Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 3,135
- 3,392
Wewe ndio mpuuzi wa mwisho kwenye huu mjadala.
Yaani huamini maandiko kwenye vitabu?.
Ukija huku mitaani waislamu tunasema umoja na maendeleo yetu huwa havisimami kwani vinahujumiwa na mfumo kristo.
Hata hao wahindi na wachaga wakisimama na uislamu wao basi pia nao watahujumiwa.
Hukumbuki Ngano ya Bakhresa ilivyochomwa moto baada ya uchaguzi uliomweka madarakani Mkapa?.
@Ami
Asante kwa kuniita mpuuzi wa mwisho. In other words umeniita mwerevu/muungwana wa kwanza.
Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alisema: Kuna ushawishi wa "Nguvu ya hoja" na ushawishi wa "Hoja ya Nguvu".
Jipime!
"Hoja za nguvu" ndio kama hizo zinazoambatana na matusi!
@Ami
Ni bahati mbaya tu kuwa kwa sababu ya kuheshimiana, hakuna mtu anayekuambia kuwa hoja zako ni za kitoto. In fact hoja zako huwa zipo dhaifu sana mpaka unadhalilisha hata upande huo unaoutetea.
Je unaweza ukatoa ushahidi wa wazi (Bila kutaja Moh Said, Sivalon, Njozi, Van Bergen) kuonesha dhulma ya wakristo dhidi ya waislam?. Zunguka mitaani, sokoni, makazini , mashuleni (bila kufikiria hivyo vitabu) halafu utuoneshe hiyo dhulma ya mkristo dhidi ya muislam iko wapi? Utaishia kuleta hisia tu!!