Ze...
Zipo DVD zangu zinauzwa nazungumzia haya.
Zitafute.
Sina darsa lolote.
Assalm alaikum wanajamvi....
Naomba kuwa rational...nitakapokosea naomba kukosolewa!
Nimefuatilia mjadala huu tangia unaanza mpaka muda huu!
Kama umenipita basi ni kwa uchache!
Hakika nimejifunza mengi kutoka kwa wengi ndani ya huu mnakasha!
Kutoka kwa mzee wangu mohammedi said nimejufunza historia ambayo kwa hakika cjawahi kuijua kabla na amenipa moyo wa utambuzi kusoma zaidi ya nilichosoma darasani!
Pia jinsi ya kujibu,hekima na busara!
Ritz,bigshow na wengineo ni jinsi wanavyo sherehesha na kutoa darasa ndogondogo!
Mwanakijiji,gwalihenzi na wengineo nimejifunza jinsi ya kuargue na kuchemsha akili!
Kubwa ni ile ansard iliyoletwa na member mmoja hiv!
Naomba huu mjadala uendelee ila hekima,heshima na busara iendelee kuwepo!
Hakika najifunza mengi hasa kwa mzee mohammedi said cha ajabu hata ukimdharau yeye bado anakupa darasa hakika hii ni hekima na busara ya kipekee!
Waislam tuzidi kumuomba MUNGU,KUSOMA KWA BIDII,KUFANYA IBADA ZAIDI YA TUFANYAVYO,TUSAFISHE NYOYO ZETU KWANZA,NA TUTOE HUKUMU VILE APENDAVYO ALLAH AMBAE NDIO HAKIMU WA DUNIA HII!
PIA TUSIDHARAU DINI NYINGINE KWA HALI YEYOTE ILE!
hata kama aya ni chungu kwa namna gani tuiseme na tuifanyie kazi ili ujumbe ALLAH ufike!
Note;najifunza tu ndani ya mnakasha huu!
Kitabu na cd naomba MUNGU anijaalie nivitafute na nivipate kwa kuwa nia hio ninayo!
Akhsanteni!