Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Kweli unafikiri umetoa ushahidi wa kuwa Yesu alikuwa ni Muislamu au umethibitisha ninayosema mimi? Nje ya Qurani hakuna ushahidi wowote kuwa Yesu au mtu mwingine yeyote kabla ya ujio wa Uislamu alijitambua, alijua au alikuwa Muislamu. Yesu alizaliwa Myahudi na alikufa na kukufuka kama Myahudi. Ukristu haikuwa dini ya Yesu; Yesu kwa dini alikuwa ni Myahudi. Ukristu unaitwa hivyo baada ya watu kuanza kuamini ujumbe wa Yesu Kristu na kuufuata na hivyo kutofautisha na watu wengine walijitambulisha kama "Wa-Kristu" kwa maana ya kuwa wafuasi na waamini wa mafundisho ya Kristu.

Wakati wote wa Yesu na baada ya ufufuko waliomwamini Yesu walijulikana tu kama "Waamini" au "Wanafunzi (wafuasi)". Biblia inasema kuwa wanafunzi wa Yesu walianza kuitwa "Wakristu" huko Antiokia (Matendo 11:26).

Gwalihenzi vipi na hapo MM alikuwa kwenye jukwaa la dini au ndio mkuki kwa nguruwe walamba buti bwana dah
 
Mohamed Said,,

Lipi unalolifahamu kuhusu UWAWARU??

One among the steps being taken to strengthen the CHRISTIAN SYSTEM and weaken islam in this country??

Tunakuthamin sana Ndugu Yetu..
 
Last edited by a moderator:
Majitu mengine kwa kujifariji hamjambo! Nguruvi3 ahangaike na huu upumbavu wenu? ama kweli maajabu hayataisha! wewe umeona kunalolote la maana hapo? kama ni hivyo basi tunajadili na mazuzu humu!

Mkuu walimwambia Mkuu wao kwamba wao ni KICHAA wako na VICHAA wenzao wanajadiliana(haya ni maneno yao sio yangu)
 
Gwalihenzi vipi na hapo MM alikuwa kwenye jukwaa la dini au ndio mkuki kwa nguruwe walamba buti bwana dah
Wacha machozi ya mamba wewe kituko, nenda kamfariji kizee wako aliyeingia chaka kiaina. Tulishawaonya mapema kwamba hilo zee lenu haliana hoja limejaa uzandiki na ufatani tu na mwisho litakimbia uwanja kwa visingizio vya kitoto... mara utalisikia likilia eti linatukanwa... na likibanwa kona na Nguruvi3, utalisikia... oh nimekusoma... amini unavyotaka... na uongo mwingi! na hata siamini kama kweli lipo kwenye uislam maana kwa uongo tu halijambo!
 
Geeky,
Umeshangilia goli kabla mpira haujagusa wavu.

Nimeweka kitu kuhusu sensa.
Kipitie Insha Allah.

Ingekuwa vizuri watu wangeweka stats kama huyu bwana inarahisisha mambo sana. Vp lakini unazikubali takwimu hizo? Mie nimeona breakdown inaleta maana na kuthibitisha ni genuine sidhani mtu unaweza pika twakwimu kwa kiwango hicho.
 
Mohamed Said,

Ndiyo maana FIFA wameweka kifaa mbira ukivuka mstari unaonyesha goli sasa huyu ndugu yetu anataka goli kwa nguvu hata mpira haujagusa mstari.

Leteni attachments zenye census statistics hapa hoja zenu zitaeleweka na kuwa na mashiko au uandishi wa historia una marufuku ya kurejea sensa. historia anayotoa Moh ina sources za kimazingira huyu mwenzake anastahili heko kwa kutuwekea attachment moja kwa moja inayojieleza. amefanya la maana. Kuhusu kuongezeka kwa wakristo sio siri uislam unakua kwa kasi ya multiplication by birth na shida hapo ni kipato wengi wetu hatuwezi kuoa wake wengi kwasababu ya kipato. ukristo unatumia zaidi evengelism na pia multiplication by birth ndio maana siku zinavyoenda madheebu ya kikristo yanaongezeka hadi vijijini huku ratio ya wasio na dini inapungua na ya wakristo inaongezeka. Umenierrrewa?!!
alafu Ritz punguza jazba tetea maandiko ya Moh zaidi tuyaelewe.
 
Yah,

naona sasa ni mwendo wa "Jesus had won,and Muhammad had lost",,

Lakin hawatutoi nje ya mada kuu,kwa ufupi VICTORY WON..!!
Hili ndo tatizo la mijadala hii lilipo, watu wamebase kwenye kutetea dini zao hata kama ukweli upo wazi, hata hivyo sio mbaya wacha wengine tuendelee kujifunza
 
Jasusi,
Nilichukua likizo ya siku saba.

Lakini kwa hili nimeona nirudi kazini lau kwa siku moja.
Hebu ona na hii hapa chini kutoka ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes...''

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]About two-thirds of East African Muslims reside in Tanzania[1] which is the most populous of the East African countries, i.e. Kenya, Uganda and Tanzania.

This includes Zanzibar-a predominantly Muslim country with a 99% Muslim population and once the centre of Islamic
learning in East and Central Africa.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]According to the 1957 population census, Muslims outnumbered Christians at a ratio of three to two.
This, at that time, meant that Tanzania was a leading Muslim nation South of the Sahara.

But in the first post-independence census of 1967 the total figures for Tanzania Mainland were 32% Christian, 30% Muslim and 37% local belief.

These figures show Pagans as a leading majority in Tanzania.

The 1967 census has not been able to show the reasons for the sudden decrease of Muslim population nor the growth of animists amidst believers in the span of the last ten years.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]
This was the last population census showing religious distribution.

It is widely believed that the figures for the 1967 census were doctored for political reasons to show that Muslims were trailing behind Christians in numerical strength.

There is evidence that the government in 1970, having realised that Muslims were a majority in Tanzania, directed the Statistical Department to destroy all the 1967 census results.
[2]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Unfortunately power sharing in the political system in Tanzania is very much skewed against Muslims, although it is known that the stability of any nation depends on proper balancing of these factors.

Different sources provide different Muslim-Christian religious distribution figures.

These conflicting figures are as a result of sensitivity of the issue.

Among African countries with sizable population of Muslims and Christians, like Tanzania and Nigeria,[3] the inquiry as to which faith commands a leading majority, is a source of potential conflict and controversy.

Tanzania is of no exception. D.B. Barret
[4] gives figures which shows Muslims as a minority in Tanzania.

The Muslim population is purported to be 26%, Christian 45%, local belief 28%. Tanzania National Demographic Survey figures for 1973 put Muslims in Tanzania slightly above Christians at 40%, Christians 38.9% and local belief 21.1%. But according to Africa South of The Sahara,
[5] Muslims in Tanzania are a leading majority at 60%. This figure has remained constant in all its publications since 1982.

Since research by Tanzanian Muslims on Islam is scant or almost non-existent, the issue of Muslim population has yet to be tackled from an Islamic point of view.
[6]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Distribution of authority and power sharing is a factor which should not have been a cause of conflict in independent African countries.

Ironically this has become a point of controversy only under indigenous governments.

It is a sensitive issue because ethnicity, religious identity and clanship is an important factor in independent African states.

Power distribution and numerical strength has also to be reflected in the sharing of political power along those lines.

During colonial rule, distribution of power under ethnicity and religious bias in Africa by colonising powers were not perceived as so serious a breach of trust by subjects as to warrant civil upheavals.

Fortunately tribalism is not pronounced in Tanzania, but religion has been a factor of discrimination since colonial days.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1]August H. Nimtz Jr, Islam and Politics in East Africa, University of Miannapolis,1980,p.11.
[2] See Family Mirror, Second Issue, November,1994, p. 6.
[3] Ali A. Mazrui, ‘African Islam and Competititive Religion: Between Revivalism and Expansion’, in Third World Quarterly Vol.
10. No.
2 April, 1988, pp. 499-518.
[4]D.B.Barret, Frontier Situations for Evangelisation in Africa ,Nairobi,1976.
[5]Africa South of The Sahara, Europa Publication, London, No. 20, 1991, p. 1027.
[6]The only conclusive Muslim research is by Dar es SalaamUniversity Muslim Trustee (DUMT), see 'The Position of Muslims and
Islam in Tanzania,' in Al Haq International (Karachi)September/October 1992.
Mohamed,'
Ingekuwa vizuri pia kama ungetuwekea hiyo sensa ya 1957. Nakumbuka wakati huo tulikuwa millioni 7 nadhani. Sasa kusema kuwa Waislamu walikuwa wana outnumber wakristo 3 -2 bila kutuwekea source inaleta mashaka. Nina hakika somewhere hizi figures zipo ama sivyo usingeandika hivyo bila kuwa na reliable sources
 
Hivi Boko unaakili timamu kweli? sasa huyo mungu wako ananihusu nini mimi? na huo upumbavu wa Mohamed mnaouita ilm unamanufaa gani kwangu? Boko, ninaishi bila hayo matakataka yako naninaraha zangu. Taabu mnataka kuileta nyie wapuuzi na hilo zee lenu chochezi! mnataka tuanze kuchukiana watanzania kwa misingi yenu ya kipuuzi! na ndio maana nalichukia sana hilo zee lenu! Tuacheni tuishi kwa amani katikati ya umaskini wetu!

Imekuaje mkawa maskini wakati mlielimika? au nanyi mlipitia madrasa na kuishia kunywa gahwa na kashata vibarazani!
 
Naona sasa hivi ni vita baina ya Waislam na Waikristo.

Nimemuomba Mzee Ruksa aunde tume itakayo patanisha na kuzima vita hii! kwa upande wa Waislamu kawateua Mufti Chui, Alhaji Alhadu, S. Hega, R. Kundya na kwa upande wa pili Mzee Ruksa bado anasubiri majina yao! sijui kama watakubali! mimi nilimshauri badala ya kuunda tume mpya angeitumia UWAWARU ambao ni muungano wa dini mbili kutatua mzozo huu!
 
Mkuu naona kuna mtu anamapenzi makubwa sana na wewe ni aibu tu anaona hapa kuusema ukweli kila akikuona humu lazima aku-quote!

Analalamika eti umemfungia simu.

Tafadhali mkuu mwache tu aendelee kukupigia wala usimfungie simu

Huyo ni STAN wako!

Jiheshimu ili upate heshima!
 
Wewe huwahutumii akili na huwa huna kumbukumbu. Kwa taarifa yako, ni Mwanakijiji huyo huyo aliyewashauri wapuuzi wenzako akina kadogoo, Boko na Ami wayapeleke maoni yao kuhusu Yesu kwenye jukwaa la dini. Wewe kwa kuwa unamhara sana Mzee Mwanakijiji hata hukusoma maandiko yake unakuja na lawama na vilio kama kawaida yako!
[h=1]Hivi huwezi kuongea bila ya matusi?[/h]
[h=1][/h]






 
Jiheshimu ili upate heshima!

Wewe wa wapi kwanza?

Ni neno gani hapo lililomvunjia mtu heshima??

Nilichokisema kuhusu huyo Stan ni uongo?

Na nani alikwambia mi nahitaji heshima yako?we ukinidharau mi napungua?

Unajifanya unabusara sana eeh!?

Jiangalie!
 
Wewe wa wapi kwanza?

Ni neno gani hapo lililomvunjia mtu heshima??

Nilichokisema kuhusu huyo Stan ni uongo?

Na nani alikwambia mi nahitaji heshima yako?we ukinidharau mi napungua?

Unajifanya unabusara sana eeh!?

Jiangalie!


By Rapherl Mkuu naona kuna mtu anamapenzi makubwa sana na wewe ni aibu tu anaona hapa kuusema ukweli kila akikuona humu lazima aku-quote!

Analalamika eti umemfungia simu.

Tafadhali mkuu mwache tu aendelee kukupigia wala usimfungie simu

Huyo ni STAN wako!


Hapa tunaongelea uchochezi wa Mohamed said, mambo ya mapenzi na udaku peleka panapostahili!
 
By Rapherl Mkuu naona kuna mtu anamapenzi makubwa sana na wewe ni aibu tu anaona hapa kuusema ukweli kila akikuona humu lazima aku-quote!

Analalamika eti umemfungia simu.

Tafadhali mkuu mwache tu aendelee kukupigia wala usimfungie simu

Huyo ni STAN wako!


Hapa tunaongelea uchochezi wa Mohamed said, mambo ya mapenzi na udaku peleka panapostahili!

Neno mapenzi hapo umelielewaje ndugu yangu!

Ndo aina ya wanafunzi wa Mohamed wewe hata sishangai

Subiri Mkuu Nguruvi3 kama akija 'labda'anaweza kukutafunia we umeze hiyo kazi mimi siwezi
 
Last edited by a moderator:
Ami,
Nakuvisha kilemba na nakuwekea kashda begani kwako.

Kilemba hiki na kashda hii nakutunuku kwa niaba ya marehemu
Sheikh Hassan bin Amir.
Mzee Said acha kuoga na watoto. Viporo vyao nitavijibu kama utaviweka wewe au wakakuomba wewe kwa niaba yao.Kiwango changu ni wewe.
Nimekupa prelude na naendelea kusisitiza acha kuoga na watoto watakimbia na nguo ulizoweka ufukweni.
 
Majitu mengine kwa kujifariji hamjambo! Nguruvi3 ahangaike na huu upumbavu wenu? ama kweli maajabu hayataisha! wewe umeona kunalolote la maana hapo? kama ni hivyo basi tunajadili na mazuzu humu!
Gwalihenzi, waulize lile la sensa limekwisha! hilo wanalosema mbona Mwanakijiji kaliandika kwa uyakinifu na uadilifu tena kwa lugha nzuri na rahisi sana wasichoelewa ni nini?
 
Mohamed,'
Ingekuwa vizuri pia kama ungetuwekea hiyo sensa ya 1957. Nakumbuka wakati huo tulikuwa millioni 7 nadhani. Sasa kusema kuwa Waislamu walikuwa wana outnumber wakristo 3 -2 bila kutuwekea source inaleta mashaka. Nina hakika somewhere hizi figures zipo ama sivyo usingeandika hivyo bila kuwa na reliable sources

The irony is that with a christian hegemony in place (what they profess to be true) the very same people are up to the neck on the issue of population which is actually counter intuitive. Why? because of their sinister cause they know any census will prove christians and invalidate their claims because bigotry works well when the victims (christians) are a minority and the perpetrators majority then only the masses will be moved to accept their cause.

Tukikubali kuna mfumo kristo kwa miaka zaidi ya 50 tukubali pia mfumo huu umeongeza idadi yao kwani :
1) umewapa access ya huduma muhimu za afya hivyo kuwapa low mortality rate ikizingatiwa wana hospital za rufaa hii inawapa edge katika kudeal na terminal diseases, uwezo wa kliniki za uzazi n.k hasa katika mikoa yenye wakristo.
2) Pia mfumokristo effective utamaanisha wakristo wanasoma kwa wingi hivyo kuwa na uwakilishi mkubwa katika mashirika mbalimbali na wakawa na social class that's also above the rest lakini hili huwa ni tuhuma effectively pale tu ambapo population ya hao wanaotuhumiwa (here christians) ni ndogo significantly which is not true of christians here, wapo wengi kitu ambacho kina justify uwakilishi wao na kukinzana na dhana ya mfumo kristo ndio maana suala la sensa ni ishu.

Waanao lalamika mfumokristo wanapaswa kukubali moja, ila kutuambia wakristo wapo wachache na wehodhi kila kitu ni janja tuliyoishtukia. Hii inanikumbusha. "The protocols of the elders of zion".
 
Gwalihenzi, waulize lile la sensa limekwisha! hilo wanalosema mbona Mwanakijiji kaliandika kwa uyakinifu na uadilifu tena kwa lugha nzuri na rahisi sana wasichoelewa ni nini?

Hii imekaa vizuri ulizaneni wenyewe halafu mujijibu wenyewe ha ha haa mume buggie men
 
Back
Top Bottom