim wako?Ritz,
Lakini wewe mtu mbona mkorofi?
Huachi?
Mimi si mtu wa nongwa ndiyo maana sikuona haja ya
kumkumbusha Nguruvi habari ya Sheikh Malik na mambo
yake ya ''hatari.''
Haaa!!!! mpini upi tena unautaka kutoka kwangu? Kila nilichosema amekisema Mohamed na nashukuru kuwa sikusema uongo.
Lakini pia lazima utambue kuwa Mohamed ni mwanafunzi wa Maliki sasa sijui unatgemea akuambie nini kuhusu deportation yake! Not everything you see is roses, read between the lines you will see sharp thorn
Ile tafiti maarufu ya Warsha kwa mujibu wa Mohamed ilisimamiwa na nani?
Ni kwanini Mpakistan aje kufundisha social and political subjects katika misikiti?
Kwanini Mohamed ambaye amekiri ni mwanafunzi wake hakujiorodhesha miongoni mwa wanafunzi aliowataja? do you know why!
Haaa!!!! mpini upi tena unautaka kutoka kwangu? Kila nilichosema amekisema Mohamed na nashukuru kuwa sikusema uongo.
Lakini pia lazima utambue kuwa Mohamed ni mwanafunzi wa Maliki sasa sijui unatgemea akuambie nini kuhusu deportation yake! Not everything you see is roses, read between the lines you will see sharp thorn
Ile tafiti maarufu ya Warsha kwa mujibu wa Mohamed ilisimamiwa na nani?
Ni kwanini Mpakistan aje kufundisha social and political subjects katika misikiti?
Kwanini Mohamed ambaye amekiri ni mwanafunzi wake hakujiorodhesha miongoni mwa wanafunzi aliowataja? do you know why!
Nipe adhabu yoyote unayoitaka, lakini hoja ya wakuu Mag3 na Nguruvi3 inatakiwa kujibiwa. Wewe kama wewe huna ubavu na ndio maana nakwambia mziki huu wewe huuwezi mwachie mwalimu wako chauchochezi Mohamed Said aucheze!Mimi na wewe nani anatoka povu wewe si unatuita sisi wajinga wapuuzi.
Nashangaa unaangaika na wapuuzi.
Adhabu yako wewe ni kukupuuza tu.
Kuna hoja za Mag3 umezikubali vizuri tu. Halafu wewe utaeleza nini kuhusu Malik Mwalim wako?
Si utafanya kama ulivyoficha utaifishwaji wa Nyumba ya D.Cameron na familia ya Sykes. Wapi uliwahi kutueleza kuwa nyumba ile walifasidi zaidi ya kusema walijenga jumapili. Sasa utatueleza nini kuhusu Malik. Mbona hukumalizia aliondokaje
Nguruvi,
Mimi sina uwezo wa kukulazimisha kuamini niliyoandika.
Kuhusu ujenzi wa nyumba ya African Association nimetoa rejea hapa atakae akasome Maktaba ya Chuo Kikuu, East Africana.
Nimekuwekea tena rejea hiyo kwenye footnote ili uipitie na usome mengi kuhusu African Association na ujenzi wa ofisi ile iliyopo hadi leo ofisi ambayo unasema ilifisidiwa.
Naweka hapa maelezo kutoka ''Under the Shadow of British Colonialism'' kwa ufafanuzi zaidi:
''Part of that history and indeed the history of our family has also been recorded together with the history of Tanganyika itself.
Kleist preserved this history through his own pen.
And it was from Kleist's pen that many years after he had passed away that we now have an accurate account of those days long passed.
Before he died on 23 May 1949 my father left behind his memoirs in his long flowing Germany handwriting picked from a Germany school he attended in Dar es Salaam, as a child in early 1900s. These memoirs [1] were later revisited by Abdulwahid my elder brother with his daughter Aisha Daisy Sykes, then an undergraduate student at Dar es Salaam University under the tutelage of Illife the renowned historian from Cambridge University.
A month before he died on 12 October 1968 Abdulwahid had had already assisted Daisy to complete her research assignment of prominent Africans in Tanganyika for a history seminar on the life of her grandfather.
The aim of this project was to document the life history of our father, Kleist Sykes and his achievement in politics, education and business.
It was from his diaries, personal papers as primary sources and with the assistance of Daisy that Iliffe was able to research and write accurately on African Association and early colonial politics.[2]
This work was submitted to the History Department of University of Dar es Salaam in September 1968.
It was later published in 1973 in a book edited by Illife.[3]
It is a pity that Abdulwahid who was the main informant on the biography did not leave to see the fruits of his work. Prior to publishing of my father's biography, little was known about the founding fathers of the African Association.
[1] A.D. Sykes "The Life of Kleist Sykes," University of Dar es Salaam Ref. No. JAN/HIST/143/15.
[2] See John Illife: A Modern History of Tanganyika, Cambridge University Press, London, 1977; Also "The Role of the African Association in the formation and Realisation of Territorial Consciousness in Tanzania." Mimeo, University of East Africa Social Sciences Conference 1968.
[3] Illife Modern Tanzanians, (ed), East African Publishing House, Nairobi, 1973.
Nguruvi,
Sasa tuje kwa mwalimu wangu Sheikh Malik.
Nimekwambia vuta subra ndiyo kwanza tumeanza darsa.
Insha Allah nitakuwekea hapa kila kitu nikijuacho kuhusu sheikh awamu baada ya awamu.
Ukweli hata ukirudiwa mara mia haina tatizo.Badala kutaka ukweli mwengine onesha kuwa huo ukweli usioupenda ni uongo kama utaweza.Mzee ms,
Umekuwa kila ukiulizwa ukiilejea mifano hiyo hiyo na kusema ni mifano michache kama ya oic na ujenzi wa chuo.
Tupe na madhila mengine c kuludia mifano hiyo hiyo kila siku.
Mbona hawakuthaminiwa hata kwa utanganyika wao kwa angalau kutajwa na kuelezwa kuwa na wao walikuwa wapigania uhuru.Hawa ni mashujaa waliotanguliza utanganyika wakafanya kazi na watanganyika wenzao bila kujali tofauti ya dini wakafanikiwa kuuleta uhuru. Akaja Mohamed Said na uovu wake akawavisha joho la uislam kwa masilahi yake binafsi akawapamba na kuwapandikiza maneno na chuki dhidi ya shujaa mwenzao Nyerere, ati kwa kuwa maiti/marehemu hana kauri. Mohamed akatumia majina ya wazee hawa kuwachochea watu wasiofikiri kama Ritz ili wawachukie watanzania wenzao kwa misingi ya dini.