Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Pigeni kelele tu ndugu zangu. Tukimaliza kuondoa ubalozi wa vatican tuondoe na wa Iran vile vile. Hii si ni Islamic state?
Itakuwa ni visasi tu lakini tatizo letu ni huu wa Vatican ambao haupo kihalali na unatuletea umaskini badala ya neema.
 
Mag3 sio lazima uchangie kwenye huu uzi wala hata wewe hautunyimi usingizi usipochangia hizi pumba zako si uende kwenye chit chat au jukwaa la mapenzi

Boko Haram,
Ajabu ya Rahman.

Mie sioni wapi nimeshabikia maneno ya Sheikh Ilunga.

Maswali niloulizwa nimejibu kuwa sina ujuzi nayo huo
ni uwanja wa maulamaa.

Kweli hilo ndilo la kuleta kisirani na kutukanana?
Lakini kama tusemavyo Waswahili.

Heri nusu shari kuliko shari kamili.
 
Itakuwa ni visasi tu lakini tatizo letu ni huu wa Vatican ambao haupo kihalali na unatuletea umaskini badala ya neema.

Vatican inakuletea umaskini???
Ni kweli hayo?
Vijana wenu wangapi wamesoma na kutibiwa kwenye taasisi za kikatoliki? Pamoja na kupata ilm ya madrassa, Mzee wako Mohamed Said ilibidi akaongezee elimu ya maana kwenye shule za kikatoliki. Elimu hiyo ndio ilimuwezesha kufika mpaka chuo kikuu, leo hii unasema inawaletea umaskini?? Simfahamu Mohamed Said lakini nafikiri hajawa maskini...
 
Wanajamvi huyu Mohamed Said ni mtu wa kuogopa kama ukimwi. Huko nyuma aliwakana Cecil Matola, Dr Vedasto Kyaruzi na Mwalimu Nyerere kama Maraisi waasisi wa AA mwaka 1929, TAA mwaka 1950 na TANU mwaka 1954 huku akiwamwagia sifa makatibu wao Kleist Sykes na baadaye mwanaye Abdulwahid Sykes. Sasa shuhudieni hapa anavyomweka kando Balozi Christopher Tumbo katika harakati za Tanganyika Railway African Union (TRAU) na kummwagia sifa babu yake Salum Abdala kama Mwenyekiti muasisi na aliyeongoza mgomo wa Wafanyakazi wa Reli mwaka 1960. Namnukuu;

Sasa yatubidi tujiulize, hii simulizi ni ya kweli au imetiwa chumvi. Wanajamvi hebu linganisheni hii na ripoti ya mgomo wa TRAU mwaka 1959/1960, mwaka moja kabla ya uhuru. Je "star" wa huu mgomo alikuwa nani? Hapa chini nanukuu kutoka kwa wakoloni wenyewe;

Wanajamvi, yako mengi ningeweza kuyaandika hapa lakini nawaomba mjiulize tu kwamba katika vyama vya wafanyakazi popote duniani, nani ni mtendaji mkuu? Juzi juzi hapa tumemshuhudia Nicholas Mgaya akiandamwa na serikali kuhusu mgomo wa wafanyakazi (ingawa mpaka sasa wameweza kumnyamazisha) lakini wangapi wanamjua mwenyekiti wake? Mohamed Said kama kawaida anamtukuza babu yake na kumpa sifa zoote huku akimweka kando aliyekuwa Katibu na Mtendaji Mkuu wa TRAU, kulikoni?

Je viongozi wakuu wa vyama vya wafanyakazi walioitikisa dunia na kuleta mapinduzi kama Lech Walesa wa solidarity Poland, nani alimjua aliyekuwa mwenyekiti wake? Kwa vyama vya wafanyakazi katibu wake ndiye mtendaji mkuu au hata hili huyu mzushi mkubwa Mohamed Said anayedai amezunguka dunia nzima halijui? Jamani tukubaliane huyu mchochezi ama kwa makusudi au kwa hila, lengo la kumwaga ngano zake ni kuleta machafuko ya kidini nchini na amini usiamini, hata Waislaam wengi hawamuungi mkono.
Naona umerudia ujinga wenu!.Watu walikuwa wameketi wanasoma umeingia wewe golo umeharibu kila kitu.Mohammed amekasirika anasema
Mag,

Naona unahamaki nyingi na lugha yako siipendi.
Mimi si mtu wa shari.

Kuanzia sasa sikujibu..
Mohammed kaa pembeni upumzike.Mimi mwanzo nilifikiri hizo nukuu zote mbili ni kutoka kwako.Kumbe moja ni kutoka kwa wakoloni.Ajabu iko wapi wakati wewe umewataja wote wawili,babu yako na Kasanga Tumbo huku wakoloni wakimtaja Kasanga Tumbo peke yake.
Madhumuni ya Mohammed ni kusahihisha historia.Kwanini tusome kejeli za wakoloni pekee kwa kuwaita waliogoma ni foolish tu kumbe kulikuwa na wengi walioshiriki na kufanikisha huo mgomo.Sisi tutafaidika na nini kwa kusoma kejeli za wakoloni pekee.
Jamani tukubaliane huyu mchochezi ama kwa makusudi au kwa hila, lengo la kumwaga ngano zake ni kuleta machafuko ya kidini nchini na amini usiamini, hata Waislaam wengi hawamuungi mkono..
Wanaotaka kuleta machafuko ni nyinyi watetezi wa mfumokristo.Kwanini hamko tayari kukubali kasoro za kuwepo ubalozi wa Vatican hivyo ukafungwa au kuvunjwa NECTA na waislamu wakaingizwa.Hata machafuko yakija basi si kutokana na Mohammed bali ung'ang'anizi wa mfumo kristo Tanzania kitu ambacho kwenye nchi nyingi zenye mchanganyiko wa kiimani hakipo.Ushawishi wa mfumokristo unafanya hata mahakama zikose heshima.
 
Vatican inakuletea umaskini???
Ni kweli hayo?
Vijana wenu wangapi wamesoma na kutibiwa kwenye taasisi za kikatoliki? Pamoja na kupata ilm ya madrassa, Mzee wako Mohamed Said ilibidi akaongezee elimu ya maana kwenye shule za kikatoliki. Elimu hiyo ndio ilimuwezesha kufika mpaka chuo kikuu, leo hii unasema inawaletea umaskini?? Simfahamu Mohamed Said lakini nafikiri hajawa maskini...
Tumechoka na hadithi zenu za kuku na yai.
Pesa itoke serikalini tunakochangia sote halafu sifa mjitafutie nyinyi.Umeambiwa Vatican hata benki yake haina wachilia mbali visima vya mafuta na mashamba ya mazao ya kibiashara sasa hizo pesa wanatoa wapi kutusaidia.Hii ni taasisi ya kinyonyaji tu na kimafia.Waondoke Tanzania.
Masheikh wangapi wametobolewa macho kwenye hizo hospitali za kikatoliki na wangapi wamewekewa glucose wakafa huku wamekwenda kutibiwa magonjwa ya sukari.
Mohammed Said najua unayajuwa haya na kwa bahati umeingia na id yako halisi.Ukiumwa usiende hospitali zao utakutana na akina Nyambala na Jasusi.Njoo tukupatie tiba za kisunna inshaAllah utapona.
 
Tumechoka na hadithi zenu za kuku na yai.
Pesa itoke serikalini tunakochangia sote halafu sifa mjitafutie nyinyi.Umeambiwa Vatican hata benki yake haina wachilia mbali visima vya mafuta na mashamba ya mazao ya kibiashara sasa hizo pesa wanatoa wapi kutusaidia.Hii ni taasisi ya kinyonyaji tu na kimafia.Waondoke Tanzania.
Masheikh wangapi wametobolewa macho kwenye hizo hospitali za kikatoliki na wangapi wamewekewa glucose wakafa huku wamekwenda kutibiwa magonjwa ya sukari.
Mohammed Said najua unayajuwa haya na kwa bahati umeingia na id yako halisi.Ukiumwa usiende hospitali zao utakutana na akina Nyambala na Jasusi.Njoo tukupatie tiba za kisunna inshaAllah utapona.

Insha Allah.

M
 
Naona umerudia ujinga wenu!.Watu walikuwa wameketi wanasoma umeingia wewe golo umeharibu kila kitu.Mohammed amekasirika anasema

Mohammed kaa pembeni upumzike.Mimi mwanzo nilifikiri hizo nukuu zote mbili ni kutoka kwako.Kumbe moja ni kutoka kwa wakoloni.Ajabu iko wapi wakati wewe umewataja wote wawili,babu yako na Kasanga Tumbo huku wakoloni wakimtaja Kasanga Tumbo peke yake.
Madhumuni ya Mohammed ni kusahihisha historia.Kwanini tusome kejeli za wakoloni pekee kwa kuwaita waliogoma ni foolish tu kumbe kulikuwa na wengi walioshiriki na kufanikisha huo mgomo.Sisi tutafaidika na nini kwa kusoma kejeli za wakoloni pekee.

Wanaotaka kuleta machafuko ni nyinyi watetezi wa mfumokristo.Kwanini hamko tayari kukubali kasoro za kuwepo ubalozi wa Vatican hivyo ukafungwa au kuvunjwa NECTA na waislamu wakaingizwa.Hata machafuko yakija basi si kutokana na Mohammed bali ung'ang'anizi wa mfumo kristo Tanzania kitu ambacho kwenye nchi nyingi zenye mchanganyiko wa kiimani hakipo.Ushawishi wa mfumokristo unafanya hata mahakama zikose heshima.

Ami,
Mimi ningetegemea majalada ya Waingereza ningepitwa na mengi.

Ikiwa una kitabu changu soma historia ya Dockworkers Union kama
nilivyoieleza mie kisha kasome kama alivyoiandika Illife.

Mbingu na ardhi.

Ndiyo yale TANU imeasisiwa Pugu.

Mie babu yangu ndiye alikuwa mfadhili akitoa fedha zake nyingi katika
harakati toka TAA hadi wanaunda TRAU 1955.

Jamaa kakasirika yeye hana historia ya kueleza popote.
Kilichobaki ni matusi.

Tumbo na babu yangu wakielewana sana.
Wamejenga nyumba mtaa mmoja, mjengo mmoja na zinatazamana.

Walipoletewa taarifa na wapashaji habari kuwa watakamatwa wote
wawili walikwenda "underground."

Tumbo akaweza kutoroka akenda Mombasa.

Babu yangu alijificha kwa muda akipanga mipango ya biashara zake
kisha akaibuka.

Makachero hawakujua alikuwa wapi juu ya jitihada zao zote.

Yapo mengi.
 
Wanajamvi huyu Mohamed Said ni mtu wa kuogopa kama ukimwi. Huko nyuma aliwakana Cecil Matola, Dr Vedasto Kyaruzi na Mwalimu Nyerere kama Maraisi waasisi wa AA mwaka 1929, TAA mwaka 1950 na TANU mwaka 1954 huku akiwamwagia sifa makatibu wao Kleist Sykes na baadaye mwanaye Abdulwahid Sykes. Sasa shuhudieni hapa anavyomweka kando Balozi Christopher Tumbo katika harakati za Tanganyika Railway African Union (TRAU) na kummwagia sifa babu yake Salum Abdala kama Mwenyekiti muasisi na aliyeongoza mgomo wa Wafanyakazi wa Reli mwaka 1960. Namnukuu;

Sasa yatubidi tujiulize, hii simulizi ni ya kweli au imetiwa chumvi. Wanajamvi hebu linganisheni hii na ripoti ya mgomo wa TRAU mwaka 1959/1960, mwaka moja kabla ya uhuru. Je "star" wa huu mgomo alikuwa nani? Hapa chini nanukuu kutoka kwa wakoloni wenyewe;

Wanajamvi, yako mengi ningeweza kuyaandika hapa lakini nawaomba mjiulize tu kwamba katika vyama vya wafanyakazi popote duniani, nani ni mtendaji mkuu? Juzi juzi hapa tumemshuhudia Nicholas Mgaya akiandamwa na serikali kuhusu mgomo wa wafanyakazi (ingawa mpaka sasa wameweza kumnyamazisha) lakini wangapi wanamjua mwenyekiti wake? Mohamed Said kama kawaida anamtukuza babu yake na kumpa sifa zoote huku akimweka kando aliyekuwa Katibu na Mtendaji Mkuu wa TRAU, kulikoni?

Je viongozi wakuu wa vyama vya wafanyakazi walioitikisa dunia na kuleta mapinduzi kama Lech Walesa wa solidarity Poland, nani alimjua aliyekuwa mwenyekiti wake? Kwa vyama vya wafanyakazi katibu wake ndiye mtendaji mkuu au hata hili huyu mzushi mkubwa Mohamed Said anayedai amezunguka dunia nzima halijui? Jamani tukubaliane huyu mchochezi ama kwa makusudi au kwa hila, lengo la kumwaga ngano zake ni kuleta machafuko ya kidini nchini na amini usiamini, hata Waislaam wengi hawamuungi mkono.

Mag3,

Mambo ya Ukimwi yametoka wapi tena mbona unajidhalilisha kiasi hicho.

Mungu ametupa akili kwa ajili ya kufikiri siyo kufugia nywele sasa ili bandiko lako la wakoloni sijui umeliokota wapi ngano tupu, mkoloni kuwaita wazee wetu wajinga ndiyo unaona ushahidi wa mgomo wa wafanyakazi mie nilidhani na wewe ulikuwemo kwenye huo mgomo wa wajinga.

Siku ingine usipende kuokota maneno na kuyaleta JF kuanzia leo tunakuogopa kama Ukimwi.

Vipi leo hauchutami.
 
Huo uamuzi wako hata hauninyimi usingizi, mangapi umeshindwa kujibu? Maelezo yangu yameelekezwa kwa Watanzania wenye uelewa mpana zaidi wanaoufuatilia huu mjadala. Utasemaje wewe si mtu wa shari huku unashabikia mahubiri ya Sheikh Ilunga?

Watanzania siyo wajinga wewe wachukuwe hizo pumba zako za mkoloni ndiyo wakubali.

Unatafuta pakutokea sasa wapi Mohamed Said kashabikia mahubiri ya Ilunga kakwambia hilo suala la maulamaa yeye hana Ilm nalo.
 
Itakuwa ni visasi tu lakini tatizo letu ni huu wa Vatican ambao haupo kihalali na unatuletea umaskini badala ya neema.
Vatican inakuleteaje umaskini wewe? Kwani ni hela zetu za kodi zinazomlipa balozi? Si wanalipa wao? Ubalozi wa vatican upo kihalali Tanzania kama vile ulipo Marekani.
 
Wanajamvi huyu Mohamed Said ni mtu wa kuogopa kama ukimwi. Huko nyuma aliwakana Cecil Matola, Dr Vedasto Kyaruzi na Mwalimu Nyerere kama Maraisi waasisi wa AA mwaka 1929, TAA mwaka 1950 na TANU mwaka 1954 huku akiwamwagia sifa makatibu wao Kleist Sykes na baadaye mwanaye Abdulwahid Sykes. Sasa shuhudieni hapa anavyomweka kando Balozi Christopher Tumbo katika harakati za Tanganyika Railway African Union (TRAU) na kummwagia sifa babu yake Salum Abdala kama Mwenyekiti muasisi na aliyeongoza mgomo wa Wafanyakazi wa Reli mwaka 1960. Namnukuu;

Sasa yatubidi tujiulize, hii simulizi ni ya kweli au imetiwa chumvi. Wanajamvi hebu linganisheni hii na ripoti ya mgomo wa TRAU mwaka 1959/1960, mwaka moja kabla ya uhuru. Je "star" wa huu mgomo alikuwa nani? Hapa chini nanukuu kutoka kwa wakoloni wenyewe;

Wanajamvi, yako mengi ningeweza kuyaandika hapa lakini nawaomba mjiulize tu kwamba katika vyama vya wafanyakazi popote duniani, nani ni mtendaji mkuu? Juzi juzi hapa tumemshuhudia Nicholas Mgaya akiandamwa na serikali kuhusu mgomo wa wafanyakazi (ingawa mpaka sasa wameweza kumnyamazisha) lakini wangapi wanamjua mwenyekiti wake? Mohamed Said kama kawaida anamtukuza babu yake na kumpa sifa zoote huku akimweka kando aliyekuwa Katibu na Mtendaji Mkuu wa TRAU, kulikoni?

Je viongozi wakuu wa vyama vya wafanyakazi walioitikisa dunia na kuleta mapinduzi kama Lech Walesa wa solidarity Poland, nani alimjua aliyekuwa mwenyekiti wake? Kwa vyama vya wafanyakazi katibu wake ndiye mtendaji mkuu au hata hili huyu mzushi mkubwa Mohamed Said anayedai amezunguka dunia nzima halijui? Jamani tukubaliane huyu mchochezi ama kwa makusudi au kwa hila, lengo la kumwaga ngano zake ni kuleta machafuko ya kidini nchini na amini usiamini, hata Waislaam wengi hawamuungi mkono.

Kumbe hata wakoloni hawakumtambua Salum Abdallah, babu yake Mohamed, kama kiongozi wa mgomo uliotikisa taifa? What then, was Abdallah's role?
 
Abaa Iran ni nchi tena ina rais wake na mawaziri wake. Na nchi ya 23 bora kwa uchumi mzuri duniani (Cheki statistics za IMF). Wana uchumi mzuri kuliko kitanzania chetu. Vatican si nchi, haina wazawa, hata bank yake imeshindwa kujiendesha iko chini uchunguzi na ECB. Hata hivyo mkiwa hamuitaki Iran hiyo kazi kwenu kupiga kelele ila sisi tutapiga kelele Vatican hadi iondoke kwani ni taasisi ya kidini na sio nchi. Vile vile hatufaidiki na uwepo wake labda tuambie faida za Vatican nchini na mie nikuambie faida za Iran kuwepo nchini. Na nyie mnao uhuru wa kupiga kelele Iran iondoke but sie tutapiga kelele hadi Vatican iondoke kwani ni taasisi ya kidini na sio nchi.

kimsingi una confuse vatican city na Holy see - which is actually the ecclessiatical government of vatican ambayo ina diplomatic ties na nchi 180 na inatambulika vema. nyie tz mkiwafukuza what difference does that make kwanza kwa uwekezaji walionao bongo what you are proposing is next to impossible.
Nakupa assignment, fanya research kidogo kujua signing ceremony ya EU ilifanyika vipi na mahala gani utajua mamlaka ya vatican.
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1364433069731.jpg
    uploadfromtaptalk1364433069731.jpg
    20.7 KB · Views: 53
Kumbe hata wakoloni hawakumtambua Salum Abdallah, babu yake Mohamed, kama kiongozi wa mgomo uliotikisa taifa? What then, was Abdallah's role?

Jasusi,
Siwezi nikavutana na wewe kuhusu wakoloni kumtambua au kutomtambua babu yangu katika
mgomo ule.

Si muhimu.

Ila nitakueleza kitu kimoja kuwa babu yangu ndiyo alikuwa mwenyekiti muasisi wa TRAU.
Duka la babu yangu lilikua moja ya maduka yaliyokuwa yakitoa posho kwa wagomaji.

Jasusi,
Hebu soma hii ''excerpt'' kutoka moja ya makala zangu zilizochapwa kwa mwezi mzima na gazeti la
Mwananchi kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika:

SalumAbdallah katika mkutano ule wa siri kuzungumzia kuunda TANU alitoa mchango washilingi ishirini kumsafirisha Katibu wa TAA Jimbo la Mafharibi Germano Pacha kuja Dar es Salaam.

Wakati ule hizozilikuwa fedha nyingi. Mwaka 1955 muda mfupi baada ya kuundwa TANU, SalumAbdallah alichaguliwa kama mwenyekiti muasisi wa Tanganyika RailwayAfrican Union (TRAU)chama cha wafanyakazi wa Reli kilichokuwa na nguvu sana wakati wa kupiganiauhuru na kikitoa mchango mkubwa kwa TANU.

Katibu wa TRAU alikuwa ChistopherKassanga Tumbo.

Mwaka 1960 TRAU chini ya uongozi huu iliiitsha mgomo uliodumusiku 82. Kwa miezi takriban miezi mitatu si treni, meli na mabasi ya relweyalitembea.

Inasemekana hapajatokea mgomo ambao ulitayarishwa kwa ufundi naustadi kama mgomo wa relwe wa mwaka 1960.

Mwishowe serikali ya kikoloni ilisalimu amri na wafanyakaziwa relwe wakasitisha mgomo na kurudi kazini madai yao yote yakiwa yamekubaliwa.

Mgomo huu miezi michache kabla ya Tanganyika kuwa huru ulimtisha sana Nyererekwani alitambua kuwa kulikuwa na uongozi wa vyama vya wafanyakazi uliokuwa nanguvu sana na aliogopa baada Tanganyika kuwa huru vyama hivi chini ya viongozikama hawa vitampa shida katika utawala wake. Katika mambo kama haya kunakuwa namikasa mingi.

SalumAbdallah alikuwa na binti yake mwalimu wa shule ambae kijana mmoja katika relwe alimpenda naakapeleka possa kwake kwa nia ya kutaka kufunga ndoa.

Bahati mbaya kabla SalumAbdallah hajajibu posa ile mgomo ukawa umetokea.

Sasa Yule kijana kwa bahatimbaya hakugoma kwa hiyo akawa katika kundi lililojulikana kama vibaraka.

SalumAbdallah alihamaki sana kuwa yule kijana ambae alitegemea atajakuwa mkwe wakekaisaliti TRAU.

Salum Abdallah akamwagiza mshenga wa yule kijana aje achukemajibu ya posa yake.

Mshenga hakujua nini kinamsubiri. Siku ya siku ilipofikaakajikusanya yeye na wenzake kwenda kupokea jibu la posa yao wakiwa na uhakikakuwa jibu litakuwa zuri na kitakachobaki ni kupanga siku ya harusi.

SalumAbdallah alitoa kiti chake cha uvivu akakiweka sawasawa na mlango mkubwa wanyumba yake anasubiri ujumbe ufike.

Toka mbali Salum Abdallah anamuona mshengana wapambe wake wale wanakuja na kanzu zao na kashda na ndani ya ujumbe kunamasheikh wawili watatu wa kuheshimika.

Walitegemea chai nzito kwani SalumAbdallah hakuwa mtu mdogo katika jamii.

Naam, hapakuwa chai wala salaam kamailivyo kawaida wala Salum Abdallah hakumpa nafasi mchenga kusema chochote.Alinyanyuka na posa ya yule kijana akawatupia miguuni waiokote.

Akawaambia, "Katafutenimke kwa vibaraka wenzenu, nyumba yangu haingii kibaraka."

Sasa Jasusi mimi nitashughulishwa na nini kama Waingereza hawamtambui babu yangu?
Leo hii babu yangu huyu hapa anasikilizwa na waliokuwa hawamjui sasa wanamjua na
mchango wake katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
 
Kumbe hata wakoloni hawakumtambua Salum Abdallah, babu yake Mohamed, kama kiongozi wa mgomo uliotikisa taifa? What then, was Abdallah's role?


Jasusi,
Siwezi nikavutana na wewe kuhusu wakoloni kumtambua au kutomtambua babu yangu katika
mgomo ule.

Si muhimu.

Ila nitakueleza kitu kimoja kuwa babu yangu ndiyo alikuwa mwenyekiti muasisi wa TRAU.
Duka la babu yangu lilikua moja ya maduka yaliyokuwa yakitoa posho kwa wagomaji.

Jasusi,
Hebu soma hii ''excerpt'' kutoka moja ya makala zangu zilizochapwa kwa mwezi mzima na gazeti la
Mwananchi kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika:

SalumAbdallah katika mkutano ule wa siri kuzungumzia kuunda TANU alitoa mchango wa shilingi ishirini kumsafirisha Katibu wa TAA Jimbo la Magharibi Germano Pacha kuja Dar es Salaam.

(Wasomi wa Makerere waliokuwa walimu pale Tabora walipojua kuwa ''this is for real'' akina Salum Abdallah wamedhamiria kuunda
chama cha siasa wakaingia uoga wakawa hawaji tena katika ile mikutano ya siri iliyokuwa inafanyika Town School).

Wakati ule hizo zilikuwa fedha nyingi. Mwaka 1955 muda mfupi baada ya kuundwa TANU, SalumAbdallah alichaguliwa kama mwenyekiti muasisi wa Tanganyika RailwayAfrican Union (TRAU)chama cha wafanyakazi wa Reli kilichokuwa na nguvu sana wakati wa kupigania uhuru na kikitoa mchango mkubwa kwa TANU.

Katibu wa TRAU alikuwa ChistopherKassanga Tumbo.

Mwaka 1960 TRAU chini ya uongozi huu iliiitsha mgomo uliodum usiku 82.

Kwa miezi takriban miezi mitatu si treni, meli na mabasi ya relwe yalitembea.

Inasemekana hapajatokea mgomo ambao ulitayarishwa kwa ufundi na ustadi kama mgomo wa relwe wa mwaka 1960.

Mwishowe serikali ya kikoloni ilisalimu amri na wafanyakaziwa relwe wakasitisha mgomo na kurudi kazini madai yao yote yakiwa yamekubaliwa.

Mgomo huu miezi michache kabla ya Tanganyika kuwa huru ulimtisha sana Nyerere kwani alitambua kuwa kulikuwa na uongozi wa vyama vya wafanyakazi uliokuwa nanguvu sana na aliogopa baada Tanganyika kuwa huru vyama hivi chini ya viongozi kama hawa vitampa shida katika utawala wake. Katika mambo kama haya kunakuwa na mikasa mingi.

SalumAbdallah alikuwa na binti yake mwalimu wa shule ambae kijana mmoja katika relwe alimpenda naakapeleka posa kwake kwa nia ya kutaka kufunga ndoa.

Bahati mbaya kabla Salum Abdallah hajajibu posa ile mgomo ukawa umetokea.

Sasa Yule kijana kwa bahati mbaya hakugoma kwa hiyo akawa katika kundi lililojulikana kama vibaraka.

SalumAbdallah alihamaki sana kuwa yule kijana ambae alitegemea atajakuwa mkwe wake kaisaliti TRAU.

Salum Abdallah akamwagiza mshenga wa yule kijana aje achukue majibu ya posa yake.

Mshenga hakujua nini kinamsubiri.

Siku ya siku ilipofika akajikusanya yeye na wenzake kwenda kupokea jibu la posa yao wakiwa na uhakika kuwa jibu litakuwa zuri na kitakachobaki ni kupanga siku ya harusi.

SalumAbdallah alitoa kiti chake cha uvivu akakiweka sawasawa na mlango mkubwa wa nyumba yake anasubiri ujumbe ufike.

Toka mbali Salum Abdallah anamuona mshengana wapambe wake wale wanakuja na kanzu zao na kashda na ndani ya ujumbe kuna masheikh wawili watatu wa kuheshimika.

Walitegemea chai nzito kwani SalumAbdallah hakuwa mtu mdogo katika jamii.

Naam, hapakuwa chai wala salaam kamailivyo kawaida wala Salum Abdallah hakumpa nafasi mchenga kusema chochote.Alinyanyuka na posa ya yule kijana akawatupia miguuni waiokote.

Akawaambia, "Katafuteni mke kwa vibaraka wenzenu, nyumba yangu haingii kibaraka."

Jasusi,
Mimi nitashughulishwa na nini kama Waingereza hawamtambui babu yangu?
Historia ya KIvukoni haimjui watakuwa hao Waingereza adui zake?

Leo hii babu yangu huyu hapa anasikilizwa na waliokuwa hawamjui sasa wanamjua na
mchango wake katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

c.c. Pasco:
Huo hapo juu kuhusu posa ya kibaraka ndiyo uleeeeee ''wazimu'' mke wangu Bi Zena
Bint Farijallah alosema ananipenda sana lakini ananiogopa huenda na mimi nimerithi
''wazimu.''
 
kimsingi una confuse vatican city na Holy see - which is actually the ecclessiatical government of vatican ambayo ina diplomatic ties na nchi 180 na inatambulika vema. nyie tz mkiwafukuza what difference does that make kwanza kwa uwekezaji walionao bongo what you are proposing is next to impossible.
Nakupa assignment, fanya research kidogo kujua signing ceremony ya EU ilifanyika vipi na mahala gani utajua mamlaka ya vatican.

Twende taratibu,

Kwanza umesema kuwa ati Vatican City ndio wana diplomatic ties na nchi 180. Huo ni uongo kwani walio na diplomatic ni Holy See wakimwakilisha papa kwa waumini wao. Labda nikuulize ushawahi kusikia balozi wa Vatican asiyekuwa cardinal, mkatoliki na pia sio mwakilishi wa Holy See???

Pili unadai kanisa Lina uwekezaji mwingi uongo mwengine. Wangelikuwa wawekezaji wangeliwakataza Kanisa lisiwe linachukua kodi zetu kila mwaka. Pili kwa uchumi upi ambao Vatican unao hadi wawe wawekezaji ? By the way uchumi wa Vatican ni Mdogo kuliko wa Tanzania sasa jiulize wewe hizo pesa unazodai wamewekeza wamezitoa wapi? Nipo njiani ila nikifika ofisininitakuwekea wanavyosema wataalamu wa Sheria kuhusu Vatican na diplomatic ties
 
Rapheri,

Si kweli kuwa sitaki kuona michango ya Mwanakijiji.
Nimeacha kumjibu kwa kuwa kanitukana.

Mzee Said uwe mkweli kwanza; ulinitukana nikakurudishia heshima hiyo hiyo! Nilisema wakati ule ukitaka kujadiliana kwa heshima utajadiliana kwa heshima. Binafsi sitatiziki kabisa na wewe kutokujibu hoja zangu kwa sababu najua hauna majibu na pale ambapo unadhania unayo huwezi kuyatoa kwa ukweli kwani utaonesha udhaifu wa hoja zako na ulaghai wa kileunachokiita ni historia ya "wazee wako" ambayo mimi nimeiita ni 'histohisia'!
 
Wanaotaka kuleta machafuko ni nyinyi watetezi wa mfumokristo.Kwanini hamko tayari kukubali kasoro za kuwepo ubalozi wa Vatican hivyo ukafungwa au kuvunjwa NECTA na waislamu wakaingizwa.Hata machafuko yakija basi si kutokana na Mohammed bali ung'ang'anizi wa mfumo kristo Tanzania kitu ambacho kwenye nchi nyingi zenye mchanganyiko wa kiimani hakipo.Ushawishi wa mfumokristo unafanya hata mahakama zikose heshima.

Sijui nani alikufundisha mantiq! asije kuwa mwalimu yule yule wa Mohammed Said.
 

Issue hapa inatokana na Dhana ya Serikali kutokuwa na Dini au Serikali ya Kisekula Dhana hiyo ni maarufu Tanzania. Mara nyingi katika masuala yahusuyo dini, viongozi wa serikali husikika wakisema «serikali haina dini, ila wananchi wake wana dini zao ». Hoja ya usekula wa serikali ni ya kihistoria. Ilijengwa kiasi cha miaka miambili iliyopita ikitaka serikali ijiepushe na shughuli za kidini hususan katika masuala ya elimu, mafundisho ya maadili na na ibada.Japokuwa Tanzania imekuwa ikidai kwamba serikali yake ni ya kisekula, hali halisi haioneshi hivyo. Pamoja na madai hayo, serikali ya Tanzania imewahi kuingia katika msuguano na Waislamu na baadhi ya wasiokuwa waislamu pale Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ilipotaka kuanzisha somo la dini au maadili ya nchi. Kadhia hii ni maarufu kwa jina la “dini mseto”. serikali ya kisekula haiwezi ikaja na mipango ya kusomesha dini kwa jina lolote lile liwe la maadili au vyovyote vile.

Mifano mingine inayotia wasiwasi usekula wa serikali ya Tanzania ni hii ifuatayo:

1. Wimbo wa Taifa – unaomba mungu aibariki nchi

2. Dua ya Bungeni – ina muomba mungu

3. Kuapishwa kwa wanaochukua nafasi za uongozi.
Japo wanaoapa huapa kwa dini zao, aneapishasi kiongozi wa dini husika bali wa serikali au wabunge.

Utaratibu huo hauendani na madai kuwa nchi au serikali ya Tanzania haina dini, bali wananchi wake ndiyo wenye dini. Swali ni je, tunapomtaja Mungu katika wimbo wa taifa au katika dua ya bungeni, na kadhalika, tunamkusudia mungu yupi? Mungu wa Waislamu? Wa Wakristo? Wa dini za asili? Je, kuna mungu wa kitaifa? Mungu huyo wa kitaifa ni yupi na ni wa dini gani?Je, katika hali hiyo, ni kweli serikali haina dini? Katika mazingira ya Waislamu kuandamwa na kukandamizwa na mila ya Mfumokristo, mfumo ambao unajidhihirisha zaidi katika vitendo vya kibaguzi vinavyofanyiwa Waislamu na sehemu kubwa ya watendaji serikalini na katika taasisi mbalimbali, kwa nini mwananchi Muislamu asiamini kuwa serikali hii si ya kisekula bali ni ya kidini; na dini yenyewe ni Mfumokristo.

According to TRA / HAZINA....

attachment.php



attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php



Mbinu zinazotumiwa na Mfumokristo katika Kujihakikishia Fursa Tanzania


Mfumokristo ni hali ambayo Wakristo wa Tanzania wamehodhi madaraka ya ngazi zote muhimu katika serikali na katika vyombo vya maamuzi, na kuzitumia nafasi hizo kuwaendeleza Wakristo na Ukristo na kuwabagua Waislamu na dini yao.

1. Kuendeleza mfumo wa kibaguzi katika elimu kama ulivyoachwa na wakoloni.
Wakoloni wa kijerumani ndio walioanzisha mfumo wa kuwabagua Waislamu katika elimu baada ya kushinikizwa na makanisa. Ushahidi wa mashinikizo hayo unaweza kupatikana katika rejea zifuatazo: Cameroon and Dodd 1970:56, Kurtz1972:19, Smith 1963:16. Hatimaye kutokana na mashinikizo hayo serikali ilikubali kufaya yafuatayo:-

i. Kuwafukuza kazi Waislamu waliokuwa serikalini na kuwaingiza Wakristo (Tazama Cameroon and Dodd1970: 25, 56, pia Roland 1970:205)

ii. Kuzipa shule za wamisheni msaada wa kifedha kutoka kodi za wananchi huku wakizibagua zile za Waislamu (Tazama Roland: 1970: 205,na Cameroon and Dodd 1970:50)

iii. Kuweka mpango mkakati wa kuwabagua na kuwahujumu Waislamu na Uislamu wao. Tazama Roland 1970:205, Kurtz 1972:29. Cameroon and Dodd 1970:114.





iv. Kujenga hoja kwamba Waislamu kwa asili yao si watu wa kuendelea na kuwa ni wavivu. Tazama E.B Castle 1966:37 ambaye anasema, “ Islam hinders progressive attitude to change in society and a community that accepts Islam is less likely to advance in social welfare and education”, yaani Uislamu ni kikwazo cha fikra za maendeleo na mabadiliko katika jamii, na kwamba jamii ikiukubali Uislamu haiwezi kamwe kupiga hatua za katika ustawi wa na elimu. Pia Abel Ishumi 1980:208 anasema, “From the beginning Muslims were opposed to western type formal education”, Kwamba Waislamu walipinga elimu. Pia Abel Ishumi 1981:43, “Muslims believe highly in fatalism” Kwamba Waislamu wanabweteka na kuamini kwao kuwa mambo yameshakadiriwa.






2. Kuhujumu taasisi za Waislamu na kuweka viongozi mamluki.

Baada ya uhuru Serikali ya Tanzania imekuwa na muelekeo wa kuziandama taasisi zinazoonekana kuwa na mipango madhubuti ya kuwakomboa Waislamu kuondokana na ujinga na umaskini. Rejea Bergan 1981:26 na Sivalon 1992:3 kuhusu kuvunjwa kwa EAMWS na kuanzishwa kwa BAKWATA. Pia soma Anuur na. 13 la Agosti 1992 juu ya taarifa ya Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) ya kuitaka Serikali kuifuta EAMWS. Pia tazama Njozi 2000:31. “Mwembechai Killings and the Political Future of Tanzania kuhusu kadhia ya kuvamiwa kwa Msikiti wa Mwembechai na hatimaye kuuliwa kwa Waislamu.



3. Kuhodhi mfumo wote wa elimu nchini.


Tangu kuondoka kwa Mkoloni Wakristo wamekuwa kama mabaki ya wakoloni na ukoloni. Ukiondoa shule za msingi na sekondari za Kata, huko katika shule za sekondari za Serikali, vyuo vya kati na vyuo vikuu wanafunzi na wafanyakazi ni Wakristo kwa zaidi ya asilimia 80. Siku hizi katika shule za Kata wanafunzi Waislamu wameanza kuonekana. Katika taasisi za elimu mfano T.I.E, TEA, NECTA, Bodi ya Mikopo, I.A.E na vyuo vyote nchini, uongozi umekuwa ni mali ya Wakristo.



Huko mwanzo walidai kwamba hamna Muislamu mwenye elimu ya kutosha kuongoza. Kwa siku za hivi karibuni madai yao kwa wale Waislamu wachache waliofanikiwa kupata elimu ni kuwa hawafai kwa vile wana, “udini”.



Aidha katika Wizara ya Elimu (MOEVT) tangu Wizara hiyo kuundwa uongozi umekuwa mali ya Wakristo kwa zaidi ya asilimia 90. Nafasi kama ya Kamishina wa Elimu haijawahi hata kuwa na Kaimu Muislamu na wala haitarajiwi chini ya Mfumochristo. Nafasi zawakurugenzi nazo zimemilikiwa na Wakristo. Mfumokristo umejikita barabara.


Uongozi wa Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu nao umemilikiwa vilivyo. Nafasi za Maafisa elimu Wilaya na Mikoa na wakaguzi wakuu wa elimu wa Kanda kwa zaidi ya asilimia 85 zinaendelea kuwa miliki ya hawa Wakristo.



Mfumokristo ni hali ambayo Wakristo wa Tanzania wamehodhi madaraka ya ngazi zote muhimu katika serikali na katika vyombo vya maamuzi, na kuzitumia nafasi hizo kuwaendeleza Wakristo na Ukristo na kuwabagua Waislamu na dini yao.


1. Kuendeleza mfumo wa kibaguzi katika elimu kama ulivyoachwa na wakoloni. Wakoloni wa kijerumani ndio walioanzisha mfumo wa kuwabagua Waislamu katika elimu baada ya kushinikizwa na makanisa. Ushahidi wa mashinikizo hayo unaweza kupatikana katika rejea zifuatazo: Cameroon and Dodd 1970:56, Kurtz1972:19, Smith 1963:16. Hatimaye kutokana na mashinikizo hayo serikali ilikubali kufaya yafuatayo:-


i. Kuwafukuza kazi Waislamu waliokuwa serikalini na kuwaingiza Wakristo (Tazama Cameroon and Dodd1970: 25, 56, pia Roland 1970:205)


ii. Kuzipa shule za wamisheni msaada wa kifedha kutoka kodi za wananchi huku wakizibagua zile za Waislamu (Tazama Roland: 1970: 205,na Cameroon and Dodd 1970:50)


iii. Kuweka mpango mkakati wa kuwabagua na kuwahujumu Waislamu na Uislamu wao. Tazama Roland 1970:205, Kurtz 1972:29. Cameroon and Dodd 1970:114


iv. Kujenga hoja kwamba Waislamu kwa asili yao si watu wa kuendelea na kuwa ni wavivu. Tazama E.B Castle 1966:37 ambaye anasema, “ Islam hinders progressive attitude to change in society and a community that accepts Islam is less likely to advance in social welfare and education”, Yaani Uislamu ni kikwazo cha fikra za maendeleo na mabadiliko katika jamii, na kwamba jamii ikiukubali Uislamu haiwezi kamwe kupiga hatua za katika ustawi wa na elimu. Pia Abel Ishumi 1980:208 anasema, “From the beginning Muslims were opposed to western type formal education”, Kwamba Waislamu walipinga elimu. Pia Abel Ishumi 1981:43, “Muslims believe highly in fatalism” Kwamba Waislamu wanabweteka na kuamini kwao kuwa mambo yameshakadiriwa.


2. Kuhujumu taasisi za Waislamu na kuweka viongozi mamluki. Baada ya uhuru Serikali ya Tanzania imekuwa na muelekeo wa kuziandama taasisi zinazoonekana kuwa na mipango madhubuti ya kuwakomboa Waislamu kuondokana na ujinga na umaskini. Rejea Bergan 1981:26 na Sivalon 1992:3 kuhusu kuvunjwa kwa EAMWS na kuanzishwa kwa BAKWATA. Pia soma Anuur na. 13 la Agosti 1992 juu ya taarifa ya Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) ya kuitaka Serikali kuifuta EAMWS. Pia tazama Njozi 2000:31. “Mwembechai Killings and the Political Future of Tanzania kuhusu kadhia ya kuvamiwa kwa Msikiti wa Mwembechai na hatimaye kuuliwa kwa Waislamu.

3. Kuhodhi mfumo wote wa elimu nchini. Tangu kuondoka kwa Mkoloni Wakristo wamekuwa kama mabaki ya wakoloni na ukoloni. Ukiondoa shule za msingi na sekondari za Kata, huko katika shule za sekondari za Serikali, vyuo vya kati na vyuo vikuu wanafunzi na wafanyakazi ni Wakristo kwa zaidi ya asilimia 80. Siku hizi katika shule za Kata wanafunzi Waislamu wameanza kuonekana. Katika taasisi za elimu mfano T.I.E, TEA, NECTA, Bodi ya Mikopo, I.A.E na vyuo vyote nchini, uongozi umekuwa ni mali ya Wakristo. Huko mwanzo walidai kwamba hamna Muislamu mwenye elimu ya kutosha kuongoza. Kwa siku za hivi karibuni madai yao kwa wale Waislamu wachache waliofanikiwa kupata elimu ni kuwa hawafai kwa vile wana, “udini”. Aidha katika Wizara ya Elimu (MOEVT) tangu Wizara hiyo kuundwa uongozi umekuwa mali ya Wakristo kwa zaidi ya asilimia 90. Nafasi kama ya Kamishina wa Elimu haijawahi hata kuwa na Kaimu Muislamu na wala haitarajiwi chini ya Mfumochristo. Nafasi za wakurugenzi nazo zimemilikiwa na Wakristo. Mfumokristo umejikita barabara. Uongozi wa Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu nao umemilikiwa vilivyo. Nafasi za Maafisa elimu Wilaya na Mikoa na wakaguzi wakuu wa elimu wa Kanda kwa zaidi ya asilimia 85 zinaendelea kuwa miliki ya hawa Wakristo.

4. Kukataa kutunga sera za kuondoa upendeleo wa Wakristo katika elimu na kuendeleza ulaghai dhidi ya wananchi wasiokuwa Wakristo. Mara baada ya uhuru ilielezwa na viongozi wetu akiwemo Mwl. Nyerere kuwa serikali itachukua hatua kuondoa mpango ulioasisiwa na Wakoloni wa kuwabagua Waislamu. (tazama A. Jumbe 1994:123, Court 1976 na Nyerere in Hansard Desemba 10, 1962). Badala yake hatua zilizochukuliwa hazikulenga kuondoa tatizo la ubaguzi wa kidini katika elimu nchini na kuwaondoa pia katika ajira na madaraka.Mfano wa hatua hizo ni pamoja na:

i. Kufuta ada shule za msingi na sekondari miaka ya 1960/70.

ii. Kuweka kikomo cha elimu ya msingi kuwa miaka 7 bila kusita.

iii. Kuondoa mitihani ya darasa la 4 na 5. iv. Kuanzishwa kwa mpango wa UPE.

v. Kujenga shule za msingi za bweni kwa watoto wa wafugaji na wavuvi wanaoishi kwa kuhamahama

vi. Kutaifisha shule za binafsi zilizokuwa chini ya mashirika ya dini na watu binafsi. Mpango huu haukuhusisha seminari za Wakristo.

vii. Kupeleka wanafunzi sekondari kwa kigezo cha KUCHAGULIWA badala ya KUFAULU kulikoendana na kuyafanya matokeo ya mtihani wa darasa la saba kuwa ni siri.

viii. Kuanzishwa utaratibu wa “quota system” ambapo kila mkoa ulipangiwa idadi ya wanafunzi watakaochaguliwa kwenda sekondari.

ix. Kuweka utaratibu mgumu wa kuanzisha na kuendesha shule binafsi chini ya sheria ya elimu ya mwaka 1978, hivyo watu wote kulazimika kusoma katika shule chache za sekondari za Serikali

x. Kuanzishwa kwa shule maalum za vipaji katika miaka ya tisini mfano: Kibaha, Kilakala, Ilboru, n.k.

xi. Kutoa upendeleo maalum (Affirmative Action) kwa watoto wa kike kuingia sekondari na vyuo. Aidha kuwepo pia kwa mipango ya kuwasomesha watoto wa kike kutoka familia maskini.

xii. Ujenzi wa Shule za Sekondari za Kata. Sera hizi zote pamoja na nyinginezo hazikusaidia kuondoa uwiano mbaya au ubaguzi wa elimu kwa Waislamu. Tuangalie mfano michache ifuatayo: Ni ukweli usiopingika kwamba UPE awamu ya kwanza iliyosukumwa na UNESCO na awamu ya pili iliyosukumwa na Malengo ya Milenia (MDGs) na Mpango wa Elimu kwa wote (EFA) zimesaidia kuwahakikishia watoto wengi wa Kiislamu elimu hiyo ya msingi. Lakini sera hii ilikuja katika kipindi ambacho elimu ya msingi haikuwezi tena kumpatia mtu ajira katika sekta rasmi na hata ile ya binafsi.

Ikumbukwe kwamba katika kipindi hicho cha miaka ya 60 hadi 2000 nafasi za masomo ya sekondari ziliendelea kuwa haba. Wakati wote huu watoto wa Kikristo ndiyo walioendelea kufaidika na elimu ya sekondari. Masomo hayo ya sekondari hatimaye yaliwapatia fursa za kuingia vyuo vikuu na hivyo kuwa katika nafasi za kuajiriwa serikalini, kuteuliwa katika vyeo na nyadhifa mbalimbali huku Waislamu waliowaacha shule za msingi wakiambulia ajira za usafi na utarishi.

Naam, Mfumokristo umefanikiwa kuwafanya Wakristo kuwa warithi wa wazungu wakoloni na kuwaacha Waislamu katika hadhi lie ile waliokuwa nayo wakati wa ukoloni. Aidha kutaifishwa kwa shule hakujasaidia Waislamu kupata elimu ya sekondari kama inavyodaiwa kuwa Nyerere alitaifisha shule ili Waislamu wasome.

Kama tulivyoona awali kuwa tangu wakati wa Mjerumani serikali ya kikoloni ilikuwa ikitoa pesa kusaidia ujenzi na uendeshaji wa shule za Wakristo ni dhahiri kuwa shule hizi zilikuwa zimeshalemazwa na pesa za serikali kwa kipindi cha miaka 55, tangu mwaka 1914 hadi mwaka 1969 zilipotaifishwa. Tazama maandiko ya Katibu Mkuu wa Baraza la Maskofu Katoliki (TEC) Fr Robinson, D.W 1965:14 kwamba, “The Church is now totally dependent on State aid for the administration of these schools. If this aid were withdrawn the church will be forced to close its schools”

Yaani, Kwa sasa Kanisa limekuwa tegemezi kabisa kwa serikali katika kutoa pesa za kuendesha shule zake na ikiwa serikali itasita kutoa fedha kwa shule hizi basi Kanisa litalazimika kuzifunga. Ni dhahiri basi kwamba hatua aliyochukua Julius Nyerere ilikuwa na malengo makuu ya kuziokoa shule za Kanisa kufungwa kwa sababu ingekuwa jambo la kiroja kwa serikali ya Tanzania kuendelea kutoa pesa za kuendesha shule za Kanisa kwa wakati ule, na pili kuhakikisha kwamba malengo ya shule zile ya kuwasomesha Wakristo yanaendelea kutekelezwa kwa kutumia pesa za umma.

Kimsingi kilichobadilika ni jina la mmiliki tu uongozi na malengo ya shule yalibaki vile vile. Ndiyo maana hakuna mtu yoyote aliyethubutu au atakayethubutu kudai eti kwamba ukienda katika shule zilizotaifishwa mfano, Pugu, Minaki, Tambaza, Zanaki, Jangwani, Kibasila, Ilboru, Weruweru, Tosamaganga, Msalato, Umbwe, Ndanda n.k, utakuta idadi ya kuridhisha ya wanafunzi Waislamu wanaosoma huko. Lakini hata katika shule za sekondari chache mpya ambazo serikali ilijenga au kujengewa mwishoni mwa miaka ya 70, kama vile: Kibiti, Ruvu, Karatu, Bagamoyo n.k , kote walimu, wafanyakazi na wanafunzi ni Wakristo kwa zaidi ya asilimia 80.

Watoto wachache wa Kiislamu wanaosoma huko huonekana kama wakimbizi wanaosaidiwa katika nchi ya ughaibuni. Kuhusu kuingia sekondari kwa kigezo cha kuchaguliwa na mpango wa quota system, watendaji Wakristo waliojazana katika mfumo wa elimu nchini wamekuwa wakihakikisha kwamba Waislamu hawasomi kutokana mbinu zifuatazo:-

i. Kufanya matokeo ya darasa la saba kuwa ni siri hivyo kuweza kuibadili nafasi walizoshinda Waislamu na kuwapa wengine. Tazama ushahidi mzito uliotolewa na Njozi mwaka 2000; katika kitabu cha Mwembechai Killings and the Political Future of Tanzania uk. wa 62 -70. Hapa vijana wa Kiislamu waliofaulu darasa la saba walinyimwa nafasi kuingia sekondari na wale waliofaulu kidato cha nne walinyimwa kuingia kidato cha tano. Kazi hii ya kuwakwamisha vijana wa Kiislamu ilifanywa vyema na mawakala wa Mfumokristo waliojazana katika mfumo wote wa elimu nchini.

ii. Kuhamisha wanafunzi Wakristo kutoka maeneo yenye ushindani mkubwa kwenda Mikoa iliyokuwa na alama ndogo za kuchaguliwa kama Pwani, Dar, Lindi, Mtwara na Tanga ambayo pia ni maeneo ya Waislamu . Tazama Malekela 1983 in “Access to secondary education in Sub- Sahara Africa”

iii. Huko nyuma kabla ya wanafunzi kupangiwa shule za sekondari namba zao za mtihani ziliambatanishwa na majina ili kujua nani Mkristo apendelewe na nani siyo awachwe iv. Kuhakikisha kwamba viongozi na watendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) wote ni Wakristo. Aidha kwa asilimia kubwa kabisa watungaji wa mitihani na wasahihishaji pia ni dini hiyo hiyo. Tazama kitabu cha Miaka Thelathini ya NECTA, 2004 au www.necta.ca.tz


Kuanza ku argue kuwa dini gani ina nguvu zaidi na wakati dini hizo zimeletwa na wavamizi wa Africa ni ujinga mtupu.
 
Kuanza ku argue kuwa dini gani ina nguvu zaidi na wakati dini hizo zimeletwa na wavamizi wa Africa ni ujinga mtupu.
I was thinking the same thing,ni sawa na uende nchi zilizotawaliwa na waarabu waislam na si wazungu,halafu uulize kwanini mokoni huyu wa kiislam utamaduni wake umekubalika kuliko mkoloni yule wa kikristo/kizungu nk.
 
Twende taratibu,

Kwanza umesema kuwa ati Vatican City ndio wana diplomatic ties na nchi 180. Huo ni uongo kwani walio na diplomatic ni Holy See wakimwakilisha papa kwa waumini wao. Labda nikuulize ushawahi kusikia balozi wa Vatican asiyekuwa cardinal, mkatoliki na pia sio mwakilishi wa Holy See???

Mdondoaji, unajaribu kisichowezekana; unajaribu kukataa uwepo wa jua wakati linakumulika! Wewe umeshajiamulia kuwa Vatican City si nchi na hivyo ushahidi wote hata uwekwe mbele yako vipi utaukataa. Utatafuta 'wanasheria' wanaotetea msimamo wako wakati wapo wengi wanaoenda kinyuma na huo (na hivyo hutojitofautisha na M. Said).

Sasa sijui tukusaidia vipi kujua historia ya Vatican City - Papa alitawala Papal States kwa karibu miaka 1000! Ukumbuke kuwa Vatican kama makao makuu ya Papa imekuwepo kabla ya ujio wa Uislamu. Papa kama kiongozi wa kidini na kiserikali amefanya hivyo kama halifa wa Petro. Suala la dini na serikali kama sehemu moja ya mfumo wa utawala imekuwepo kwenye Ukristu kabla ya kuwepo kwenye Uislamu.

Leo hii ukisikia Waislamu wanasema kuwa dini na serikali havitofautishwi watu wanadhania ni dhana mpya au imekuja na Uislamu. Dhana hiyo imekuwepo kwenye Kanisa kwa muda mrefu. Hata hivyo, baada ya migongano ya kihistoria Kanisa Katoliki liliamua kujikita katika "ufalme wa Mbinguni" kuliko "Ufalme wa Duniani" na hivyo kujikita kwenye masuala ya kiroho na maisha ya duniani hapa bila kudai haki za kiutawala wa kidunia. Baada ya Italy kuunganishwa (Unifikication) kulikuwa na uadui uliodumu kwa karibu miaka sitini kati yake na Vatican City (chini ya Papa) kwa ardhi kubwa ya nchi za Papa yalichukuliwa na ufalme wa Italy hadi mkataba wa Lateran mwaka 1929. NImeshakudokeza hapo nyuma juu ya historia hiyo.

Vatican City basi haijawahi kuwa chini ya nchi ya Italy; imezungukwa na Italy kama Lesotho au Swaziland zilivyozungukwa na Afrika ya Kusini. Vatican City haijawahi kuwa chini ya Mfalme wa Italy bali hata Roma yenyewe (ambayo ni makao makuu ya Italia) imewahi kuwa chini ya Papa.

Sasa ukweli huu unaweza kuudhi, unaweza kuuchukia lakini ni ukweli wa historia. Siyo ukweli wangu mimi au kusema nasema hivyo kwa sababu nami ni Mkatoliki la hasha. NI ukweli wa historia kwa sababu huwezi kutumia historia kuupinga. Kama unaweza naomba ujibu maswali haya:

a. Vatican City ina uhusiano gani na Italy?
b. Mkuu wa Vatican City ni nani?
c. Holy See ina uhusiano gani na Vatican City na vyote viwili vinauhusiano gani na Papa?
d. Je, Vatican City inajitambuaje yenyewe (ni mkoa, kijiji, au sehemu ya Italy)?
e. Je Papal States zilikuwa ni nini?

Jaribu tu kutafuta majibu haya kwenye historia uone kama yatapingana na nilichosema mimi. Sasa, unaweza kuwa na hoja kuwa hutaki Nchi ya Papa iwwe na uhusiano na Tanzania kwa sababu ni nchi ya Kidini au ya Kikristu. Hii ni haki yako na unaweza kuanzisha mwamko wa kutaka Tanzania ivunje uhusiano nayo. Unaweza kujaribu.
 
Back
Top Bottom