Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Geeky,
Nafanya staha.

Hao Pan Africanists hivi sasa hawapo.
Ipo mada mnasaba na mimi ikiwa nitaalikwa.

Watu wa Kigoda wananijua.
Nafanya staha.

Nami nakusifia jambo moja tu si mwepesi wa jazba kama wenzako wengi humu na sina unafki imebidi nikusifie
that being said I dont really think you understand the severity of what you set out to do here you are touching to change the history of this beautiful country as we know it and that is a huge undertaking sir I hope you understand that. na jambo linalonitatiza : kwa ninavyojua (nimeangalia midahalo na majarida ya books reviews kama book review of London) writers are usually torelant to criticism, now since this book has been brought into criticism here I have reason to hope there is some constructive criticism here that will be thrown your way as well as compliments I just dont know/understand why u cant seem to conceed any. seeing that you are critically acclaimed among your scholars. ni hayo tu.
 
Mdondoaji,

..nani kati ya Jumbe na Thabit Kombo aliwahi kufika Vatican na kusalimiana na Pope?

..sasa Aboud Jumbe anadai kwamba serikali ya Tz ina dini kwasababu ina mashirikiano ya kibalozi na Vatican??

..What about mashirikiano ya kibalozi na Iran, Saudia, Cuba? Halafu na mashirikiano yetu na Soviet Union miaka ile??

..Haya mambo ya udini-udini ukiyaendekeza mara nyingine unaishia kuwa kituko, na mfano wa kituko ni kauli unayodai imetolewa na Raisi Mstaafu Aboud Jumbe kuwa Tz ina dini kwasababu ina mahusiano na Vatican.
Nimemuuliza anisaidie kufafanua kauli ya jumbe, Mhh naona kimya!
 
Sijui kwanini unasema haya1 ninapokuuliza jambo huwa nina hoja nawewe unalifahamu hilo.
Usisahau nimekuwa natoa hoja na analysis kwa mtazamo mwingine na ndicho kilichomgusa Mgashi.

Mathalani, maalim mtoa darsa umesema katika orodha ya watu waliopelekewa barua na UTP ''Nyerere hakuwemo''
Nimekuuliza kwanini sentensi hiyo na hukuwa najibu.
Baada ya wewe kukosa jibu nikauleleza umma kile ulichokusudia.

Mohamed, ungekuwa mtoa darsa iweje unakimbia darsa mambo yakiwa hot!
Tuyaache hayo tuendelee na mnakasha wasomaji wataamua.

Kwahiyo umesema mfumokristo ndiyo Christian Lobby. In other words hakuna tofauti kati ya kiingereza na kiswahili.
Na kwa mtazamo huo miaka zaidi ya 20 umekuwa unatumia mfumokristo kama ustadhi Ilunga anavyoutumia.

Tukuulize maalim mtoa darsa, huo mfumokristo una definition gani kwa ufupi kwasababu sheikh Ilunga hajawahi kutoa definition. Wewe unayeutumia zaidi ya miaka 20 unaweza kutueleza nini Maalim japo kwa ufupi.

Nguruvi,
Unanogesha mnakasha lakini tatizo ni kuwa unaingia kwa kutaka ushindi.

Mimi niko hapa kutaka kueleza ninayojua ili na wengine wayasikie hata kama
hatukubaliani.

Ndiyo maana hata lugha zetu mie na wewe hazishabihiani.
Sikukujibu kwa kuwa unanichosha unasoma kwa haraka.

Ile barua ambayo Nyerere hakupelekewa aloandika Ivor Bayldon
haikutoka UTP.

Ilikuwa mwaka 1953 hata TANU bado.

Hebu rejea kwanza nyuma usadikishe hilo kisha Insha Allah nitajibu
hayo mengine.
 
Sawa, lakini hayo ni maoni ya aina moja tu; mtu mwingine anaweza (kwa kuangalia facts zile zile) kufikia hitimisho tofauti na kumwasha msomaji aamue mwenyewe. Sasa kujibu hoja zako nyekundu wacha na miye nikupatie toka Wikipedia huko huko:



Lakini tunaweza kwenda mbali zaidi kutoka huko huko Wikipedia:



Kumbe utaona kuwa 'territory' ya Holy See ambayo yenyewe ndio sovereign ni Vatican City State. Lakini hata bila ya kuwa na territory imewahi kuendelea kuwa sovereign!


Swali la jumbe kwa namna limekosewa; kama ana maanisha kuwa ni kwanini tuna Uhusiano wa Kibalozi na Holy See jibu liko wazi - tuna mahusiano na serikali ya Kipapa ambaye ni mkuu wa Vatican City. Serikali hii ndiyo Holy See.



Jibu lako ni partially true; kuna mahusiano ya karibu kati ya Holy See na nchi hizo zote ukiondoa kuweka mahusiano rasmi ya kibalozi. Hili si jambo geni; nchi kutokuwa na mahusiano ya kibalozi haina maana haiitambui ile nchi nyingine kuwa ni nchi au kuwa hakuna mahusiano mengine ya karibu chini kidogo ya yale ya Ubalozi. Marekani haina balozi Cuba wala Cuba haina balozi Marekani lakini nchi hizo hazina mahusiano? Well..

Angalia na hapa:



Utaona ni nchi tano tu duniani ambazo hazina KABISA mahusiano yoyote (katika level yoyote) na Holy See - hizi ni Bhutan (sidhani kama wana ubalozi Tanzania au sisi kwao), Maldives, North Korea, China na nchi ambazo hazijatambulika Rasmi (kama Somaliland n.k)

Sasa, nchi zaidi ya 180 zina mahusiano ya kibalozi na Tanzania nii mojawapo. Hawa wote wametambua na wanatambua nafasi ya Holy See licha ya maswali ambayo unayo na ambayo labda wengine walishauliza. Nchi hizi zote hazijakosea. Tanzania haijakosea. Na nchi hizi zote haina maana zimebadilisha dini zao (Saudi Arabia bado ni ya Kiislamu, Malaysia bado ni ya Waislamu, Falme za Kiarabu bado ni nchi ya Kiislamu, Bahrain bado ni nchi ya Kiislamu, Misri bado ni nchi ya Waislamu wengi, Kuwait bado ni nchi ya Kiislamu hujasikia wameanza kusali Rozali!; Pakistan bado ni nchi ya Waislamu wengi hujasikia watu wanaandamana ati Pakistan sasa imegeuzwa nchi ya Wakatoliki!

Kuendelea na hoja yako hii jinsi ilivyo kunaonesha ni kutokutaka kujua au kukubali ukweli hata kama unakutumbulia macho. Nchi 180 (za Kikristu, Kiislamu, Sekula, Orthodox n.k) zimetambua Holy See kama entity ambayo ni nzuri kuwa nayo na mahusiano ya Kibalozi. Nchi 80 kati ya hizo zina mabalozi wa kudumu Vatican! Vatican yenyewe ina mabalozi zaidi ya 100 kwenye nchi hizo. Sasa, kusema ati kwa vile tuna Uhusiano wa kibalozi na Vatican (Holy See) basi Tanzania imekuwa nchi ya Kikristu ni kutokujua, kutokupenda kujua na kuwa mgumu kujua.

Sasa unaweza usipende hili kwa sababu Holy See inawakilisha Kanisa Katoliki (serikali ya Kanisa Katoliki chini ya Papa) na hili linakukwaza lakini wewe kukukwaza haina maana halipo. Mwenyewe umeona mabadiliko ya Papa tu dunia nzima inapeleka waandishi zaidi ya 5000 kufuatilia; it is not about the church my friend, it is about history of Western Civilization. Nchi hizi za Magharibi nyingi zimechota katika elimu, tamaduni n.k kutoka kwa Kanisa Katoliki. Utambue kuwa Kanisa Katoliki limekuwa ni sehemu ya utawala wa nchi za Magharibi kwa karibu miaka 1000.

Sasa una haki ya kuchukia uwepo wa Ubalozi wa Holy See na kile inachosimamia; unaweza kabisa kuona huu ni upendeleo lakini hili peke yake halibadili ukweli kuwa uongo. Kuendelea kubishania hili ni kujaribu kupigana na ukuta wa historia. Na wakismama watu kama wewe kuzungumza kwa mamlaka ya kisomi ati hawatambui Holy See au sovereignty ya Vatican City watatuabisha sisi wengine.

Bado hujanionyesha ni kwa kifungu kipi cha sheria Vatican ni state. Labda nikuulize kutoka kwenye maneno yako mwenyewe uliyoyatoa Wikipedia nifafanulie nini maana ya sentensi hii?

The Holy See, as a non-state sovereign entity and full subject of international law
 
Nguruvi,
Unanogesha mnakasha lakini tatizo ni kuwa unaingia kwa kutaka ushindi.

Mimi niko hapa kutaka kueleza ninayojua ili na wengine wayasikie hata kama
hatukubaliani.

Ndiyo maana hata lugha zetu mie na wewe hazishabihiani.
Sikukujibu kwa kuwa unanichosha unasoma kwa haraka.

Ile barua ambayo Nyerere hakupelekewa aloandika Ivor Bayldon
haikutoka UTP.

Ilikuwa mwaka 1953 hata TANU bado.

Hebu rejea kwanza nyuma usadikishe hilo kisha Insha Allah nitajibu
hayo mengine.
Lile tulishalimaza nilikuwa naweka sawa tu kuhusu kauli yako kuwa nauliza tu.Hilo lisikutie wasi wasi.

Tuendelee na hili la mfumokristo, je, kwa ufupi sana nini definition halisi. Tumekuwa tunasikia tu mfumokristo kila mtu akija na lake, sasa wewe maalim mtoa darsa unaweza kutupa maana tu kwa uchache ili wakati mnakasha unaendelea basi tujue tunaongelea nini.
 
Mdondoaji,

..nani kati ya Jumbe na Thabit Kombo aliwahi kufika Vatican na kusalimiana na Pope?

..sasa Aboud Jumbe anadai kwamba serikali ya Tz ina dini kwasababu ina mashirikiano ya kibalozi na Vatican??

..What about mashirikiano ya kibalozi na Iran, Saudia, Cuba? Halafu na mashirikiano yetu na Soviet Union miaka ile??

..Haya mambo ya udini-udini ukiyaendekeza mara nyingine unaishia kuwa kituko, na mfano wa kituko ni kauli unayodai imetolewa na Raisi Mstaafu Aboud Jumbe kuwa Tz ina dini kwasababu ina mahusiano na Vatican.

Jokakuu,

Kukujibu wewe na Nguruvi kwa pamoja naweza kusema hivi mashirikiano ya kibalozi ya Tanzania na Saudi Arabia, Cuba na Urusi ni ya kimataifa na yanaendana na makubaliano ya umoja wa mataifa kuwa nchi ziwe na ushirikiano.

Vatican ni taasisi na sio nchi na mashirikiano yake na Tanzania ni bilateral relationship kama iliyo Tanzania na PLO (Palestine Liberation). Sasa kikugumizi kinaanzia hapo iweje Tanzania iwe na ushirikiano na taasisi ya kidini ? Na je mashirikiano hayo ya kidiplomasia kwanini basi Tanzania nayo isishirikiane na OIC vile vile maana kama precedent Nyerere alikubali Vatican basi hakuna hoja ya msingi mpige kelele Tanzania isijiunge na OIC. Hamna hoja yenye mashiko kabisa. Na Bernard Membe alikuwa sahihi kusema hakuna ubaya kwani sio tatizo lolote.

Binafsi I do not see the problem Vatican kuwepo nchi ila I see the problem mnapoikataa OIC kwa kigezo ati Tanzania haina dini halafu mkaiacha Vatican. Huo ni udini na ubaguzi
 
Uongo wa hapo ni nini?

Je umesoma kitabu cha Mohamed Said kiitwacho maisha na nyakati za Abdul Sykes nilichokipinga katika uzi huu?
Uongo ni kuwa si kweli kwamba historia ya Mohammed Said imeanza 1954+ kama ulivyosema mwanzoni mwa mjadala huu.Nashangaa kwanini tumefika mbali kote huku kujadili uongo wako.
 
Mohamed Said;6015002]Abdu aliyekujapewa medali na taifa hili miaka
50 baada ya uhuru.Nyerere alitoa medali 3979 jina la Abdu halikuwapo.Kasahaulika.
Allah una miujiza.
Mohamed, kadri unavyoongea ndivyo unavyowatoa mashaka wale waliokuwa nayo.
Nyerere alitoa nishani hizo kwa akina nani katika kundi la wazee wako na kumsahau Abdul?
Je, Mwinyi aliyemfuata Nyerere alitoa ngapi na kwa akina nani na kwavipi alimsahau Sweet abdul.

Endapo hutakuwa na jibu basi nitakuomba urudi nyuma post# 10828 umpongeze yule muungwana aliyesema kuhusu jaribio dhaifu.
 
Vatican ni taasisi na sio nchi na mashirikiano yake na Tanzania ni bilateral relationship kama iliyo Tanzania na PLO (Palestine Liberation). Sasa kikugumizi kinaanzia hapo iweje Tanzania iwe na ushirikiano na taasisi ya kidini ? Na je mashirikiano hayo ya kidiplomasia kwanini basi Tanzania nayo isishirikiane na OIC vile vile maana kama precedent Nyerere alikubali Vatican basi hakuna hoja ya msingi mpige kelele Tanzania isijiunge na OIC. Hamna hoja yenye mashiko kabisa. Na Bernard Membe alikuwa sahihi kusema hakuna ubaya kwani sio tatizo lolote.

Binafsi I do not see the problem Vatican kuwepo nchi ila I see the problem mnapoikataa OIC kwa kigezo ati Tanzania haina dini halafu mkaiacha Vatican. Huo ni udini na ubaguzi

Mdondoaji; soma mada yangu kuhusu OIC niliyoandika mwaka 2007; mimi sina tatizo na Tanzania kuwa na Ushirikiano wa kibalozi na OIC as a matter of fact labda nilikuwa mtu wa kwanza kutaka hilo lifanyike kwa kanuni hiyo hiyo ya kuwa tuna ushirikiano na Holy See. Tatizo ni kuwa kwenye kauli yako umechanganya mambo; "kujiunga" kuwa mwanachama wa OIC siyo sawasawa na kuwa na uhusiano wa kibalozi. Nakuhakikishia hutakutana na mtu yeyote anayeelewa mambo ambayo anaweza kupinga Tanzania isiwe na uhusiano wa kibalozi na OIC; none. At least not among those I know.

Hili la kuwa na uhusianow a kibalozi lilikuwa ni jambo rahisi sana na lilipaswa kufanywa tangu zamani. Tatizo ni kuwa wapo wanaotaka Tanzania iwe mwanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kiislamu. Tanzania siyo Mwanachama wa Holy See au wa Vatican City State! Sasa kwanini unalinganisha maembe na samaki? Kama unataka Tanzania iwe na uhusiano wa kibalozi na OIC jiunge kwenye treni wengine tulishaitisha hilo miaka mingi imepita sasa!

Karibu upande huu; lakini siyo kujiunga kwani kama Tanzania haijajiunga na Vatican au Holy See kwanini ijiunge na OIC? Unataka Tanzania iwe na uhusiano wa kIbalozi na OIC kama ilivyo kwa taasisi nyingine za kimataifa au unataka Tanzania iwe mwanachama wa Nchi za Kiislamu? Well, angalau umesema unataka uhusiano wa kibalozi (a position that I had taken many years back) lakini wengine hawataki uhusiano wa Kibalozi; wanataka Tanzania iwe nchi ya Kiislamu kwa kujiunga na OIC (kuna masharti ya uanachama mwanachama anatakiwa kuyakubali na baadhi ya masharti ya OIC ni ya kidini).

Tukubaliane tutilie mkazo Tanzania iwe na uhusiano wa kibalozi na OIC kama ilivyo na Holy See (I just noticed the two words rhymes)!?

Unasemaje ndugu yangu? Maana ninachoona unachotaka hasa ni equity kuwa kama Tanzania ina uhusiano wa kibalozi na Vatican kwanini isiwe na uhusiano wa kibalozi na OIC. Hili halina shida; lakini humo humo umechanganya na kujiunga; hiyo siyo equity.
 
Jokakuu,

Kukujibu wewe na Nguruvi kwa pamoja naweza kusema hivi mashirikiano ya kibalozi ya Tanzania na Saudi Arabia, Cuba na Urusi ni ya kimataifa na yanaendana na makubaliano ya umoja wa mataifa kuwa nchi ziwe na ushirikiano.

Vatican ni taasisi na sio nchi na mashirikiano yake na Tanzania ni bilateral relationship kama iliyo Tanzania na PLO (Palestine Liberation). Sasa kikugumizi kinaanzia hapo iweje Tanzania iwe na ushirikiano na taasisi ya kidini ? Na je mashirikiano hayo ya kidiplomasia kwanini basi Tanzania nayo isishirikiane na OIC vile vile maana kama precedent Nyerere alikubali Vatican basi hakuna hoja ya msingi mpige kelele Tanzania isijiunge na OIC. Hamna hoja yenye mashiko kabisa. Na Bernard Membe alikuwa sahihi kusema hakuna ubaya kwani sio tatizo lolote.

Binafsi I do not see the problem Vatican kuwepo nchi ila I see the problem mnapoikataa OIC kwa kigezo ati Tanzania haina dini halafu mkaiacha Vatican. Huo ni udini na ubaguzi
Ahsante kwa kujibu pamoja ingawa swali langu halikuwa limelenga huko.

Ni msaada wa mawazo kwasababu ninatatizika sehemu.
Mdondoaji, naomba msaada kidogo. Hii kauli ya Jumbe sijaielewa vizuri.
1. Je, Jumbe alimaanisha nchi ikiwa na uhusiano na Vatican tayari inaondoa maana ya ''..Haina dini''
au
2. Tanzania kuwa na uhusiano na Vatican tayari ni kielelezo cha kuwa na dini nadhani hapa ni Ukristo. Ahsante
 
Mgashi,Mimi ndiye Maalim hapa.Mimi ndiye ninaetoa darsa.Nasomesha.Nguruvi anauliza maswali baada ya kunisoma.Usisahau hilo.Hapa nimetoa kazi nilizoandika kwa mkono wanguzilizochapwa kwenye majarida kadhaa ndani na njeya Tanzania hata hesabu yake siijui.Tulia kwenye jamvi utanijua Insha Allah.
Mzee ms,Nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani.Tatizo lako kubwa ni mdini sana, laiti usingekuwa mdini una mengi ya kujifunza kutoka kwako.Kingine kama we ndo unaetoa hili darsa, basi usikwepe maswali.ili sie tusojua tupate ilim. Jibu kila kitu kwasababu upo hapa kueleza yale yaliyofichwa.
 
Sijui kwanini unasema haya1 ninapokuuliza jambo huwa nina hoja nawewe unalifahamu hilo.
Usisahau nimekuwa natoa hoja na analysis kwa mtazamo mwingine na ndicho kilichomgusa Mgashi.

Mathalani, maalim mtoa darsa umesema katika orodha ya watu waliopelekewa barua na UTP ''Nyerere hakuwemo''
Nimekuuliza kwanini sentensi hiyo na hukuwa najibu.
Baada ya wewe kukosa jibu nikauleleza umma kile ulichokusudia.

Mohamed, ungekuwa mtoa darsa iweje unakimbia darsa mambo yakiwa hot!
Tuyaache hayo tuendelee na mnakasha wasomaji wataamua.

Kwahiyo umesema mfumokristo ndiyo Christian Lobby. In other words hakuna tofauti kati ya kiingereza na kiswahili.
Na kwa mtazamo huo miaka zaidi ya 20 umekuwa unatumia mfumokristo kama ustadhi Ilunga anavyoutumia.

Tukuulize maalim mtoa darsa, huo mfumokristo una definition gani kwa ufupi kwasababu sheikh Ilunga hajawahi kutoa definition. Wewe unayeutumia zaidi ya miaka 20 unaweza kutueleza nini Maalim japo kwa ufupi.
Kwa mfumo huu mjadala huu hautafika mwisho na hatimae itakuwa ni sehemu ya kupoteza muda badala ya kupata elimu.
Mtu aliyeshindwa kujibu hoja anasubiri vumbi litulie halafu aibuke kujitangazia tena ushindi.Au mtu aliyeshindwa kujibu hoja hata akikumbushwa mara ngapi anakaa kimya halafu anadhani watu wote wamesahau anarudi tena kuleta hoja ile ile.
Wewe Nguruvi ni hodari zaidi wa kukimbia hoja zinapokuwa hot kuliko Mohammed.Ukirudi bila kujibu unadhani unazungumza na watu wapya kabisa.
Wasomaji wapya na wa zamani SOMENI HAPA halafu mje na uamuzi wenu.
 
Huyu saidi anayeamini katika mfumo kristo ana tofauti gani na ponda na ilunga na yule shehe wa uamsho? Hawa watu wana chuki tu na ukristo na si jingine. Tofauti ya hao niliowataja ni kuwa huyu said ni msomi (bila shaka) anayeuandama ukristo kwa hasira ya kalamu. Watu kama hawa si wema na si wa kuwaendekeza. Hii mada inaendelea kumpa huyu mtu fursa ya kueneza itikadi zake na za waliomtuma. I am done here.
 
Nimemuuliza anisaidie kufafanua kauli ya jumbe, Mhh naona kimya!
Tatizo jengine la Nguruvi na wenzake,ni kulazimisha jibu hata Mohammed akisema jambo fulani halimhusu au hana ujuzi nalo kuliko wengine.

..Haya mambo ya udini-udini ukiyaendekeza mara nyingine unaishia kuwa kituko, na mfano wa kituko ni kauli unayodai imetolewa na Raisi Mstaafu Aboud Jumbe kuwa Tz ina dini kwasababu ina mahusiano na Vatican.!
Inakuwaje unamlazimisha Mohammed akupe majibu yanayomhusu zaidi Jumbe na Ilunga?.
Hata kama atakuwa na majibu kulingana na uzoefu wake lakini hakuna mantiki kulazimika kujibu kuhusu watu wengine ambao wako hai na wewe una uwezo wa kuwafikia na kuwauliza kupata undani halafu ukaja nao hapa jamvini na sisi tukafaidika.
 
Huyu saidi anayeamini katika mfumo kristo ana tofauti gani na ponda na ilunga na yule shehe wa uamsho? Hawa watu wana chuki tu na ukristo na si jingine. Tofauti ya hao niliowataja ni kuwa huyu said ni msomi (bila shaka) anayeuandama ukristo kwa hasira ya kalamu. Watu kama hawa si wema na si wa kuwaendekeza. Hii mada inaendelea kumpa huyu mtu fursa ya kueneza itikadi zake na za waliomtuma. I am done here.
Hao wote uliowataja ni wasomi. Kwa hiyo unataka huu uzi ufungwe mbona amueleweki wengine wanataka uendelee.
 
Sheikh Said nimepata taarifa sasa hivi wewe Dr???(Kwa maana nyengine umeingia kwenye chama chetu cha wenye PhD?) Kama ni kweli basi hongera sana welcome to the club Dr na nisamehe kwa kutokujua wewe ni Dr. Kuanzia sasa kwenye mnakasha huu nitakuwa ninakuita Dr Mohamed Said.
 
Kitabu cha Mohamed Said kinakuumiza sana kinakukwaza wewe endelea kuchukuia na kuandika kila maneno kutoka kwenye fikra zako lakini haina maana kuwa utaweza kukizuia.Maneno yako yanazidi kukipa soko kitabu toka mwaka 1997 kitabu kipo madukani, maofisini, majumbani, mashuleni, vyuoni, kwenye computers za Watanzania kitabu kinakwenda toleo la tatu sasa kitabu kimeingia JF.Kitabu kinaitajika mikoani sasa mawakala wanakitaka kitabu.Huwezi kuzuia mvua...

RITZ,
Mi nawasiwasi na MM huenda ndie aliekuwa Bosi wa Kiwanda cha uchapishaji! kumbuka Mohamed Said ilibidi akachapishe vitabu vyake Nairobi na London! ndio maana unaona MM anavyohangaika na propaganda za kizamani! mara anatafsiri Qurani, anachambua kauli na fatwa za Ilunga, makala za Waislamu na CCM, malalamiko yake kwa Pengo utafikiri nchi haina Serikali! mara utamuona anaisifia Bakwata! mara yuko JF akijaribu kumchafua MS na kumuita mchochezi, mzizi wa fitina na matusi kibao!

Sasa amekuja na mpya kabisa! anasema yeye hana tatizo na Tanzania kujiunga na OIC! hii ni karata yake ya mwisho anaitupa ili apate kuungwa mkono na Waislamu! hajui kuwa Kanisa lake ambalo yeye ni mtiifu kwalo halikubali TZ kujiunga na OIC? anataka kutengwa na Kanisa lake? amesahau wenzake huko kusini walivuliwa dini kisa waliipigia kura CCM mwaka 2010?
 
Sheikh Said nimepata taarifa sasa hivi wewe Dr???(Kwa maana nyengine umeingia kwenye chama chetu cha wenye PhD?) Kama ni kweli basi hongera sana welcome to the club Dr na nisamehe kwa kutokujua wewe ni Dr. Kuanzia sasa kwenye mnakasha huu nitakuwa ninakuita Dr Mohamed Said.


Mdondoaji,
Umenikweza bure.

Mie sijafikia makamu hayo yenu ingawa natamani.
Lakini jua limeshakuchwa Maghrib sasa kwangu mimi.
 
Huyu saidi anayeamini katika mfumo kristo ana tofauti gani na ponda na ilunga na yule shehe wa uamsho? Hawa watu wana chuki tu na ukristo na si jingine. Tofauti ya hao niliowataja ni kuwa huyu said ni msomi (bila shaka) anayeuandama ukristo kwa hasira ya kalamu. Watu kama hawa si wema na si wa kuwaendekeza. Hii mada inaendelea kumpa huyu mtu fursa ya kueneza itikadi zake na za waliomtuma. I am done here.

Raia Fulani,

Tofauti kati yangu na masheikh uliowataja ni kubwa sana.
Hao mimi ni viongozi wangu na ni alim yaani wajuzi.

Mimi ni maamuma yaani wananiongoza.
Mimi sijatumwa na yoyote ni akili zangu ndizo zinitumazo.

Kuendekeza sijui nani anamwendekeza nani kwa kuwa kuna
mengi wazee wangu walibaki kimya hadi wanakufa.

Katika hali kama hii aliyekuwa anaendekezwa ni nani?
 
Back
Top Bottom