Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

The Queen of England is the head of the Anglican Church. The Archbishop of Canterbury bows to the Queen.
Mwenzako amekanusha kama hivi.Na wewe lete kama hivi tuone kama kweli una hoja.
Head of Anglican church ni Archbishop of Cantebury ambapo juzi ameteuliwa mpya Kuchukua nafasi Dr Rowan Willliams. Queen ni kiongozi wa United Kingdom but hana mamlaka kwenye kanisa labda soma zaidi hapa chini:-

The Anglican Church or The Church of England is currently led by Archbishop of Canterbury Rowan Williams, he is essentially the "chief bishop" or primate of the Church of England. The Anglican Church unlike the Roman Church does NOT have a pope and does not believe in infallability of their leaders. Only God is infallable, Jesus is the supreme head and authority of the Church!

Rowan Williams amesharesign sasa ameteuliwa mwengine anaitwa Justin Welby..
unaposema kama hapo chini ni vyema ukaonesha mistari kwenye biblia kwamba kwa imani yenu kiongozi akibow down kwa mwenzake basi yeye ndiye huwa mdogo kwake
The Archbishop of Canterbury bows to the Queen..
 
Mkuu wa Anglican church ni Malkia wa Uingereza. Ubalozi wa Uingereza upo Tanzania. Mkuu wa Vatican ni Pope. Ubalozi wa Pope upo Tanzania. Upo hapo?

Achana nao mie sio mroma ila kifupi tu 'all roads leads to Rome'. kabla viraisi vya nchi hizi unazoziita nchi havijaanza kutawazwa kulikua na pope na wanaojua hasa how the world goes around watakuambia Rome ndio wana mamlaka ya juu zaidi ktk finance, politics na hata social order ya mambo kuliko mtu au taifa lolote. Kuilinganisha Rome na kataifa kengine chochote si sahihi hawa ultimately wanawajibika kwa papa.
 

Jasusi,
Huwa sijibu kila kitu kama vile ninavyojizuia kusema kila kitu.
Naamini mimi na wewe tunastahiana sana.

Kuna mahali nilikupa ''hint'' nikasema najua hotuba ile iko kwenye
kitabu cha Nyerere lakini sikueleza dunia kwa kufanya staha.

Jasusi sisi sote hawa wazee wametuhusu.
Najua wewe Nyerere ni baba yako.

Zamani sana nilikueleza kuwa Bi Mwamvua mama yake rafiki yako
alikuwa shoga wa marehemu mama yangu.

Abdu Sykes mimi ni baba yangu.

Nilikugusia haya kwa maana yangu.
Nilijua lazima tuweke mipaka ambayo hatutaigusa.

Na mengi katika historia kutoka 1952 - 1961 nimepokea kutoka kwa
Mama Daisy hadi ile stori ya Nyerere ''kulishwa sumu.''

Chakula kile walipika Mama Daisy na Mama Maria...
Bi Mluguru na Bi Mugaya pia walikuwapo pale nyumbani siku ile.

Ninayo mengi ambayo nigeliyaweka hapa jamvini kwa sasa hawa vijana
wangelifurahi lakini naamini wenyewe wazee wetu wangekuwa hai kweli
wangelisikitika kwani walikuwa na hisani kubwa baina yao.

Usinitie mimi chungu kimoja na akina Nguruvi hawa si makamu yangu...
Angalau wewe umefika kwetu na unatujua.

Hii ndiyo iwe mipaka yetu.

Unasema umesikia ''Hutch Kutch Man'' ya Muddy Waters nyumbani kwa
Abdu Sykes...

Naikumbuka hadi ile radiogram nadhani ilikuwa ''Zenith'' ikiwa sijakosea.

Baba yangu yeye alikuwa na ''Dansette'' na walikuwa wakishindana na
Bwana Abdu kwa collection ya jazz music...

Hucheka ninaposikia kuwa kulikuwa na ugomvi wa kugawana vyeo...
Hawa wazee walijitosheleza hata kabla uhuru haujapatikana na hawakuwa
na uroho wa vyeo.

Nadhani uliiwahi ile Mercedes Benz ya Abdu Sykes...

Jasusi,
Wakataze hawa jamaa wasitutukane.
Mohamed, nimeacha vijana wako watukane kwasababu matusi si sehemu ya intellectual discourse na wewe unaona raha sana kuwa sehemu ya matusi bila kujali umri na kaufahamu kako kuhusu majina ya watu.

Mohamed, unanitaja sana kwasababu nimekuwa mwiba mchungu sana kwa ngano zako, by the way wewe ni kaka yangu tu wala si baba ndiyo maana huwa ni gut za kukuambia hapa kweli, hapa uongo, huu uzushi au huu ni upumbavu.

Unanitaja sana kwasababu unajua jinsi nilivyoifanyanga ngano yako. Mimi nipo kila mahali kwa taarifa yako.
Umeshtuka sana hasa kuona jinsi tunavyokubana hadi unapumua kwa njia mbadala.
Sihangaiki na dagaa nahangaika na wewe! jamvi linajua.

Kumbuka kuwa kuna hoja, maswali na mambo kadha wa kadha umekimbia na hujathubutu hata kutungia uongo.
Hebu rejea nyuma kwanza kabla hujanyanyua pua ujibu viporo vya hoja na maswali uliyokimbia hovyo.

Nimekuonyesha bila aibu jinsi ulivyoandika takwimu za kiwango cha form II hukuweza kutetea hata mstari mmoja na ulikiri narudia umekiri kuwa ni makosa hukujua. Hukujibu hata mstari mmoja. Hukuweza kunyanyua kalamu kujibu hata mstari, sasa nitegemee utaniona wa maana wakati watu 100k wanaona ukitembea umeshika msuli badala ya kuvaa!

Mohamed ni kweli mimi na wewe hatukai chungu kimoja kwasababu wewe ni Tandamti na Gerezani, mimi ni total package ha ha ha.
 
Achana nao mie sio mroma ila kifupi tu 'all roads leads to Rome'. kabla viraisi vya nchi hizi unazoziita nchi havijaanza kutawazwa kulikua na pope na wanaojua hasa how the world goes around watakuambia Rome ndio wana mamlaka ya juu zaidi ktk finance, politics na hata social order ya mambo kuliko mtu au taifa lolote. Kuilinganisha Rome na kataifa kengine chochote si sahihi hawa ultimately wanawajibika kwa papa.
Kuna somo moja hapa ni pana sana, nitalisimulia huko tuendako na mnakasha huu,

Mwalimu Nyerere kabla ya kukabidhiwa mamlaka kamili ya kutawqla Tanganyika yaani miezi 18 kabla, alifika Roma, na miezi 18 baada ya mamlaka kamili tena alidhuru Roma,


Yapo mengi ngoja tusonge, lakini sio tiketi kwa wahafidhina wa nyimbo za mfumo kristu
 
Mohamed, nimeacha vijana wako watukane kwasababu matusi si sehemu ya intellectual discourse na wewe unaona raha sana kuwa sehemu ya matusi bila kujali umri na kaufahamu kako kuhusu majina ya watu.

Mohamed, unanitaja sana kwasababu nimekuwa mwiba mchungu sana kwa ngano zako, by the way wewe ni kaka yangu tu wala si baba ndiyo maana huwa ni gut za kukuambia hapa kweli, hapa uongo, huu uzushi au huu ni upumbavu.

Unanitaja sana kwasababu unajua jinsi nilivyoifanyanga ngano yako. Mimi nipo kila mahali kwa taarifa yako.
Umeshtuka sana hasa kuona jinsi tunavyokubana hadi unapumua kwa njia mbadala.
Sihangaiki na dagaa nahangaika na wewe! jamvi linajua.

Kumbuka kuwa kuna hoja, maswali na mambo kadha wa kadha umekimbia na hujathubutu hata kutungia uongo.
Hebu rejea nyuma kwanza kabla hujanyanyua pua ujibu viporo vya hoja na maswali uliyokimbia hovyo.

Nimekuonyesha bila aibu jinsi ulivyoandika takwimu za kiwango cha form II hukuweza kutetea hata mstari mmoja na ulikiri narudia umekiri kuwa ni makosa hukujua. Hukujibu hata mstari mmoja. Hukuweza kunyanyua kalamu kujibu hata mstari, sasa nitegemee utaniona wa maana wakati watu 100k wanaona ukitembea umeshika msuli badala ya kuvaa!

Mohamed ni kweli mimi na wewe hatukai chungu kimoja kwasababu wewe ni Tandamti na Gerezani, mimi ni total package ha ha ha.

Mohamed Said anajua nguvu uliyonayo katika uzi huu, usife moyo mkuu
 
Mohamed Said;5990389]
Jasusi,
Usinitie mimi chungu kimoja na akina Nguruvi hawa si makamu yangu...
Angalau wewe umefika kwetu na unatujua.
By Mohamed Said:
Table 1: Selection of Std. VII Pupils to Form I in Dar es Salaam Region 1978 to 1981
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Year
[/TD]
[TD]Total Selected
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]Muslims
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]% of Muslims Selected
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1978
[/TD]
[TD]956
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]216
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]23%
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1979
[/TD]
[TD]903
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]194
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]22%
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1980
[/TD]
[TD]1071
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]247
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]23%
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Source: Dar es Salaam City Council Department of Education

NB: In 1967 census Muslims in Dar es Salaam Region were 67% therefore the number of Muslim students in Dar es Salaam primary schools is greater than that of Christians.

This should have reflected in the selection.

Table 2: Religious Distribution University of Dar es Salaam 1971/72 and 1973/74
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]
Year
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
Muslim%
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
Non Muslim
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
Total
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]
1969/70
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
17
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
83
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
100
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1971/72
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
13
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
87
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
100
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]
1972/73
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
14
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
86
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
100
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1973/74
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
13
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
87
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
100
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]*1974/1975
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
0
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
0
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
0
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1975/76
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
15
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
85
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
100
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1976/77
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
0
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
0
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
0
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1977/78
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
0
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
0
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
0
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1978/79
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
14
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
86
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
100
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]
1979/80
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
14
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
86
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
100
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]**1980/81
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
11
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
89
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
100
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]**1981/82
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
16
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
84
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]
100
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
* Official Statistics notavailable** Students selected forFaculty of Agriculture, Forestry and Veterinary Science and medicine not included.Source: 1969/70-1978/79 University of Dar es Salaam Students Directory. 1979/80-1981/82
DailyNews June 1979/1981]
Hapo kwenye red unaongea kama nani? ulikuwa Serikalini? Mimi nilimaliza darasa la 7 mwaka 1979. Darasani tulikuwa 25, Waislamu 15, Wakristo 7 na baniani 3! tuliochaguliwa waislamu 4, wakristo 4 na baniani 1! Why? Waislamu wajinga? kama hapa hakuna siri nzito kwanini matokeo ya mitihani hatukuona? tujue nani kapata nini?
Mohamed unaona jinsi ulivyonajisi kizazi? Hao ndio unakaaa nao chungu kimoja kwasababu wameshiba ''takwimu'' zako na sasa wanazitumia kisomi na vema kabisa.
Hao ndio saizi unayoitaka katika chungu chako.

 
Son...

Unanipa mtihani.
Grapevine ina mengi na ni hulka ya binadamu kupenda kusikia yale yanayosisimua.

Ndiyo maana leo unaona magazeti ya udaku yanashamiri.

Sheikh Kassim alikuwa sheikh kijana sana na alivunja zile taratibu za usheikh kama
zilivyozoeleka za kuwa ''conservative'' nk.

Ilikuwa jambo la kawaida sana kumkuta Sheikh Kassim kakaa kona ya Mkunguni na
Lumumba anatia stori na vijana wenzake wa umri wake.

Jambo ambalo masheikh kama walivyozoeleka wasingeweza kuthubutu kulifanya.

Au unaweza kumkuta Sheikh Kassim kavaa kanzu tupu bila kofia wala juba anatembea
mjini nk.

Lakini kubwa juu ya hayo Sheikh Kassim alikuwa na maadui wa siri katika jamii ya Kiislam.
Haya utayaona katika ''excerpts'' kutoka pp yangu Insha Allah.

Baada ya kusema haya nitakuomba usinirejeshe katika ''grapevine'' bali soma kile ambacho
naamini hukuwa unakijua.

HAPA ndipo kukuamini inakuwa taabu,unatumia kiswahili kukimbilia moral high ground kwa vitu ambavyo vyiko obvious-kwa mkazi yoyote wa Dar mwenye "ear on the ground" which na assume wewe ni mmoja wao,Sheikh Kassim ana "dark side" katika historia yake.Hii ni open secret known by everybody,Wakati akiishi United nations road if i am not mistaken-goings in na goings out zilikuwa obvious.Leo hii unapinda historia kwa kumtetetea cause its a taboo. ITS time you call a spade,a spade- naamini hata zomba anaweza akaku furnish na detail zaidi
 
HAPA ndipo kukuamini inakuwa taabu,unatumia kiswahili kukimbilia moral high ground kwa vitu ambavyo vyiko obvious-kwa mkazi yoyote wa Dar mwenye "ear on the ground" which na assume wewe ni mmoja wao,Sheikh Kassim ana "dark side" katika historia yake.Hii ni open secret known by everybody,Wakati akiishi United nations road if i am not mistaken-goings in na goings out zilikuwa obvious.Leo hii unapinda historia kwa kumtetetea cause its a taboo. ITS time you call a spade,a spade- naamini hata zomba anaweza akaku furnish na detail zaidi

Son...
Kuna akida kuhusu ushahidi katika Uislam lakini najua wewe hutozikubali.

Ikiwa unataka kuamini hivyo utakavyo siwezi kukuzuia lakini jua nami sitokupa yangu niyajuayo.
 
Mohamed unaona jinsi ulivyonajisi kizazi? Hao ndio unakaaa nao chungu kimoja kwasababu wameshiba ''takwimu'' zako na sasa wanazitumia kisomi na vema kabisa.
Hao ndio saizi unayoitaka katika chungu chako.


Nguruvi,
Upendacho.
 
The Archbishop of Canterbury is the senior bishop and principal leader of the Church of England, the symbolic head of the worldwide Anglican Communion and the diocesan bishop of the Diocese of Canterbury.


Pope yeye ndio kiongozi mkuu wa Holy See na Vile vile huyo huyo anaongoza Vatican City sasa swali linakuja Vatican City ni taasisi ya kidini au nchi kama mnavyotaka nyie? Na kama ni rais mbona zilipotokea kashfa za kuharibiwa watoto dhidi ya kanisa katoliki wanasheria walipotaka kumshitaki pope ICC kama kiongozi wa nchi mlikuwa mnapinga????
The Prime Minister is the head of government in England. But the Queen is the head of the British Kingdom. The QUEEN is the head of the Church of England.
 
Jasusi vipi mbona kimya?vipi huo msumari wa mdondoaji umekuchoma kumoyo eehh
Sijaona msumari wowote. Nilikuwa nimechukua time out kidogo kwenye huu mnakasha. Malkia wa Uingereza ndiye mkuu wa Kanisa la Uingereza. Na malkia wa Uingereza ndiye sovereign head wa serikali ya Uingereza. Waziri mkuu ni kiongozi wa serikali tu. Ndivyo ilivyo na mfumo wa kanisa la Uingereza waliojiwekea wao. Huo mfumo haumo katika Biblia.
 
Mohamed Said,

..Umetukumbusha kuhusu jarida la Africa Events.

..unajua wakati gazeti lile linatoka mimi ndiyo wakati najifunza kusoma kiingereza.

..kwa hiyo nilikuwa nasoma lakini sipati picha nzima ya nini kinaongelewa.

..sasa kuna toleo la Africa Events waliandika kuhusu Mohamed Naguib na ushiriki wake katika mapinduzi ya Egypt, na jinsi alivyokuja "kufanyiziwa" na Gamal Nasser.

..baadaye nilisoma makala ya mauaji yaliyotokea Zanzibar, ikiwataja watu kama Mdungi Ussi, Azizi Twala, etc etc.

..zaidi, kuna makala kuhusu waasisi wa TANU. Hii makala nadhani iliambatanisha na picha ya waasisi hao. nakumbuka kuiangalia mara kwa mara ile picha na sikumbuki kama nilikuwa naelewa haswa relation ya picha ile na makala nzima.

..swali langu ni hili: je, wewe ndiye mwandishi wa makala ile? Je, ilikuwa ni makala moja au ulitoa na nyingine tena ktk Africa Events? Mwisho, makala ya iliyowahusu kina Mdungi Ussi, Azizi Twala, ilitoka ktk toleo moja na makala yako kuhusu waasisi wa Tanu??

..Mwisho, naomba utueleze kidogo kuhusu mwandishi aliyeitwa Mlamali Hassan Mlamali. Je, huyu ndiye pia alikuwa akiandika makala za barua kutoka London? Wapi naweza kupata makala za barua kutoka London??
 
Last edited by a moderator:
Nakwambia kweli hivi ninaposoma hapo juu machozi yananibubujika.Binafsi najua uchungu wa kudhulumiwa na kupuuzwa nisipostahiki kufanyiwa hivyo.
InshaAllah masikitiko ya hao wazee na mchozi yangu yawe ni dua ya kuwapiga madhalimu kwa namna Allah S.W atakavyopenda.
Kipigo hiki kiwafuate na wale wote wanaoshirikiana nao kuanzia Kikwete mpaka Kova.

Ami,
Ndugu yangu.

Hivi nikikuambia kuwa Abdu Sykes hakualikwa katika sherehe za uhuru wa Tanganyika utaniamini?

Siku ile ilipopandishwa bendera usiku wa manane alikuwa nyumbani kwa mama yake Lindi Street
akifuatilia matangazo yale kwenye radio.
 

Jasusi,


Huwa sijibu kila kitu kama vile ninavyojizuia kusema kila kitu.
Naamini mimi na wewe tunastahiana sana.

Kuna mahali nilikupa ''hint'' nikasema najua hotuba ile iko kwenye
kitabu cha Nyerere lakini sikueleza dunia kwa kufanya staha.

Jasusi sisi sote hawa wazee wametuhusu.
Najua wewe Nyerere ni baba yako.

Zamani sana nilikueleza kuwa Bi Mwamvua mama yake rafiki yako
alikuwa shoga wa marehemu mama yangu.

Abdu Sykes mimi ni baba yangu.

Nilikugusia haya kwa maana yangu.
Nilijua lazima tuweke mipaka ambayo hatutaigusa.

Na mengi katika historia kutoka 1952 - 1961 nimepokea kutoka kwa
Mama Daisy hadi ile stori ya Nyerere ''kulishwa sumu.''

Chakula kile walipika Mama Daisy na Mama Maria...
Bi Mluguru na Bi Mugaya pia walikuwapo pale nyumbani siku ile.

Ninayo mengi ambayo nigeliyaweka hapa jamvini kwa sasa hawa vijana
wangelifurahi lakini naamini wenyewe wazee wetu wangekuwa hai kweli
wangelisikitika kwani walikuwa na hisani kubwa baina yao.

Usinitie mimi chungu kimoja na akina Nguruvi hawa si makamu yangu...
Angalau wewe umefika kwetu na unatujua.

Hii ndiyo iwe mipaka yetu.

Unasema umesikia ''Hutch Kutch Man'' ya Muddy Waters nyumbani kwa
Abdu Sykes...

Naikumbuka hadi ile radiogram nadhani ilikuwa ''Zenith'' ikiwa sijakosea.

Baba yangu yeye alikuwa na ''Dansette'' na walikuwa wakishindana na
Bwana Abdu kwa collection ya jazz music...

Hucheka ninaposikia kuwa kulikuwa na ugomvi wa kugawana vyeo...
Hawa wazee walijitosheleza hata kabla uhuru haujapatikana na hawakuwa
na uroho wa vyeo.

Nadhani uliiwahi ile Mercedes Benz ya Abdu Sykes...

Jasusi,
Wakataze hawa jamaa wasitutukane.
Mohamed,
Ndiyo ile Mercedes ya Abdulwahid nikiifahamu. Sijawahi kumuuliza Kleist lakini nasikia eti baada ya kifo cha baba yake mmoja wa dada zake alikuja na kuondoka na hiyo Mercedes. Naomba pia ufunguke juu ya stori ya Nyerere kulishwa sumu.
Niliisikia mara ya kwanza wakizungumza vijana pale Aga Khan (Tambaza).
 
Son...
Kuna akida kuhusu ushahidi katika Uislam lakini najua wewe hutozikubali.

Ikiwa unataka kuamini hivyo utakavyo siwezi kukuzuia lakini jua nami sitokupa yangu niyajuayo.

YOU r pushing us to the limits,kuviokoa this lost generation under your spell- i was ready to start naming names-hili walimwengu waone how unavyopindisha history to suit your agenda-but hiyo tone yako juu naona umekubali albeit indirectly-hence forthwith hii topic naifunga
 
Ami,
Ndugu yangu.

Hivi nikikuambia kuwa Abdu Sykes hakualikwa katika sherehe za uhuru wa Tanganyika utaniamini?

Siku ile ilipopandishwa bendera usiku wa manane alikuwa nyumbani kwa mama yake Lindi Street
akifuatilia matangazo yale kwenye radio.

this is new-ina maana watu wote wale stadium walikuwa wamealikwa????
 
Ahsante sana..

Wao wangeyajulia wapi mambo kama haya?
kama shukrani wanashindwa kuitoa kwa elimu huu basi waache zao kejeli na dharau,
kuna watu zaid ya 10,000 wananufaika na uwepo wako hapa..
Hivi kusema Tanzania ni mwanachama wa commonwealth kwasababu ya mfumokristo hiyo ni eleimu kweli Mohamed!!
Mbona uandharau sana, yaani umetufannya sisi sote gogo vivu! please

Kwamba watu wakushangilie kwa hilo. Umri wako hakuruhusu kusema achilia mbali kuandika kitu kama hicho.
Tuishi na aibu hiyo kwasababu amesema Mohamed.
 
Hivi kusema Tanzania ni mwanachama wa commonwealth kwasababu ya mfumokristo hiyo ni eleimu kweli Mohamed!!
Mbona uandharau sana, yaani umetufannya sisi sote gogo vivu! please

Kwamba watu wakushangilie kwa hilo. Umri wako hakuruhusu kusema achilia mbali kuandika kitu kama hicho.
Tuishi na aibu hiyo kwasababu amesema Mohamed.


Nguruvi kutokumkubali Moh Said ni ishara tuh za kutokuukubali ukweli..

Kweli tena nakuambia..
 
Nguruvi,

Siwezi kukunyima starehe yako. Hapo ndipo unapopaweza.

Kwa hakika nakutaja sana kwa sababu you make my mojo working.

Unaweza kunijibu kwa lugha yoyote ili muradi hunitukani.

Lakini nilikuuliza wewe nani akujuaye? Unaweza kujidhihirisha kama Mohamed?

Hukunijibu, Lakini si lazima unijibu.

Hata ukikaa kimya kwangu ni jibu tosha.

Ukitaka kuyafikia makamu yangu uandike. Nisingeandika ningekuwa mti kati ya miti porini.
 
Back
Top Bottom