Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Kwanini wanaogopa kuchapicha vitabu makini huku wanaruhusu kuchapisha vitabu vyenye picha za kihuni na maadili ovu? Mohamed Said,
Ktk makala yako nimeona umemtaja Shekh Salim Hamis aliechaguliwa ktk Mkutano wa Chuo kikuu kuratibu mabadiliko ktk Baraza la kudhibiti Waislamu Tanzania (Bakwata)! namkumbuka sana Shekh Salim na Katibu wake Mohamed aliekuwa mjumbe wa Press Club! jee, wako hai? pia nakuomba utupe kisa cha Marhum Kighoma Ali Malima kuhama CCM mwaka 1995!

Kadogoo,
Wachapaji takriban wote walikuwa na hofu na serikali.

Waliogopa huenda wakapata matatizo kutoka serikalini.
Insha Allah nitaweka habari za Prof. Malima.

Katibu umemkusudia Omar Alhadi.

Huyu bwana alipata ajali hivi sasa ni mgonjwa.
 
Kadogoo,
Wachapaji takriban wote walikuwa na hofu na serikali.

Waliogopa huenda wakapata matatizo kutoka serikalini.
Insha Allah nitaweka habari za Prof. Malima.

Maalim,
Je Dar es Salaam una ofisi au shule?
Wadau wakitaka darasa lako "live" kuna utaratibu gani?
 
Kadogoo,
Wachapaji takriban wote walikuwa na hofu na serikali.

Waliogopa huenda wakapata matatizo kutoka serikalini.
Insha Allah nitaweka habari za Prof. Malima.

Katibu umemkusudia Omar Alhadi.

Huyu bwana alipata ajali hivi sasa ni mgonjwa.

Naam, nilimkusudia Alhadi. Kuna bwana mmoja wa IPC alinidokeza kuwa huyo bwana alikuwa pandikizi la Nyerere kuna ukweli wowote?
 
Ze...

Zipo DVD zangu zinauzwa nazungumzia haya.
Zitafute.

Sina darsa lolote.

Ni vizuri kuwepo kwa DVD, lakini ni vema kuanzisha darasa la uso kwa uso. Ikiwezekana executive class kwa wanasiasa chipukizi.

Kuna tofauti kati ya DVD na live talk. Tafadhali fikiria hili...
 
Wewe endelea kutoa darasa lakini darasa lako linachambuliwa na kuoneshwa kuwa ndani yake kumejaa ulaghai wa maneno, upotoshaji wa historia na jaribio dhaifu la kufuta mchango wa kipekee uliotukuka na usio na mfano wa Baba wa Taifa katika harakati za Uhuru. Darasa lako Maalim, linatolewa darasa na watu wanatusoma.
Kitabu cha Mohamed Said kinakuumiza sana kinakukwaza wewe endelea kuchukuia na kuandika kila maneno kutoka kwenye fikra zako lakini haina maana kuwa utaweza kukizuia.Maneno yako yanazidi kukipa soko kitabu toka mwaka 1997 kitabu kipo madukani, maofisini, majumbani, mashuleni, vyuoni, kwenye computers za Watanzania kitabu kinakwenda toleo la tatu sasa kitabu kimeingia JF.Kitabu kinaitajika mikoani sasa mawakala wanakitaka kitabu.Huwezi kuzuia mvua...
 
Kitabu cha Mohamed Said kinakuumiza sana kinakukwaza wewe endelea kuchukuia na kuandika kila maneno kutoka kwenye fikra zako lakini haina maana kuwa utaweza kukizuia.Maneno yako yanazidi kukipa soko kitabu toka mwaka 1997 kitabu kipo madukani, maofisini, majumbani, mashuleni, vyuoni, kwenye computers za Watanzania kitabu kinakwenda toleo la tatu sasa kitabu kimeingia JF.Kitabu kinaitajika mikoani sasa mawakala wanakitaka kitabu.Huwezi kuzuia mvua...

Ritz,
Ni ahadi ya Allah kuwa haki daima itakuwa juu ya batil.
 
Ndugu zangu wana jf, Nimefarijika kuona mada hii imeangaza sehemu nyingi duniani na inaendelea kuwaangazia wengi zaidi, Juzi niliombwa namba na mdau mmoja akajitambulisha kuwa yeye ni mhadhiri kutoka Chuo kikuu cha California nchini Marekani. Jana akanipigia simu, na tukaongea mengi sana, lakini kubwa zaidi akasema yeye amesoma kitabu cha Maisha na nyakati za Abdul Sykes kilichoandikwa na Mohamed Said ambacho ndicho nilichokipinga katika uzi huu na kuweka ukweli halisi japo kwakifupi tu. Akasema zaidi kuwa yeye alikuwa ni muhanga wa kitabu hicho kwani aliamini habari za Mohamed kwa asilimia fulani lakini kuna mambo yalikuwa yakimtatiza mpaka alipobahatika kusoma uzi huu. Anazidi kusema kuwa amewaambia baadhi ya wanafunzi wake waufuatilie kwaukaribu uzi huu, kwakuwa unamengi mazuri na mapya kwao kwa historia ya harakati za ukombozi afrika. Hii ni heshima kubwa kwa jf na uongozi wake mzima kwakuendelea kuulinda mjadala huu mpaka hapa ulipofika, Nawaomba Mods muendelee kuulinda hivyohivyo kwa mafaa ya historia ya nchi yetu, na ikiwezekana ubadilisheni rangi iwe nyekundu kuonyesha ni zaidi ya STICKY THREAD tulizozizoea.

Marehemu Salum Abdallah wa Cuban Marimba Cha Cha Band
ameimba akasema:

"Mwalimu anasomesha we chukua.
Acha acha wako ubaya we nakwambia..."

Chuo Kikuu Cha California, West Coast hiyo...
Anamsoma Abdulwahid Kleist Sykes...
rafiki zake kwa ajili ya ukarimu wake walimpa
jina wakimwita "The Sweet Abdu."

Leo anasomwa katika kitabu alichoandika Mohamed
Said.

Mtoto wa Nyerere anahimiza uzi udumu...
Allah ana miujiza kwa hakika.

Abdu aliyekujapewa medali na taifa hili miaka
50 baada ya uhuru.

Nyerere alitoa medali 3979 jina la Abdu
halikuwapo.

Kasahaulika.
Allah una miujiza.

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]''On 27 th April, 1985, Julius Kambarage Nyerere, now known as the ‘Father of the Nation', in a colourful ceremony at the State House grounds, conferred a total of 3,979 medals to Tanzanians who had contributed to the development of the nation.

Among those honoured was Sheikh Abdallah Chaurembo.
None of those patriots who have appeared in this work was in that list of honour.

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]A few days later as an afterthought Nyerere invited Dossa Aziz to the State House.

Dossa Aziz, once a flamboyant townsman, now his fame and wealth gone was leading a simple life at Mlandizi, a few miles outside Dar es Salaam.

In a private ceremony Nyerere presented a medal to Waziri Dossa Aziz, his old friend.''

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Kwenye ile orodha ya mwanzo ya medali jina la Dossa Aziz halikuwapo kabisa.
Haijulikani kilipitika kitu gani hadi akaitwa siku ya pili kupewa medali yake peke yake.
 
Wewe endelea kutoa darasa lakini darasa lako linachambuliwa na kuoneshwa kuwa ndani yake kumejaa ulaghai wa maneno, upotoshaji wa historia na jaribio dhaifu la kufuta mchango wa kipekee uliotukuka na usio na mfano wa Baba wa Taifa katika harakati za Uhuru. Darasa lako Maalim, linatolewa darasa na watu wanatusoma.
Mohamed Said is so delusional about his fictional rantings and insinuations that, the poor chap, actually believes in them...! Though he is fighting tooth and nail to defend his lies, Great Thinkers of JF like always, wont give him a pass. I therefore advise him to renounce his delusional hypotheses and revert to thinking of himself as a human of more conventional circumstances and return to mathematical research. Confused by delusion, inflamed by obsession, consumed by hate and incenced by anger, he, overcome by all four, has his mind bewildered and his reasoning destroyed. Surely life is too short to have nothing but delusional notions about oneself...
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi,
Kama ni Sheikh Ilunga na Mfumokristo hilo naweza tukazungumza sana.

Nilichosema sina ujuzi ni suala la kisasi kama alivyoeleza Sheikh Ilunga.

Kwa kweli mimi niliandika kuhusu tatizo hili zaidi ya miaka 25 iliyopita
lakini neno nililotumia mimi lilikuwa ''Christian Lobby.''Ahlan WasaalanTunaweza kuanza Insha Allah.

Nakusubiri.
Mohamed, tuanze na hili la mfumo kristo ingawa itatuwia vigumu sana kutofautisha Qisas kwa maana ya Ilunga na mfumokristo unaowaunganisha nyote.

Unasema hujatumia neno ''mfumokristo'' nakuhahikishia umeshatumia, hata hivyo tuanze kujadili hili neno Christian Lobby.
Hivi kwa kiswahili Christian Lobby linasemwaje!
 
Mohamed, tuanze na hili la mfumo kristo ingawa itatuwia vigumu sana kutofautisha Qisas kwa maana ya Ilunga na mfumokristo unaowaunganisha nyote.

Unasema hujatumia neno ''mfumokristo'' nakuhahikishia umeshatumia, hata hivyo tuanze kujadili hili neno Christian Lobby.
Hivi kwa kiswahili Christian Lobby linasemwaje!

Nguruvi,

Nilipoandika kuhusu ushawishi wa Kanisa katika serikali, na hii ni takriban miaka 25
iliyopita sikuwa natumia neno ''mfumokristo.''

Hili neno nimeanza kulitumia miaka hii ya hivi karibuni.

Sijui kwa Kiswahili Christian Lobby inaitwaje.
Mimi nimechukua ''mfumokristo'' ndiyo ''Christian Lobby.''
 
Kitabu cha Mohamed Said kinakuumiza sana kinakukwaza wewe endelea kuchukuia na kuandika kila maneno kutoka kwenye fikra zako lakini haina maana kuwa utaweza kukizuia.Maneno yako yanazidi kukipa soko kitabu toka mwaka 1997 kitabu kipo madukani, maofisini, majumbani, mashuleni, vyuoni, kwenye computers za Watanzania kitabu kinakwenda toleo la tatu sasa kitabu kimeingia JF.Kitabu kinaitajika mikoani sasa mawakala wanakitaka kitabu.Huwezi kuzuia mvua...

Ritz,
Kuna jamaa anajitahidi kuandika kunitetemesha kwa Kizungu.

Sasa kichekesho ni kuwa anamuiga Charles Dickens.
Utasema unasoma "Great Expectations."

Fikiria mtu asemae Kiingereza kama lugha yake ya pili analazimisha
aonekane na yeye yumo kwa kunakili Kizungu.

Shida zote hizo za nini?
Kweli JF kuna "great thinkers."

Copy Cat.

Naomba mtu afungue uzi wa sampuli hiyo nimuonyeshe mizungu yangu.
Nimfungulie dimba kwa mashairi ya Kizungu.

Ritz,
Si unajua ukenda kumbini unafundishwa zile nyimbo za kufungua dimba?

Ningependa kumwekea vitu hapa.
 
Wewe endelea kutoa darasa lakini darasa lako linachambuliwa na kuoneshwa kuwa ndani yake kumejaa ulaghai wa maneno, upotoshaji wa historia na jaribio dhaifu la kufuta mchango wa kipekee uliotukuka na usio na mfano wa Baba wa Taifa katika harakati za Uhuru. Darasa lako Maalim, linatolewa darasa na watu wanatusoma.

Akijitahidi sana tutamuita katika Kigoda Cha Mwalimu pale mlimani later this year ili atupe mawazo yake mapya juu ya pan africanism na mwalimu n.k
 
Akijitahidi sana tutamuita katika Kigoda Cha Mwalimu pale mlimani later this year ili atupe mawazo yake mapya juu ya pan africanism na mwalimu n.k

Geeky,
Nafanya staha.

Hao Pan Africanists hivi sasa hawapo.
Ipo mada mnasaba na mimi ikiwa nitaalikwa.

Watu wa Kigoda wananijua.
Nafanya staha.
 
Mgashi,
Mimi ndiye Maalim hapa.Mimi ndiye ninaetoa darsa.Nasomesha.Nguruvi anauliza maswali baada ya kunisoma.Usisahau hilo.Hapa nimetoa kazi nilizoandika kwa mkono wanguzilizochapwa kwenye majarida kadhaa ndani na nje
ya Tanzania hata hesabu yake siijui.Tulia kwenye jamvi utanijua Insha Allah.
Sijui kwanini unasema haya1 ninapokuuliza jambo huwa nina hoja nawewe unalifahamu hilo.
Usisahau nimekuwa natoa hoja na analysis kwa mtazamo mwingine na ndicho kilichomgusa Mgashi.

Mathalani, maalim mtoa darsa umesema katika orodha ya watu waliopelekewa barua na UTP ''Nyerere hakuwemo''
Nimekuuliza kwanini sentensi hiyo na hukuwa najibu.
Baada ya wewe kukosa jibu nikauleleza umma kile ulichokusudia.

Mohamed, ungekuwa mtoa darsa iweje unakimbia darsa mambo yakiwa hot!
Tuyaache hayo tuendelee na mnakasha wasomaji wataamua.

Kwahiyo umesema mfumokristo ndiyo Christian Lobby. In other words hakuna tofauti kati ya kiingereza na kiswahili.
Na kwa mtazamo huo miaka zaidi ya 20 umekuwa unatumia mfumokristo kama ustadhi Ilunga anavyoutumia.

Tukuulize maalim mtoa darsa, huo mfumokristo una definition gani kwa ufupi kwasababu sheikh Ilunga hajawahi kutoa definition. Wewe unayeutumia zaidi ya miaka 20 unaweza kutueleza nini Maalim japo kwa ufupi.
 
Mdondoaji,

..nani kati ya Jumbe na Thabit Kombo aliwahi kufika Vatican na kusalimiana na Pope?

..sasa Aboud Jumbe anadai kwamba serikali ya Tz ina dini kwasababu ina mashirikiano ya kibalozi na Vatican??

..What about mashirikiano ya kibalozi na Iran, Saudia, Cuba? Halafu na mashirikiano yetu na Soviet Union miaka ile??

..Haya mambo ya udini-udini ukiyaendekeza mara nyingine unaishia kuwa kituko, na mfano wa kituko ni kauli unayodai imetolewa na Raisi Mstaafu Aboud Jumbe kuwa Tz ina dini kwasababu ina mahusiano na Vatican.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom