Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Sheikh Mohammed,
Bismi natakadam naishika kalamu,nazituma salaam ama leo mezizindua fahamu!ahahaa!! Nahisi utakuwa unapenda viburudisho japo kiduchu kama hivi!ahaha!!
I really admire your encyclopaedic memory,I mean your head is like a museum! I'm sure sure your brain is densely populated with loads of information and I'm glad that you are sharing it with us. Above all I envy your undisputed your historical connection.
The only people mad at you for speaking loud and clear are those living a lie. Keep speaking na sitie shaka maana tupo pamoja.
Facts do not cease to exists because they are ignored - A. Huxley
Salaam na Insha Allah ukae salama.
Gombesugu,
Ahsante ndugu yangu.
Yote haya ni hidaya kutoka kwa Allah kuwa nimezaliwa
na watu hawa na nikakua katika kipindi kile.
Yeyote yule angepita katika mikono ya watu hawa na yeye
angeliyajua haya kama niyajuavyo mie.
Umenifariji pakubwa.
Allah akulipe kheri.
Amin.