Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Kwanza kabisa samahani kabla sijachangia chochote hivi mfumo kristo unakuaje? Na mfumo islam unakuaje? Na huu tunaosema wa kidemokrasia upoje? Samahani lakin
 

Jibu la pumba zako zote ni hili,

Vatican sio nchi na hivyo kama si nchi Tanzania inakuwaje inakuwa na uhusiano nayo wakati ni taasisi ya dini? Pia kama Tanzania ina uhusiano na taasisi ya kidini suali jengine linakuja je Tanzania ina dini?

Ndio maana Rais mstaafu aliuliza swali kama Tanzania haina dini inakuwaje inakuwa na uhusiano wa kidiplomasia na Vatican? Saa zengine Mwanakijiji unaongea pumba just kutetea dini yako what you are suggesting and talking is pure non-sense to me narudia tena ikiwa mnadai Tanzania haina dini basi Vatican wanabidi waondoke. Hamna hoja ya kisomi yenye mashiko kutetea Vatican ni nchi zaidi ya pumba tu.
 
Geeky,

Utakaporudi jamvini pata darsa hapa kutoka kwa wataalamu wa sheria. Wanasema hivi:-

the Vatican City's capacity to enter into relations with other states is difficult to assess. The Vatican City has no foreign service of its own and no foreign ministry distinct from that of the Holy See.[SUP]37 [/SUP]Article 3 of the Constituent Laws of the Vatican City reserves "to the Sovereign Pontiff, by means of the State Secretariat, . . . the right of representation of the Vatican State, with foreign powers, for the conclusion of treaties and for diplomatic relations."[SUP]38 [/SUP]A state wishing to enter into official relations only with the Vatican City would have to deal first with the Holy See.

Sasa niletee hoja nyengine hii nishaipukutisha .

Nilikuwapo
 
I was thinking the same thing,ni sawa na uende nchi zilizotawaliwa na waarabu waislam na si wazungu,halafu uulize kwanini mokoni huyu wa kiislam utamaduni wake umekubalika kuliko mkoloni yule wa kikristo/kizungu nk.

Sijui kama unajua Uislam umeitawala Ulaya miaka 800.
 

Holy See inaweza kuwa na mahusiano ya kibalozi na nchi yoyote duniani? Ukizingatia hicho ulichokinukuu hapo.
 
Holy See inaweza kuwa na mahusiano ya kibalozi na nchi yoyote duniani? Ukizingatia hicho ulichokinukuu hapo.

Mwanakijiji,

Kwani nilichomueleza Geeky ni kitu gani? Holy See ndio na wanamahusiano ya kidiplomasia na nchi mbali mbali duniani na sio Vatican. Ila tatizo lililopo ni kuwa kuwa Holy See sio nchi ni taasisi ya wakatoliki duniani. That is why it is controversial issue na baadhi ya nchi zimekataa kuwa na uhusiano wao wa kidiplomasia kwa kuhofia nchi zao zinaweza kuwa matatizoni kwa kuendekeza udini kwa kuipendelea dini moja na kuacha nyengine hazina uhusiano wa kidiplomasia na na serikali.
 
Holy See inaweza kuwa na mahusiano ya kibalozi na nchi yoyote duniani? Ukizingatia hicho ulichokinukuu hapo.

Ahsante sana Mzee Mwanakijiji kwa kumsaidia huyu bwana kunyoosha maelezo.
Mie sishangai kwa hulka yetu ya kisiasa watanzania tukawa na taabu kuelewa siasa za ulaya magharibi. sishangai.
 
Ahsante sana Mzee Mwanakijiji kwa kumsaidia huyu bwana kunyoosha maelezo.
Mie sishangai kwa hulka yetu ya kisiasa watanzania tukawa na taabu kuelewa siasa za ulaya magharibi. sishangai.

Kanyoosha kitu gani? Sijakuelewa au Holy See nayo ni nchi???? Naona mnakosa hoja mnabakia na mitambo ya kijinga nileteeni hoja za msingi na sio kuzunguka mbuyu. Nasubiri.
 
Hapa sasa umeamua kusoma pamoja nasi kutoka kwa Mohammed kwa yale tusiyoyajua aliyonayo.Iwapo mods wangesikiliza ushauri wangu na hawana maslahi na huu mjadala basi wangeusitisha au kubadili jina kwani Yerico ametuingiza mkenge sote kujadili kitu sicho.Na si uchochezi tu bali tumejadili uongo wake kama alivyoanza utangulizi kwamba Mohammed historia yake imeanza 1954 +.
Huu ni mfano wa watu wanaohukumiwa kunyongwa kutokana na makosa ya watu wengine.
Hapa ingekuwa bora tujadiliane kwa yale tunayotofautiana.Masheikh na maaskofu wangekaribishwa na serikali ikaweka mawakala wao kufuatilia na kuchukua hatua muwafaka.
Hata hivyo tamaa ya hilo ni dogo kwani serikali na JF wanaonekana wana maslahi pindi historia ya waislamu itakapobomolewa kama ingewezekana.


Mimi kwa upande wangu ningependa kujua zaidi kuhusu mkasa wa Said Mwamwindi.Isije ikawa tunapishana tu katika upokeaji wa taarifa kumhusu yeye.
Mimi nimewahi kukutana na mtu aliyeiwakilisha mahakama kushuhudia kunyonngwa kwa Mwamwindi.
 

Alhaj Mwamwindi aliua Desemba/1971 na mapema June/1972 kesi ilikuwa imekwishamalizika...Ni vipi kesi hii ya mauaji iliyohitaji uchunguzi wa muda mrefu iliendeshwa kihara haraka namna hiyo?Ni kweli kwamba Mwalimu alitia saini adhabu ya kifo kwa sababu tu kifo kilimuhusu rafiki yake?Mbona alikawia na hatimaye kumuacha huru Mama Liundi ambaye aliuawa watoto wake wawili kwa kuwatilia sumu kwenye chakula?(wakati hukumu ya mahakama ilikuwa ni adhabu ya kifo?)..Huyu baba wa taifa kama wanavyo muita dah ngoja ni nyamaze kiukweli huyu mzee alikuwa dikteta wakisiri siri.
 
Reactions: Ami
Rapheri,

Si kweli kuwa sitaki kuona michango ya Mwanakijiji.
Nimeacha kumjibu kwa kuwa kanitukana.

Hii ndiyo hulka yangu.
Kwa kuwa sina ujuzi wa matusi mtu akishanitusi namkwepa.

Labda wewe hunijui.
Mimi nausudu sana majadiliano ya heshima.
Mohamed Said, nilini utaacha visingizio vya kitoto kukwepa hoja? Mwana kijiji amekuja na hoja nyingi sana nzito ambazo zilikuacha mtupu! na kwakuwa hukuwa na majibu muafaka ukaamua kuingia chaka. Onesha wapi Mwanakijiji alipotumia lugha ya matusi dhidi yako! Mwanakijiji ni muungwana sana katika kutoa mawazo yake. Kuna wakati watwana wako akina Ami, Biko Haram, Zomba na THE BIG SHOW wamekuwa wakimpolomoshea matusi Mwanakijiji katika jitihada za kukunusuru wewe, lakini Mohamed Saidi hukuwakemea zaidi ya kuwapongeza tu! Wacha uzandiki mzee wewe.
 
Algeria,Egypt,Chad,Morocco, Iran,Pakistan, Iraq nk ni nchi zenye waislam wengi lakini zina uhusiano na Holy Sea...unaweza labda ukatutajia hizo nchi zilizokataa kuwa na uhusiano na Holy Sea kwa sababu ulizozitaja?
 

Alimuua mtu, point blank, in cold blood na kwa tambo nyingi; alitupunguzia dr mmoja ktk mfumokristo that alone constitutes a capital punishment.
 
Mag,

Naona unahamaki nyingi na lugha yako siipendi.
Mimi si mtu wa shari.

Kuanzia sasa sikujibu.
Humjibu Gwalihenzi, Mzee Mwanakijiji, Mag3 na baadae utamtangaza Nguruvi3, Ngongo, Joka kuu, Remote... Naamini utaendelea kujipendekeza kwa mkuu Jasusi kama ulivyo fanya pale mwanzo au vipi?
 
Algeria,Egypt,Chad,Morocco, Iran,Pakistan, Iraq nk ni nchi zenye waislam wengi lakini zina uhusiano na Holy Sea...unaweza labda ukatutajia hizo nchi zilizokataa kuwa na uhusiano na Holy Sea kwa sababu ulizozitaja?

Last time I checked, Mugabe who has a flight ban on europe alikaribishwa vatican na nchi nyingi akiwemo obama na queen wote wamepeleka uwakilishi/wametuma pongezi katika sherehe za kumpata papa mpya. licha ya hizo scandal wanazodai zimeitikisa Rome. Hata Mwamwindi angemshoot dr kleruu vaticity huenda angepata pardon na bahati ya kuongea na papa kama bonus. Mie sio mkatoliki lakini sipendi unafiki tunawasifia wanapofanya vema. kama kuna papa aliyegusa wengi na wanakubali ali reach out kwa muslims on the cost of his papacy perhaps more than any other pope ni John Paul II na watu kama mother Teresa huwezi kukataa kazi zao hata kama huwapendi.
 
Mag3 sio lazima uchangie kwenye huu uzi wala hata wewe hautunyimi usingizi usipochangia hizi pumba zako si uende kwenye chit chat au jukwaa la mapenzi
Wewe, wacha hizo! nani asichangie? huu ni uchuro. Mag3 na Nguruvi3 ndio wenye hoja za kweli na hakika humu ndani. Achana na huyo mchochezi wako Mohamed anatia kiwingu tu.
 
Kanyoosha kitu gani? Sijakuelewa au Holy See nayo ni nchi???? Naona mnakosa hoja mnabakia na mitambo ya kijinga nileteeni hoja za msingi na sio kuzunguka mbuyu. Nasubiri.

Ngoja nianze kwa salamu unayoielewa.

Son...
The Holy Roman Empire is still intact and invisible and so invincible.
Capiche?
 
Hivi wewe mjinga, NECTA ikivunjwa na kuingizwa waislam ndio mfumo mbovu wa elimu nchini utakuwa umerekebishwa? na je wanafunzi wa kiislam wavivu wasio penda kutafuta maarifa kama ulivyo wewe ndio watafauru mitihani?
 
Ritz, kama misemo ya kiswahili huijui kwanini unaitumia? tangu lini tunafugia nywele akili?
 
<br />
<br />
Mkuu ni zaidi ya hoja zenye nguvu za Mwanakijiji zinazo msumbua

Kuna kitu hataki kukikubali kuhusu Mwanakijiji...

Soma katikati ya mistari majibu yake mengi kwa Mwanakijiji utaelewa hasa pale anapobanwa

Tunaendelea kusoma na tunaona nani anaetoka jasho hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…