THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Ami,
Mie nimesoma vitabu vya Mohamed Said, Dr Ghassany, Dr Issa Ziddy, Proffessor Gary Thomas Burgess na wengineo wengi. Na anachokizungumza Mohamed Said na magwiji hawa historia ni sawa sawa hutakuta tofauti. Worse enough hata events ni sawa sawa. Vile vile sio tu kumsoma Mohamed Said nimekaa na wazee walioishi na historia ya Tanzania mfano mzee wetu Al-marhum Sheikh Nurdin Al-Shadhily (R.A), Mzee wetu Al-Marhum Sayyid Hassan Sheikh (R.A), Mzee wetu Al-Marhum Sayyid Ali Comorian (R.A), Mzee wetu Sayyid Ahmad Badawiy (Nanga iliyobakia). Hawa walikuwa wakiyazungumza na sisi tuliokuwa tunakaa nao tunawasikia (Najua nitamkumbusha mbali Mohamed). Ziada ya Mohamed Said ambayo mmungu atamlipa kwa hilo na zaidi ni kuyachukua na kuyaandika katika kitabu. Na vile vile kuja humu jamvini ndio maana ANATEMBEA HUMU KWA TAMBO NA KUJIDAI KWANI ANAYOYASEMA SISI WASWAHILI WA KARIAKOO TUNAYAJUA SIKU NYINGI NA NI UKWELI MTUPU NA PENYE UKWELI HAKUNA WASIWASI. Sheikh Bilal Rehan Waikela amewasha moto mahakamani . Hii kesi ya Ponda inaweza kuleta mengi mazito
Umeona eeeh,wacha kabisa,na usifanye mchezo na huyu mtu..!
Mohamed Said kiboko yao,me napenda jins anavoringa ringa kwa madaha ya usimulizi wa tambo,facts na kujiamini kama vile Simba dume anapokamata kitoweo chake,
Hawa ndugu zangu KINA Mag3 nguruvi n,k huwa wanaishiwa nguvu sana,najua wanakula glucose hapo ili kujipa ahuen,kila wanapo log-in wanahis hawatamkuta Moh said jukwaani kwenye mnakasha huu,ona sasa ile wanapoona Nguli wa historia bado yupo online akiwasubiri nyuso zao huingiwa na homa na unyoonge kupindukia,hawana cha kufanya,ila wangekubaliana na ukweli wangekuwa wamefanya jambo la maana saana..
Last edited by a moderator: