Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Usipotoshe ndugu, alichofanya Mohamed ni kuwatenga zaidi, sio kuhuisha historia!

Unadhani waliosahauliwa katika historia ni wazee wakiislamu tu kama alivyofanya?[/QUOTE]
NDUGU YERICKO NYERERE THANKS KWA KUNIONA NA MIMI NA KUNIJIBU HOJA YANGU,NAKUSHUKURU KWA MOYO WAKO HUO,SASA NAOMBA NAMI NIKUONE NA NIKUJIBU BILA KUTARA DADI NJE YA MAUDHUI YAKO,

1.ALICHOKIFANYA NDUGU MOH' SAID SI KUWATENGA,LA HASHA NI KUIHUISHA ILE HISTORIA ILIYOFISHWA KWA MAKUSUDI.

2.WALIOKASAHAULIKA KATIKA HISTORIA ILE SI WAISLAM TUH,SWALI HILO LABDA NIKUULIZE WEWE,JE HAWA WAISLAM AMBAO WALIFUTWA KWA MAKUSUDI KWENYE HISTORIA YA UHURU WA NCHI HII,WANGEANDIKWA KAMA WALIVOANDIKWA HAO WAKRISTO,JE TUNGEKUWA KATIKA MJADALA HUU TULIONAO SASA??BILA SHAKA JIBU NI HAPANA,KUSAHAULIKA KWA WALE NDIKO KULIKO TULETA PAMOJA HAPA MIMI NA WEWE KATIKA MEZA YA MAJADILIANO,

YEYE ANA HAJA GANI YA KUANDIKA HISTORIA YA WATU ASIO WAFAHAM KWA UNDANI?UKITAKA APOTOSHE ILI TUH KUWAFURAHISHA?KAMA WEWE UNAZO HIZO HISTORIA,NANI KAKUZUIA KUANDIKA KITABU NA KUWEKA USHAHID KAMA ALIVOFANYA YEYE??MUNGU AKUBARIK SANA YERICKO.
 
Kusahaulika kwa wazee wake hawa kuna uhusiano gani na Mwalimu? Mwalimu amefariki bila kuandika historia ya nchi hii. Hata hiyo ya Kivukoni haina mkono wala baraka za Mwalimu.(KWANI YEYE KAKUAMBIA KUSAHAULIKA UKO KUNA UHUSIANO NA MWALIMU AU YEYE AMEBASE KUELEZEA KUSAHAULIKA KWA WALE WAZEE NA UHUSIANO WA HARAKATI ZA UHURU WA NCHI HII??MANTIKI UMEIPTA LAKINI??

-Kusahaulika kwa wazee wake hawa kuna uhusiano gani na DINI yao? Ni watu wa dini hii tu waliosahaulika? Ni kweli Mwalimu aliuchukia UISLAM na WAISLAM?(LA HASHA,KUSAHAULIKA KWA WALE WAZEE HAKUNA UHUSIANO NA DINI YAO,NDIO MAANA TUNAHOJI WHY WAKASAHAULIKA??AU KWA KUWA WAO NI WAISLAM??KWANIN WENGINE WAMEEANDIKWA NA WAO WAKAACHWA??,HILO SWALI LA KUSEMA MWALIMU ALIWACHUKIA WAISLAM NA UISLAM LINAJIELEZA WAZI WAZI,USITAKE KUNICHOTA HISIA ZANGU UKANIUHUKUMU KAMA MIMI NI MDINI,HOJA YETU HAPA SIO HIYO,ILA UKWELI JUU YA HILO MWENYE MACHO HAAMBIWI ONA,NA MWENYE MASKIO HAAMBIWI TAZAMA.
Naona wewe haujamsoma Mzee wetu Mohamed hata kwa mabandiko yake humu.
 
hivi mzee mohamed anaposema waislam walitengwa na wakasahauliwa kwenye historia ya nchi hii anakuwa anamaanisha nini hasa! Hapa mzee wetu anapigania nini kama sio dini yake?

sasa naona unataka kumjaza yeye maneno yako wewe mdomoni mwake,,hii hoja nilishakujibu tayari..kwani wapi ameigusa dini ya uislam??ama kwa kuwa kawataja waislam??

Mfano,wewe ungekuwa ni mwandishi na unaandika sasa kuwaelezea wazee wa kikristo ambao wamesahaulika kwenye historia fulani,tuseme ya nchi hii,unataka sisi tukushutume wewe ya kwamba unapigana crusade war?tukuite wewe ni mdini??
Hebu twende sawa kidogo
 
Sasa wazee wa Dar kutokusikia jina haina maana Nyerere hakuwa ameanza siasa. Kama wao hawakusikia inawezekana ni kwa sababu walikuwa hawana namna ya kusikia lakini inaonekana kati ya wasomi wa wakati wake wapo waliosikia jina la Nyerere kama unavyoeleza hapa chini.





Yeah inawezekana ilikuwa hivi lakini Nyerere alitumia barua hiyo kujitambulisha kwa Sykes?



Sijui kama unajaribu kuonesha kuwa Nyerere alisema uongo; lakini sioni contradictions yoyote hapo. Yawezekana alipewa barua na Mwapachu lakini physically ni Kassela Bantu aliyemtambulisha rasmi kwa Sykes?




Kwa hiyo ni wazi Sykes hakumpatia Nyerere fikra zozote mpya za kumuingiza katika harakati. Kwa simulizi lako hapo huoni kuwa basi ni Mwapachu ndiye aliyemleta Nyerere TAA na siyo Sykes? Na alimleta kwa sababu Nyerere tayari alikuwa ana fikra za kuweza kuisaidia TAA - hii ilikuwa kabla ya kukutana na Sykes na Sykes alichofanya ni kukubaliana tu na mawazo ya kina Mwapachu na Bantu?


[/FONT]
[/SIZE]

Lakini haiwezekani ikawa ni mara ya kwanza wakati tayari alishasimulia katika mahojiano na mke wa Du Bois na katika simulizi lake la We Must Run While They Walk na masimulizi mengine kadha wa kadha. Vitabu hivi vyote vilikuwa vinapatikana na miye nimeweza kuvipata na kuvisoma.


Nyerere kuelezea siku zake za mwanzo jijin Dar hakufanya mara ya kwanza mwaka 1985. Kihistoria hii si kweli.


Bahati mbaya sana hotuba ile ilivurugika na kitu kidogo sana. Nyerere alipokuwa anaeleza nafasi za uongozi katika TAA alisema hakumbuki marehemu Abdulwahid alikuwa na cheo gani.

Hili kwa hakika lilikuwa jambo lililoshangaza wazee wengi katika hadhira ile kwani wengi wao wasingelimfahamu Nyerere sama na kuletwa Makao Makuu ya TAA pale New Street na marehemu Abdulwahid Sykes.
[/quote]

Lakini hili si zito kivile; hivi kweli mtu baada ya miaka karibu 25 anatakiwa kukumbuka kila kitu wakati wote; hawezi kupitiwa. Leo hii tu kuna watu - mimi mmojawapo - naweza nisikumbuke vizuri watu muhimu katika maisha yangu walikuwa wanafanya nini miaka ishirini iliyopita. Sidhani kama unamaanisha Nyerere alikusudia kumfanya duni Sykes.



Lakini hapa inatatiza kidogo; kwa mtu mwenye chuki na Waislamu na wazee wa Kiislamu iweje awapambe mashehe na hawa wengine? Au alikuwa hajui kuwa ni wazee wa Kiislamu?




Ukimaanisha Dar inaweza kuwa kweli lakini serikali ya Mwingereza ilishamgundua Nyerere way kabla ya kuja Dar na wapo watu waliokutana naye miaka mingi kabla ya kuja Dar. Sasa ukisema Dar tu haina maana yoyote kwani kuna watu Mbeya, Kigoma, Iringa, Songea ambao nao walikuwa hawajawahi kumsikia Nyerere. SIdhani kama hii ni hoja nzito kivile. Sidhani kama watu wa Dar walitakiwa wawe wamemjua Nyerere kabla ya kufika Dar.




Nyerere hakuwa ameanzisha tawi la TAA akiwa Tabora kama mwalimu? Ilikuwa ni mwaka gani alipofanya hivi?
[/FONT][/SIZE]



Naomba niulize hapa: Unalipata wapi hili katika hotuba, maelezo au maandishi ya Nyerere kuwa alimuona Sykes kuwa ana "akili sana"? Usinielewe vibaya hapa nataka nijue authority ya kauli hiyo - ama kutoka kwa mtu wa karibu sana na Nyerere kiasi cha kuweza kujua hili.




Sijui kama ulikusudia kutengeneza 'contrast' kwa makusudi au kwa bahati mbaya; kwamba Nyerere alimuona Sykes mwenye 'akili sana' lakini Sykes alimuona Nyerere 'aliyealimika vizuri' na siyo mwenye akili sana?


Hii contrast najaribu kuielewa; Nyerere alikuwa hodari wa majadiliano tu - hakuwa na akili sana na Sykes alikuwa na 'akili sana'. Inaburudisha kuona mapenzi yalivyo.


Na unaendelea na contrasts hii ya kiaiana hapa:



Sifa kwenda kwa Sykes na uzoefu wake na hapa chini Nyerere unavyomuona weye:


Lakini unasema Sykes ndio alimwingiza Nyerere kwenye TAA mwaka 1953 lakini hapa unaonesha kuwa mwaka 1947 Nyerere tayari alikuwa Katibu wa AA huko Tabora. Kweli Nyerere hakuwa na uzoefu wa uongozi? Kweli hakuwa anajua siasa lakini akawa katibu kati ya wasomi? Kweli kuna watu wanaweza kuamini hili.

Lakini jambo jingine ambalo sijui kama umewahi kuliangalia kwani Nyerere anazungumzia hili kwenye We Must Run While They Walk ni mgomo ule wa 1947. Umewahi kujiuliza kwanini hakujishughulisha na mgomo ule au kama alijishughulisha kwa namna tofauti?




Lakini nikikusoma vizuri hapo juu ni kama kulikuwa na dharau fulani hivi (sijui kama ndio unaita mapenzi) Sykes alimuona Nyerere kama mtu asiye na akili sana kama yeye ni hodari wa majadiliano tu na Nyerere akimuona Sykes mwenye akili sana!




Lakini kama simulizi lako kuwa Nyerere alikuwa tayari katibu wa AA Tabora mwaka 1947 ni wazi kuwa Nyerere alikuwa anatekeleza mpango wake wa muda mrefu tu wa kujiingiza kwenye siasa na ukiangalia sidhani kama angekuwa mtu mwingine Makao Makuu bado Nyerere angefika tu makao makuu; sidhani kufika kwake makao makuu ni kwa hisani ya Sykes na wale kuinuka kwake katika vyeo ni matokeo ya kuingizwa na Sykes makao makuu.

Nyota ya Nyerere ilikuwa imeshaangaza na ilikuwa muda tu mwanga wake ungefika makao makuu. Katika kitabu chako cha Sykes unaeleza vizuri jinsi habari za Nyerere zilivyoanza kufika kwa watu mbalimbali Dar wakati Nyerere yuko Pugu. Nuru inatabia ya kupenya hata kwenye kipenyo kidogo tu. Watu wa Dar walikuwa hawana namna ya kuikwepa nuru ya Mwalimu.



Ni wazi asingeweza kukataa kwa sababu tayari alikuwa ameshaamua kuingia katika siasa miaka karibu saba nyuma.




Na historia inaonesha kuwa hakukuwa na mtu aliyekuwa amejiandaa kihisia, kifikra na kielemu kufanya kazi hiyo vizuri kama Mwalimu. Siyo Rupia, siyo Tumbo, Siyo Sheh Amir, siyo Mhando isipokuwa Mwalimu Nyerere, Baba wa Taifa.

Tusinase hapo nimekusoma na ninaheshimu mawazo yako.
:A S angry:
 
naona wewe haujamsoma mzee wetu mohamed hata kwa mabandiko yake humu.

me namfuatilia vema sana huyu ndugu,tokea mwanzo wa page hadi sasa,hajaniacha hata nukta.


Don attack me,attack hoja zangu hapo juu.
 
Ingekuwa bora kabla ya kuandika ukafanya utafiti angalau kidogo.
Nani kakuambia kitabu cha historia cha Kivukoni haina mkono wa
Nyerere?

Kasome utangulizi wa kitabu.

Hilo lingine sina haja kulisemea.
Hilo lingine kama kawaida yako hauwezi kulisemea. Hilo linafanana na hili: Wazee wako hawa walipigania uhuru wa nchi hii kwa kutumwa na DINI yao? AA na baadae TAA zilianzia misikitini?
 
sasa naona unataka kumjaza yeye maneno yako wewe mdomoni mwake,,hii hoja nilishakujibu tayari..kwani wapi ameigusa dini ya uislam??ama kwa kuwa kawataja waislam??

Mfano,wewe ungekuwa ni mwandishi na unaandika sasa kuwaelezea wazee wa kikristo ambao wamesahaulika kwenye historia fulani,tuseme ya nchi hii,unataka sisi tukushutume wewe ya kwamba unapigana crusade war?tukuite wewe ni mdini??
Hebu twende sawa kidogo
Muulize Mzee wetu Mohamed, waliosahaulika tena kwa makusudi kabisa, kwenye historia ya nchi hii ni watu wa DINI gani?
 
MS anaamini kuwa Ditopile anaweza kuwa alitendewa vibaya na magazeti yanayosimamiwa na wakristo lakini yeye na kundi lake wana haki ya kuaminiwa kuwa hakuna upotoshaji hata pale ambapo imedhihirika kuwa kulikuwa na upotoshaji wa hali ya juu. 1. Kuhusu namba za mitihani, 2. Kuhusu kupigwa marufuku kitabu chake UDSM ''by Christian lecturers'' n.k. Anachotaka ni ku-provoke mtafaruku kama alivyowahi kuwataka maaskofu wajibu hoja za kitabu pengine kulenga kuamsha hisia na kuchochea vurugu kwa uwazi kwasababu Ponda si peke yake. Hapa anatupa ushahidi kuwa hana uthibitisho bali hisia zake zinamtuma kusema hivyo. Tena bila haya MS amekua akitumia neno ''huo ni ukweli'' sidhani kama kuna ukweli usiothibitika. Tunaposema historia asemayo imejengwa katika hisia, ushihidi ni kama huo.Hata kama maandishi yake yanaweza kuleta vurugu, MS yupo bize na toleo la tatu, take care of today, tommorrow will take care of itself.

Waliobadili majina ya mitaa ni madiwani wa Dar es salaam. Walioshindwa kuwaenzi wakazi na wanaharakati ni madiwani na wananchi wa Dar es salaam. Kuna nyakati Mwenyekiti wa CCM mkoa, Wilaya, Mkurugenzi, Meya na Madiwani wote walikuwa wazee wake. Anajua fika kuwa kosa si la Nyerere ni la wazee wake kama akina tambalizeni ambao badala ya kufikiria namna ya kuboresha maisha ya wakazi na wenyeji wamebaki kuandika ngonjera kama hizi tunazoziona.

MS hapaswi kutumia muda mwingi kumhukumu Nyerere kwa jina la mtaa mmoja ambao mtendaji wa kata angeweza kukaa na wananchi na madiwani wao wakafanya hivyo.

MS anapaswa aangalie picha kubwa zaidi. Je,kuna kitu gani cha kumbu kumbu ya Mzizima walikoishi wenyeji wetu?
Je, kiwanja cha Chang'ombe kiendelezwe vipi kwa faida ya wakazi wa jiji.
Je, kifanyike nini wakazi wa kariakoo-mzizima wanufaike na ardhi na rasilimali zilizopiganiwa na akina Abdul Sykes na Kiyate. Kwanini wahamishwe kwa kupewa milioni 15 kwa kitu chenye thamani ya milioni 400 n.k.
Kufikiria street moja tu ni tatizo kabla ya tatizo.

Walioifikisha Dar hapo ilipo ni wazee wako, Nyerere anafanywa Bangusilo tena kwasababu tu ya jina Julius.
Anahukumiwa kwa uzembe, ujinga na ututusa usiomhusu.
Nyerere hakuwa diwani Moshi, Mwanza au Mbeya! kimeshindikana nini Dar!
MS warithishe watoto werevu na kujitambua kwasababu dunia ya leo majungu haujawa mtaji wa maana the least to say
Sasa kama unajua hujui na huna majibu, kwanini ujihusishe na kuwa msemaji wa waislam?

Ukweli ni kuwa unaogopa kusema Mwinyi, Mkapa au Kikwete kwasababu kufanya hivyo utagusa wazee wako.
Tunarudi nyuma kuwa tuhuma dhidi ya Nyerere ni za kupikwa kwasababu historia inamsuta MS.
Huwezi ukawa na tukio moja katika historia ukachagua namna ya kulijadili au kuliandika kwa nyakati tofauti.
Chuki dhidi ya Nyerere ni kwasababu tu ya kumhusisha na dini yake.

MS unapaswa kwenda kujadiliana na Kikwete kwanza, kwasababu Nyerere ni marehemu. Kuendelea kumsukumia lawama hakumdhuru bali kunaidhuru jamii yako. Kumzushia yaliyomshinda Mwinyi na Kikwete ni ubaguzi wa ajabu sana.
Ubaguzi ni dhambi mbaya sana na humdhalilisha awayeNyerere aliwahi kulieleza na maandishi yapo. Mkapa kalizungumzia hotuba ipo.
Kikwete hajawahi kulizungumzia. Tatizo lipo lakini si kwa namna unayoielewa wewe na kundi lenu.

Kwanza hamtafuti suluhu mnachotaka ni kuvuruga nchi. Mtu mwenye suluhu hawezi kuwa anapiga mdomo na ikifika mahali anaulizwa tufanye nini anajibu haya
MS anachotaka ni kuita majina na kuwapa watu madaraka. Kuita majina na kuwapa watu kazi za taaluma.
Kwamba kwake Daktari anaweza patikana kwa uwiano au kupiga kura!!!

Kibaya zaidi MS anaamini kuwa mtu anayeitwa Abdallah Husein Bin Suein au John William Walace basi huyo ni muumini wa dini. Tatizo la watu kama akina MS ni kutochukua kioo na kujiangalia!Ni kunajisiwa fikra zao na ukoloni wakidhsni kuwa dini ni jina hata kama awaye ni mzushi, jambazi, muongo.

Hivi unapata wapi mtaalam au kiongozi kutoka Kilwa kama shule zinafungwa kwa kukosa wanafunzi.
Shule ifungwe kwenda kusikiliza kesi ya Ponda!! Hayo si tatizo kwa MS,tatizo ni Nyerere!
MS waambie watu wako ukweli acha kuwadanganya ili uuze nakala za vitabu, unawapotezea muda wa kusonga mbele.

MS hana ushahidi wa maswali yote mawili, bado anasema alichoandika ndio ukweli. Huu ni ushahidi kuwa sehemu kubwa ya ngano hii imejengwa kwa fikra zake binafsi zikichagizwa na uzushi.

Mwanafunzi hawezi kuja kusema na mtafiti akakubali tu kwasababu ni mwanafunzi huyo ni Mwislam.
Hili kama si majungu ni nini. Uliposema ndani ya kitabu kuwa christian lecturers at UDSM... ulichotaka ni kujenga chuki tu.

Huko Ulaya wasikojua hali ya Tanzania hawawezi kukuuliza uwape ushahidi. Ndio maana tunasema MS ni mpotoshaji, mzushi na mjenzi wa historia kwa kutumia majina na matukio huku akichomeka mbegu yake ya chuki miongoni mwa jamii.

Kusema jambo usilo na uhakika nalo ni uzushi na ni uongo. Dini ya kiislam haitaki hivyo na imekataza.
Unapaswa umuogope mwenyezi mungu kwanza kabla ya mauzo ya kitabu.
Muogope mola wako kabla hujazua balaa maana hilo limekatazwa.

Sasa tuna mambo mengi sana ambayo Mohamed ameyaandikia kurasa na kurasa na ameshindwa kuyatetea kwa mantiki,
hoja na hekima. MS nani asiyejua kwanini unakimbia hoja na maswali na umebaki kukata vipande vya kitabu.

Ninafikiria hivi kama kuna mwanafunzi anaandika thesis na amefanyia reference kitabu hiki, atawezaje kuitetea thesis yake kama mwandishi hawezi kutetea maandiko yake. Sad!

Nitajibu hilo moja tu la thesis na kwa professor nanaemjua mie.

Prof. Jonathon Glassman Northwestern University Chicago
anawaamuru wanafunzi wake wote wa Ph D kusoma kitabu
changu ikiwa somo ni Uislam Tanzania.

Halikadhalika James Brenan, James Brandon na wengine wengi.

Kitabu kimenipatia marafiki dunia nzima.

Wazungu hawapungui kwangu.

Kiasi watoto wa mtaani wakimuoma Mzungu anazubaa mtaani kwetu wanamuuliza.

"Are you looking for Mzee Mohamed?"
 
muulize mzee wetu mohamed, waliosahaulika tena kwa makusudi kabisa, kwenye historia ya nchi hii ni watu wa dini gani?
afanaleki..!

Mbona sasa ndugu yangu nakuuliza hunijibu,,kisha unanishurutisha nimuulize mzee moh' said pasi nawewe kunijibu hoja zangu??please hebu kuwa muungwana na unijibu hizo hoja zangu tafadhali,hiyo ndio raha ya mnakasha
 
Nitajibu hilo moja tu la thesis na kwa professor nanaemjua mie.

Prof. Jonathon Glassman Northwestern University Chicago
anawaamuru wanafunzi wake wote wa Ph D kusoma kitabu
changu ikiwa somo ni Uislam Tanzania.

Halikadhalika James Brenan, James Brandon na wengine wengi.

Kitabu kimenipatia marafiki dunia nzima.

Wazungu hawapungui kwangu.

Kiasi watoto wa mtaani wakimuoma Mzungu anazubaa mtaani kwetu wanamuuliza.

"Are you looking for Mzee Mohamed?"
Kweli! Bila shaka Wazungu hawa ukristo wao sio kama ule wa Mwalimu! Nawaomba wakutembelee sana tu ili ukose muda wa kuktutengenezea "Al Qaeda" nyingine humu Tanzania.
 
Hili nalo neno.

Kweli! Bila shaka Wazungu hawa ukristo wao sio kama ule wa Mwalimu! Nawaomba wakutembelee sana tu ili ukose muda wa kuktutengenezea "Al Qaeda" nyingine humu Tanzania.
 
afanaleki..!

Mbona sasa ndugu yangu nakuuliza hunijibu,,kisha unanishurutisha nimuulize mzee moh' said pasi nawewe kunijibu hoja zangu??please hebu kuwa muungwana na unijibu hizo hoja zangu tafadhali,hiyo ndio raha ya mnakasha
Mh! Zimenishinda hoja zako.
 
Ndugu yangu tufanye mjadala wa busara.
Busara hii itumike pia tunapoandika, tunapohubiri kwenye nyumba za ibada na kwenye mihadhara mbalimbali. Sasa hivi Mwalimu ananuka misikitini. Jiulize mchango wako katika hili.
 
yericko nyerere hauko fair,wewe mara nyingi huwa unamshutumu mzee moh' said anachagua maswali ya kujibu wakati haiko hivo,wewe ndie unaechagua maswali ya kujibu,nakuuliza vitu vingi unakausha,mnakasha tutauendelezaje??kama hoja zangu ni za kijuha niambie tu ndugu,kuliko kukaa kimya,umeishiwa hoja??
Basi tumwache ndugu yetu aifanye kazi yake pasi na masemango,moh' said endelea kutupa darsa mkuu.
 
Busara hii itumike pia tunapoandika, tunapohubiri kwenye nyumba za ibada na kwenye mihadhara mbalimbali. Sasa hivi Mwalimu ananuka misikitini. Jiulize mchango wako katika hili.

Hilo ndilo swali la kujiuliza.
Historia ya uhuru wa Tanganyika ndiyo hiyo nimeieleza humu.

Nyerere anatembea kwa miguu kafuatana na Abdu Sykes na Dossa.
Njiani salamu wanazopeana na wananchi ni "Uhuru."

Sheikh Hassan bin Amir anamuunga mkono Nyerere kwa dhati ya nafsi
yake.

Baraza la Wazee wa TANU wanaisimamia safari ya Nyerere UNO kwa mafanikio
makubwa sana.

Waislam wanaikataa AMNUT.

Uhuru unapatikana.

Ghafla Nyerere hataki kuwaona wazee wa Baraza la TANU pale New Street.
Ghafla TAA haina maana kwa kuwa hakikuwa chama cha siasa bali cha starehe.

Ghafla masheikh wanakamatwa usiku wa manane kama majambazi na kutupwa
kizuizini.

Ghafla EAMWS si jumuia halali Nyerere anaipiga marufuku.
Sheikh Hassan bin Amir anakamatwa na kurudishwa "kwao" Zanzibar.

Mfumokristo unachukua nafasi ya ukoloni.

Hali ya Waislam ndiyo hii ya kuwa raia daraja la tatu.
Hawana ruhusa hata kuhadithia historia ya mashujaa wao.

Hivi mlitegemea nini?
 
Hilo ndilo swali la kujiuliza.
Historia ya uhuru wa Tanganyika ndiyo hiyo nimeieleza humu.

Nyerere anatembea kwa miguu kafuatana na Abdu Sykes na Dossa.
Njiani salamu wanazopeana na wananchi ni "Uhuru."

Sheikh Hassan bin Amir anamuunga mkono Nyerere kwa dhati ya nafsi
yake.

Baraza la Wazee wa TANU wanaisimamia safari ya Nyerere UNO kwa mafanikio
makubwa sana.

Waislam wanaikataa AMNUT.

Uhuru unapatikana.

Ghafla Nyerere hataki kuwaona wazee wa Baraza la TANU pale New Street.
Ghafla TAA haina maana kwa kuwa hakikuwa chama cha siasa bali cha starehe.

Ghafla masheikh wanakamatwa usiku wa manane kama majambazi na kutupwa
kizuizini.

Ghafla EAMWS si jumuia halali Nyerere anaipiga marufuku.
Sheikh Hassan bin Amir anakamatwa na kurudishwa "kwao" Zanzibar.

Mfumokristo unachukua nafasi ya ukoloni.

Hali ya Waislam ndiyo hii ya kuwa raia daraja la tatu.
Hawana ruhusa hata kuhadithia historia ya mashujaa wao.

Hivi mlitegemea nini?
Kujenga NCHI moja isiyo na DINI wa UKABILA haikuwa kazi ya lelemama. Wapo ambao watakuwa walikwaruzwa katika kulifikia lengo hili na hasa kama walipingana waziwazi au kwa kificho na dhana hii. Katika hili, Mwalimu hakumbakiza yeyote hata kama angekuwa mtu wake wa karibu namna gani.

Kitabu chako kile na mahubiri yako ya sasa yanaturudisha huko taratibu lakini kwa uhakika. Mimi na wewe tumekua na kusoma kwa amani sana nchi hii. Sielewi tunakoelekea sasa na mahubiri haya na hisia hizi mpya kwa vijana wetu hawa ambao wamezaliwa miaka ya 80 kila kitu kimeanza kuvurugika.

Hivi kweli Muislam daraja la tatu anaweza kuwa RAIS wa nchi hii tena akawapanga kwenye UONGOZI nyeti wa taifa Waislam wenzake kadri anavyotaka?
 
Busara hii itumike pia tunapoandika, tunapohubiri kwenye nyumba za ibada na kwenye mihadhara mbalimbali. Sasa hivi Mwalimu ananuka misikitini. Jiulize mchango wako katika hili.

Hilo ndio linatufedhehesha watanzania kwakutohidhi hadhi za wanaukombozi wetu, wenzetu wanatugawa, wanaweka ubora wawo kwenye mambo ya wote!
 
sasa naona unataka kumjaza yeye maneno yako wewe mdomoni mwake,,hii hoja nilishakujibu tayari..kwani wapi ameigusa dini ya uislam??ama kwa kuwa kawataja waislam??

Mfano,wewe ungekuwa ni mwandishi na unaandika sasa kuwaelezea wazee wa kikristo ambao wamesahaulika kwenye historia fulani,tuseme ya nchi hii,unataka sisi tukushutume wewe ya kwamba unapigana crusade war?tukuite wewe ni mdini??
Hebu twende sawa kidogo

Hii ni paper ya Mohamed Said ya mwaka 2011.
Tanzania Mainland celebrates fifty years of independence this year but the role of Muslims in resisting foreign rule and in liberating Tanganyika from colonialism has not been requited nor have the heroes of independence struggle been honoured.
We again have to pose a question why is this so? Is it that Tanzania is an ungrateful nation and therefore hates its heroes? Answers to all those questions will lead us closer to understanding the problem which Muslims in Tanzania face. Answers to these questions will make us reflect and uncover reasons which caused Muslim independence aspirations not to be realised. This is now the bone of contention between Muslims and the government. Muslims without mincing words are now pointing an accusing finger to the Church particularly the Catholic Church which in connivance with President Nyerere for being anti Islam and for frustrating the hopes and aspirations of Muslims in free Tanganyika, a country they liberated from colonialism in 1961.
Angalia kwenye blue kwa walioikomboa Tanganyika kutoka ukoloni.
 
Back
Top Bottom