Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Umesahau Wakurya na Wazanaki wamejaa wapi? Talking about "undugunization"!
 
Mdondoaji, kwanza naomba nirejee hoja yako ya ''waswahili;;. Nadhani unakosea kama wengi wanavyokosea kwa kudhani kuwa neo waswahili ni waislam.

Coincidentally watu wanaoongea kiswahili na hakika waliokisambaza ni waswahili (Sahel) ambao wengi wao wametokea kuwa waislam. Ndio maana mswahili hakawii kumwiga afande rire rimekuja ri aresti na wengine nao kusema huyo ni mswahili.

Mimi katika nyuzi hii nimetumia neno ''wamatumbi'',sikumaaanisha wamatumbi bali sisi waafrika.
Mtu aweza sema mnyamwezi akimaanisha Mtanzania. Hiyo ni misemo tu kama tunavyosikia watu wakisema ''aah waswahili bwana, nimemwambia aje saa 3 anakuja saa 6'' hao wanaoongea hivyo wote si waislam.

Ni makosa hayo hayo waislam wanayafanya kwa kudhani kuwa kofia za baraghashia ni Uislam.
Hayo ni mavazi tu na hayana hati miliki wala si alama za dini kama baadhi ya watu waliokosa hoja wanavyodai.

Mama Theresa wa Culcata alikuwa navaa hijab, je alikuwa miwslam? Kuvaa vile alidhihaki uislam?
Haya ni matatizo ya ufahamu tu vinginevyo hilo siyo suala kabisa!

Nikirudi katika nukuu yako, hakika nawe umejikuta katika mtego wa Mohamed.
It's unfortunate Mdondoaji! kwasababu sikudhani unaweza kunasa katika mtego mbovu na dhaifu kama huo.
Sorry. I have to be honest with you

Nashangaa sana unajenga hoja kuwa kuna wakristo ni wengi IFM na PPF.
Vipi kwanini usiangalie kuwa Walimu wengi ni wapi, Mabwana shamba wengi ni wapi, madaktari na wauguzi wengi ni wapi, mavetenari wengi ni wapi n.k.Kwanini mnadhani nafasi ni benki kuu, NSSF, PPF na IFM ni muhimu zaidi ya sehemu nilizozitaja

Ukiangalia shule nyingi za sekondari achilia mbali za msingi za waislam, tatizo lililopo ni ukosefu wa walimu.
Shule ya Al Hassan Mwinyi mwaka 2010/2011 ilikuwa na wanafunzi 250 na walimu wawili.
Hili ndilo tatizo na wala si mkuu wa Faculty IFM. Utapataje mkuu wa faculty kama mtoto hakufaulu huko nyuma?

Mohamed amechota akili za watu kudhani kuwa ukiwa na wakurugenzi 50 katika uwiano wa 0.5 basi matatizo ya waislam yamekwisha. Anawaaminisha watu kuwa ukiwa na mawaziri 20 kati ya 40 basi inflation imeondoka kwa waislam.
Sasa moto umepamba tunakutana na hoja za IFM na PPF

Watu wamefunga macho kabisa kutambua kuwa Kilwa Shule imefungwa kwa wanafunzi kukimbia, jicho lipo kwa Wakurugenzi watatu au wanne IFM.

Huu ni mwendelezo ule ule wa fikra za kuwa Mwanerongo ilikuwa na shule ya kiislam na sasa imerudi nyuma kwasababu EAMWS haikuruhusiwa kujenga chuo kikuu.

Watu wenye fikra hizi za ajabu hawajui kuwa kule kule Mwaneromango sasa hivi wakazi wanafukuzwa na ardhi inaporwa na wawekezaji. Hawana habari kabisa kwasababu jicho lao lipo katika kutafuta ubaya wa wakristo na wala si ubaya wa mfumo wa utawala au madhila wanayopata watu.
Hilo halishughulishi vichwa vyao wao wanashughulika kuandaa data za udanganyifu.

Mohamed daah! kaiharibu jamii ipasavyo. Ni kwa fikra zake kuna mtu hapo nyuma kasema NECTA ni kigango cha kanisa na imeshawahi kuongozwa na Padre. Nimamuuliza Padre aliyeongoza NECTA alikuwa nani na lini, masikini hana jibu.
Sababu kubwa ni kula ngano ya Mo kama ilivyo, haichukui nukta ukimpeleka kwenye kona hana hoja.

Watu wamemeza ngano na data mbichi sasa hivi wanazunguka wakiazima majenereta huko vijijini kuelezea ushahidi wasiojua kuwa wamelaghaiwa. Kasema Mohamed mwenyewe kuhusu majenereta.
Leo tunamuuliza vipi mwenzetu kuhusu utafiti kulikoni ! anasema ni makosa ya kibinadamu.

Bado watu hawajaona tu! Sad
 
Hilo ndilo tatizo kubwa mlilo nalo, hamjui halafu mnajifanya manjuwa. Kaa upwe darsa la historia ya wazee wake na Mohamed Said.

Na mimi nnakuahidi ntakupa hilo darsa ambalo umesema hulijui.

Si unanikumbuka? au umenisahau?

NInashukuru kwa kujitolea kuwa Mwalimu. Sawa nipe darasa; hii namba 83/17 ni ya nini?
 
Umewahi kumsoma John C. Sivalon?

Wewe umemsoma? Au tu mnamtumia kama punching bag? Nimemuuliza Mohamed ni ukurasa gani au sura gani ameandika kuwa kanisa liliuona Uislamu kama adui hajajibu hadi leo.
 

Nguruvi3,

Sijui kama unajua hijabu ni nini Mama Theresa alikuwa anavaa mtandio au ushungi tu lakini siyo hijabu.

Waislam hawafanyi makosa kunasibisha kofia na dini yao Muislam kuvaa kofia ni Sunna.

Halafu unatakiwa uelewe siyo kila kitu mtu akikisema basi kaambiwa na Mohamed Said vitu vingine vipo wazi kwa macho tu hivi kujua kuwa Wakiristo wamekamata ajira nyingi serikalini na kwenye mashirika ya umma mpaka uambiwe na Mohamed Said.

Kwa hiyo unataka kutuambia matatizo ya shule za Kilwa na Al Hassan Mwinyi ndiyo yamesababisha Wakirsto wawe wengi Wizara ya Elimu, Wizara ya Afya, Wizara ya Miundombinu, Wizara ya Ulinzi, Wizara ya Mambo ya Nje, Wizara ya Mambo ya Ndani, Wizara ya Maliasili na Utalii, Wizara zote.

Mashirika ya Umma yamejaa wafanyakazi Wakirsto achalia mbali Wakurugenzi.

Nenda TANAPA, BOT, TCRA, TBC, TBS, TANESCO, BIMA, ITCL, TCCL, na mengine haya yote kuwajaza Wakirsto unadhani limefanyika kwa bahati mbaya Mfumo Kirsto.

Uwa mnanifuarahisha sana mnataka tuwe tujadili matizo ya shule za Kilwa na Mtwara lakini hata siku moja amtaki kujadili kwa nini Wakirsto wameodhi ajira serikalini na kwenye mashirika ya umma.
 
Reactions: Ami

Wanaofanyiwa dhulma ni Chadema.
 
Ritz, imesuniwa kuvaa kofia lakini si hati miliki kwamba hakuna mwingine anayeweza kuvaa kofia, hakuna.

Pili, hijab ni vazi la kujisetiri. Ukiamua unaweza kuita mtandio n.k. Kwa maneno mengine pia hiyo haina maana afanyaye hivyo basi keshakuwa mwislam. Mwislam nimuumini wa dini ya kiislam ingawa si kila mwislam ni muumini, kila muumini ni mwaislam. Hivyo mtu atapimwa kwa matendo yake.

Pili, Mohamed amesema kuna waislam wanaopewa menial job ingawa wapo educated. Tume m-challenge atupe mtu mmoja tu mwenye Ph, Master au 1st degree aliyepewa kazi ya udereva au ufagizi. Haukuweza.

Kuhusu waislam kutokuwepo katika maeneo uliyoyataja, tofauti na wewe mimi naangalia mizizi wewe unaangalia matawi.
Kama shule imefungwa hakuna wanafunzi, 10 yrs down the road utapata nani wa kufanya kazi huko ulikotaja?

Lakini muhimu sana nikuulize hebu niunganishe na Zoologist wowote yule wa kiislam, kuna shirika lainatafuta sana mtu huyo Tanzania. Anatakiwa awe na PhD. Kama yupo na mfumo umemwacha nje tafadhali sana sana sana tuwasiliane haraka maana hiyo kazi ni ya dollar za maana.

Kama hutakuwa na yoyote, nitakuuliza yupi aliyenyimwa nafasi?

Jiulize kwanza do you have qualified people?
Huko ulikotaja ni sehemu ndogo, soko huria linaangalia qualifications (what you will bring on the table) siyo umri, dini au kabila. Kama hakuna maandalizi au ndiyo hayo ya kuangalia mambo kwa makengeza kesho watakuja Wakenya, waganda, Wazimbabwe sijui utasingizia nini.

Tazame mbali, siyo data za Mohamed ambazo hawezi kusimama na kuzitete yeye mwenyewe, anawatupia mkadhalilike nazo mbele ya umma. Please!
 

Nguruvi3,

Acha tudhalilike kudhalilika ni sehemu ya maisha yetu wamedhalilika Wazee wetu wengine wamekaa magerezani sembuse sisi.

Unataka kutuambia hakuna Waislam wenye vigezo kuweza kupata ajira serikalini wewe unasukumwa na chuki dhidi ya Uislam na Waislam bahati nzuri kupitia huu uzi watu wanakusoma vizuri fikra zako dhidi ya Uislam na Waislam.

Ngoja tuendelee kudhalilika wewe na Wakisto wenzako endeleeni kufuarahia maisha.
 
Kamuulize Dr Slaa yeye si ndiyo alisema ataakikisha nchi hatawaliki tena.

sasa wewe unaleta madai, nakutwanga swali unakimbilia nikamuulize Dr Slaa... Pole sana ndugu yangu Ritz umekwisha athirika kisaikolojia kutokana na dhulma mnazofanyiwa, mdogo wako alifanyiwa dhulma mpaka akakimbilia Japan pole sana... Ila kuna siku ambayo haijulikani hizo dhulma zitaisha tu sio Tanzania tu bali ni dunia yote.
 
Last edited by a moderator:

Hayo maswali ulionitwanga jibu lake si ndiyo hilo kaka nimekupa.
 
Last edited by a moderator:
Hayo maswali ulionitwanga jibu lake si ndiyo hilo kaka nimekupa.

Jibu ulilonipa halijaenda shule kabisa! Hapa tupo kwenye jukwaa sasa unaponiambia niende nikamuulize dokta, kwa faida ya wengi ilibidi utoe jibu linalokidhi matakwa...
 
Halafu unatakiwa uelewe siyo kila kitu mtu akikisema basi kaambiwa na Mohamed Said vitu vingine vipo wazi kwa macho tu hivi kujua kuwa Wakiristo wamekamata ajira nyingi serikalini na kwenye mashirika ya umma mpaka uambiwe na Mohamed Said.

Mwalimu wangu wa Falsafa alifundisha kitu kimoja sijakisahau (kati ya mengi nisiyoyasahau) alisema fallacy mojawapo ya watoa hoja ni kile alichokiita "pseudo-obviousness" yaani mtu anaamini watu wote wanauona au wanapaswa kuuona ukweli ambao uko 'wazi kabisa'. Mtu anayesema hivyo mara nyingi hana ushahidi. Kwa mfano, mtu akisema ukienda Moshi utakuta Wachagga wengi wanafanya biashara basi kuna ubaguzi dhidi ya watu wa makabila mengine na ukimuuliza atakuambia "we huoni Wachagga walivyolundikana hapo?" au mtu aende Zanzibar na kusema "Zanzibar kuna ubaguzi sana wa watu wa dini nyingi kwa sababu Waislamu wamelundikana kila mahali".

Sasa, Ritz na wengine wamejiaminisha kuwa 'ubaguzi' ni wingi. Kwamba ukienda mahali ukakuta watu wa kabila moja ni wengi basi mara moja ni ubaguzi. Yaani wanaondoa uwezekano mwingine wowote (bila hata kujaribu kuona kama una ukweli) na kubakia na 'ubaguzi' peke yake. Anapoenda kwenye ofisi na kuuliza Mkurugenzi anaitwa nani hapa wakakuta "John Paul" basi kichwani kengele zinazolia ni "mfumo Mkristu". Lakini akisikia anaitwa "Omar Rajab" hawezi kuhisi upendeleo wa kidini!!

Na hili mtu anafikiria ni la kiakili. Ukikuta jina la Mkristu kwenye ofisi ya serikali basi ni udini (mfumo Kristu) na ukikuta jina jingine lolote basi hakuna mfumo Kristu. Mawazo ya namna hii matokeo yake ni kuwa mtu anatembea kichwani anasikiliza majina; akikuta jina la Kikristu anajiambia "Mfumo" akikuta jina la Kiislamu anajiambia "ndugu yangu huyu anastahili". Hivyo, Wakristu katika mawazo yao hawastahili kushika nafasi, hawapaswi kugombea nafasi yoyote na mahali popote watakapoomba basi waangaliwe kama Waislamu nao wameomba na kama wameomba basi Mkristu asichukuliwe achukuliwe Muislamu (a sort of affirmative action).

Tatizo ni kuwa watu hawajui kuwa mara nyingi discrimination inafanywa na jamii ya watu wenye nguvu. Sasa tuendelee hapa nitaonesha kwa kutumia mantiq kwanini hoja ya dhulma dhidi ya Waislamu haina msingi katika ukweli; ni hoja tu ya kihisia.



Ritz kwa vile unaonekana unaamini kweli kabisa Waislamu wanadhulumiwa na kuonewa na 'mfumo Kristu" naomba unisaidie jibu hili - utakuwa ni mlolongo wa maswali kwako na tutaendelea kwa kadiri unavyoyajibu.

1. Taasisi gani au zipi ambazo zina Wakristu wengi na katika nafasi zipi?
 
Wewe umemsoma? Au tu mnamtumia kama punching bag? Nimemuuliza Mohamed ni ukurasa gani au sura gani ameandika kuwa kanisa liliuona Uislamu kama adui hajajibu hadi leo.

Mimi nimemsoma. Mwenye macho haambiwi tazama, ulitaka ujibiwe nini na Mohamed Said wakati kitabu kizima kinaonesha madudu hayo-hayo.

Isitoshe, soma kichwa cha mada hii, Jee, unalolote kuhusu kichwa cha mada, au ndio mnajipinga chenga wenyewe mpaka sasa?
 
Last edited by a moderator:
NInashukuru kwa kujitolea kuwa Mwalimu. Sawa nipe darasa; hii namba 83/17 ni ya nini?

Rejea darsa tulilokupa kuhusu hiyo namba katika nyuzi za Mohamed Said zilizopita.

Hapa, pata darsa kwa Mohamed Said la historia ya wazee wake.

Umekisoma kichwa cha mada? Jee, umekuja na lolote? au bado mpo katika kujipiga chenga za mwili wenyewe kwa wenyewe?
 
Last edited by a moderator:
Ritz, Waislamu wanafanyiwa dhulma gani? Na wanafanyiwa na nani?
Hili swali lako la aina hii lisitupotezee muda tena.Umejibiwa mara 100 bado unauliza.
Nakukumbusha.Waislamu walianza kudhulumiwa na mkoloni hala na Nyerere baada ya Uhuru na sasa ni mfumo kristo uliasisiwa na Nyerere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…