Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Kwanini wanaogopa kuchapicha vitabu makini huku wanaruhusu kuchapisha vitabu vyenye picha za kihuni na maadili ovu? Mohamed Said,
Ktk makala yako nimeona umemtaja Shekh Salim Hamis aliechaguliwa ktk Mkutano wa Chuo kikuu kuratibu mabadiliko ktk Baraza la kudhibiti Waislamu Tanzania (Bakwata)! namkumbuka sana Shekh Salim na Katibu wake Mohamed aliekuwa mjumbe wa Press Club! jee, wako hai? pia nakuomba utupe kisa cha Marhum Kighoma Ali Malima kuhama CCM mwaka 1995!
Kadogoo,
Wachapaji takriban wote walikuwa na hofu na serikali.
Waliogopa huenda wakapata matatizo kutoka serikalini.
Insha Allah nitaweka habari za Prof. Malima.
Katibu umemkusudia Omar Alhadi.
Huyu bwana alipata ajali hivi sasa ni mgonjwa.