Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Nguruvi ukicheka,ukilia hakuna atakayekuamini kuwa definition hii ya mfumokristo uliyoomba ni ya kuumba umba.
Unaitukana nafsi yako bure kwa kukanusha wataalamu wengi walioitayarisha.


Ami,

Watu hawataki tena "difinition" ya Mfumo Kirsto huo mbini hata ukijifanya kuqoute vipande vipande kutengeneza ngano utachemka ndiyo maana unaona watu wanaungalia hawana cha kufanya.
 
Last edited by a moderator:


The Big Show,
Ahsante sana.
 
Ami,
Serikali tumewaeleza tatizo la mfumokristo.

Sheikh Ilunga katembea nchi nzima kuwaeleza Waislam
kuhusu mfumokristo.

Kipi kitushughulishe kwa Nguruvi?
Na nihapo ujinga na uchochezi wako na kundi lako unapodhihiri. Ama kweli wewe ni mzee mbaya na muovu sana usielitakia mema taifa letu. Wala huna huruma na watoto ambao hawajafaidi matunda ya taifa lao kama ulivyofaidi wewe! Kwa umri wako mkubwa umekosa busara kabisa kwa kujaza hila na fitna moyoni mwako... Shame on you embicile old man!
 
Hakuna kitu hapo wewe unajidanganya, kwa hakika tunakuja kuona jinsi unavyoumbuliwa na kuachwa mtupu muovu wewe! hujaweka bandiko hapa ambalo lilikuwa sahihi, na ulipo kosolewa hukuwa na jingine zaidi ya kutoa majibu ya kitoto au kutojibu kabisa! Cha kushangaza huishi kujisifia eti wewe ndie unayesomesha hapa! loo! mzee huna aibu wewe.
 
Angalia hapo Nguruvi anaanza kuja na habari tofauti badala kukiri kuwa definition ya mfumo kristo ndiyo yenyewe na yeye kaikubali na kushindwa kuijibu.
Yuko wapi Gwalihenzi aje na mkokoteni wake abebe watu wake awatoe nje ya ulingo?.
Ami unajipa ushujaa usionao, wewe na huyo mzee wako tutusa hamtakaa muwaweze akina Nguruvi3, Mag3, Mnyambala, Mzee Mwanakijiji etc kwa hoja zao. Hata ninyi wenyewe kimoyomoyo mna kiri hayo. "Mbona hiyo definition" yako fyongo imechambuliwa kisomi na kutupiliwa mbali na msomi wa viwango Mzee Mwanakijiji. Kama hukuiona basi ichungulie hapa chini;
Wewe Ami, hiyo hoja huiwezi kaa pembeni, mwachie aliyeanzisha hiyo "concept" ya mfumo "kiristo" aucheze huo mdundo. Kama alivyosema mkuu Nguruvi, wewe Ami acha kuoga na mkubwa utasababisha mkubwa(Mohamed Said) asitakate kwani unatibua maji na kuyafanya yawe na tope!
 
Angalia hapo Nguruvi anaanza kuja na habari tofauti badala kukiri kuwa definition ya mfumo kristo ndiyo yenyewe na yeye kaikubali na kushindwa kuijibu.
Yuko wapi Gwalihenzi aje na mkokoteni wake abebe watu wake awatoe nje ya ulingo?.
Ami unajipa ushujaa usionao, wewe na huyo mzee wako tutusa hamtakaa muwaweze akina Nguruvi3, Mag3, Mnyambala, Mzee Mwanakijiji etc kwa hoja zao. Hata ninyi wenyewe kimoyomoyo mna kiri hayo. "Mbona hiyo definition" yako fyongo imechambuliwa kisomi na kutupiliwa mbali na msomi wa viwango Mzee Mwanakijiji. Kama hukuiona basi ichungulie hapa chini;
Wewe Ami, hiyo hoja huiwezi kaa pembeni, mwachie aliyeanzisha hiyo "concept" ya mfumo "kiristo" aucheze huo mdundo. Kama alivyosema mkuu Nguruvi, wewe Ami acha kuoga na mkubwa utasababisha mkubwa(Mohamed Said) asitakate kwani unatibua maji na kuyafanya yawe na tope!
 
Ritz, wewe ni mshereheshaji na mfariji wa mzee wako mchochezi Mohamed Said, hivyo hatutegemei kipya kutoka kwako zaidi ya kumsifia na kusifia kazi yake ambayo imepoteza "credibility". Wewe mwenyewe unakiri moyoni mwako kwamba hiyo sio kazi inayowea kuitwa HISTORIA labda HISTOHISIA. Hivi Ritz unafahamu kuwa kuna watu waliwahi kuwa waislam na baadae wakabadiri dini na kuhamia dini nyingine? Sasa mzee wako anapoanza kulia kilio cha mbwa kukalia mkia kudai waislam wa Tanzania ni wananchi wa tabaka la 3, ankusudia nini?anataka wabadiri dini ili waende tabaka la ngapi?
 
Kwa hizi historia zenu za kizushi ipo siku mtakuja na madai ya kuwa waarabu hawakuhusika na biashara ya watumwa na zanzibar haikuwa soko la watumwa kwa kutetea "Arabism" na Uislamu wenu.

Yoso,
Tuanze na Transatlantic Slave Trade.

Je una ubavu ufungue uzi wa historia ya utumwa tuje?
 

Sahih International
And when it is said to them, "Believe as the people have believed," they say, "Should we believe as the foolish have believed?" Unquestionably, it is they who are the foolish, but they know [it] not.
 
kuna watu wanatamani zanzibar ijitenge mfano.hawa kina muahamed said,aman karume,issa ladhu,seif sharifu kwakutumia misingi ya udini chini ya kivuli cha kudai et kuna mfomo kristo
 

Na hii lugha usipoielewa basi moyo wako utakuwa umepgwa kufuli
Sahih International
And those who disbelieve and deny Our signs - those will be companions of the Fire; they will abide therein eternally."
 
Yoso,
Tuanze na Transatlantic Slave Trade.

Je una ubavu ufungue uzi wa historia ya utumwa tuje?
Nguruvi hawezi kujibu katika ule mfumo wake ....kadhalika Mwanakijiji.
Sasa wacha tumsubiri Yoso na habari zake za Utumwa.
Kama changamoto naanza kwa kumuuliza Nani wafanyabiashara wakubwa wa utumwa?
Ni waarabu au ni wazungu?
Ni waislamu au ni wakristo?.
 

Patamu hapo ngoja tusubiri darsa.
 
Sahih International
And when it is said to them, "Believe as the people have believed," they say, "Should we believe as the foolish have believed?" Unquestionably, it is they who are the foolish, but they know [it] not.


Naam,Swadakata kabisa...!

"Bal akh'tharuhum laa yaagh'lamuunal haqq',fahum muugh'ridhwuun'.."

Watahangaika sana,ila dawa ya ukweli ni kuukubali tuh..
 

Hapo sasa...!!

WACHA PARTY LIANZE,NA ASIKIMBIE MTU HAPA..
 
Reactions: Ami
Sahih International
And when it is said to them, "Believe as the people have believed," they say, "Should we believe as the foolish have believed?" Unquestionably, it is they who are the foolish, but they know [it] not.
Take your fanaticism to your naive belivers young foolish man!
 
Na hii lugha usipoielewa basi moyo wako utakuwa umepgwa kufuli
Sahih International
And those who disbelieve and deny Our signs - those will be companions of the Fire; they will abide therein eternally."
Wewe mpumbavu ni kwambie mara ngapi kuwa mimi ni "adent atheist"? ebu niondolee hayo makonokono yako, kwangu mimi hayana nafasi na wala hayana umhimu wowote.
 
Watu wenye Elimu ya kukariri utawajua kwa maswali yao yasiyo na akili! labda mie nikuulize, "Ni nini kilisababisha biashara ya utumwa kuwepo?"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…