Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mohamed Said mjadala umemuelemea, na ukweli umebaki huru, Ametangaza kutuingia tena katika uzi huu ilihali masaa yote anasoma uzi huu huu, Kweli mungu hamfichi mnafiki

Hebu uone haya kidgo,nani uliemuelemea mjadala hapa baina yake na wewe??

Hivi kweli huon uzito na ukakasi kutamka maneno hayo??

Una makusudi sana Yericko,,,

Pole sana,watu wamejionea ukweli wenyewe,wewe endelea na hicho ukiwazacho..
 
Last edited by a moderator:

Sijachoka, Namba hiyo ipo hewani 24/7 hata dakika hii piga utanipata tu rafiki. Uchochezi wa Mohamed Said umejidhirisha wazi labda uwe na sababu zako za kuukataa tu. Kumbukumbu kila mtu anao wajibu wakuzitunza, Historia niliyokupeni hapo juu ni hazina tosha isiyo na mawaa ambayo usingeipata kokote duniani zaidi ya kwangu tu, hiyo ni sehemu ya hazina tosha.
 
Hakuna anaemuogopa, ukiona watu wanamkwepa ujue hana hoja bali viroja.

Mkuu wanasema eti wameweka 'mipini' Nguruvi aje kujibu!!

Nguruvi anafanya hisani tu hapa kuwajibu

Kwa mara ya kwanza toka nizaliwe ndo naona hapa Mwanafunzi akimfundisha Maana ya kitu flani Mwalimu wake na mwalimu akashabikia jibu la mwanafunzi!

Kibaya sasa ni kwamba Mwanakijiji alishawafunga mdomo sasa wana-appeal kwa Nguruvi3

Wanarudia maswali,inashangaza sana

Tunawasoma hapa tunawaona ni watu wa aina gani
 
 
Nguruvi3 rudi ujibu lawama hizi,jamaa zako wanakulilia,,

Au umeingia mitini moja kwa moja??

sisi mpiganaji wetu mwenye heshima kubwa awapo ulingoni humu Mohamed Said tumemwambia inatosha sasa,aende akapumzike,kazi aliyoifanya ni kubwa na maelezo aliyoyatoa ni ya kutosha yasiyo na kifani,,wapuuz wapuuz wanakuja na lugha za kumtusi na kumdhihaki,kwaiyo tumemwambia hadi waache hizo lugha zao kisha kama mtahitaji darsa lake adhiim atarudi hapa insha allah,,
Nguruvi3,umejitakia matatizo sana,umejivika cheo usichokuwa na uwezo nacho ona maji yalivokuelemea sasa..
 
Last edited by a moderator:
Spike Lee bora hata weweunapata ilm kunawatu humu jamvini kazi yao ni kutukana tu lakini si makosa yao ni imani yao ni dhaifu mwenyezi mungu anasema vifua vyao amevipiga kufuli.Cc Gwalihenzi
Hivi Boko unaakili timamu kweli? sasa huyo mungu wako ananihusu nini mimi? na huo upumbavu wa Mohamed mnaouita ilm unamanufaa gani kwangu? Boko, ninaishi bila hayo matakataka yako naninaraha zangu. Taabu mnataka kuileta nyie wapuuzi na hilo zee lenu chochezi! mnataka tuanze kuchukiana watanzania kwa misingi yenu ya kipuuzi! na ndio maana nalichukia sana hilo zee lenu! Tuacheni tuishi kwa amani katikati ya umaskini wetu!
 

Wameujua ukweli lakini wanaona haya kumuasi ndugu yao Mohamed Said
 

'Stan'!

Jina la Yericko Nyerere linakushughulisha sana.
Roho inakuuma huyo mtu kuwa na jina hilo.

Hadi namba umesave!?

Well endelea na u-stan wako.tunakusoma hivyo hivyo hatuwezi kukupuuza
 
Last edited by a moderator:
Naona sasa hivi ni vita baina ya Waislam na Waikristo.
 
Wameujua ukweli lakini wanaona haya kumuasi ndugu yao Mohamed Said

Mkuu naona kuna mtu anamapenzi makubwa sana na wewe ni aibu tu anaona hapa kuusema ukweli kila akikuona humu lazima aku-quote!

Analalamika eti umemfungia simu.

Tafadhali mkuu mwache tu aendelee kukupigia wala usimfungie simu

Huyo ni STAN wako!
 


Aaah,eti historia hiyo siwez kuipata kwingine zaid ya kwako??

Lakini inawezekana Yericko,kama ile nayo unaipa hadhi ya historia basi ni kweli yapatikana kwako tuh,

Ila mimi sijaona cha maana ulichokiandika,wala sijaona pia cha maana ulichokithibitisha katika tuhuma ulizozitoa kwa Moh Said..

Unajikanyaga kanyaga tuh..
 
Nyie watu wa ajabu sana Mwanakijiji akisema masuala ya dini mpo kimya watu wakimjibu eti mnawashauri waende jukwaa la dini...ha haa haaa haaaa!!
Wewe huwahutumii akili na huwa huna kumbukumbu. Kwa taarifa yako, ni Mwanakijiji huyo huyo aliyewashauri wapuuzi wenzako akina kadogoo, Boko na Ami wayapeleke maoni yao kuhusu Yesu kwenye jukwaa la dini. Wewe kwa kuwa unamhara sana Mzee Mwanakijiji hata hukusoma maandiko yake unakuja na lawama na vilio kama kawaida yako!
 
Naona sasa hivi ni vita baina ya Waislam na Waikristo.


Yah,

naona sasa ni mwendo wa "Jesus had won,and Muhammad had lost",,

Lakin hawatutoi nje ya mada kuu,kwa ufupi VICTORY WON..!!
 
Sijui kama ulipata nafasi ya kumsikiliza raisi Jakaya Kikwete kwenye hotuba yake ya mwisho wa mwezi March 2013, ametoa majibu kuhusu mfumo wako kristo kwamba ni uwongo tu! na kwamba miskiti mitatu ya dar mumemuombea dua yeye Jk afe!
 
Majitu mengine kwa kujifariji hamjambo! Nguruvi3 ahangaike na huu upumbavu wenu? ama kweli maajabu hayataisha! wewe umeona kunalolote la maana hapo? kama ni hivyo basi tunajadili na mazuzu humu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…