Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Variability ya population lazima iwe na sababu zilizoainishwa.Ikiwa 1967 waislamu walikuwa ni 67% unadhani ni nini kiliwapunguza mpaka tuseme 40%.Ikiwa hakuna tukio la kimaafa au namna nyengine yenye kupimika basi hilo la kupunguzika mpaka 40% statistically haliaminiki.
Kwa maana hiyo maswali yako mengine na shutuma zote zinazofuatia bila kujibika swali hili hayana mashiko.
 
Jasusi,

Nakutajia haya machache tu ambayo wakurugenzi wake ni Wakirsto.

LAPF, TANESCO, TTCL, TBC, TANAPA, NCAA, TPA, BOT, TCRA,

Nikuongeze yapo mengi mtafanya tuangalie ratio sasa.
Vipi NECTA ambako katibu mkuu wake analindwa kimfumo asiondoke
 

Mzee Mwanakijiji,

Unauliza taasisi zipi zimejaa Wakirsto na nafasi zipi.

Nimekuwekea hizo Wizara na Mashirika ya umma nafasi zote nyeti mpaka makarani watu wa mapokezi ni
Wakirsto.

Wewe ni mwandishi wa habari fanya utafiti wako kwenye ili lakini bahati mbaya akili yako haitaki kukubali kama Waislam wanafanyiwa dhulma.

Jamaa yako Jasusi, naye anasema jamaa yake alifanyiwa dhulma NSSF kutokana na dini yake.
 
Last edited by a moderator:
Vipi NECTA ambako katibu mkuu wake analindwa kimfumo asiondoke

Ami,

Mzee Mwanakijiji,

Haoni dhulma wanazofanyiwa Waislam lakini anaona dhulma wanazofanyiwa Chadema.

Tafakari kisha chukuwa hatua.
 
Sio kutojua tu. Hatuamini shutuma zenu. Nyerere was a nationalist. Aliweka level play field kwa Watanzania wote bila kujali kabila, rangi au dini. Shutuma zenu bado hazina mashiko. Try again.
Kutokuamini ni jambo jengine lakini hivyo vitu vipo na ushahidi umetolewa.
Ikiwa nyinyi hamuamini wengi wetu tayari sasa kazi yenu ni kutubadilisha tusiamini kama mtaweza.
 
Sisi tunaona ni ushahidi kwani tuhuma za muda mrefu bila majibu na wa kujibu yupo mzima wa afya inakuwa ni kweli hana jibu la kutoa tu.
Shutuma miaka yote tangu uhuru hakuna tume ya kushughulikia na serikali ipo unadhani itakuwa ni uongo?.
Nilikupa mfano wa mwari anavyoozeshwa kwa kukaa kwake kimya na mtuhumiwa anavyofungwa kwa kushindwa kujitetea.
 
Ongezea,

St Augustine
Acheni husuda ya ajabu nyie watu.. hiki ni chuo cha Kikristo kabisa, Kipo chini ya kanisa lakini angalia watoto wakiislamu wanavypota elimu pale. Nenda kafanye utafiti uone kama wanabaguliwa kwa ajili ya Uislamu wao.

Ongezea,
Mfano Christmas unakuta miti kila mahali, maua na kwaya zinaimbwa katika ofisi za umma je vp hapo???
hehehehe.. kwahiyo krismasi kushelekea kumbe ndo moja ya dhulma yenyewe... Mbona iddi hatuendi makazini. na wengine ni wakristo....
 

Mimi sijaja kudhibitisha kama Mzee Saidi ni mchochezi, ila nimekuja kuona ushahidi wa dhulma kwa Waislamu.

ambayo sijaona mpaka sasa..... ila bado nasubiria
 
Wewe ndio mpuuzi wa mwisho kwenye huu mjadala.
Yaani huamini maandiko kwenye vitabu?.
Ukija huku mitaani waislamu tunasema umoja na maendeleo yetu huwa havisimami kwani vinahujumiwa na mfumo kristo.
Hata hao wahindi na wachaga wakisimama na uislamu wao basi pia nao watahujumiwa.
Hukumbuki Ngano ya Bakhresa ilivyochomwa moto baada ya uchaguzi uliomweka madarakani Mkapa?.
 
Kwani jina la Ritz ni verified?
 

ngoja nitumie Inchi yenye Waislmu wengi...(Dominated by Muslim Majority)..

Turudi kwenye munakasha wetu. Unatoa mfano wa Zanzibari kwa hiyo Tanganyika Wakirsto walikuwa wengi kuzidi Waislam ndiyo maana Ratio inaonyesha Wakirsto ni wengi kwenye wizara za serikali na mashirika ya umma.

Hata kama waislamu wangekuwa wengi, kutokua wengi katika sehemu za kazi na mashuleni kuna sababu nyingi tu lakini dhulma si moja wapo...

Vipi kuhusu muamko wa elimu maeneo yalikuwa yanakaliwa na waislamu? kama pwani, lindi, mtwara?????
 
Sio bule we utakuwa na matatizo.
 
Kwani mwenye kuteua hao wkurungezi ni nani? Au ni pengo?
 
Vipi NECTA ambako katibu mkuu wake analindwa kimfumo asiondoke
Na shukulu kawambwa nae analindwa na mfumo asiondoke?
Vipi hoja za mbatia, na nasari, kuhusu elimu na necta zilivyo chinjiwa baharini.
 

Umeishajiuliza kwa nini iwe Pwani, Lindi, Mtwara.

Vipi muamko wa elimu kwenye hizi nchi zenye Waislam wengi.

Malaysia, Singapore, Egypt, Bahrain, Oman, Indonesia, Brunei, Saudia Arabia, Kuwait, Turkey, Jordan, Iran, Qatar, Pakistan.

Hata Tanzania kwenye Waislam wachache tunawazidi muamko wa elimu au unaonaje.
 
Ukisikia ngano basi ndiyo hiyo hapo juu.Angalia Nguruvi alivyoandika
Mimi nikamuahidi Nguruvi kama hivi

Nakuahidi kwa uwezo wa Allah nitakuletea alipodefend chapters za uongo wenu.Nitakapokuletea uwe tayari kuchagua tusi la kujitukana mwenyewe.Naona Nguruvi utaalamu kidogo wa statistics unataka kukupa kiburi na kufru.
Jibu la ngano ya Mwanakijiji lipo kwenye paragraph chache alizozinakili Mohammed Said katika kitabu chake kama hivi
Kwenye kitabu cha Developement and religion in Tanzaia cha Bergen uk365 alimnukuu mwalimu Nyerere akisema
" I am a layman but I try to do what I can and will not go against my own church.I want to give the church a better chance here.Tell the bishops that I have established in TANU a department of political education and have put a Lutheran minister in charge;he was not a greater politician. I selected him because of his strong faith"

Sasa hiyo ngano yako Mwanakijiji ya udugunization imeanzaje?.
 

Nguruvi3,

Labda nikuulize swali jengine kwanini kama sote Tanzania ni Sahel na tunajijua sisi ni waswahili kwanini baadhi yetu tuitane majina ya Mdondoaji ni mswahili yule wengine tuitane kwa majina Mdondoaji au Nguruvi ni mswahili but Mdondoaji asiitwe mswahili?

Nimekupa mfano wa taasisi za serikali sio wakurugenzi wawili au watatu bali ni wote ni wakristo na usifikiri nimetoa mfano huo hakuna waislamu walio na safi hawafai kuwa katika nafasi zile hapana bali dhambi ya udini imetawala katika nafasi zenu na hivyo mnaona ni sawa tu waislamu wakandamizwe.

Sasa inapotokea kwenu nyie mnalalama kama vifaranga vichanga huku kiunafiki mkijua nyie mmekuwa mkiyafanya hayo takriban every single day.

Na kwenye maandishi haya mekundu basi mshauri nduguyo Jasusi kuwa yule ndugu yake kama alisoma St. Kanumba basi asilalamike akikosa kazi NSSF maana yule mwenye qualification za juu ndie aliyepata.

Acheni kudharau waislamu mkuu, wasomi wapo wengi sana na wanaongezeka kila siku ondokeni na mfumo huu wa udini utatumaliza shauri zenu.
 

Mkuu,

Nanren kwanza wewe na Nguruvi mnielewe mie sina ugomvi wala chuki yeyote na mtu ila msimamo wangu ni tuwe fair na huo msimamo unatokana na principles zangu za kuamini hii dunia yetu sote awe mwislamu, mkristo, asiye na dini na kadhalika.

Napata tatizo katika jamii yetu ya watanzania tukianza kubaguana wenyewe kwa wenyewe. Ndio kwasababu hiyo nimemuuliza Nguruvi sasa kama sote sisi Sahel (Waswahili) iweje neno mswahili litumike kuwatambua watu fulani hapa Tanzania? Sio hilo tu mtu anaweza kupewa jina la Mswahili likinasibishwa na sifa mbaya je huo sio ubaguzi?

Labda nikupe mfano UK kulikuwa na neno linaitwa Paki likimaanisha wapakistani wote but this word paki was used by white british wakirefer to as a racist word. Serikali ya Uingereza imelipiga marufuku kutumika na ukikamatwa ukilisema neno hilo unaenda jela miezi 6 au kulipa fine. Sasa kwa mtazamo jina Paki halina tofauti na Pakistani na tafsiri ya nje ni Pakistani. Lakini likichambuliwa kwa tafsiri ya ndani Paki means jitu shamba lilitokea pakistani.

Je hili neno Paki lina tofauti gani na Mswahili au lile na kuitwa watu toka Tanganyika kule Zanzibar (Machogo au Watwana)?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…