Ami ndugu yangu,,
Muwie radhwi bure huyo
Mzee Mwanakijiji,
Sisi tunamwita mzee mfia dini,mara nyingi utamuona anakuja na speed kali sana ya kuufanyia clarification uislam ili kututoa nje ya mada,mbaya zaid hakuna anachokifaham kuhus uislam wetu labda kwa kukariri anakofanya,,
Tulishampa rai mda mrefu Mwanakijiji achutame aficha tupu zake kwani si busara kwa mtu wa heshima kama yeye kwa jins alivojitanabaisha hapa jamvini kushadadia mambo asiyokuwa na ilm nayo,hataki,..!!
Anataka kujifanya yeye ni TABII TABIINA,Wapi na wapi??
Anazid kujidhalilisha tuh
zomba alishamvua nguo huyo mda mrefu tuh..
Mohamed Said ni kiboko yao,Allah kamjalia kheri kuelezea mambo yaliyokafichikana,na sisi tunathamini uhalisia huu,sio kwa kuwa ni muislam mwenzetu au kwa kuwa anaelezea upande wa pili ambao unaakisi waislm na uislam la hasha,
Ila kwa kuwa anaueleza uhalisia ulivyo kwa maslahi ya taifa na tanzania ilivokawa hapo zamani,ilivyo sasa na jins itavyokuwa,ni jukumu letu sisi sote kupima na kuangalia wapi tulikosea na kuukubali ukweli na kuijenga nchi yetu,kuupinga hakutasaidia hata kidogo..